< Torati 2 >

1 Kisha tuligeuka na kuanza safari kuelekea jangwani kwa njia ya Bahari ya Mianzi, kama Yahwe alivyosema nami, tulienda kuzunguka mlima wa Seir kwa siku nyingi.
پس برگشته، چنانکه خداوند به من گفته بود، از راه بحرقلزم در بیابان کوچ کردیم وروزهای بسیار کوه سعیر را دور زدیم.۱
2 Yahwe alizungumza nami, kusema,
پس خداوند مرا خطاب کرده، گفت:۲
3 Mmeuzungunga mlima huu kwa muda mrefu; geukeni kaskazini.
«دور زدن شمابه این کوه بس است، بسوی شمال برگردید.۳
4 Waamuru watu, kusema, “Mtapita kupitia mpaka wa ndugu zenu, wazao wa Esau, ambao wanaishi Seir; watawaogopa ninyi. Kwa hiyo muwe makini
وقوم را امر فرموده، بگو که شما از حدود برادران خود بنی عیسو که در سعیر ساکنند باید بگذرید، و ایشان از شما خواهند ترسید، پس بسیاراحتیاط کنید.۴
5 msipigane nao, kwa kuwa sitawapa nchi yoyote yao, hapana, hakuna hata vya kutosheleza unyao wa mguu kukanyanga, kwa kuwa nimekwisha mpa Esau Mlima wa Seir kama miliki.
و با ایشان منازعه مکنید، زیرا که از زمین ایشان بقدر کف پایی هم به شما نخواهم داد، چونکه کوه سعیر را به عیسو به ملکیت داده‌ام.۵
6 Mtanunua chakula kutoka kwao kwa pesa, ili kwamba muweze kula, pia mtanunua maji kutoka kwao kwa pesa, ili kwamba muweze kunywa. Kwa kuwa
خوراک را از ایشان به نقره خریده، بخورید و آب را نیز از ایشان به نقره خریده، بنوشید.»۶
7 Yahwe Mungu wenu amewabariki katika kazi za mikono yenu, amejua kutembea kwenu kupitia jangwa hili kuu. Kwa hii miaka arobaini Yahwe Mungu wenu amekuwa pamoja nanyi, na hamjapungukiwa chochote.
زیرا که یهوه خدای تو، تو را در همه کارهای دستت برکت داده است، او راه رفتنت رادر این بیابان بزرگ می‌داند، الان چهل سال است که یهوه خدایت با تو بوده است و به هیچ‌چیزمحتاج نشده‌ای.۷
8 Basi tulipita karibu na ndugu zetu, wa wazao wa Esau, ambao wanaishi Seir, mbali na barabara la Arabah, kutoka Elathi, na kutoka Ezioni Geber. Na tuligeuka na kupita karibu na jangwa la Moabu.
پس از برادران خود بنی عیسوکه در سعیر ساکنند، از راه عربه از ایلت و عصیون جابر عبور نمودیم.۸
9 Yahweh aliniambia mimi,'Usiisumbue Moabu, na usipigane nao katika vita. Kwa kuwa sitakupa nchi yake kwa miliki yako, kwa sababu nimewapa Ar wazao wa Lot, kuwa miliki yao'.
پس برگشته، از راه بیابان موآب گذشتیم، وخداوند مرا گفت: «موآب را اذیت مرسان و باایشان منازعت و جنگ منما، زیرا که از زمین ایشان هیچ نصیبی به شما نخواهم داد، چونکه عاررا به بنی لوط برای ملکیت داده‌ام.»۹
10 (Hapo awali waliishi Waemi, watu kama wakuu, wengi, na warefu kama Waanaki;
ایمیان که قوم عظیم و کثیر و بلند قد مثل عناقیان بودند، پیش در آنجا سکونت داشتند.۱۰
11 hawa pia wanafikiriwa kuwa Rephaimu, kama Waanaki, lakini Wamoabi huwaita Waemi.
ایشان نیز مثل عناقیان از رفائیان محسوب بودند، لیکن موآبیان ایشان را ایمیان می‌خوانند.۱۱
12 Wahori pia waliishi hapo awali Seiri, lakini wazao wa Esau waliwafuata. Waliwaharibu kutoka mbele yao na kuishi katika eneo lao, kama Israeli ilivyofanya kwa nchi ya umiliki wake ambayo Yahwe aliwapa.)
و حوریان در سعیرپیشتر ساکن بودند، و بنی عیسو ایشان را اخراج نموده، ایشان را از پیش روی خود هلاک ساختند، و در جای ایشان ساکن شدند، چنانکه اسرائیل به زمین میراث خود که خداوند به ایشان داده بود، کردند.۱۲
13 “Sasa inuka na uende kwenye kijito cha Zeredi”. Kwa hiyo tulienda kwenye kijito cha Zeredi.
