< Torati 27 >

1 Musa na wazee wa Israeli waliwaamuru watu na kusema, “Zishikeni amri zote ninazowaamuru leo.
Et Moïse et les anciens d’Israël commandèrent au peuple, disant: Gardez tout le commandement que je vous commande aujourd’hui;
2 Katika siku mtakapopita juu ya Yordani kwenye nchi ambayo Yahwe Mungu wako anawapatia, mnapaswa kutengeneza mawe kiasi makubwa na kuyachapa kwa lipu.
et il arrivera que le jour où vous passerez le Jourdain, [pour entrer] dans le pays que l’Éternel, ton Dieu, te donne, tu te dresseras de grandes pierres, et tu les enduiras de chaux;
3 Mnatakiwa kuyaandika juu yake maneno yote ya sheria hii pale mtakapovuka; ili muweze kwenda katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anawapatia, nchi inayotiririka kwa maziwa na asali, kama Yahwe, Mungu wa mababu zenu, alivyowaahidi.
et tu écriras sur elles toutes les paroles de cette loi, quand tu auras passé, pour entrer dans le pays que l’Éternel, ton Dieu, te donne, pays ruisselant de lait et de miel, comme l’Éternel, le Dieu de tes pères, t’a dit.
4 Mtakapovuka juu ya Yordani, yapangane haya mawe ninayowaamuru leo, juu ya mlima wa Ebali, na myapige kwa lipu.
Et il arrivera, quand vous passerez le Jourdain, que vous dresserez ces pierres sur la montagne d’Ébal, [selon ce] que je vous commande aujourd’hui, et tu les enduiras de chaux.
5 Hapo mnapaswa kujenga dhabahu kwa Yahwe Mungu wako, dhabahu la mawe; lakini hautakiwi kuinua chombo cha chuma kujenga mawe.
Et tu bâtiras là un autel à l’Éternel, ton Dieu, un autel de pierres, sur lesquelles tu ne lèveras pas le fer:
6 Unatakiwa kujenga dhabahu ya Yahwe Mungu wako kwa mawe yasiyokuwa na kazi; unatakiwa kutoa dhabihu ya kuteketeza juu yake kwa Yahwe Mungu wako,
tu bâtiras l’autel de l’Éternel, ton Dieu, de pierres entières; et tu offriras dessus des holocaustes à l’Éternel, ton Dieu.
7 na utatoa sadaka ya pamoja na utakula pale; utafurahia mbele ya Yahwe Mungu wako.
Et tu y sacrifieras des sacrifices de prospérités, et tu mangeras là, et te réjouiras devant l’Éternel, ton Dieu.
8 Utaandika juu ya mawe maneno yote ya sheria hii kwa wazi.
Et tu écriras sur ces pierres toutes les paroles de cette loi, en les gravant bien nettement.
9 Musa na makuhani, Walawi, waliongea na Waisraeli wote na kusema, “Nyamazeni na sikilizeni Israel: Leo mmekuwa watu wa Yahwe Mungu wenu.
Et Moïse et les sacrificateurs, les Lévites, parlèrent à tout Israël, disant: Fais silence et écoute, Israël: Aujourd’hui tu es devenu le peuple de l’Éternel, ton Dieu.
10 Mnapaswa basi kutii sauti ya Yahwe Mungu wenu na kutii amri na sheria zake ambazo ninawaamuru leo.”
Et tu écouteras la voix de l’Éternel, ton Dieu, et tu pratiqueras ses commandements et ses statuts, que je te commande aujourd’hui.
11 Musa aliwaamuru watu siku hiyo hiyo na kusema,
Et Moïse commanda au peuple ce jour-là, disant:
12 “Makabila haya yanapaswa kusimama katika mlima Gerizimu kuwabariki watu baada ya nyinyi kuvuka Yordani; Simeoni, Lawi, Judah, Isakari, Yusufu na Benyamini.
Quand vous aurez passé le Jourdain, ceux-ci se tiendront sur la montagne de Garizim pour bénir le peuple: Siméon, et Lévi, et Juda, et Issacar, et Joseph, et Benjamin;
13 Haya ni makabila ambayo lazima yasimame juu yam lima Ebali kutamka laana: Rubeni, Gadi, Asheri, Zabuloni, Dan na Naftali.
et ceux-ci se tiendront sur la montagne d’Ébal, pour maudire: Ruben, Gad, et Aser, et Zabulon, Dan, et Nephthali.
14 Walawi watajibu na kusema kwa wanamume wote wa Israeli kwa sauti kubwa:
Et les Lévites prendront la parole, et diront à haute voix à tous les hommes d’Israël:
15 “Alaaniwe mwanamume atakayechonga sanamu au kinyago, chukizo kwa Yahwe, kazi ya mikono ya fundi, ambayo ataifanya sirini”. Kisha watu wote wanapaswa kujibu na kusema, ‘Amina’.
Maudit l’homme qui fait une image taillée, ou une image de fonte (une abomination de l’Éternel, œuvre des mains d’un artisan), et qui la place dans un lieu secret! Et tout le peuple répondra, et dira: Amen!
16 Alaaniwe mwanamume atakayemuaibisha baba yake au mama yake. Kisha watu wote waseme, 'Amina'.
Maudit qui méprise son père et sa mère! Et tout le peuple dira: Amen!
17 Alaaniwe mwanamume anayetoa alama ya ardhi.' Kisha watu wote na waseme, 'Amina'.
Maudit qui recule les bornes de son prochain! Et tout le peuple dira: Amen!
18 Alaaniwe mwanamume asababishae kipofu kutoka nje ya barabara. Kisha watu wote waseme, ‘Amina’.
Maudit qui fait égarer l’aveugle dans le chemin! Et tout le peuple dira: Amen!
19 Alaaniwe mwanamume atumiaye nguvu kupokonya haki inayomstahili mgeni, yatima, au mjane. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
Maudit qui fait fléchir le jugement de l’étranger, de l’orphelin, et de la veuve! Et tout le peuple dira: Amen!
20 Alaaniwe mwanamume atakayelala na mke wa baba yake, kwa sababu atakuwa amechukua haki za baba yake’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
Maudit qui couche avec la femme de son père, car il relève le pan du vêtement de son père! Et tout le peuple dira: Amen!
21 Alaaniwe mwanamume atakayelala na aina yoyote ya mnyama’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
Maudit qui couche avec une bête quelconque! Et tout le peuple dira: Amen!
22 Alaaniwe mwanamume atakayelala na dada yake, binti wa baba yake, au binti wa mama yake. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
Maudit qui couche avec sa sœur, fille de son père, ou fille de sa mère! Et tout le peuple dira: Amen!
23 Alaaniwe mwanamume atakayelala na mama mkwe’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
Maudit qui couche avec sa belle-mère! Et tout le peuple dira: Amen!
24 Alaaniwe mwanamume atakayemuua jirani yake kwa siri’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
Maudit qui frappe son prochain en secret! Et tout le peuple dira: Amen!
25 Alaaniwe mwanamume apokeaye rushwa kumuua mtu asiye na hatia’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
Maudit qui prend un présent pour frapper à mort un homme, [en versant] le sang innocent! Et tout le peuple dira: Amen!
26 Alaaniwe mwanamume asiyethibitisha maneno ya sheria hii, ili kwamba ayatii.’ Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
Maudit qui n’accomplit pas les paroles de cette loi, en les pratiquant! Et tout le peuple dira: Amen!

< Torati 27 >