< Torati 7 >
1 Wakati Yahwe Mungu wenu atuleta katika nchi ambayo mnaenda kuimiliki na kuwaondoa mataifa mengi mbele zenu- Mhiti, Mgirgashi na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, Mhivi, Myebusi- mataifa saba makubwa na yenye nguvu kuliko wewe.
Cuando el Señor tu Dios los lleve a la tierra donde van, que será tu herencia, y expulsara a las naciones de delante de ti, los hititas y los gergeseos y los amorreos y los cananeos y los ferezeos los heveos y los jebuseos, siete naciones más grandes y más fuertes que tú;
2 Na wakati Yahwe Mungu wenu awapa ninyi ushindi juu yao pindi mnakutana nao katika vita, mtawashambulia, basi mnapaswa kuwateketeza kabisa. Hamtafanya agano nao, wala kuonesha huruma kwao.
Y cuando el Señor te haya entregado en tus manos y los hayas vencido, destrúyelos por completo. No hagas pacto con ellos, y no tengan piedad de ellos.
3 Wala hamtapanga ndoa zozote pamoja nao, hamtawatoa binti zenu kwa vijana wao, na hamtawachukua binti zao kwa vijana wenu.
No tomen esposas o esposos de entre ellos; no darás tus hijas, a sus hijos, ni las tomen para tus hijos.
4 Kwa kuwa watawabadilisha vijana wenu kutonifuata mimi, ili kwamba waweze kuabudu miungu yao. Kwa hiyo hasira ya Yahwe itawashwa dhidi yenu na atawaangamiza haraka.
Porque a través de ellos sus hijos se volverán de mí a la adoración de otros dioses, y el Señor se moverá a la ira contra ti y te enviará la destrucción rápidamente.
5 Hivi ndivyo mtakavyo washughulikia nao; mtavunja madhabahu zao, vunja nguzo zao za mawe katika vipande, kata chini ncha za Asherahi, na kuzichoma sanamu za kutupwa.
Pero esto es lo que deben hacerles: sus altares deben ser derribados y sus pilares destrozados, y sus árboles sagrados y sus imágenes quemadas con fuego.
6 Kwa kuwa wewe ni taifa uliyetengwa kwa Yahwe Mungu wako. Amekuchagua wewe kuwa watu kwa ajili yake kumiliki, zaidi ya watu wengine wote ambao wako katika uso wa dunia.
Porque son un pueblo santo para el Señor tu Dios: marcado por el Señor tu Dios para ser su pueblo especial de todas las naciones en la faz de la tierra.
7 Yahwe hakuweka upendo wake juu yenu au kuwachagua kwa sababu mlikuwa zaidi katika idadi kuliko watu wowote, kwa kuwa mlikuwa wachache kuliko watu wote-
El Señor no les dio su amor ni los tomó para sí mismo porque eran más numeroso que cualquier otra persona; porque ustedes eran el más pequeño de las naciones;
8 Lakini kwa sababu anawapenda ninyi, anataka kushika kiapo alichoapa kwa baba zenu. Huyu ni Yahwe aliyewatoa kwa mkono wa uweza na kuwakomboa kutoka nyumba ya utumwa, kutoka mkono wa Farao, mfalme wa Misri.
Pero debido a su amor por ustedes, y para mantener su juramento a sus padres, el Señor los sacó con la fuerza de su mano, liberándolos de la esclavitud de la mano de Faraón, rey de egipto.
9 Kwa hiyo tambua ya kuwa Yahwe Mungu wako-ni Mungu, Mungu mwaminifu, anayetunza maagano na uaminifu kwa vizazi elfu kwa wale wanaompenda na kuyashika maagizo yake,
Entonces conoce de que el Señor tu Dios es Dios; él Dios fiel, que guarda su pacto y misericordia, a través de mil generaciones para aquellos que lo aman y guardan sus leyes;
10 lakini huwalipa wale wanaomchukia kwa sura zao, kuwaangamiza, hatakuwa na huruma kwa yeyote anayemchukia; atamlipa kwa uso wake.
Recompensando a sus enemigos en su rostro con destrucción; no tendrá piedad de quienes le odian, sino que les dará un castigo.
11 Kwa hiyo utashika maagizo, amri, na sheria ninazokuamuru leo, ili kwamba uzifanye.
Así que guarda las órdenes y las leyes y las decisiones que les doy hoy y hazlas.
12 Kama mtasikiliza maagizo haya, kuyashika na kuyafanya, itakuwa Yahwe Mungu wenu atawashika pamoja na agano na uaminifu ambao aliapa kwa baba zenu.
Y será que si prestas atención a estas decisiones y las guardas y las cumples, entonces el Señor mantendrá su pacto con ustedes y su misericordia, como dijo en su juramento a tus padres.
13 Atawapenda, atawabariki, na kuwazidisha, pia atabariki tunda la miili yenu na tunda la ardhi yenu, nafaka zenu, divai mpya, mafuta yenu, atazidisha mifugo na kundi lako la mifugo michanga, katika nchi ambayo aliapa kwa baba zenu kuwapa.
