< Torati 17 >
1 Haupaswi kumtolea dhabihu Yahwe Mungu wako ng'ombe au kondoo aliye na kasoro au kitu chochote kibaya, kwa kuwa hiyo itakuwa chukizo kwa Yahwe Mungu wako.
Nebudeš obětovati Hospodinu Bohu svému vola aneb dobytčete, na němž by vada byla, aneb jakákoli věc zlá, nebo ohavnost jest Hospodinu Bohu tvému.
2 Kama kunapatikana miongoni mwenu, ndani ya malango ya mji wowote ambao Yahwe Mungu wenu anawapatia, mwanaume yoyote au mwanamke ambaye anafanya uovu mbele ya Yahwe Mungu wenu kuiharibu agano lake -
Bude-li nalezen u prostřed tebe v některém městě tvém, kteráž Hospodin Bůh tvůj dá tobě, muž aneb žena, ješto by se dopouštěl zlého před očima Hospodina Boha tvého, přestupuje smlouvu jeho,
3 yoyote ambaye ameenda na kuabudu miungu mingine na kuisujudia, wala jua, mwezi, au kati ya jeshi la mbinguni- hakuna chochote nimekuamuru,
A odejda, sloužil by bohům cizím, a klaněl by se jim, buď slunci neb měsíci, aneb kterému rytířstvu nebeskému, čehož jsem nepřikázal,
4 na kama ungeambiwa kuhusu hiki, au kama una mifugo- basi unapaswa kufanya uchunguzi wa makini. Kama ni kweli na hakika kwamba chukizo kama hilo limefanyika Israeli-
A bylo by povědíno tobě, a slyšel bys o tom, tedy vyptáš se pilně na to, a jestliže bude pravda a věc jistá, že by se stala taková ohavnost v Izraeli:
5 -basi utamleta huyo mwanaume au mwanamke, aliyefanya uovu huu, katika malango ya mji, kwamba mwanaume kabisa au mwanamke, na umponde huyo mtu mpaka kufa.
Bez lítosti vyvedeš muže toho aneb ženu tu, kteříž to zlé páchali, k branám svým, muže toho aneb ženu, a kamením je uházíš, ať zemrou.
6 Kwa kinywa cha mashahidi wawili, au mashahidi watatu, itakuwa yeye anayepaswa kuuwawa; lakini kwa kinywa cha shahidi mmoja peke hatauwawa.
V ústech dvou aneb tří svědků zabit bude ten, kdož umříti má, nebudeť pak zabit podlé vyznání svědka jednoho.
7 Mkono wa mashahidi unapaswa kuwa wa kwanza kumuuwa, na badae mkono wa watu wote; na mtamuondoa muovu miongoni mwenu.
Ruka svědků nejprv bude proti němu k zabití jeho, a potom ruce všeho lidu, a tak odejmeš zlé z prostředku svého.
8 Kama jambo linatokea ambalo ni gumu kwenu kufanya maamuzi- pengine swali la mauaji au kifo cha ajali, haki ya mtu mmoja na haki ya mtu mwingine, au swali moja la aina ya kuzulu kufanyika, au aina nyingine ya jambo-mambo ya utata ndani ya malango yenu, basi utapaswa kwenda kwenye eneo ambalo Yahwe Mungu wako atachagua kama patakatifu pake.
Bylo-li by při soudu něco nesnadného, mezi krví a krví, mezi pří a pří, mezi ranou a ranou, v jakékoli rozepři v branách tvých, tedy vstana, půjdeš k místu, kteréž by vyvolil Hospodin Bůh tvůj,
9 Utapaswa kwenda kwa makuhani, wazao wa Lawi, na kwa mwamuzi atakayetumika kwa wakati huo; mtatafuta ushauri wao, na watawapa ninyi maamuzi.
A přijdeš k kněžím Levítského pokolení aneb k soudci, kterýž by tehdáž byl, i budeš se jich ptáti, a oznámíť výpověd soudu.
10 Mnapaswa kufuata sheria mliyopewa, katika eneo Yahwe atachagua kama patakatifu pake. Mtakuwa makini kufanya kila kitu ambacho wanawaelekeza kufanya.
Učiníš tedy vedlé naučení, kteréž by vynesli z místa toho, kteréž by vyvolil Hospodin, a hleď, abys všecko, čemuž by tě učili, tak vykonal.
11 Fuata sheria wanayowafundisha, na kufanya kulingana na maamuzi wanawapa. Msigeuke kutoka kwa kile wanawambia, kwa kulia au kushoto.
