< Torati 25 >
1 Iwapo kutakuwa na malumbano kati ya wanaume na wakaenda mahakamani, na waamuzi wakawahukumu, basi watamwachilia mtakatifu na kumhukumu muovu.
Naar der opstaar Strid mellem Mænd, og de møder for Retten, skal man dømme dem imellem; den, der har Ret, skal frikendes, den skyldige dømmes.
2 Iwapo mwanamume mwenye hatia anastahili kupigwa, basi muamuzi atamfanya alale chini na kupigwa mbele zake kwa idadi iliyoamriwa kulingana na kosa lake.
Og dersom den skyldige idømmes Prygl, skal Dommeren lade ham lægge sig paa Jorden og i sit Paasyn lade ham faa det Antal Slag, der svarer til hans Forseelse.
3 Muamuzi anaweza kumpatia mapigo arobaini, lakini hapaswi kuvuka idadi hiyo; kwa maana akivuka idadi hiyo na kumpiga kwa mapigo mengi zaidi, basi Muisraeli mwenzako atakuwa kaaibishwa mbele ya macho yenu.
Fyrretyve Slag maa han lade ham faa, men heller ikke flere, for at din Broder ikke skal vanæres for dine Øjne, naar han faar endnu flere Slag.
4 Haupaswi kumfunga punda wako pua na mdomo anapokuwa akilima shamba lako.
Du maa ikke binde Munden til paa en Okse, naar den tærsker.
5 Iwapo kaka wanaishi pamoja na mmoja wao akafariki bila kuwa na mwana, basi mke wa marehemu hatakiwi kuolewa na mtu nje ya familia. Badala yake, kaka yake mumewe anapaswa kulala naye na kumchukua kuwa mke wake na kutekeleza wajibu wa kaka wa mume kwake.
Naar flere Brødre bor sammen, og en af dem dør uden at efterlade sig nogen Søn, maa hans Enke ikke gifte sig med en fremmed Mand uden for Slægten; men hendes Svoger skal gaa til hende og tage hende til Ægte, idet han indgaar Svogerægteskab med hende.
6 Hii ni kwamba mtoto wa kwanza atakayezaliwa arithi chini ya jina la kaka yake mwanamume aliyefariki, ili jina lake lisiangamie ndani ya Israeli.
Og den første Søn, hun føder, skal bære den afdøde Broders Navn, for at hans Navn ikke skal udslettes af Israel.
7 Lakini kama mwanamume hataki kumchukua mke wa kaka yake awe wake, basi mke wa kaka yake anapaswa kwenda malangoni mpaka kwa wazee na kusema, “Kaka wa mume wangu amekataa kuwajibika kwa niaba ya jina la kaka yake humu Israeli; hataki kufanya wajibu wa kaka wa mume kwangu”.
Men hvis Manden er uvillig til at ægte sin Svigerinde, skal hun gaa hen til de Ældste i Byporten og sige: »Min Svoger vægrer sig ved at opretholde sin Broders Navn i Israel og vil ikke indgaa Svogerægteskab med mig!«
8 Kisha wazee wa mji wake wanapaswa kumuita na kuzungumza naye. Lakini tuseme atasisitiza na kusema, “Sitaki kumchukua”.
Derpaa skal de Ældste i Byen stævne ham for sig og tale ham til, og hvis han da fastholder sin Beslutning og erklærer sig uvillig til at ægte hende,
9 Basi mke wa kaka yake anatakiwa kuja kwake mbele ya wazee, kumvua ndara zake miguuni mwake, na kumtemea usoni. Anapaswa kumjibu na kusema, “Hivi ndivyo kinachofanyika kwa mwanamume asiyetaka kujenga nyumba ya kaka yake”.
skal hans Svigerinde i de Ældstes Paasyn gaa hen til ham, drage hans Sko af hans Fod og spytte ham i Ansigtet og tage til Orde og sige: »Saaledes gør man ved den Mand, som ikke vil opbygge sin Broders Slægt!«
10 Jina lake Israeli litaitwa, “Nyumba ya mtu aliyevuliwa ndara zake”.
Og hans Navn i Israel skal være: den barfodedes Hus.
11 Iwapo wanamume wamepigana wao kwa wao, na mke wa mmoja wao kaja kumkomboa mumewe dhidi ya yule aliyempiga, naye akanyosha mkono wake na kumshika sehemu za siri,
Naar der opstaar Trætte mellem to Mænd, og den enes Hustru kommer til for at fri sin Mand fra den andens Slag, og hun rækker sin Haand ud og tager fat i den andens Blusel,
12 basi unapaswa kuukata mkono yake; jicho lako halipaswi kuwa na huruma.
da skal du hugge hendes Haand af; du maa ikke vise Skaansel.
13 Haupaswi kuwa na mizani ya uzito tofauti katika mfuko wako, mkubwa na mdogo.
Du maa ikke have to Slags Vægtlodder i din Pung, større og mindre.
14 Hautakiwi kuwa na vipimo tofauti ndani ya nyumba yako, vikubwa na vidogo.
Du maa ikke have to Slags Efaer i dit Hus, en større og en mindre.
15 Unatakiwa kuwa na uzito kamili na wa haki; unatakiwa kuwa na vipimo kamili na vya haki, ili siku zako ziwe ndefu katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anakupatia.
Fuldvægtige Lodder og Efaer, der holder Maal, skal du have, for at du kan faa et langt Liv i det Land, HERREN din Gud vil give dig.
16 Kwa maana wote wanaofanya vitu hivi, wote wanaovunja haki, ni chukizo kwa Yahwe Mungu wako.
Thi en Vederstyggelighed for HERREN din Gud er enhver, der øver sligt, enhver, der begaar Svig.
17 Kumbuka ni jambo gani Amaleki alichofanya kwako barabarani ulipokuwa ukitoka Misri,
Kom i Hu, hvad Amalekiterne gjorde imod dig undervejs, da I drog bort fra Ægypten,
18 jinsi alivyokutana na wewe barabarani na kuwashambulia kati yenu kwa nyuma, wale waliokuwa wamelegea nyuma, mlipokuwa dhaifu na kuchoka, hakumheshimu Mungu.
hvorledes de kom imod dig undervejs og uden at frygte Gud huggede alle dine udmattede Efternølere ned, da du var træt og mødig.
19 Kwa hiyo, Yahwe Mungu wako atakapowapa pumziko kutoka kwa maadui zako kila sehemu, katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anawapatia kumiliki kama urithi, hautakiwi kusahau kuwa unapaswa kufuta kumbukumbu ya Waamaleki chini ya mbingu.
Naar derfor HERREN din Gud giver dig Ro for alle dine Fjender rundt om i det Land, HERREN din Gud vil give dig i Arv og Eje, da skal du udrydde ethvert Minde om Amalek. Glem det ikke!