< Torati 3 >

1 Kisha tuligeuka na kwenda njia ya juu Bashani. Ogi, mfalme wa Bashani, alikuja na kutuvamia, yeye na watu wake wote, kupigana huko Edrei.
Then we turned, and went up the way to Bashan. And Og the king of Bashan came out against us, he and all his people, to battle at Edrei.
2 Yahwe aliniambia mimi, “Usimuogope; kwa kuwa nimekupa ushindi dhidi yake na nimewaweka watu wake wote na nchi yake chini ya utawala wako. Utamfanya kama ulivyomfanya Sihoni, mfalme wa Amorites, aliyeishi Heshbon.
And Jehovah said to me, Fear him not, for I have delivered him, and all his people, and his land, into thy hand. And thou shall do to him as thou did to Sihon king of the Amorites, who dwelt at Heshbon.
3 Kwa hiyo Yahwe Mungu wetu pia alitupa ushindi dhidi ya Ogi mfalme wa Bashani, na watu wake wote waliwekwa chini ya utawala wetu. Na tulimpiga mpaka kufa na hakuna yoyote wa watu wake walibaki.
So Jehovah our God delivered into our hand Og also, the king of Bashan, and all his people, and we smote him until none was left to him remaining.
4 Tulichukua miji yake yote kwa wakati huo; hapakuwa na mji hata mmoja ambao hatukuchukua kutoka kwao: miji sitini - mikoa ya Argobi yote, ufalme wa Ogi Bashani.
And we took all his cities at that time. There was not a city which we did not take from them, sixty cities, all the region of Argob, the kingdom of Og in Bashan.
5 Hii ilikuwa miji iliyoimarishwa na kuta ndevu, malango, na vizuizi, hii ilikuwa licha ya vijiji vingi sana vilivyokuwa havina kuta.
All these were cities fortified with high walls, gates, and bars; besides the un-walled towns a great many.
6 Tuliviangamiza kabisa, kama tulivyofanya kwa Sihoni mfalme wa Heshbon, kabisa tuliangamiza kila mji- wanaume na wanawake na watoto wadogo.
And we utterly destroyed them, as we did to Sihon king of Heshbon, utterly destroying every inhabited city, with the women and the little ones.
7 Lakini ng'ombe wote na mateka ya miji, tilichukua kama mateka wetu.
But all the cattle, and the spoil of the cities, we took for a prey to ourselves.
8 Kwa wakati huo tulichukua nchi kutoka kwenye mkono wa wafalme wawili wa Amorites, waliokuwa ng'ambo ya pili ya Yordani, kutoka kwenye bonde la Arnon kwenda mlima wa Hermoni,
And we took the land at that time out of the hand of the two kings of the Amorites who were beyond the Jordan, from the valley of the Arnon to mount Hermon
9 (Mlima wa Hermoni, Wasidonia huita Sirioni, na Wamorites huita Seniri)
(the Sidonians call Hermon, Sirion, and the Amorites call it Senir),
10 na miji yote ya tambarare, yote Gileadi, na yote Bashani kupita njia yote ya Salekah na Edrei, miji ya ufalme wa Ogi huko Bashani”.
all the cities of the plain, and all Gilead, and all Bashan, to Salecah and Edrei, cities of the kingdom of Og in Bashan.
11 (Kwa mabaki ya Refaimu, mfalme Ogi pekee wa Bashani alikuwa amebaki. Tazama! Kitanda chake kilikuwa cha chuma. Hakuna huko Rabbah, ambako wazao wa Ammoni waliishi? Ilikuwa dhiraa tisa urefu na dhiraa nne upana, hiyo njia walitumia watu kupima.)
(For only Og king of Bashan remained of the remnant of the Rephaim. Behold, his bedstead was a bedstead of iron. Is it not in Rabbah of the sons of Ammon? Nine cubits was the length of it, and four cubits the breadth of it, after the cubit of a man.)
12 “Hili eneo ambalo tulichukua kumiliki kwa wakati huo-kutoka Aroer, kwamba ni kwa bonde la Arnon, na nusu ya nchi ya mlima wa Gileadi, na miji yake-Nilimpa Reubenites na kwa Gadites.
And we took this land in possession at that time. From Aroer, which is by the valley of the Arnon, and half the hill-country of Gilead, and the cities of it, I gave to the Reubenites and to the Gadites.
13 Waliobaki wa Gileadi na Bashani yote, ufalme wa Ogi, Niliwapa nusu kabila la Manasseh: kwa wote wa Argob, na Bashani yote. (Eneo hilo linaitwa nchi ya Refaim)
And the rest of Gilead, and all Bashan, the kingdom of Og, I gave to the half-tribe of Manasseh, all the region of Argob, even all Bashan. The same is called the land of Rephaim.
14 Jair, mzao wa Manasseh, alichukuwa mkoa wote wa Argob, kuelekea mpaka wa Geshunites na wa Maacathites. Aliita mkoa hata Bashani kwa jina lake, Havvothi Jair, hadi leo.)
