< Torati 8 >

1 Mnapaswa kuyashika maagizo yote ninayowapa leo, ili kwamba mweze kuishi na kuongezeka, na kuingia na kuimiliki nchi ambayo Yahwe aliaapa kwa baba zenu.
Tihnin ah kai loh nang kang uen olpaek boeih he vai hamla ngaithuen uh. Te daengah ni BOEIPA loh na pa rhoek taengah a caeng khohmuen ah na hing vaengah na ping uh vetih na kun uh vaengah khaw na pang uh eh.
2 Mtakumbuka akilini njia zote ambazo Yahwe Mungu amewaongoza miaka hii arobaini kwenye jangwa, ili kwamba apate kuwanyenyekeza, ili kwamba awajaribu kujua nini kilikuwa ndani ya mioyo yenu, kama mungeweza kuyashika maagizo yake au hapana.
A olpaek te a olpaek bangla na thinko ah ngaithuen neh ngaithuen pawt khaw ming ham a ngaih tih nang phaep ham neh noemcai ham kum likip khuiah BOEIPA na Pathen loh Khosoek longpuei ah nang n'caeh puei boeih te poek lah.
3 Aliwanyenyekeza, na kuwafanya kuwa na njaa, na kuwalisha manna, ambayo hamkuijua na ambayo baba zenu hawakuijua. Alifanya hivyo kuwafanya nyie kujua si kwa mkate tu watu wanaishi, badala ni kwa chochote hutoka kwenye kinywa cha Yahwe kwamba watu wanaishi.
Nang m'phaep vaengah n'lamlum sak ngawn dae namah loh na ming mueh neh na pa rhoek loh a ming uh mueh manna te nang n'cah. Te dongah hlang he buh bueng neh hing pawt tih BOEIPA ka lamkah aka thoeng sarhui dongah ni hlang a hing tila nang m'ming sak.
4 Mavazi yenu hayakuchanika na kudondoka, na miguu yenu haikuvimba kipindi cha miaka hiyo arobaini.
Nang dong lamkah na himbai khaw hmawn pawt tih kum likip khuiah na kho khaw phat pawh.
5 Mtatafakari katika mioyo yenu kuhusu, namna, kama mtu anavyo mwadibisha kijana wake, hivyo Yahwe Mungu wenu anawadibisha ninyi.
Te dongah hlang loh a ca a toel bangla BOEIPA na Pathen loh nang n'toel te na thinko neh ming lah.
6 Mtayashika maagizo ya Yahwe Mungu wenu, ili kwamba mweze kutembea katika njia zake na kumheshimu.
Te dongah longpuei ah pongpa ham neh amah rhih ham tah BOEIPA na Pathen kah olpaek te ngaithuen lah.
7 Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu anawaleta katika nchi nzuri, nchi ya vijito vya maji, visima na chemchemi, vitiririkavyo kwenda kwenye mabonde na miongoni mwa milima,
Kolbawn tlang ah soklong kah tuiphuet tui neh tuidung loh a long thil khohmuen, aka then khohmuen,
8 nchi ya ngano na shayiri, mizabibu, mtini, na komamanga; nchi mizeituni na asali.
cang, cangtun, misur, thaibu neh tale kho, olive situi neh khoitui kho la BOEIPA na Pathen loh nang n'khuen coeng.
9 Ni nchi ambayo mtakula mkate bila kupungukiwa, na ambapo mtaenda bila chochote; nchi ambayo mawe yametengenezwa kwa chuma, na kutokana na milima mtaweze kuchimba shaba.
Tekah khohmuen ah tah buh dongah khaw sihtaehnah neh na ca pawt vetih, a khuiah pakhat khaw m'vaitah mahpawh. Khohmuen kah lungto dongah thicung neh tlang dongah rhohum khaw na dae thai.
10 Mtakula na kushiba, na mtambariki Yahwe Mungu wenu kwa nchi nzuri ambayo amewapa.
Tedae na caak tih na hah vaengah nang taengah khohmuen then neh aka phaeng BOEIPA na Pathen uem uh.