Y él les dará su amor, bendiciéndolos y multiplicándolos, enviará su bendición sobre su descendencia y el fruto de su tierra, su grano y su vino y su aceite, el aumento de su ganado. y las crías de su rebaño, en la tierra que por su juramento a su padres se comprometió a darles.
14 Mtabarikiwa zaidi kuliko watu wengine wote; hapatakuwa na mwanaume asiyekuwa na mtoto au mwanamke tasa miongoni mwenu au miongoni mwa mifugo.
Tendrán mayores bendiciones que cualquier otro pueblo; ningún hombre o mujer entre ustedes o entre su ganado quedará sin descendencia.
15 Yahwe atawaondolea magonjwa yote; hakuna magonjwa mabaya ya Misri ambayo mnayajua yatawekwa juu yenu, Lakini atayaweka kwa wote wanaowachukia ninyi.
Y el Señor les quitará todas las enfermedades, y no les pondrá ninguna de las enfermedades malignas de Egipto que han visto, sino que las pondrá sobre sus enemigos.
16 Mtayaondoa makundi ya watu wote ambayo Yahwe Mungu wenu awapa ushindi, na jicho lenu halitawaonea huruma. Na hamtaabudu miungu yao, kwa kuwa huo utakuwa mtego kwenu.
Y Deben enviar destrucción sobre todos los pueblos que el Señor su Dios entregue en sus manos; no tengan piedad de ellos, y no le den adoración a sus dioses; porque eso será causa de pecado para ustedes.
17 Kama mtasema kwenye mioyo, Haya mataifa ni mengi zaidi kuliko mimi; nitawezaje kuwafukuza?
Si dicen en sus corazones, estas naciones son más numerosas que nosotros: ¿cómo vamos a quitarles su tierra?
18 Usiwaogope; utakumbuka akilini Yahwe nini Mungu wenu alifanya kwa Farao na Misri yote?
No temas a ellos, pero ten en cuenta lo que el Señor tu Dios hizo a Faraón y a todo Egipto;
19 Mateso makuu ambayo macho yenu yaliona, ishara, maajabu, mkono wa uweza, mkono ulionyoshwa ambao Yahwe Mungu wenu alivyowatoa. Yahwe Mungu wenu atafanya kile kile kwa watu wote ambao mnawaogopa.
Los grandes castigos que sus ojos vieron, y las señales y maravillas, y la mano fuerte y el brazo extendido, mediante el cual el Señor su Dios los sacó: así hará el Señor su Dios a todos los pueblos. Así mismo hará con quienes son la causa de sus temores.
20 Zaidi ya yote, Yahwe Mungu wenu atatuma nyigu miongoni mwao, mpaka wale waliobaki na wale wanaojificha wenyewe mbele yenu waangamizwa mbele ya uwepo wenu.
Y el Señor enviará un avispón entre ellos, hasta que todos los demás que se han mantenido a salvo de ustedes en lugares secretos hayan sido cortados.
21 Hamtatishikeni nao, kwa kuwa Yahwe Mungu wenu yuko miongoni mwenu, Mungu mkuu na wa kuogofya.
No tengas miedo de ellos, porque el Señor su Dios está en medio de ustedes, un gran Dios para ser temido.
22 Yahwe Mungu wenu atayaondoa mataifa mbele zenu kidogo kidogo. Hamtayashinda yote kwa wakati mmoja, au wanyama wa mwitu watakuwa wengi karibu yenu.
El Señor su Dios expulsará las naciones delante de ustedes poco a poco; no deben ser eliminados rápidamente, por temor a que las bestias del campo aumenten demasiado contra ustedes.
23 Lakini Yahwe Mungu wenu atawapa ninyi ushindi dhidi yao wakati mkutanapo vitani; atawachanganya kwa kiasi kikubwa mpaka wameangamizwa.
Pero el Señor su Dios los entregará en sus manos, dominándolos hasta que su destrucción sea completa.
24 Atawaweka wafalme wao chini ya utawala wenu, na mtafanya jina lao kuangamia toka chini ya mbingu. Hakuna atakayeweza kusimama mbele yenu, mpaka muwaangamize.
Él entregará sus reyes a sus manos, y ustedes pondrán sus nombres fuera de la existencia bajo el cielo; no hay ninguno de ellos que no ceda ante ustedes, hasta que su destrucción sea completa.
25 Utazichoma sanamu za kuchonga za miungu yao- usitamani madini ya fedha au dhahabu yanayofunika na kuichukua kwa ajili yenu, kwa sababu mkifanya, mtanaswa nayo-kwa kuwa ni chukizo kwa Yahwe Mungu wenu.
Las imágenes de sus dioses deben ser quemadas con fuego. No tengan ningún deseo por el oro y la plata en ellos, y no lo tomen para ustedes mismos, ya que será un peligro para ustedes: es algo desagradable para el Señor tu Dios.
26 Hamtaleta chukizo lolote ndani ya nyumba zenu na kuanza kuiabudu. Mtachukizwa kabisa na kuchukia kwa kuwa imetengwa kwa ajili ya uharibifu.
Y no pueden llevar una cosa abominable a tu casa, porque como tal serán destruidos junto con ellos, pero manténganse alejados de ella con temor y odio, porque es una cosa maldita.