< Torati 23 >
1 Mwanamume aliyejeruhiwa kwa kupondwa au kukatwa haruhusiwi kuingia katika kusanyiko la Yahwe.
Tsy hiheo am-pivori’ Iehovà ty aman-tabiry dinemoke ndra filahiañe nianto.
2 Mwana haramu haruhusiwi kuwa miongoni mwa kusanyiko la Yahwe; kutoka hadi kizazi cha kumi cha uzao wake, hakuna kati yao anatakiwa kuwa kwenye kusanyiko la Yahwe.
Tsy hitraok’ ami’ty fivori’ Iehovà ty anak’ amontoñe; tsy hizilik’ am-pivori’ Iehovà ao re pak’an-tarira’e faha folo.
3 Muamori au Mmoabu haruhusiwi kuwa miongoni mwa kusanyiko la Yahwe; kutoka hadi kizazi cha kumi cha uzao wake, hakuna kati yao anatakiwa kuwa kwenye kusanyiko la Yahwe.
Tsy himoak’ am-pivori’ Iehovà ao t’i nte-Amone ndra t’i nte-Moabe; tsy hizilik’ am-pivori’ Iehovà ao re pak’ an-tarira’e faha folo,
4 Hii ni kwa sababu hawakukutana nanyi kwa mkate na maji barabarani mlipokuwa mmetoka nje ya Misri, na kwa sababu walimkodisha Balaamu mwana wa Beoro kutoka Pethoro kule Aramu Naharaimu, awalaani.
amy t’ie tsy nanalaka anahareo ninday mahakama naho rano amy lalañe niakara’ areo i Mitsraimey; mbore tinambe’ iereo ty ama’o i Balame ana’ i Beore nte-Petore boak’ arame-Naharaime hañozoñe azo.
5 Lakini Yahwe Mungu wako hakumsikiliza Balaamu; badala yake, Yahwe Mungu wako aligeuza laana kuwa baraka kwenu, kwa sababu Yahwe Mungu wako aliwapenda.
Fe tsy nihaoñe’ Iehovà Andrianañahare’o t’i Balame; le nafote’ Iehovà Andrianañahare’o ho tata ama’o o ozoñeo ami’ty fikokoa’ Iehovà Andrianañahare’o azo.
6 Hamtakiwi kutafuta amani au mafanikio yao, katika siku zenu zote.
Tsy hipaia’o fañanintsiñe, ndra firaoraoañe, amo fonga andro’oo.
7 Hutakiwi kumchukia Muedomi, kwa maana ni kaka yako; hutakiwi kumchukia Mmisri, kwa maana ulikuwa mgeni katika nchi yake.
Tsy ho heje’o ty nte-Edome fa rahalahi’o; le tsy ho heje’o ty nte-Mitsraime fa nirenetàne an-tane’e ao.
8 Wazawa wa kizazi cha tatu wanaozaliwa kwao wanaweza kuwa katika kusanyiko la Yahwe.
Mete mitraok’ am-pivori’ Iehovà ao o anake nasama’ iereoo ami’ty tarira’e faha telo.
9 Utakapotembea kijeshi dhidi ya maadui zako, basi unapaswa kujitenga na kila aina ya uovu.
Ie mionjoñe mb’eo am-pirimboñan-dahin-defoñe hiatreatre an-drafelahi’o, le ifoneño ze atao haratiañe.
10 Iwapo miongoni mwenu kuna mwanamume ambaye sio msafi kwa sababu ya jambo lililofanyika kwake usiku, basi anatakiwa atoke nje ya kambi ya jeshi; hatakiwi kurudi kambini.
Aa naho ama’ areo ao t’indaty tsy malio ty amy fiorihan-kaleñey, le hiavotse i tobey re, vaho tsy himoak’ amy tobey ao;
11 Jioni ikifika, anatakiwa ajiogeshe kwa maji; na jua likizama atarudi ndani kambini.
ie miroñe ty andro le hiandro re vaho hizilik’ an-tobe ao te motak’andro.
12 Pia unatakiwa kuwa na eneo nje ya kambi ambayo utakwenda;
Le tsy mete tsy amam-piveñañe alafe’ i tobey irehe hiamontoña’o;
13 na utakuwa na kitu katika zana zako cha kuchimbia; utakapochuchumaa kujisaidia, unapaswa kuchimbia nacho na kisha kurudishia udongo na kufunika kile kilichotoka kwako.
naho an-karo’o ao ty pitre, aa le ie hitsotake ro hitrabake, vaho hitolike handembefa’o o niamontoñe’oo.
14 Kwa maana Yahwe Mungu wako anatembea miongoni mwa kambi yenu kuwapa ushindi na kuwapa maadui zenu mkononi mwenu. Kwa hiyo kambi yenu lazima iwe takatifu, ili kwamba asione kitu chochote kichafu miongoni mwenu na kuwaacha.
