< Torati 2 >
1 Kisha tuligeuka na kuanza safari kuelekea jangwani kwa njia ya Bahari ya Mianzi, kama Yahwe alivyosema nami, tulienda kuzunguka mlima wa Seir kwa siku nyingi.
Then we turned around and headed back into the desert on the road that leads to the Red Sea, as the Lord had told me, and we wandered around Mount Seir for a long time.
2 Yahwe alizungumza nami, kusema,
This is when the Lord told me,
3 Mmeuzungunga mlima huu kwa muda mrefu; geukeni kaskazini.
“You have been wandering around this mountain long enough. Go back north,
4 Waamuru watu, kusema, “Mtapita kupitia mpaka wa ndugu zenu, wazao wa Esau, ambao wanaishi Seir; watawaogopa ninyi. Kwa hiyo muwe makini
and give these orders to the people: ‘You are going to pass through the territory of your relatives, the descendants of Esau, who live in Seir. They will be frightened of you, so you need to be very careful.
5 msipigane nao, kwa kuwa sitawapa nchi yoyote yao, hapana, hakuna hata vya kutosheleza unyao wa mguu kukanyanga, kwa kuwa nimekwisha mpa Esau Mlima wa Seir kama miliki.
Don't fight them, for I'm not going to give you any of their land, not even the size of a footprint, because I have given Mount Seir to Esau and it belongs to him.
6 Mtanunua chakula kutoka kwao kwa pesa, ili kwamba muweze kula, pia mtanunua maji kutoka kwao kwa pesa, ili kwamba muweze kunywa. Kwa kuwa
Pay them with money for the food you eat and the water you drink.’
7 Yahwe Mungu wenu amewabariki katika kazi za mikono yenu, amejua kutembea kwenu kupitia jangwa hili kuu. Kwa hii miaka arobaini Yahwe Mungu wenu amekuwa pamoja nanyi, na hamjapungukiwa chochote.
Remember that the Lord your God has blessed you in everything you've done. He has looked after you during your journey through this large desert. The Lord your God has been with you for these forty years, and you haven't lacked anything.”
8 Basi tulipita karibu na ndugu zetu, wa wazao wa Esau, ambao wanaishi Seir, mbali na barabara la Arabah, kutoka Elathi, na kutoka Ezioni Geber. Na tuligeuka na kupita karibu na jangwa la Moabu.
So we passed by our relatives, the descendants of Esau, who live in Seir. We didn't take the Arabah road from Elath and Ezion-geber. Instead we used the road that goes through the desert of Moab.
9 Yahweh aliniambia mimi,'Usiisumbue Moabu, na usipigane nao katika vita. Kwa kuwa sitakupa nchi yake kwa miliki yako, kwa sababu nimewapa Ar wazao wa Lot, kuwa miliki yao'.
Then the Lord told me, “Don't cause the Moabites any trouble or fight them, for I'm not going to give you any of their land, because I have given Ar to the descendants of Lot and it belongs to them.”
10 (Hapo awali waliishi Waemi, watu kama wakuu, wengi, na warefu kama Waanaki;
(A strong and numerous people called the Emim once lived there. They were as tall as the Anakim,
11 hawa pia wanafikiriwa kuwa Rephaimu, kama Waanaki, lakini Wamoabi huwaita Waemi.
and just like the Anakim, they were also considered as Rephaim, but the Moabites called them Emim.
12 Wahori pia waliishi hapo awali Seiri, lakini wazao wa Esau waliwafuata. Waliwaharibu kutoka mbele yao na kuishi katika eneo lao, kama Israeli ilivyofanya kwa nchi ya umiliki wake ambayo Yahwe aliwapa.)
Previously the Horites lived in Seir, but the descendants of Esau took over their land. They killed the Horites and settled there, just like Israel did when they occupied the land that the Lord had given them.)
