< Torati 8 >
1 Mnapaswa kuyashika maagizo yote ninayowapa leo, ili kwamba mweze kuishi na kuongezeka, na kuingia na kuimiliki nchi ambayo Yahwe aliaapa kwa baba zenu.
Ye shall keepe all the commandements which I command thee this day, for to doe them: that ye may liue, and be multiplied, and goe in, and possesse the land which the Lord sware vnto your fathers.
2 Mtakumbuka akilini njia zote ambazo Yahwe Mungu amewaongoza miaka hii arobaini kwenye jangwa, ili kwamba apate kuwanyenyekeza, ili kwamba awajaribu kujua nini kilikuwa ndani ya mioyo yenu, kama mungeweza kuyashika maagizo yake au hapana.
And thou shalt remember all ye way which the Lord thy God led thee this fourtie yeere in the wildernesse, for to humble thee and to proue thee, to knowe what was in thine heart, whether thou wouldest keepe his commandements or no.
3 Aliwanyenyekeza, na kuwafanya kuwa na njaa, na kuwalisha manna, ambayo hamkuijua na ambayo baba zenu hawakuijua. Alifanya hivyo kuwafanya nyie kujua si kwa mkate tu watu wanaishi, badala ni kwa chochote hutoka kwenye kinywa cha Yahwe kwamba watu wanaishi.
Therefore he humbled thee, and made thee hungry, and fed thee with MAN, which thou knewest not, neither did thy fathers know it, that he might teache thee that man liueth not by bread onely, but by euery worde that proceedeth out of the mouth of the Lord, doth a man liue.
4 Mavazi yenu hayakuchanika na kudondoka, na miguu yenu haikuvimba kipindi cha miaka hiyo arobaini.
Thy raiment waxed not olde vpon thee, neither did thy foote swell those fourtie yeeres.
5 Mtatafakari katika mioyo yenu kuhusu, namna, kama mtu anavyo mwadibisha kijana wake, hivyo Yahwe Mungu wenu anawadibisha ninyi.
Knowe therefore in thine heart, that as a man nourtereth his sonne, so the Lord thy God nourtereth thee.
6 Mtayashika maagizo ya Yahwe Mungu wenu, ili kwamba mweze kutembea katika njia zake na kumheshimu.
Therefore shalt thou keepe the commandements of the Lord thy God, that thou mayest walke in his wayes, and feare him.
7 Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu anawaleta katika nchi nzuri, nchi ya vijito vya maji, visima na chemchemi, vitiririkavyo kwenda kwenye mabonde na miongoni mwa milima,
For the Lord thy God bringeth thee into a good land, a land in the which are riuers of water and fountaines, and depthes that spring out of valleis and mountaines:
8 nchi ya ngano na shayiri, mizabibu, mtini, na komamanga; nchi mizeituni na asali.
A land of wheate and barley, and of vineyards, and figtrees, and pomegranates: a land of oyle oliue and hony:
9 Ni nchi ambayo mtakula mkate bila kupungukiwa, na ambapo mtaenda bila chochote; nchi ambayo mawe yametengenezwa kwa chuma, na kutokana na milima mtaweze kuchimba shaba.
A land wherein thou shalt eate bread without scarcitie, neither shalt thou lacke any thing therein: a land whose stones are yron, and out of whose mountaines thou shalt digge brasse.
10 Mtakula na kushiba, na mtambariki Yahwe Mungu wenu kwa nchi nzuri ambayo amewapa.
And when thou hast eaten and filled thy selfe, thou shalt blesse the Lord thy God for the good land, which he hath giuen thee.
11 Iweni makini kwamba msimsahau Yahwe Mungu wenu, na kwamba msipuuzie maagizo yake, hukumu zake, na sheria zake ambazo ninakuamuru leo,
Beware that thou forget not the Lord thy God, not keeping his commandements, and his lawes, and his ordinances, which I commaund thee this day:
12 vinginenyo unapokula na ukashiba, na wakati unajenga nyumba nzuri na kuishi ndani zao.
Lest when thou hast eaten and filled thy selfe, and hast built goodly houses and dwelt therein,
13 Na muwe makini wakati makundi yenu na mifugo yenu ikiongezeka, na wakati wa fedha zenu na dhahabu zenu zikiongezeka, na vyote mlivyonavyo kuongezeka,
And thy beastes, and thy sheepe are increased, and thy siluer and golde is multiplied, and all that thou hast is increased,
14 basi kwamba mioyo yenu iliniuliza juu ya kumsahau Yahwe Mungu wenu-aliyewaleta kutoka nchi ya Misri, toka nyumba ya utumwa.
Then thine heart be lifted vp and thou forget the Lord thy God, which brought thee out of the land of Egypt, from the house of bondage,
15 Usimsahau yeye aliyewaongoza kupitia jangwa kuu na la kutisha, ambako ndani yake kulikuwa na nyoka wa moto na nge, na pitia nchi yenye kiu ambako hapakuwa na maji, ambaye yeye alileta maji toka kwenye mwamba wa jiwe.
Who was thy guide in the great and terrible wildernes (wherein were fierie serpents, and scorpions, and drought, where was no water, who brought forth water for thee out of ye rock of flint:
16 Ambaye aliwalisha kwenye jangwa kwa manna ambayo mababu zenu hawakuijua, ili kwamba awajaribu, kufanya uzuri kwenu mwishoni-
Who fed thee in the wildernesse with MAN, which thy fathers knewe not) to humble thee, and and to proue thee, that he might doe thee good at thy latter ende.
17 lakini mnaweza kusema mioyoni mwenu, Nguvu yangu na mkono wangu wa uweza umepata utajiri huu wote.
Beware least thou say in thine heart, My power, and the strength of mine owne hand hath prepared me this abundance.
18 Lakini mtamkumbuka akilini Yahwe Mungu wenu, kwa kuwa ni yeye awapae ninyi nguvu ya kupata utajiri, ili kwamba aweze kuanzisha agano lake aliloapa kwa baba zenu, kama ilivyo leo.
But remember the Lord thy God: for it is he which giueth thee power to get substance to establish his couenant which he sware vnto thy fathers, as appeareth this day.
19 Itakuwa kwamba, kama mtamsahau Yahwe Mungu wenu na kuwaendea miungu mingine, kuibudu, na kuiheshimu, nashuhudia kinyume dhidi yenu leo kwamba mtateketea.
And if thou forget the Lord thy God, and walke after other gods, and serue them, and worship them, I testifie vnto you this day that ye shall surely perish.
20 Kama mataifa ambayo Yahwe anatengeneza kuyaangamiza mbele yenu, hivyo mtaangamia, kwa sababu hamkusikiliza sauti ya Yahwe Mungu wenu.
As the nations which the Lord destroyeth before you, so ye shall perish, because ye woulde not be obedient vnto the voyce of the Lord your God.