Amy te midraidraitse añivo’ i tobe’oy t’Iehovà Andrianañahare’o, handrombak’ azo, hañitoa’e aolo’o eo o rafelahi’oo; aa le hiavake ty tobe’o, tsy hahavazohoa’e raha maleotse ama’o ao hiambohoa’e.
15 Hutakiwi kumrudishia bwana mtumwa aliyetoroka kwake.
Tsy hasese’o ami’ty tompo’e ty ondevo niborofotse amy tompo’ey naho nimb’ ama’o mb’eo.
16 Mruhusu aishi pamoja nawe, katika mji wowote atakaochagua. Usimuonee.
Himoneñe ama’o ao re, añivo’o ao amy ze toetse joboñe’e, naho amy ze rova mahafale ty tro’e, vaho ko ampisoañeñe.
17 Hapatakiwi kuwa na kahaba wa kidhehebu miongoni mwa mabinti wa Israeli, na wala hapatakiwi kuwa na kahaba wa kidhehebu miongoni mwa wana wa kiume wa Israeli.
Tsy ho amo anak’ ampela’ Israeleo ty tsimirirañe, ndra ty ana-dahi’ Israele mpiharo aman-dahy.
18 Hautakiwi kuleta mshahara wa kahaba au mshahara wa mbwa katika nyumba ya Yahwe Mungu wako kwa kiapo chochote; kwa maana vyote hivi na machukizo mbele ya Yahwe Mungu wako.
Tsy ho banabanae’o añ’ anjomba’ Iehovà Andrianañahare’o ao ty tamben-kakarapiloañe ndra ty tamben’ amboa hañavaha’o fànta, fa songa tiva am’ Iehovà Andrianañahare’o i roe rey.
19 Hutakiwi kumkopesha Muisraeli mwenzako kwa riba – riba ya fedha, riba ya chakula, au riba ya kitu chochote kinachokopeshwa kwa riba.
Ko ampisongoeñe hitake ana’e aman-dongo’o, ndra fitomboan-drala, ndra fitomboam-baty ndra fitomboañ’ inoñ’ inoñe mete ampisongoeñe rekets’ ana’e.
20 Kwa mgeni unaweza kukopesha kwa riba; lakini kwa Muisraeli mwenzako haupaswi kukopesha kwa riba, ili kwamba Yahwe Mungu wako aweze kukubariki katika kila jambo uwekalo mkono wako, katika nchi ambayo mnaenda kumiliki.
Azo’o angalañ’ ana’e ty renetane nampisongoe’o, f’ie longo, tsy hangala’o ana’e ze ampisongoe’o soa te hitahy azo t’Iehovà Andrianañahare’o am-pitoloña’o iaby an-tane hiziliha’o ho tavane’o ao.
21 Unapofanya kiapo kwa Yahwe Mungu wako, haupaswi kukawia kuikamilsha, kwa maana Yahwe Mungu wako hakika atadai kiapo hicho; itakuwa dhambi kako usipokamilisha.
Ie mifanta am’ Iehovà Andrianañahare’o, ko aìke ty hañenefa’o aze amy te tsy mete tsy hipaia’ Iehovà Andrianañahare’o, vaho ho hakeo ama’o.
22 Lakini iwapo utajizuia kutoa kiapo, haitakuwa dhambi kwako.
F’ie tsy hanan-tahiñe te mifoneñe tsy hifanta.
23 Kile ambacho kimetoka kinywani mwako unapaswa kukifuata na kukitekeleza; kulingana na kiapo ulichotamka kwa Yahwe Mungu wako, chochote ulichotamka kwa hiari kwa kinywa chako.
Ano am-pahimbañañe ze miakatse am-pivimbi’o; manahake te fanta nisatrie’o am’ Iehovà Andrianañahare’o, i nampitamam-palie’oy.
24 Utakapokwenda katika shamba la mizabibu la jirani yako, unatakiwa kula mizabibu idadi yoyote unayotaka, lakini hautakiwi kuhifadhi yoyote katika kikapu chako.
Naho iziliha’o ty tanem-balobo’ ondatio le azo’o kamaeñe o valobo’eo ampara’ te ànjañe, ze satrie’o, f’ie tsy ampijoña’o an-karo’o ao.
25 Utakapokwenda katika shamba la zao lililoiva la jirani yako, unaweza kuvuna kichwa cha mavuno kwa mkono wako, lakini haupaswi kutumia mundu kuvuna zao lililoiva la jirani yako.
Ie miranga tonda’ ondaty miriñariña mahakama, le azo’o tifoeñe an-taña’o ty loha’e fe tsy añoharam-pitatahañe i mahakaman-drañe’o miriñariñay.