13 “Sasa inuka na uende kwenye kijito cha Zeredi”. Kwa hiyo tulienda kwenye kijito cha Zeredi.
Then the Lord told us, “Go and cross over Zered Brook.” So we crossed over Zered Brook.
14 Sasa tangu siku ambapo tulikuja kutoka Kadesh Barnea mpaka tukavuka kijito cha Zeredi, ilikuwa miaka thelathini na nane. Ilikuwa kwa wakati huo kizazi chote cha watu waliofaa kupigana walikuwa wamekwisha ondoka kwa watu, kama Yahwe alivyokuwa ameapa kwao.
The time it took for us to travel from Kadesh-barnea to when we crossed over the Brook of Zered was thirty-eight years. By this time the entire generation of warriors had died and were no longer part of the camp, as the Lord had sworn to them would happen.
15 Zaidi ya yote, mkono wa Yahwe ulikuwa kinyume na kizazi hicho ili kuweza kuwaangamiza kutoka kwa watu mpaka walipoondoka.
In fact the Lord worked against them to remove them from the camp, until they were all dead.
16 Basi ilitokea, wakati watu wote waliofaa kwa kupigana walikuwa wamekufa, na kutoweka miongoni mwa watu,
Once the people's warriors had died,
17 kwamba Yahwe alizungumza nami, kusema,
the Lord told me,
18 Leo mtavuka Ar, mpaka wa Moabu.
“Today you will cross out of Moab at the border near Ar.
19 Wakati mtakapofika karibu na mkabala wa watu wa Ammoni, msiwasumbue au kupigana nao, kwa kuwa sitawapa nchi yoyote ya watu wa Ammoni kama miliki, kwa sababu nimekwisha wapa wazao wa Lutu kama miliki”.
However, when you get enter Ammonite territory, don't cause them any trouble or fight them for I'm not going to give you any Ammonite land, because I have given it to the descendants of Lot and it belongs to them.”
20 (Hiyo tena ilifikiriwa kuwa nchi ya Rephaimu. Warephaimu waliishi hapo awali-lakini Wammonites wanawaita Zamzummim,
(This land was previously considered as the country of the Rephaim who used to live there. However, the Ammonites called them Zamzummites.
21 watu kama wakuu, wengi, na warefu kama Anakim. Lakini Yahwe aliwaharibu mbele ya Wammonites na waliwafuata na kuishi katika maeneo yao.
They were a strong and numerous people, as tall as the Anakim. But the Lord destroyed them when the Ammonites invaded and drove them out and settled there,
22 Yahwe huyu pia alifanya kwa watu wa Esau ambao wanaishi Seiri, wakati alipowangamiza Wahori kutoka mbele yao, na wazao wa Esau waliwafuata na waliishi katika maeneno yao mpaka leo.
just as he'd done for the descendants of Esau who lived in Seir when he destroyed the Horites. They drove them out and settled where they used to live, and are still there to this day.
23 Na Waavi, walioishi katika vijiji vya mbali ya Gaza, Wakaftori, ambao wanatokana na Kaftori, waliwangamiza na kuishi katika maeneo yao.)
The Avvim, living in villages as far away as Gaza, were destroyed by the Philistines, who came from Crete, and settled where they used to live.)
24 Sasa inuka, nenda njia yako na uvuke bonde la Arnoni, tazama, nimekupa mkononi mwako Sihoni ya Amorite, mfalme wa Heshboni, na nchi yake. Anza kuimiliki na pigana naye katika vita.
Then the Lord told us, “Get up, go and cross the Arnon Valley. Look, I have handed over to you Sihon the Amorite, king of Heshbon, as well as his land. Go and start taking it over, and fight him in battle.
25 Leo nitaanza kuweka woga na hofu yenu kwa watu ambao wako chini ya anga lote, watasikia habari kuhusu ninyi na watatemeka na kuwa na shida kwa sababu yenu'.
