< Torati 19 >

1 Wakati Yahwe Mungu wenu anayafutilia mbali mataifa, yale ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa nchi yao, na wakati mnakuja kwao na kuishi katika miji yao na nyumba,
Gdy PAN, twój Bóg, wytępi narody, których ziemię ci daje PAN, twój Bóg, a posiądziesz ją i zamieszkasz w ich miastach i w ich domach;
2 mnapaswa kuchagua miji mitatu kwa ajili yenu katikati mwa nchi yenu ambayo Yahwe Mungu anawapa kuimiliki.
Wydzielisz sobie trzy miasta pośród twojej ziemi, którą PAN, twój Bóg, daje ci w posiadanie;
3 Mnapaswa kujenga barabara na kugawa mipaka ya nchi yenu katika maeneo matatu, nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anafanya kuimiliki, ili kwamba kila mmoja anayeua mtu mwingine apate kukimbia hapo.
Przygotujesz sobie drogę i podzielisz na trzy części obszar twojej ziemi, którą PAN, twój Bóg, daje ci w posiadanie, aby mógł tam uciekać każdy zabójca.
4 Hii ni sheria kwa ajili ya mtu anayeua mwingine na anayekimbilia huko kuishi: yeyote auae jirani yake bila kujua, na hapo awali hakumchukia-
A to będzie prawo zabójcy, który będzie mógł tam uciec, aby pozostać przy życiu: Kto zabije swego bliźniego nieumyślnie, a wcześniej nie nienawidził go;
5 kama wakati mtu aingiapo katika msitu pamoja na jirani yake kukata kuni, na mkono wake ukata mti chini kwa shoka, na kichwa uteleza kutoka kwenye mpini na kumpiga jirani yake mpaka akafa- basi mtu huyu anapaswa kukimbilia katika moja ya miji hii na kuishi.
Na przykład gdyby ktoś szedł ze swym bliźnim do lasu ścinać drzewa, uchwycił ręką siekierę, by ściąć drzewo, a siekiera odpadła z toporzyska i trafiła jego bliźniego tak, że umarłby, ucieknie on do jednego z tych miast, aby pozostał przy życiu;
6 Vinginevyo damu ya mlipiza kisasi atamfuata yeye aliyetoa uhai, na kwa hasira kali anampita kwa sababu ilikuwa safari ndefu. Na anampiga na kumuua, ijapokuwa mtu huyo akustahili kufa; na hata akustahili adhabu ya kifo kwa sababu hakumchukia jirani yake kabla hili halijatokea.
Aby mściciel krwi, gdy jego serce się rozpali, nie ścigał zabójcy i nie dogonił go na dalekiej drodze, i nie zabił go, ponieważ nie zasłużył on na śmierć, gdyż wcześniej go nie nienawidził.
7 Basi sasa ninakuamuru kuchagua miji mitatu kwa ajili yako.
Dlatego nakazuję ci: Wydzielisz sobie trzy miasta;
8 Kama Yahwe Mungu wenu apanua mipaka yenu, kama alivyoapa kwa mababu zenu kufanya, na kuwapa nchi yote ambayo amewaahadia kuwapa mababu zenu;
A gdy PAN, twój Bóg, rozszerzy twoje granice, jak poprzysiągł twoim ojcom, i da ci całą ziemię, którą obiecał dać twoim ojcom;
9 kama mnazishika amri hizi zote kuzifanya, ambazo ninakuamuru leo- amri za kumpenda Yahwe Mungu wenu na daima kutembea katika njia zake, basi mnapaswa kuongeza miji mitatu zaidi kwa ajili yenu, isipokuwa ile mitatu.
Jeśli będziesz przestrzegał i wypełniał wszystkie te przykazania, które ja ci dziś nakazuję, abyś miłował PANA, swego Boga, i chodził jego drogami po wszystkie dni, wtedy dodasz sobie jeszcze trzy miasta do tamtych trzech miast;
10 Fanya hivi ili kwamba damu isiyo na hatia isimwangwe katikati ya nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa kwa ajili ya urithi, ili kwamba pasiwepo hatia ya damu kwenu.