(Jair the son of Manasseh took all the region of Argob, to the border of the Geshurites and the Maacathites, and called them, even Bashan, after his own name, Havvoth-jair, to this day.)
15 Nilimpa Gileadi kwa Machir.
And I gave Gilead to Machir.
16 Kwa Reubenites na kwa Gadites nilitoa eneo kutoka kwa Gileadi kuelekea bonde la Arnon- katikati mwa bonde ni mpaka wa eneo- na kuelekea mto wa Jabbok, ambao umepakana ni wazao wa Ammoni.
And I gave to the Reubenites and to the Gadites from Gilead even to the valley of the Arnon, the middle of the valley, and the border of it, even to the river Jabbok, which is the border of the sons of Ammon,
17 Moja ya mipaka mingine pia ni tambarare ya bonde la mto wa Yordani, kutoka Chinnerethi kuelekea bahari ya Arabah(ambayo ni bahari ya Chumvi) kuelekea miteremko wa mlima wa Pisgah mashariki.
also the Arabah, and the Jordan and the border of it, from Chinnereth even to the sea of the Arabah, the Salt Sea, under the slopes of Pisgah eastward.
18 Nilikuamuru wewe kwa wakati huo, kusema, Yahwe Mungu wako amekupa nchi hii kuimiliki, wewe, wamaume wote wa vita, watapita wakiwa na silaha mbele ya ndugu zako, watu wa Israeli.
And I commanded you at that time, saying, Jehovah your God has given you this land to possess it. Ye shall pass over armed before your brothers the sons of Israel, all the men of valor.
19 Lakini wake zenu, watoto wenu, na ng'ombe zenu (najua ya kuwa una ng'ombe wengi) watabaki katika miji yenu niliyowapa,
But your wives, and your little ones, and your cattle, (I know that ye have much cattle, ) shall abide in your cities which I have given you
20 mpaka Yahwe awape pumziko ndugu zenu, kama alivyo kwenu, mpaka wamiliki pia nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa ng'ambo ya pili Yordani, kisha mtageuka, kila mtu wenu, kwa mali zenu ambazo nimekwishawapa.
until Jehovah gives rest to your brothers, as to you, and they also possess the land which Jehovah your God gives them beyond the Jordan, then ye shall return every man to his possession, which I have given you.
21 Nilimwamuru Yoshua kwa wakati huo, kusema, 'Macho yenu yameona yote yale Yahwe Mungu wenu amefanya kwa hawa wafalme wawili; Yahwe atafanya hivyo kwa falme zote kote mtakakoenda.
And I commanded Joshua at that time, saying, Thine eyes have seen all that Jehovah your God has done to these two kings. So shall Jehovah do to all the kingdoms where thou go over.
22 Hamtawaogopa, kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ndiye atakaoawapigania.'
Ye shall not fear them, for Jehovah your God, he it is who fights for you.
23 Nilimsihi Yahwe kwa wakati huo, kusema,
And I besought Jehovah at that time, saying,
24 'O Bwana Yahwe, umeanza kumuonesha mtumwa wako ukuu wako na mkono wako wa hodari; kwa kuwa nani mungu aliyeko huko mbinguni au duniani ambaye anaweza kufanya kazi zilezile kama ilivyofanya, na matendo yaleyale makuu?
O lord Jehovah, thou have begun to show thy servant thy greatness, and thy strong hand, for what god is there in heaven or in earth, that can do according to thy works, and according to thy mighty acts?
25 Hebu niende juu, Ninakuoma, na nione nchi nzuri ambayo ng'ambo ya pili ya Yordani, ile nchi nzuri ya mlima, na pia Lebanoni.
Let me go over, I pray thee, and see the good land that is beyond the Jordan, that goodly mountain, and Lebanon.
26 Lakini Yahwe alikuwa amenikasirikia mimi kwa sababu yenu, hakunisikiliza mimi. Yahwe alisema kwangu, “Hebu hii iwe ya kutosha kwako - usizungumze zaidi tena kwangu kuhusu jambo hili.
But Jehovah was angry with me because of you, and did not hearken to me. And Jehovah said to me, It shall be enough for thee. Speak no more to me of this matter.
27 nenda juu ya kilele cha Pisgah na uinue macho yako magharibi, mashariki, kusini na mashariki; tazama kwa macho yako kwa kuwa hautaenda zaidi ya Yordani.
Get thee up to the top of Pisgah, and lift up thine eyes westward, and northward, and southward, and eastward, and behold with thine eyes, for thou shall not go over this Jordan.
28 Badala yake, mwelekeze Yoshua na kumtia moyo na kumuimarisha, kwa kuwa ataenda zaidi mbele ya watu, na atawasababisha kuirithi nchi ambayo mtaiona.
But charge Joshua, and encourage him, and strengthen him, for he shall go over before this people, and he shall cause them to inherit the land which thou shall see.
29 Kwa hiyo tulibaki katika bonde mkabala mwa Beth Peor.
So we abode in the valley opposite Beth-peor.

< Torati 3 >