11 Iweni makini kwamba msimsahau Yahwe Mungu wenu, na kwamba msipuuzie maagizo yake, hukumu zake, na sheria zake ambazo ninakuamuru leo,
Namah te ngaithuen, BOEIPA na Pathen te na hnilh ve. Tihnin ah kai loh nang kan uen olpaek, laitloeknah neh a khosing he na ngaithuen pawt ve ne.
12 vinginenyo unapokula na ukashiba, na wakati unajenga nyumba nzuri na kuishi ndani zao.
Na caak tih na hah vaengah, im then na sak tih na om vaengah,
13 Na muwe makini wakati makundi yenu na mifugo yenu ikiongezeka, na wakati wa fedha zenu na dhahabu zenu zikiongezeka, na vyote mlivyonavyo kuongezeka,
na saelhung neh na boiva loh ping tih, cak neh sui loh nang ham pung tih a cungkuem loh nang ham a pungtai vaengah,
14 basi kwamba mioyo yenu iliniuliza juu ya kumsahau Yahwe Mungu wenu-aliyewaleta kutoka nchi ya Misri, toka nyumba ya utumwa.
na thinko loh pomsang uh vetih sal imkhui Egypt kho lamkah nang aka khuen BOEIPA na Pathen te na hnilh ve ne.
15 Usimsahau yeye aliyewaongoza kupitia jangwa kuu na la kutisha, ambako ndani yake kulikuwa na nyoka wa moto na nge, na pitia nchi yenye kiu ambako hapakuwa na maji, ambaye yeye alileta maji toka kwenye mwamba wa jiwe.
Khosoek duppuei neh rhih om minyuk rhul neh saelkhui ta-ai khuiah nang m'mawt tih tui aka om mueh tuihang ah pataeng hmailung lungpang khui lamkah tui te nang hamla hang khuen.
16 Ambaye aliwalisha kwenye jangwa kwa manna ambayo mababu zenu hawakuijua, ili kwamba awajaribu, kufanya uzuri kwenu mwishoni-
Khosoek ah na pa rhoek loh a ming uh mueh manna te nang n'cah tih na hmailong ah khophoengpha sak ham nang m'phaep tih n'noemcai.
17 lakini mnaweza kusema mioyoni mwenu, Nguvu yangu na mkono wangu wa uweza umepata utajiri huu wote.
Te dongah na thinko khuiah, “Khuehtawn he kamah thadueng, kamah ban thaa loh kamah ham a saii,” na ti ve.
18 Lakini mtamkumbuka akilini Yahwe Mungu wenu, kwa kuwa ni yeye awapae ninyi nguvu ya kupata utajiri, ili kwamba aweze kuanzisha agano lake aliloapa kwa baba zenu, kama ilivyo leo.
Tedae tihnin kah bangla na pa rhoek taengah a caeng paipi te cak sak tih khuehtawn dang sak ham nang taengah thadueng aka pae BOEIPA na Pathen amah te poek.
19 Itakuwa kwamba, kama mtamsahau Yahwe Mungu wenu na kuwaendea miungu mingine, kuibudu, na kuiheshimu, nashuhudia kinyume dhidi yenu leo kwamba mtateketea.
BOEIPA na Pathen te na hnilh la na hnilh tih pathen tloe hnukah na caeh atah, amih taengah tho na thueng atah, amih te na bakop thil khohnin van vaengah na milh rhoe na milh ham ni nang taengah ka laipai.
20 Kama mataifa ambayo Yahwe anatengeneza kuyaangamiza mbele yenu, hivyo mtaangamia, kwa sababu hamkusikiliza sauti ya Yahwe Mungu wenu.
Na mikhmuh ah BOEIPA loh namtom rhoek a milh sak bangla BOEIPA na Pathen ol te na ya pawt vetih na milh uh van ve.

< Torati 8 >