< Torati 18 >

1 Makuhani, ambao ni Walawi, na makabila yote ya Lawi, hayatakuwa na mgao wala urithi pamoja na Israel; wanapaswa kula dhabihu ya Yahwe iliyotengenezwa kwa moto kama urithi wao.
not to be to/for priest [the] Levi all tribe Levi portion and inheritance with Israel food offering LORD and inheritance his to eat [emph?]
2 Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zao; Yahwe ni urithi wao, kama alivyosema nao.
and inheritance not to be to/for him in/on/with entrails: among brother: compatriot his LORD he/she/it inheritance his like/as as which to speak: promise to/for him
3 Hii ni sababu ya makuhani kutoka kwa watu, kutoka kwa wale wanaotoa dhabihu, kama itakuwa ng'ombe au kondoo: wanapaswa kutoa kwa kuhani bega, mashavu mawili, na sehemu za ndani.
and this to be justice: custom [the] priest from with [the] people from with to sacrifice [the] sacrifice if cattle if sheep and to give: give to/for priest [the] arm and [the] jaw and [the] stomach
4 Mazao ya kwanza ya nafaka zako, mvinyo wako mpya, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo zako, unapaswa umpe.
first: beginning grain your new wine your and oil your and first: beginning fleece flock your to give: give to/for him
5 Kwa kuwa Yahwe Mungu wako amemchagua kutoka kwenye makabila yote yako kusimama kutumika kwa jina la Yahwe, yeye na wana wake milele.
for in/on/with him to choose LORD God your from all tribe your to/for to stand: stand to/for to minister in/on/with name LORD he/she/it and son: descendant/people his all [the] day
6 Kama Mlawi anatoka kati ya miji yenu nje ya Israel yote kutoka ambapo anaishi, na utamani kwa moyo wake wote kuja katika eneo Yahwe atachagua,
and for to come (in): come [the] Levi from one gate: town your from all Israel which he/she/it to sojourn there and to come (in): come in/on/with all desire soul: appetite his to(wards) [the] place which to choose LORD
7 basi anapaswa kutumika kwa jina la Yahwe Mungu wake kama ndugu zake wote Walawi wanafanya, wanaosimama mbele ya Yahwe.
and to minister in/on/with name LORD God his like/as all brother: compatriot his [the] Levi [the] to stand: stand there to/for face: before LORD
8 Wanapaswa kuwa na mgao wa kufanana wa kula, badala ya kile kinachokuja kutokana na mauzo ya urithi wa familia yake.
portion like/as portion to eat to/for alone: besides sale his upon [the] father
9 Wakati mmekuja katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, mnapaswa kujifunza kuangalia machukizo ya mataifa.
for you(m. s.) to come (in): come to(wards) [the] land: country/planet which LORD God your to give: give to/for you not to learn: learn to/for to make: do like/as abomination [the] nation [the] they(masc.)
10 Pasipatikana miongoni mwenu mmoja anayemweka kijana wake au binti yake kwenye moto, yeyote anatumia uganga, yeyote anatabiri, au mchawi, mchawi yeyote,
not to find in/on/with you to pass son: child his and daughter his in/on/with fire to divine divination to divine and to divine and to practice sorcery
11 yeyote aongeae na wafu, au yeyote aongeae na roho.
and to unite spell and to ask medium and spiritist and to seek to(wards) [the] to die
12 Kwa yeyote afanyae mambo haya ni chukizo kwa Yahwe; ni kwa sababu ya machukizo haya ambayo Yahwe Mungu wenu anawaondosha mbele zenu.
for abomination LORD all to make: do these and in/on/with because of [the] abomination [the] these LORD God your to possess: take [obj] them from face: before your
13 Mnapaswa kuwa wakamilifu mbele ya Yahwe Mungu wenu.
unblemished: blameless to be with LORD God your
14 Kwa mataifa haya ambayo mtayafukuza kusikiliza wale wafanyao uchawi na uganga; lakini kwenu, Yahwe Mungu wenu amewakataza ninyi kufanya hivyo.
for [the] nation [the] these which you(m. s.) to possess: take [obj] them to(wards) to divine and to(wards) to divine to hear: hear and you(m. s.) not so to give: allow to/for you LORD God your
15 Yahwe Mungu wenu atainua kwa ajili yenu nabii kutoka miongoni mwenu, mmoja wa ndugu zenu, kama mimi. Mnapaswa kumsikiliza.
prophet from entrails: among your from brother: compatriot your like me to arise: establish to/for you LORD God your to(wards) him to hear: hear [emph?]
16 Hiki ndicho mlichouliza kutoka kwa Yahwe Mungu wenu huko Horebu katika siku ya kusanyiko, kusema, “Acha tusisikie tena sauti ya Yahwe Mungu wetu, wala kuona moto mkuu tena, wala tutakufa.”
like/as all which to ask from from with LORD God your in/on/with Horeb in/on/with day [the] assembly to/for to say not to add: again to/for to hear: hear [obj] voice LORD God my and [obj] [the] fire [the] great: large [the] this not to see: see still and not to die
17 Yahwe alisema nami, “Kile walichosema ni kizuri.
and to say LORD to(wards) me be good which to speak: speak
18 Nitamwinua nabii kwa ajili yao kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe. Nitaweka maneno yangu katika kinywa chake, na ataongea nao yote niliyowakuamuru.
prophet to arise: establish to/for them from entrails: among brother: compatriot their like you and to give: put word my in/on/with lip his and to speak: speak to(wards) them [obj] all which to command him
19 Itakuwa kama yeyote hatasikia maneno yangu ambayo anazungumza kwa jina langu, nitalitaka kwake.
and to be [the] man which not to hear: hear to(wards) word my which to speak: speak in/on/with name my I to seek from from with him
20 Lakini nabii ambaye anazungumza neno kwa kiburi kwa jina langu, neno ambalo sijamuamuru kusema, au ambaye anayezungumza kwa jina la miungu mingine, huyo nabii atakufa.
surely [the] prophet which to boil to/for to speak: speak word in/on/with name my [obj] which not to command him to/for to speak: speak and which to speak: speak in/on/with name God another and to die [the] prophet [the] he/she/it
21 Hivyo ndivyo unapaswa kusema katika mioyo yenu: “Tutagunduaje kuwa ujumbe ambao Yahwe hajazungumza?
and for to say in/on/with heart your how? to know [obj] [the] word which not to speak: speak him LORD
22 Mtagundua ujumbe ambao Yahwe amezungumza pindi nabii azungumzapo kwa jina la Yahwe. Kama hiyo haitokei wala kufanyika, basi hicho ni kile ambacho Yahwe hajazungumza na nabii amezungumza kwa kiburi, na hampaswi kumuogopa.
which to speak: speak [the] prophet in/on/with name LORD and not to be [the] word and not to come (in): come he/she/it [the] word which not to speak: speak him LORD in/on/with arrogance to speak: speak him [the] prophet not to dread from him

< Torati 18 >