< Torati 17 >

1 Haupaswi kumtolea dhabihu Yahwe Mungu wako ng'ombe au kondoo aliye na kasoro au kitu chochote kibaya, kwa kuwa hiyo itakuwa chukizo kwa Yahwe Mungu wako.
Gospodu, svojemu Bogu, ne boš žrtvoval nobenega bika ali ovce, na kateri je pomanjkljivost ali kakršnakoli slaba stvar, kajti to je ogabnost Gospodu, tvojemu Bogu.
2 Kama kunapatikana miongoni mwenu, ndani ya malango ya mji wowote ambao Yahwe Mungu wenu anawapatia, mwanaume yoyote au mwanamke ambaye anafanya uovu mbele ya Yahwe Mungu wenu kuiharibu agano lake -
Če se med vami najdeta mož ali ženska, znotraj katerihkoli izmed tvojih velikih vrat, ki ti jih daje Gospod, tvoj Bog, ki sta storila zlobnost v očeh Gospoda, tvojega Boga, v tem, da sta prestopala njegovo zavezo
3 yoyote ambaye ameenda na kuabudu miungu mingine na kuisujudia, wala jua, mwezi, au kati ya jeshi la mbinguni- hakuna chochote nimekuamuru,
in sta šla in služila drugim bogovom in jih oboževala ali sonce ali luno ali katerokoli vojsko neba, česar nisem zapovedal
4 na kama ungeambiwa kuhusu hiki, au kama una mifugo- basi unapaswa kufanya uchunguzi wa makini. Kama ni kweli na hakika kwamba chukizo kama hilo limefanyika Israeli-
in ti je to povedano in si o tem slišal in marljivo poizvedoval in glej, če je resnično in je stvar gotova, da je v Izraelu narejena takšna ogabnost,
5 -basi utamleta huyo mwanaume au mwanamke, aliyefanya uovu huu, katika malango ya mji, kwamba mwanaume kabisa au mwanamke, na umponde huyo mtu mpaka kufa.
potem boš tega moža ali to žensko, ki sta zagrešila to zlobno stvar, pripeljal naprej, k svojim velikim vratom, torej tistega moža ali tisto žensko in ju boš kamnal s kamni, dokler ne umreta.
6 Kwa kinywa cha mashahidi wawili, au mashahidi watatu, itakuwa yeye anayepaswa kuuwawa; lakini kwa kinywa cha shahidi mmoja peke hatauwawa.
Po ustih dveh ali treh prič bo tisti, ki je vreden smrti, usmrčen, toda po ustih ene priče ne bo usmrčen.
7 Mkono wa mashahidi unapaswa kuwa wa kwanza kumuuwa, na badae mkono wa watu wote; na mtamuondoa muovu miongoni mwenu.
Roke prič bodo prve nad njim, da ga usmrtijo in potem roke vsega ljudstva. Tako boš odstranil zlo izmed vas.
8 Kama jambo linatokea ambalo ni gumu kwenu kufanya maamuzi- pengine swali la mauaji au kifo cha ajali, haki ya mtu mmoja na haki ya mtu mwingine, au swali moja la aina ya kuzulu kufanyika, au aina nyingine ya jambo-mambo ya utata ndani ya malango yenu, basi utapaswa kwenda kwenye eneo ambalo Yahwe Mungu wako atachagua kama patakatifu pake.
Če tam vstane zadeva, v sodbi zate pretežka, med krvjo in krvjo, med izgovorom in izgovorom, med udarcem in udarcem, ki so zadeve polemike znotraj tvojih velikih vrat, potem se boš vzdignil in se povzpel na kraj, ki ga bo Gospod, tvoj Bog, izbral
9 Utapaswa kwenda kwa makuhani, wazao wa Lawi, na kwa mwamuzi atakayetumika kwa wakati huo; mtatafuta ushauri wao, na watawapa ninyi maamuzi.
in prišel boš k duhovnikom Lévijevcem in k sodniku, ki bo v tistih dneh in povprašal in pokazali ti bodo razsodbo sodbe.
10 Mnapaswa kufuata sheria mliyopewa, katika eneo Yahwe atachagua kama patakatifu pake. Mtakuwa makini kufanya kila kitu ambacho wanawaelekeza kufanya.
Storil boš glede na razsodbo, ki ti jo bodo pokazali tisti, iz tistega kraja, ki ga bo Gospod izbral in obeleževal boš, da storiš glede na vse, o čemer te obvestijo.
11 Fuata sheria wanayowafundisha, na kufanya kulingana na maamuzi wanawapa. Msigeuke kutoka kwa kile wanawambia, kwa kulia au kushoto.
