< Torati 5 >
1 Musa aliwaita Israeli yote na akasema nao, “Sikiliza, Israeli, kwa amri na sheria ambazo nitasema katika masikio yenu leo, muweze kujifunza na kuzishika.
And he summoned Moses all Israel and he said to them hear O Israel the statutes and the judgments which I [am] speaking in ears your this day and you will learn them and you will take care to observe them.
2 Yahwe Mungu wetu alifanya agano nasi huko Horeb.
Yahweh God our he made with us a covenant at Horeb.
3 Yahwe hakufanya agano hili pamoja na mababu zetu, lakini na sisi, sisi wote tu hai hapa leo.
Not with ancestors our he made Yahweh the covenant this for with us we these here this day all of us alive.
4 Yahwe alizungumza nawe uso kwa uso kwenye mlima toka katikati mwa moto
Face - on face he spoke Yahweh with you at the mountain from [the] middle of the fire.
5 (Nilisimama kati ya Yahwe na wewe kwa wakati huo, kukufunulia wewe neno lake, kwa kuwa ulikuwa umeogopa kwa sababu ya moto, na haukwenda juu ya mlima), Yahwe alisema,
I [was] standing between Yahweh and between you at the time that to declare to you [the] word of Yahweh for you were afraid of the fire and not you went up on the mountain saying.
6 'Mimi ni Yahweh Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka nyumba ya utumwa.
I [am] Yahweh God your who I brought out you from [the] land of Egypt (from a house of slaves. *L(p)*)
7 Hautakuwa na miungu mingine mbele yangu.
(Not it will belong to you gods other *L(p)*) on (face my. *L(p)*)
8 Hautajifanyia mwenyewe sanamu ya kuchonga wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini ya dunia, au kilicho chini ya maji.
(Not you must make for yourself an image of - *L(p)*) any (form which [is] in the heavens - above and which [is] on the earth beneath *L(p)*) and which ([is] in the waters - from under to the earth. *L(p)*)
9 Hautavisujudia au kuvitumikia, kwa kuwa Mimi, Yahwe Mungu wako, ni Mungu wa wivu, Nawaadhibu uovu wa mababu kwa kuleta adhabu juu ya watoto, kwa kizazi cha tatu na cha nne cha wale wanichukiao,
Not (you must bow down to them *L(p)*) and not (you must be enticed to serve them *L(p)*) for I Yahweh God your [am] a God jealous [who] visits [the] iniquity of parents on children and on a third generation and on a fourth generation (of [those who] hate me. *L(p)*)
10 na kuonesha agano la uaminifu kwa maelfu, kwa wale wanaonipenda na kushika amri zangu.
(And [who] does covenant loyalty *L(p)*) (to thousands *L(b+p)*) of [those who] love me and of [those who] keep (commandments my. *Q(K)*)
11 Hautalichukua jina la Yahwe Mungu wako bure, kwa kuwa Yahwe hatamshikilia kuwa ana hatia yeye alichukuae jina bure.
Not you must take [the] name of Yahweh God your for emptiness for not he will leave unpunished Yahweh [one] who he will take name his for emptiness.
12 Zingantia siku ya Sabato kwa kuiweka takatifu, kama Yahwe Mungu wako alivyokuamuru.
(Keep *L(p)*) ([the] day of the sabbath to set apart as holy it *L(p)*) just as (he commanded you - Yahweh God your. *L(p)*)
13 Kwa siku sita utafanya kazi na fanya kazi zako zote,
(Six days *L(p)*) (you will labor *L(b+p)*) (and you will do all work your. *L(p)*)
14 lakini siku ya saba ni Sabato kwa Yahwe Mungu wako. Kwa siku hiyo hautafanya kazi yoyote- si wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mjakazi wako wa kiume, wala maksai wako, wala punda wako, wala mifugo wako, wala mgeni yeyote aliye katika malango yako. Hii ni kwamba mjakazi wako wa kiume na mjakazi wako wa kike wapate kumpuzika pamoja na wewe.
And [the] day (seventh [is] a sabbath - *L(p)*) (to Yahweh *L(b+p)*) (God your *L(p)*) not you must do any work you and son your and daughter your and [male] servant your and female servant your and ox your and donkey your and all livestock your and sojourner your who [is] in gates your so that he may rest [male] servant your and female servant your (like you. *L(p)*)
15 Utakumbuka katika akili yako kwamba ulikuo mtumwa katika nchi ya Misri, na Yahwe Mungu wako alikutoa kutoka huko kwa mkono wa uweza na mkono ulionyoshwa. Kwa hiyo Yahwe Mungu wako amekuamuru kuitunza siku ya Sabato.
(And you will remember *L(p)*) that (a slave you were - *L(p)*) in [the] land of (Egypt and he brought out you Yahweh God your from there by a hand strong *L(p)*) and by an arm (outstretched *L(p)*) there-fore he has commanded you Yahweh God your to observe [the] day of the sabbath.
16 Mheshimu baba yako na mama yako, kama Yahwe Mungu wako alivyokuamuru kufanya, ili kwamba uweze kuishi muda mrefu katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako akupa, ili kwamba iende kwa uzuri kwako.