Podlé vyrčení zákona, kterémuž by tě naučili, a podlé rozsudku, kterýžť by vypověděli, učiníš; neuchýlíš se od slova sobě oznámeného ani na pravo ani na levo.
12 Yeyote anayefanya kwa kiburi, kwa kutomsikiliza kuhani anayesimama kutumika mbele ya Yahwe Mungu wako, au kwa kutomsikiliza mwamuzi- huyu mtu atakufa; mtaweka mbali uovu kutoka Israeli.
Jestliže by pak kdo v zpouru se vydal, tak že by neposlechl kněze postaveného tam k službě před Hospodinem Bohem tvým, aneb soudce, tedy ať umře člověk ten, a odejmeš zlé z Izraele,
13 Watu wote wanapaswa kusikia na kuogopa, na kutofanya kwa kiburi tena.
Aby všecken lid uslyšíce, báli se, a více v zpouru se nevydávali.
14 Wakati mlipokuja kwenye nchi ambayo Yahwe Mungu anawapa, na wakati mnamiliki na kuanza kuishi ndani yake, na halafu unasema, 'Nitajiwekea mfalme juu yangu, kama mataifa yote yanayonizunguka mimi,'
Když vejdeš do země, kterouž Hospodin Bůh tvůj dá tobě, abys ji dědičně obdržel, a budeš v ní bydliti, a řekneš: Ustanovím nad sebou krále, jako i jiní národové mají, kteříž jsou vůkol mne:
15 basi unapaswa kwa hakika kujiwekea mfalme juu yako mtu yeyote ambaye Yahwe atachagua. Unapaswa kujiweka kama mfalme juu yako mtu yeyote kutoka miongoni mwa ndugu zenu. Haupaswi kuweka mgeni, ambaye si ndugu yenu, juu yenu.
Toho toliko ustanovíš nad sebou krále, kteréhož by vyvolil Hospodin Bůh tvůj. Z prostředku bratří svých ustanovíš nad sebou krále; nebudeš moci ustanoviti nad sebou člověka cizozemce, kterýž by nebyl bratr tvůj.
16 Lakini hapaswi kuzidisha farasi kwa ajili yake, wala kusababisha watu kurudi Misri ili kwamba aweze kuzidisha farasi, kwa kuwa Yahwe alikwisha sema kwako, 'Unapaswa kuanzia sasa usirudi njia hiyo tena.'
A však ať nemívá mnoho koňů, a ať neobrací zase lidu do Egypta, z příčiny rozmnožení koňů, zvláště poněvadž Hospodin vám řekl: Nevracujte se zase cestou touto více.
17 Na hapaswi kuzidisha wake kwa ajili yake, ili kwamba moyo wake usigeuke kotoka kwa Yahwe; wala hapaswi sana kuzidisha kwa ajili yake fedha au dhahabu.
Nebudeť také míti mnoho žen, aby se neodvrátilo srdce jeho; stříbra také aneb zlata ať sobě příliš nerozmnožuje.
18 Wakati aketipo kwenye kiti cha enzi cha ufalme wake, anapaswa kuandika kwenye kitabu kwa ajili yake nakala ya sheria hii, kutoka kwenye sheria ambayo iko mbele ya makuhani, ambao ni Walawi.
Když pak dosedne na stolici království svého, vypíše sobě připomenutý zákon tento do knihy z té, kteráž bude před oblíčejem kněží Levítských.
19 Kitabu kinapaswa kuwa na yeye, na anapaswa kusoma ndani yake kwa siku zake zote, ili kwamba aweze kujifunza kumheshimu Yahwe Mungu wako, ili kwamba ashike maneno yote ya sheria hii na amri hizi, kuzishika.
A bude jej míti při sobě, a čísti jej bude po všecky dny života svého, aby se naučil báti Hospodina Boha svého, a aby ostříhal všech slov zákona tohoto i ustanovení těch, a činil je,
20 Anapaswa kufanya hivi ili kwamba moyo wake usiinuliwe zaidi ya ndugu zake, na ili kwamba asigeuke mbali na amri, kwa kulia au kwa kushoto' kwa kusudi kwamba aweze kuzidisha siku zake katika ufalme wake, yeye na watoto wake, miongoni mwa Israel.
Aby nepozdvihlo se srdce jeho nad bratří jeho, a neuchýlilo se od přikázaní na pravo aneb na levo, aby dlouho živ byl v království svém, on i synové jeho u prostřed Izraele.