Storil boš glede na razsodbo postave, ki te jo bodo učili, in glede na sodbo, ki ti jo bodo povedali. Ne boš se odvrnil od obsodbe, ki ti jo bodo pokazali, ne na desno roko niti ne na levo.
12 Yeyote anayefanya kwa kiburi, kwa kutomsikiliza kuhani anayesimama kutumika mbele ya Yahwe Mungu wako, au kwa kutomsikiliza mwamuzi- huyu mtu atakufa; mtaweka mbali uovu kutoka Israeli.
Mož pa, ki bo delal prepotentno in ne bo prisluhnil duhovniku, ki tam stoji, da služi pred Gospodom, tvojim Bogom ali sodniku, celo tisti mož bo umrl, in ti se boš iz Izraela znebil zla.
13 Watu wote wanapaswa kusikia na kuogopa, na kutofanya kwa kiburi tena.
In vse ljudstvo bo slišalo in se balo in ne bo več prepotentno ravnalo.
14 Wakati mlipokuja kwenye nchi ambayo Yahwe Mungu anawapa, na wakati mnamiliki na kuanza kuishi ndani yake, na halafu unasema, 'Nitajiwekea mfalme juu yangu, kama mataifa yote yanayonizunguka mimi,'
Ko prideš v deželo, ki ti jo daje Gospod, tvoj Bog in jo boš vzel v last in boš prebival v njej in boš rekel: ›Nad seboj si bom postavil kralja, kakor je pri vseh narodih naokoli mene, ‹
15 basi unapaswa kwa hakika kujiwekea mfalme juu yako mtu yeyote ambaye Yahwe atachagua. Unapaswa kujiweka kama mfalme juu yako mtu yeyote kutoka miongoni mwa ndugu zenu. Haupaswi kuweka mgeni, ambaye si ndugu yenu, juu yenu.
boš vsekakor za kralja nad seboj postavil tistega, ki ga bo izbral Gospod, tvoj Bog. Enega izmed svojih bratov boš postavil za kralja nad seboj. Nad seboj ne smeš postaviti tujca, ki ni tvoj brat.
16 Lakini hapaswi kuzidisha farasi kwa ajili yake, wala kusababisha watu kurudi Misri ili kwamba aweze kuzidisha farasi, kwa kuwa Yahwe alikwisha sema kwako, 'Unapaswa kuanzia sasa usirudi njia hiyo tena.'
Toda ta si ne bo množil konj niti ljudstvu ne bo povzročil, da se vrne v Egipt, z namenom, da bi množil konje, ker kakor ti je Gospod rekel: ›Odslej se ne boš več vrnil po tisti poti.‹
17 Na hapaswi kuzidisha wake kwa ajili yake, ili kwamba moyo wake usigeuke kotoka kwa Yahwe; wala hapaswi sana kuzidisha kwa ajili yake fedha au dhahabu.
Niti si k sebi ne bo množil žená, da njegovega srca ne odvrnejo stran niti k sebi ne bo silno pomnožil srebra in zlata.
18 Wakati aketipo kwenye kiti cha enzi cha ufalme wake, anapaswa kuandika kwenye kitabu kwa ajili yake nakala ya sheria hii, kutoka kwenye sheria ambayo iko mbele ya makuhani, ambao ni Walawi.
In zgodilo se bo, ko sedi na prestolu svojega kraljestva, da si bo zapisal prepis te postave v knjigo iz te, ki je pred duhovniki Lévijevci,
19 Kitabu kinapaswa kuwa na yeye, na anapaswa kusoma ndani yake kwa siku zake zote, ili kwamba aweze kujifunza kumheshimu Yahwe Mungu wako, ili kwamba ashike maneno yote ya sheria hii na amri hizi, kuzishika.
in ta bo z njim in iz nje bo bral vse dni svojega življenja, da se bo lahko učil bati se Gospoda, svojega Boga, da ohranja vse besede te postave in te zakone, da jih izvršuje,
20 Anapaswa kufanya hivi ili kwamba moyo wake usiinuliwe zaidi ya ndugu zake, na ili kwamba asigeuke mbali na amri, kwa kulia au kwa kushoto' kwa kusudi kwamba aweze kuzidisha siku zake katika ufalme wake, yeye na watoto wake, miongoni mwa Israel.
da njegovo srce ne bo povzdignjeno nad njegove brate in da se ne obrne proč od zapovedi, k desni roki ali k levi, z namenom, da lahko podaljša svoje dni v svojem kraljestvu, on in njegovi otroci, v sredi Izraela.

< Torati 17 >