Honor father your and mother your just as he has commanded you Yahweh God your so that - they may be long! days your and so that it may go well for you on the land which Yahweh God your [is] about to give to you.
(Not you must murder. *L(p)*)
(And not you must commit adultery. *L(p)*)
(And not you must steal. *L(p)*)
20 hautashuhudia uongo dhidi ya ndugu yako.
And not you must testify against neighbor your testimony of falsehood.
21 Hautamtamani mke wa jirani yako, hautatamani nyumba ya jirani yako, shamba lake, au mjakazi wake wa kiume, au mjakazi wake wa kike, maksai au punda wako, au chochote ambacho ni mali ya jirani yako.
And not you must covet [the] wife of neighbor your. And not you must desire [the] house of neighbor your field his and [male] servant his and female servant his ox his and donkey his and all that [belongs] to neighbor your.
22 Haya maneno Yahwe alisema kwa sauti kubwa kwa kusanyiko lako lote kwenye mlima toka katikati mwa moto, mawingu, giza zito, hakuongeza maneno yoyote zaidi. Na aliandika chini kwenye mbao mbili za mawe na akanipa mimi.
The words these he spoke Yahweh to all assembly your at the mountain from [the] middle of the fire the cloud and the thick darkness a voice great and not he added and he inscribed them on two tablets of stone and he gave them to me.
23 Ilipokaribia, pindi uliposikia sauti toka katikati mwa giza, wakati mlima unawaka moto, kuwa mlikuja karibu nami, wazee wako wote, na wakuu wa makibila yako.
And it was when heard you the voice from [the] middle of the darkness and the mountain [was] burning with fire and you drew near! to me all [the] chiefs of tribes your and elders your.
24 Ulisema, Tazama, Yahwe Mungu wetu ametuonesha utukufu wake na ukuu wake, na tumeisikia sauti yake toka katikati mwa moto, tumeona leo kwamba wakati Mungu azungumza na watu, wanaweza kuishi.
And you said here! he has shown us Yahweh God our glory his and greatness his and voice his we have heard from [the] middle of the fire the day this we have seen that he speaks God with humankind and he will live.
25 Lakini kwanini tufe? Kwa kuwa mto huu mkuu utatutoshereza sisi; kama tutasikia sauti ya Yahwe Mungu wetu tena, tutakufa.
And therefore why? will we die for it will consume us the fire great this if [are] repeating - we to hear [the] voice of Yahweh God our again and we will die.
26 Kwa kuwa badala yetu kuna miongoni mwetu wa mwili ambao wamesikia sauti ya Mungu aliye hai akizungumza toka katikati mwa moto na kuishi, kama tulivyofanya?
For who? [is] all flesh who he has heard [the] voice of God living speaking from [the] middle of the fire like us and he has lived.
27 Kwenu ninyi, mnapaswa kwenda na kusikiliza kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema; rudia kwetu kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema kwenu; tutamsikiliza na kumtii.'
Draw near you and hear all that he will say Yahweh God our and you - you will speak to us all that he will speak Yahweh God our to you and we will listen and we will do [it].
28 Yahweh alisikia maneno yenu pindi mlipozungumza nami. Alisema na mimi, “Nimekwisha sikia maneno ya watu hawa, kile wanasema kwako. Kile walichosema kilikuwa kizuri.
And he heard Yahweh [the] sound of words your when spoke you to me and he said Yahweh to me I have heard [the] sound of [the] words of the people this which they spoke to you they have done well all that they have spoken.
29 Oh, kulikuwa na moyo wa namba hiyo ndani yao, kwamba wataniheshimu na daima kushika amri zangu zote, ili iweze kuwa vizuri kwao na pamoja na watoto wao milele!
Who? will he give and it will belong heart their this to them to fear me and to keep all commandments my all the days so that it may go well for them and for children their for ever.
30 Nenda useme nao, “Rudini kwenye mahema.”
Go say to them return yourselves to tents your.
31 Lakini kwenu, simama karibu nami, na nitakuambia amri zote, sheria, na maagizo ambayo mtawafundisha, ili kwamba waweze kuyashika katika nchi ambayo nitawapa kumiliki.'
And you here stand with me so let me speak to you all the commandment and the statutes and the judgments which you will teach them and they will observe [them] in the land which I [am] about to give to them to take possession of it.
32 Utashika, kwa hiyo, kile Yahwe Mungu wenu amewaamuru; hamtageukia mkono wa kulia au kushoto.
And you will take care to do just as he has commanded Yahweh God your you not you must turn aside right [hand] and left [hand].
33 Mtatembea katika njia zote ambazo Yahwe Mungu wenu, amewaamuru ili kusudi muweze kuishi, na ili kwamba iweze kwenda vizuri kwenu, na kwamba muweze kuongeza siku zenu katika nchi ambayo mtaimiliki.
In all the way which he has commanded Yahweh God your you you will walk so that you may live! and it will be good for you and you will prolong days in the land which you will take possession of!