< Torati 5 >

1 Musa aliwaita Israeli yote na akasema nao, “Sikiliza, Israeli, kwa amri na sheria ambazo nitasema katika masikio yenu leo, muweze kujifunza na kuzishika.
Moses [Drawn out] called to all Israel [God prevails], and said to them, “Sh'ma ·Hear obey·, Israel [God prevails], the statutes and the judgments which I speak in your ears today, that you may learn them, and observe to do them.”
2 Yahwe Mungu wetu alifanya agano nasi huko Horeb.
Yahweh Eloheikhem [Yahweh our God] made a covenant with us in Horeb [Desert].
3 Yahwe hakufanya agano hili pamoja na mababu zetu, lakini na sisi, sisi wote tu hai hapa leo.
Adonai didn’t make this covenant with our fathers, but with us, even us, who are all of us here alive today.
4 Yahwe alizungumza nawe uso kwa uso kwenye mlima toka katikati mwa moto
Adonai spoke with you face to face on the mountain out of the middle of the fire,
5 (Nilisimama kati ya Yahwe na wewe kwa wakati huo, kukufunulia wewe neno lake, kwa kuwa ulikuwa umeogopa kwa sababu ya moto, na haukwenda juu ya mlima), Yahwe alisema,
(I stood between Adonai and you at that time, to show you Adonai’s word; for you were afraid because of the fire, and didn’t go up onto the mountain) saying,
6 'Mimi ni Yahweh Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka nyumba ya utumwa.
“I am Adonai your God, who brought you out of the land of Egypt [Abode of slavery], out of the house of bondage.
7 Hautakuwa na miungu mingine mbele yangu.
“You shall have no other deities before me.
8 Hautajifanyia mwenyewe sanamu ya kuchonga wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini ya dunia, au kilicho chini ya maji.
“You shall not make an engraved image for yourself, any likeness of what is in heaven above, or what is in the earth beneath, or that is in the water under the earth.
9 Hautavisujudia au kuvitumikia, kwa kuwa Mimi, Yahwe Mungu wako, ni Mungu wa wivu, Nawaadhibu uovu wa mababu kwa kuleta adhabu juu ya watoto, kwa kizazi cha tatu na cha nne cha wale wanichukiao,
You shall not hawa ·bow low, prostrate· yourself down to them, nor abad ·serve· them; for I, Adonai, your God, am a jealous God, visiting the iniquity of the fathers on the children, and on the third and on the fourth generation of those who hate me;
10 na kuonesha agano la uaminifu kwa maelfu, kwa wale wanaonipenda na kushika amri zangu.
and showing cheshed ·loving-kindness· to thousands of those who 'ahav ·affectionately love· me and keep my mitzvot ·instructions·.
11 Hautalichukua jina la Yahwe Mungu wako bure, kwa kuwa Yahwe hatamshikilia kuwa ana hatia yeye alichukuae jina bure.
“You shall not take the name of Adonai your God in vain: for Adonai will not hold him guiltless who takes his name in vain.
12 Zingantia siku ya Sabato kwa kuiweka takatifu, kama Yahwe Mungu wako alivyokuamuru.
“Observe the Sabbath day, to keep it holy, as Adonai your God enjoined you.
13 Kwa siku sita utafanya kazi na fanya kazi zako zote,
You shall labor six days, and do all your work;
14 lakini siku ya saba ni Sabato kwa Yahwe Mungu wako. Kwa siku hiyo hautafanya kazi yoyote- si wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mjakazi wako wa kiume, wala maksai wako, wala punda wako, wala mifugo wako, wala mgeni yeyote aliye katika malango yako. Hii ni kwamba mjakazi wako wa kiume na mjakazi wako wa kike wapate kumpuzika pamoja na wewe.
but the seventh day is a Sabbath ·To cease· to Adonai your God, in which you shall not do any work, you, nor your son, nor your daughter, nor your male servant, nor your female servant, nor your ox, nor your donkey, nor any of your livestock, nor your stranger who is within your gates; that your male servant and your female servant may rest as well as you.
15 Utakumbuka katika akili yako kwamba ulikuo mtumwa katika nchi ya Misri, na Yahwe Mungu wako alikutoa kutoka huko kwa mkono wa uweza na mkono ulionyoshwa. Kwa hiyo Yahwe Mungu wako amekuamuru kuitunza siku ya Sabato.
You shall remember that you were a servant in the land of Egypt [Abode of slavery], and Adonai your God brought you out of there by a mighty hand and by an outstretched arm. Therefore Adonai your God enjoined you to keep the Sabbath day.
16 Mheshimu baba yako na mama yako, kama Yahwe Mungu wako alivyokuamuru kufanya, ili kwamba uweze kuishi muda mrefu katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako akupa, ili kwamba iende kwa uzuri kwako.
“Honor your father and your mother, as Adonai your God enjoined you; that your days may be long, and that it may go well with you, in the land which Adonai your God gives you.
17 Hautaua,
“You shall not murder.
18 hautazini,
“You shall not commit adultery.
19 hautaiba,
“You shall not steal.