From this day on, I'm going to make all nations on earth dread you—they will be terrified of you. Because of the news they hear about you they will tremble in terror when you appear.”
26 Nilituma wajumbe toka jangwa la Kedemothi kuelekea Sihoni, mfalme wa Heshbon, pamoja na maneno ya amani, kusema,
Moses told the Israelites, “From the Kedemoth Desert I sent messengers with an offer of peace to Sihon, king of Heshbon, telling him,
27 Hebu nipite katika nchi yako; nitapita kwenye barabara kuu, sitageuka mkono wa kulia wala kushoto.
‘Let us pass through your land. We'll stay on the main road and won't turn off either to the right or to the left.
28 Mtaniuzia mimi chakula kwa pesa, ili kwamba niweze kula, nipe maji kwa pesa, ili kwamba niweze kunywa, peke niruhusu kupitia kwa miguu yangu,
Sell us food to eat and water to drink for money. Just let us pass through on foot,
29 kama wazao wa Esau wanaoishi Seiri, na Moabu wanaoishi Ari, walifanya kwangu, mpaka nivuke Yordani ndani ya nchi ambayo Yahwe Mungu wetu anatupa sisi'.
just like the descendants of Esau living in Seir and the Moabites living in Ar allowed us, until we cross over the Jordan into the country that the Lord our God is giving to us.”
30 Lakini Sihon, mfalme wa Heshbon, asingeturuhusu kupitia kwake; kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ameifanya ngumu akili yake na kufanya moyo wake kuwa ukaidi, ili kwamba aweze kumshinda kwa nguvu zake, ambayo amekwisha kufanya leo.
But Sihon king of Heshbon refused to let us pass through, for the Lord your God gave him a stubborn spirit and an obstinate attitude, so the Lord could hand him over to you, as he has now done.
31 Yahwe alisema kwangu, “tazama, Nimeanza kumuokoa Sihoni na nchi yake mbele yako; kuanza kuimiliki, ili kusudi muweze kumiliki nchi yake.
Then the Lord told me, “Look, I have started handing Sihon and his land over to you. Now you can begin to conquer and take over his land.”
32 Kisha Sihon alikuja dhidi yetu, yeye na watu wote wake, kupigana huko Jahazi.
Sihon and his whole army came out to fight us at Jahaz.
33 Yahwe Mungu wetu alimtoa kwetu na tulimshinda, tulimpiga mpaka kufa, watoto wake, na watu wake wote.
The Lord our God handed him over to us, and we killed him, his sons, and all his army.
34 Tulichukua miji yake yote kwa wakati huo na kuharibu kabisa kila mji- wanaume na wanawake na watoto wadogo; hatukuacha aliyenusurika.
We also captured all his towns, and set apart for destruction the people of every town: men, women, and children. We didn't leave any survivors.
35 Ng'ombe peke tulichukua kama mateka kwa ajili yetu, sambamba na mateka ya miji tuliochukua.
All we took for ourselves was the livestock and plunder from the towns we'd captured.
36 Kutoka Aroer, ambayo iko kwenye ukingo wa bonde la Arnon, na kutoka kwenye mji ambao uko bondeni, yote kwa njia ya kuelekea Galeadi, hapakuwa na mji uliokuwa mrefu kwetu. Yahwe Mungu wetu alitupa ushindi dhidi ya maadui zetu mbele yetu.
No town had walls too high for us to conquer—from Aroer on the edge of the Arnon Valley, the town in the valley, all the way to Gilead. The Lord our God handed them all over to us.
37 Ilikuwa nchi ya wazao wa Ammoni peke yake ambayo hamkuingia, sambamba na sehemu zote za mto Jabboki, na miji ya nchi ya milima- popote pale Yahwe Mungu wetu ametukataza sisi kwenda.
But you didn't go anywhere near the country of the Ammonites—the area that borders the Jabbok River or the towns of the hill country, or any other place that the Lord our God had placed off limits.