Aby nie była wylana krew niewinna pośrodku twojej ziemi, którą PAN, twój Bóg, daje ci w dziedzictwo, aby krew na tobie nie ciążyła.
11 Lakini kama yeyote anamchukia jirani yake, uongo unamsubiri, uinuka dhidi yake, na majeraha ya kufa kwake ili kwamba anakufa, na kama basi anakimbia katika moja ya miji hii-
Ale jeśli ktoś nienawidzi swego bliźniego i będzie na niego czyhał, powstanie przeciw niemu i śmiertelnie go uderzy, a ten umrze, a potem ucieknie do jednego z tych miast;
12 basi wazee wa mji wake wanapaswa kumtoa na kumrudisha toka huko, na kumkabizi katika mkono wa ndugu mhusika, ili kwamba amuue.
Wtedy starsi tego miasta poślą [po niego] i sprowadzą go stamtąd, i wydadzą go w ręce mściciela krwi, aby poniósł śmierć.
13 Jicho lako halipaswi kumuonea huruma; badala yake; unapaswa kuondoa hatia ya damu kutoka Israel, ili kwamba iwe vizuri kwako.
Twoje oko nie zlituje się nad nim, lecz usuniesz niewinną krew z Izraela, aby ci się dobrze powodziło.
14 Haupaswi kuondoa alama ya jirani yako ambayo wameweka katika eneo muda mrefu, katika urithi wako ambao utarithi, katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anakupa kumiliki.
Nie przesuniesz granicy swego bliźniego założonej przez przodków w twoim dziedzictwie, które posiądziesz w ziemi, którą PAN, twój Bóg, daje ci w posiadanie.
15 Shahidi moja peke hapaswi kuinuka dhidi ya mtu kwa ajili ya uovu wowote, au kwa ajili ya dhambi yoyote, katika jambo lolote ambalo amefanya dhambi; kwa kinywa cha mashahidi wawili, au kwa kinywa cha mashahidi watatu, kunapaswa jambo lolote lilithibitishwe.
Jeden świadek nie może powstać przeciwko człowiekowi w jakiejkolwiek nieprawości lub w jakimkolwiek grzechu ze wszystkich grzechów, jakie ktoś popełni. Na podstawie zeznania dwóch lub trzech świadków oparte będzie [każde] słowo.
16 Kama ushuhuda wa mtu asiye na haki anainua dhidi ya mtu yeyote kushuhudia dhidi yake kwa mambo mabaya.
Jeśli fałszywy świadek powstanie przeciwko komuś, by oskarżać go o przestępstwo;
17 Basi watu wote wawili, mmoja kati ya yule utata upo, anapaswa kusimama mbele ya Yahwe, mbele ya makuhani na waamuzi ambao wanatumika siku hizo.
Wtedy obaj mężczyźni, którzy mają spór, staną przed PANEM i przed kapłanami, i sędziami, którzy będą [sprawować] w tym czasie [urząd];
18 Waamuzi wanapaswa kuchunguza kwa uangalifu; ona, kama ushahidi ni ushahidi wa uongo na umeshuhudiwa kwa uongo dhidi ya ndugu yake,
I sędziowie dokładnie zbadają [sprawę]. Jeśli się okaże, że ten świadek jest fałszywym świadkiem, że złożył fałszywe zeznanie przeciwko swemu bratu;
19 basi unapaswa kufanya kwake, kama alivyokusudia kufanya kwa ndugu yake, na utaondoa uovu kutoka miongoni mwenu.
Uczynicie mu tak, jak on zamierzał uczynić swemu bratu. I usuniesz zło spośród siebie.
20 Basi wale wanaobaki watasikia na kuogopa, na kuanzia hapo na kuendelea hawatafanya tena aina ya ouvu miongoni mwao.
A pozostali usłyszą o tym, zlękną się i nie dopuszczą już takiego złego czynu pośród ciebie.
21 Macho yako hapaswi kuona huruma; maisha yatalipa kwa maisha, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.
Twoje oko się nie zlituje: życie za życie, oko za oko, ząb za ząb, ręka za rękę, noga za nogę.

< Torati 19 >