الان برخیزید و از وادی زاردعبور نمایید. پس از وادی زارد عبور نمودیم.۱۳
14 Sasa tangu siku ambapo tulikuja kutoka Kadesh Barnea mpaka tukavuka kijito cha Zeredi, ilikuwa miaka thelathini na nane. Ilikuwa kwa wakati huo kizazi chote cha watu waliofaa kupigana walikuwa wamekwisha ondoka kwa watu, kama Yahwe alivyokuwa ameapa kwao.
وایامی که از قادش برنیع راه می‌رفتیم تا از وادی زارد عبور نمودیم سی و هشت سال بود، تاتمامی آن طبقه مردان جنگی از میان اردو تمام شدند، چنانکه خداوند برای ایشان قسم خورده بود.۱۴
15 Zaidi ya yote, mkono wa Yahwe ulikuwa kinyume na kizazi hicho ili kuweza kuwaangamiza kutoka kwa watu mpaka walipoondoka.
و دست خداوند نیز بر ایشان می‌بود تاایشان را از میان اردو بالکل هلاک کند.۱۵
16 Basi ilitokea, wakati watu wote waliofaa kwa kupigana walikuwa wamekufa, na kutoweka miongoni mwa watu,
پس چون جمیع مردان جنگی از میان قوم بالکل مردند،۱۶
17 kwamba Yahwe alizungumza nami, kusema,
آنگاه خداوند مرا خطاب کرده، گفت:۱۷
18 Leo mtavuka Ar, mpaka wa Moabu.
«تو امروز از عار که سرحد موآب باشد، باید بگذری.۱۸
19 Wakati mtakapofika karibu na mkabala wa watu wa Ammoni, msiwasumbue au kupigana nao, kwa kuwa sitawapa nchi yoyote ya watu wa Ammoni kama miliki, kwa sababu nimekwisha wapa wazao wa Lutu kama miliki”.
و چون به مقابل بنی عمون برسی ایشان را مرنجان و با ایشان منازعه مکن، زیرا که اززمین بنی عمون نصیبی به تو نخواهم داد چونکه آن را به بنی لوط به ملکیت داده‌ام.۱۹
20 (Hiyo tena ilifikiriwa kuwa nchi ya Rephaimu. Warephaimu waliishi hapo awali-lakini Wammonites wanawaita Zamzummim,
(آن نیز زمین رفائیان شمرده می‌شود و رفائیان پیشتر ساکن آنجا بودند، لیکن عمونیان ایشان را زمزمیان می‌خوانند.۲۰
21 watu kama wakuu, wengi, na warefu kama Anakim. Lakini Yahwe aliwaharibu mbele ya Wammonites na waliwafuata na kuishi katika maeneo yao.
ایشان قومی عظیم و کثیر و بلند قدمثل عناقیان بودند، و خداوند آنها را از پیش روی ایشان هلاک کرد، پس ایشان را اخراج نموده، درجای ایشان ساکن شدند.۲۱
22 Yahwe huyu pia alifanya kwa watu wa Esau ambao wanaishi Seiri, wakati alipowangamiza Wahori kutoka mbele yao, na wazao wa Esau waliwafuata na waliishi katika maeneno yao mpaka leo.
چنانکه برای بنی عیسو که در سعیر ساکنند عمل نموده، حوریان را از حضور ایشان هلاک ساخته، آنها رااخراج نمودند، و تا امروز در جای ایشان ساکنند.۲۲
23 Na Waavi, walioishi katika vijiji vya mbali ya Gaza, Wakaftori, ambao wanatokana na Kaftori, waliwangamiza na kuishi katika maeneo yao.)
و عویان را که در دهات تا به غزا ساکن بودندکفتوریان که از کفتور بیرون آمدند هلاک ساخته، در جای ایشان ساکن شدند. )۲۳
24 Sasa inuka, nenda njia yako na uvuke bonde la Arnoni, tazama, nimekupa mkononi mwako Sihoni ya Amorite, mfalme wa Heshboni, na nchi yake. Anza kuimiliki na pigana naye katika vita.
پس برخیزید وکوچ کرده، از وادی ارنون عبور کنید، اینک سیحون اموری ملک حشبون و زمین او را به‌دست تو دادم، به تصرف آن شروع کن و با ایشان جنگ نما.۲۴
25 Leo nitaanza kuweka woga na hofu yenu kwa watu ambao wako chini ya anga lote, watasikia habari kuhusu ninyi na watatemeka na kuwa na shida kwa sababu yenu'.
