< Torati 6 >

1 Sasa haya ni maagizo, amri, na sheria ambazo Yahwe Mungu wetu ameniamuru mimi kuwafundisha ninyi, ili kwamba muweze kuzishika katika nchi ambayo mnaenda ng'ambo ya pili ya Yordani kumiliki,
“These are the commandments and rules and regulations that Yahweh our God commanded me to teach to you. He wants you to obey them in the land that you are about to enter and occupy.
2 ili kwamba mpate kumheshimu Yahwe wenu, ili muzishike amri zake zote na maagizo ninayowaamuru-ninyi, wana wenu na wana wa wana wenu, siku zenu zote za maisha, ili kwamba siku zenu ziongezeke.
He wants you to revere him, and he wants you and your descendants to always obey all these rules and regulations that I am giving to you, in order that you may live for a long time.
3 Kwa hiyo wasikilizeni, Israeli, na kuzishika ili kwamba iweze kuwa vizuri kwenu, ili kusudi muweze kuzidi mno kwenye nchi itiririkayo maziwa na asali, kama Yahwe Mungu wa Baba zenu, amewaahidi atafanya.
So, you Israeli people, listen to them carefully and obey them. If you do that, things will go well with you, and you will become a nation with a very large population when you are living in that very fertile [IDM] land. That is what Yahweh, the God whom our ancestors [worshiped], promised [would happen].
4 Sikiliza, Israel: Yahwe Mungu wetu ni mmoja.
“You Israeli people, listen! Only Yahweh is our God.
5 Mtampenda Yahwe Mungu wenu kwa moyo wenu wote, kwa roho zenu zote, na kwa akili zenu zote.
You must love him with all your inner being and with all that you feel and with all that you do.
6 Maneno ninayowaamuru ninyi leo yatakuwa katika moyo wenu;
Never forget [IDM] these commands that I am giving to you today.
7 na mtayafundisha kwa bidii kwa watoto wenu, mtayazungumza wakati mkaapo katika nyumba zenu, wakati mlalapo, na wakati mwinukapo.
Teach them to your children again and again. Talk about them [all the time]: When you are in your houses and when you are walking outside; talk about them when you are lying down and when you are doing things.
8 Utazifunga kama ishara juu ya mkono wako, nayo yatakuwa utepe kati ya macho yako.
[Write them on tiny scrolls and] fasten them to your arms/wrists, and write them on bands that you fasten to your foreheads [to help you to remember them].
9 Utaziandika kwenye miimo ya mlango ya nyumba yako na kwenye malango.
Write them on the doorposts and on the gates of your houses.
10 Wakati Yahwe Mungu wako akuleta kwenye nchi ambayo aliaapa kwa baba zako, Ibrahimu, Isaka, na Yakobo, kwamba angekupa, pamoja na miji mikubwa na mizuri ambayo hamkuijenga,
“Yahweh our God vowed to your ancestors Abraham and Isaac and Jacob that he will give you a land that already has in it large and prosperous cities that you did not build.
11 na nyumba zilizojaa kila aina ya vitu vizuri ambavyo hamkuzifanya, visima ambavyo hamkuvichimba, mashamba na miti ya mizeituni ambayo hamkuipanda, mtakula na kutosheka-
He said that the houses in those cities will already be full of many good things that [others put there]; you did not put them there. There will be wells that others have dug. There will be vineyards and olive trees that others planted. So when Yahweh brings you into that land, and you have all that you want to eat,
12 basi iweni makini ili kwamba msije kumsahau Yahwe, aliyewaleta toka nchi ya Misri, toka nyumba ya utumwa.
be sure that you do not forget Yahweh who rescued you from being slaves [in Egypt and gave all these things to you].
13 Mtamheshimu Yahwe Mungu wenu, yeye mtamwabudu, na mtaapa kwa jina lake.
“You must revere Yahweh our God, and you must serve only him and say that he should [MTY] punish you if you do not do what you have promised.
14 Hamtawaendea miungu mingine, miungu ya watu wanaowazunguka wote-
You must not worship any other gods, the gods that the people-groups who will live near you worship.
15 kwa kuwa Yahwe Mungu wenu katikati yenu ni Mungu wa wivu- kama mtafanya, hasira ya Yahwe Mungu wenu atawasha dhidi yenu na atawaangamiza kutoka kwenye uso wa dunia.
Yahweh our God, who lives among you, (will not accept/will punish) people who worship anyone or anything else. So if you worship any other god, Yahweh will be very angry with you, and he will get rid of you completely.
16 Hamtamjaribu Yahwe Mungu wenu kama mlivyomjaribu huko Massah.
Do not do sinful things to find out if you can do them without Yahweh our God punishing you, like your ancestors did at Massah.
17 Kwa bidii mtayashika maagizo ya Yahwe Mungu wenu, maagizo yake makini, na amri ambazo amewaamuru.
Be sure that you always obey all the laws, the commandments, the rules, and the regulations that he has given to you.
18 Mtafanya kile kilicho sahihi na kizuri katika macho ya Yahwe, kwamba iwe vizuri kwenu, na kwamba muweze kuingia na kumiliki nchi nzuri ambayo Yahwe aliaapa kwa baba zenu,
Do what Yahweh says is right and good. If you do that, things will go well with you. You will be able to enter and occupy the good/fertile land that Yahweh vowed to give to our ancestors.
19 kuwaondoa maadui zenu wote mbele zenu, kama Yahwe alivyosema.
He will do that by expelling your enemies from that land, just like he promised to do.
20 Wakati mwana wako auliza kwa wakati unaokuja, kusema,”Ni zipi amri za gano, sheria, na amri zingine ambazo Yahwe Mungu wetu alituamuru?
“In the future, when your children ask you, ‘Why did Yahweh our God command us to obey all these rules and regulations?’
21 Basi utasema kwa mwana wako, tulikuwa watumwa wa Farao huko Misri, Yahwe alitutoa Misri kwa mkono wa uweza,
tell them, ‘Our ancestors were slaves of the king in Egypt, but Yahweh brought them out of Egypt by his great power [MTY].
22 na alionesha ishara na maajabu, makuu na makali, Misri kwa Farao, na kwa nyumba yake yote, mbele ya macho yenu,
They saw him do many kinds of miracles [DOU] and do terrifying things to the people of Egypt and to the king and his officials.
23 na alitutoa kutoka huko, ili kwamba atulete ndani, kutupa nchi ambayo aliaapa kwa baba zetu.
He rescued our ancestors from Egypt and brought them here to give them this land, just like he vowed that he would do.
24 Yahwe alituamuru daima kuzishika amri hizi, kumuogopa Yahwe Mungu wetu kwa uzuri wetu, ili kwamba atuweke hai, kama tulivyo leo.
And he commanded us to obey all these laws and to revere him, for our own good and in order that he would protect our nation and enable us to prosper, as he is doing now.
25 Kama tutashika maagizo haya yote mbele ya Yahwe Mungu wetu kama alivyotuamuru, hii itakuwa haki yetu.
Yahweh our God will (approve of us/consider us to be righteous) if we carefully obey everything that he has commanded us to do.’”

< Torati 6 >