20 hautashuhudia uongo dhidi ya ndugu yako.
“You shall not give false witness against your neighbor.
21 Hautamtamani mke wa jirani yako, hautatamani nyumba ya jirani yako, shamba lake, au mjakazi wake wa kiume, au mjakazi wake wa kike, maksai au punda wako, au chochote ambacho ni mali ya jirani yako.
“You shall not covet your neighbor’s wife. Neither shall you desire your neighbor’s house, his field, or his male servant, or his female servant, his ox, or his donkey, or anything that is your wrote neighbor’s.”
22 Haya maneno Yahwe alisema kwa sauti kubwa kwa kusanyiko lako lote kwenye mlima toka katikati mwa moto, mawingu, giza zito, hakuongeza maneno yoyote zaidi. Na aliandika chini kwenye mbao mbili za mawe na akanipa mimi.
Adonai spoke these words to all your assembly on the mountain out of the middle of the fire, of the cloud, and of the thick darkness, with a great voice. He added no more. He them on two stone tablets, and gave them to me.
23 Ilipokaribia, pindi uliposikia sauti toka katikati mwa giza, wakati mlima unawaka moto, kuwa mlikuja karibu nami, wazee wako wote, na wakuu wa makibila yako.
When you sh'ma ·heard obeyed· the voice out of the middle of the darkness, while the mountain was burning with fire, you came near to me, even all the heads of your tribes, and your elders;
24 Ulisema, Tazama, Yahwe Mungu wetu ametuonesha utukufu wake na ukuu wake, na tumeisikia sauti yake toka katikati mwa moto, tumeona leo kwamba wakati Mungu azungumza na watu, wanaweza kuishi.
and you said, “Behold, Yahweh Eloheikhem [Yahweh our God] has shown us his kavod ·weighty glory· and his greatness, and we have sh'ma ·heard obeyed· his voice out of the middle of the fire. We have seen today that God does speak with man, and he lives.
25 Lakini kwanini tufe? Kwa kuwa mto huu mkuu utatutoshereza sisi; kama tutasikia sauti ya Yahwe Mungu wetu tena, tutakufa.
Now therefore why should we die? For this great fire will consume us. If we sh'ma ·hear obey· Yahweh Eloheikhem [Yahweh our God]’s voice any more, then we shall die.
26 Kwa kuwa badala yetu kuna miongoni mwetu wa mwili ambao wamesikia sauti ya Mungu aliye hai akizungumza toka katikati mwa moto na kuishi, kama tulivyofanya?
For who is there of all flesh, that has sh'ma ·heard obeyed· the voice of the Elohim Chayim [Living God] speaking out of the middle of the fire, as we have, and lived?
27 Kwenu ninyi, mnapaswa kwenda na kusikiliza kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema; rudia kwetu kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema kwenu; tutamsikiliza na kumtii.'
Go near, and sh'ma ·hear obey· all that Yahweh Eloheikhem [Yahweh our God] shall say, and tell us all that Yahweh Eloheikhem [Yahweh our God] tells you; and we will sh'ma ·hear obey· it, and do it.”
28 Yahweh alisikia maneno yenu pindi mlipozungumza nami. Alisema na mimi, “Nimekwisha sikia maneno ya watu hawa, kile wanasema kwako. Kile walichosema kilikuwa kizuri.
Adonai sh'ma ·heard obeyed· the voice of your words, when you spoke to me; and Adonai said to me, “I have sh'ma ·heard obeyed· the voice of the words of this people, which they have spoken to you. They have well said all that they have spoken.
29 Oh, kulikuwa na moyo wa namba hiyo ndani yao, kwamba wataniheshimu na daima kushika amri zangu zote, ili iweze kuwa vizuri kwao na pamoja na watoto wao milele!
Oh that there were such a heart in them, that they would fear me, and keep all my mitzvot ·instructions· always, that it might be well with them, and with their children forever!
30 Nenda useme nao, “Rudini kwenye mahema.”
“Go tell them, ‘Teshuvah ·Completely return· to your tents.’
31 Lakini kwenu, simama karibu nami, na nitakuambia amri zote, sheria, na maagizo ambayo mtawafundisha, ili kwamba waweze kuyashika katika nchi ambayo nitawapa kumiliki.'
But as for you, stand here by me, and I will tell you all the mitzvot ·instructions·, and the statutes, and the judgments, which you shall teach them, that they may do them in the land which I give them to possess it.”
32 Utashika, kwa hiyo, kile Yahwe Mungu wenu amewaamuru; hamtageukia mkono wa kulia au kushoto.
You shall observe to do therefore as Adonai your God has enjoined you. You shall not turn aside to the right hand or to the left.
33 Mtatembea katika njia zote ambazo Yahwe Mungu wenu, amewaamuru ili kusudi muweze kuishi, na ili kwamba iweze kwenda vizuri kwenu, na kwamba muweze kuongeza siku zenu katika nchi ambayo mtaimiliki.
You shall walk in all the way which Adonai your God has enjoined you, that you may live, and that it may be well with you, and that you may prolong your days in the land which you shall possess.

< Torati 5 >