امروز شروع کرده، خوف و ترس تورا بر قومهای زیر تمام آسمان مستولی می‌گردانم، و ایشان آوازه تو را شنیده، خواهندلرزید، و از ترس تو مضطرب خواهند شد.»۲۵
26 Nilituma wajumbe toka jangwa la Kedemothi kuelekea Sihoni, mfalme wa Heshbon, pamoja na maneno ya amani, kusema,
پس قاصدان با سخنان صلح‌آمیز از بیابان قدیموت نزد سیحون ملک حشبون فرستاده، گفتم:۲۶
27 Hebu nipite katika nchi yako; nitapita kwenye barabara kuu, sitageuka mkono wa kulia wala kushoto.
«اجازت بده که از زمین تو بگذرم، به شاهراه خواهم رفت و به طرف راست یا چپ میل نخواهم کرد.۲۷
28 Mtaniuzia mimi chakula kwa pesa, ili kwamba niweze kula, nipe maji kwa pesa, ili kwamba niweze kunywa, peke niruhusu kupitia kwa miguu yangu,
خوراک را به نقره به من بفروش تابخورم، و آب را به نقره به من بده تا بنوشم، فقطاجازت بده تا بر پایهای خود بگذرم.۲۸
29 kama wazao wa Esau wanaoishi Seiri, na Moabu wanaoishi Ari, walifanya kwangu, mpaka nivuke Yordani ndani ya nchi ambayo Yahwe Mungu wetu anatupa sisi'.
چنانکه بنی عیسو که در سعیر ساکنند و موآبیان که در عارساکنند به من رفتار نمودند، تا از اردن به زمینی که یهوه خدای ما به ما می‌دهد، عبور نمایم.»۲۹
30 Lakini Sihon, mfalme wa Heshbon, asingeturuhusu kupitia kwake; kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ameifanya ngumu akili yake na kufanya moyo wake kuwa ukaidi, ili kwamba aweze kumshinda kwa nguvu zake, ambayo amekwisha kufanya leo.
اماسیحون ملک حشبون نخواست که ما را از سرحدخود راه بدهد، زیرا که یهوه خدای تو روح او رابه قساوت و دل او را به سختی واگذاشت، تا او راچنانکه امروز شده است، به‌دست تو تسلیم نماید.۳۰
31 Yahwe alisema kwangu, “tazama, Nimeanza kumuokoa Sihoni na nchi yake mbele yako; kuanza kuimiliki, ili kusudi muweze kumiliki nchi yake.
و خداوند مرا گفت: «اینک به تسلیم نمودن سیحون و زمین او به‌دست تو شروع کردم، پس بنابه تصرف آن بنما تا زمین او را مالک شوی.»۳۱
32 Kisha Sihon alikuja dhidi yetu, yeye na watu wote wake, kupigana huko Jahazi.
آنگاه سیحون با تمامی قوم خود به مقابله مابرای جنگ کردن در یاهص بیرون آمدند.۳۲
33 Yahwe Mungu wetu alimtoa kwetu na tulimshinda, tulimpiga mpaka kufa, watoto wake, na watu wake wote.
ویهوه خدای ما او را به‌دست ما تسلیم نموده، او رابا پسرانش و جمیع قومش زدیم.۳۳
34 Tulichukua miji yake yote kwa wakati huo na kuharibu kabisa kila mji- wanaume na wanawake na watoto wadogo; hatukuacha aliyenusurika.
و تمامی شهرهای او را در آنوقت گرفته، مردان و زنان واطفال هر شهر را هلاک کردیم که یکی را باقی نگذاشتیم.۳۴
35 Ng'ombe peke tulichukua kama mateka kwa ajili yetu, sambamba na mateka ya miji tuliochukua.
لیکن بهایم را با غنیمت شهرهایی که گرفته بودیم، برای خود به غارت بردیم.۳۵
36 Kutoka Aroer, ambayo iko kwenye ukingo wa bonde la Arnon, na kutoka kwenye mji ambao uko bondeni, yote kwa njia ya kuelekea Galeadi, hapakuwa na mji uliokuwa mrefu kwetu. Yahwe Mungu wetu alitupa ushindi dhidi ya maadui zetu mbele yetu.
ازعروعیر که برکناره وادی ارنون است، و شهری که در وادی است، تا جلعاد قریه‌ای نبود که به ماممتنع باشد، یهوه خدای ما همه را به ما تسلیم نمود.۳۶
37 Ilikuwa nchi ya wazao wa Ammoni peke yake ambayo hamkuingia, sambamba na sehemu zote za mto Jabboki, na miji ya nchi ya milima- popote pale Yahwe Mungu wetu ametukataza sisi kwenda.
لیکن به زمین بنی عمون و به تمامی کناره وادی یبوق و شهرهای کوهستان، و به هر جایی که یهوه خدای ما نهی فرموده بود، نزدیک نشدیم.۳۷

< Torati 2 >