< Torati 16 >

1 Angalia mwezi wa Abibu, na uishike pasaka ya Yahwe Mungu wako, kwa kuwa katika mwezi wa Abibu Yahwe Mungu wako alikuleta toka Misri usiku.
ماه ابیب را نگاهدار و فصح را به جهت یهوه، خدایت، بجا آور، زیرا که در ماه ابیب یهوه، خدایت، تو را از مصر در شب بیرون آورد.۱
2 Utamtolea dhabibu ya pasaka Yahwe Mungu wako na baadhi ya mifugo na wanyama kwenye eneo ambalo Yahwe atachagua kama patakatifu pake.
پس فصح را از رمه و گله برای یهوه، خدایت، ذبح کن، در مکانی که خداوند برگزیند، تا نام خود را در آن ساکن سازد.۲
3 Hautakula mkate wa chachu pamoja nayo, siku saba utakula mkate usio na chachu, mkate wa mateso; kwa kuwa mlitoka katika nchi ya Misri kwa haraka. Fanya haya katika siku zako zote za maisha yako ili uweze kukumbuka akilini siku mliotoka nchi ya Misri.
با آن، خمیرمایه مخور، هفت روز نان فطیر یعنی نان مشقت را باآن بخور، زیرا که به تعجیل از زمین مصر بیرون آمدی، تا روز خروج خود را از زمین مصر درتمامی روزهای عمرت بیاد آوری.۳
4 Hakuna chachu inapaswa kuonekana miongoni mwenu ndani ya mipaka yenu wakati wa siku saba; wala nyama yoyote mnayotoa dhabihu jioni kwa siku ya kwanza inabaki mpaka asubuhi.
پس هفت روز هیچ خمیرمایه در تمامی حدودت دیده نشود، و از گوشتی که در شام روز اول، ذبح می‌کنی چیزی تا صبح باقی نماند.۴
5 Msitoe dhabihu ya pasaka kati ya malango yenu ya ndani ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa.
فصح را درهر یکی از دروازه هایت که یهوه خدایت به تومی دهد، ذبح نتوانی کرد.۵
6 Badala yake, toa dhabihu katika eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kama patakatifu pake. Hapo mtatoa dhabihu ya pasaka jioni wakati jua linazama, kwa wakati huo wa mwaka mlitoka Misri.
بلکه در مکانی که یهوه، خدایت، برگزیند تا نام خود را در آن ساکن سازد، در آنجا فصح را در شام، وقت غروب آفتاب، هنگام بیرون آمدنت از مصر ذبح کن.۶
7 Mtapaswa kuichoma na kuila katika eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua; asubuhi mtageuka na kwenda kwenye mahema yenu.
وآن را در مکانی که یهوه، خدایت، برگزیند بپز وبخور و بامدادان برخاسته، به خیمه هایت برو.۷
8 Kwa siku sita mtakula mkate usiotia chachu; katika siku ya saba kutakuwa na kusanyiko makini kwa ajili ya Yahwe Mungu wenu; katika siku hiyo hamtafanya kazi.
شش روز نان فطیر بخور، و در روز هفتم، جشن مقدس برای یهوه خدایت باشد، در آن هیچ کارمکن.۸
9 Mtahesabu wiki saba kwa ajili yenu; tangu wakati mlipoanza kuweka mundu kwenye nafaka iliyosimama mtapaswa kuanza kuhesabu wiki saba.
هفت هفته برای خود بشمار. از ابتدای نهادن داس در زرع خود، شمردن هفت هفته را شروع کن.۹
10 Mtapaswa kushika wiki za sherehe ya Yahwe Mungu wenu pamoja na mchango wa sadaka ya utayari kutoka mkono wako ambayo utatoa, kulingana na Yahwe alivyokubariki.
و عید هفته‌ها را با هدیه نوافل دست خودنگاهدار و آن را به اندازه برکتی که یهوه خدایت به تو دهد، بده.۱۰
11 Utafurahi mbele ya Yahwe Mungu wako- wewe, kijana wako, binti wako, mjakazi wako wa kiume, mjakazi wako wa kike, Mlawi aliye katika malango yako, na mgeni, yatima, na mjane alio miongoni mwenu, katika eneo ambalo Yahwe Mungu wako atachagua kwa ajili ya patakatifu pake.
و به حضور یهوه، خدایت، شادی نما تو و پسرت و دخترت و غلامت و کنیزت ولاوی که درون دروازه هایت باشد و غریب و یتیم و بیوه‌زنی که در میان تو باشند، در مکانی که یهوه خدایت برگزیند تا نام خود را در آن ساکن گرداند.۱۱
12 Utakumbuka akilini kwamba ulikuwa mtumwa Misri; unapaswa kuangalia na kuzishika amri hizi.
و بیاد آور که در مصر غلام بودی، پس متوجه شده، این فرایض را بجا آور.۱۲
13 Unapaswa kushika sherehe za vibanda kwa siku saba baada ya kuwa mmekusanya mavuno toka kwenye sakafu ya mapura na kutoka kwenye kinu chako cha divai.
عید خیمه‌ها را بعد از جمع کردن حاصل ازخرمن، و چرخشت خود هفت روز نگاهدار.۱۳
14 Utafurahi wakati wa sherehe- wewe, kijana wako, binti wako, mjakazi wako wa kiume, mjakazi wako wa kike, Mlawi, na mgeni, na yatima na mjane walio ndani ya malango yako.
ودر عید خود شادی نما، تو و پسرت و دخترت وغلامت و کنیزت و لاوی و غریب و یتیم وبیوه‌زنی که درون دروازه هایت باشند.۱۴
15 Kwa siku saba unapaswa kuangalia sherehe ya Yahwe Mungu wako katika eneo ambalo Yahwe atachagua, kwa sababu Yahwe Mungu wako atakubariki katika mavuno yako yote na kazi ya mikono yako yote, na unapaswa kuwa na furaha kabisa.
هفت روز در مکانی که خداوند برگزیند، برای یهوه خدایت عید نگاه دار، زیرا که یهوه خدایت تو رادر همه محصولت و در تمامی اعمال دستت برکت خواهد داد، و بسیار شادمان خواهی بود.۱۵
16 Mara tatu kwa mwaka wanaume wako wote wanapaswa kuonekana mbele za Yahwe Mungu wako katika eneo ambalo atachagua: katika sherehe ya mkate usiotiwa chachu, katika sherehe za wiki, na sherehe ya vibanda; na hawataonekana mbele za Yahwe mikono mitupu;
سه مرتبه در سال جمیع ذکورانت به حضوریهوه خدایت در مکانی که او برگزیند حاضرشوند، یعنی در عید فطیر و عید هفته‌ها و عیدخیمه‌ها و به حضور خداوند تهی‌دست حاضرنشوند.۱۶
17 badala yake, kila mtu atatoa kama awezavyo, kwamba mtajua baraka kwamba Yahwe Mungu wako amekupa.
هر کس به قدر قوه خود به اندازه برکتی که یهوه، خدایت، به تو عطا فرماید، بدهد.۱۷
18 Unapaswa kufanya waamuzi na maakida ndani ya malango yako ambayo Yahwe Mungu wako anakupa; watachukuliwa toka kila kabila, and watahukumu watu kwa hukumu ya haki.
داوران و سروران در جمیع دروازه هایی که یهوه، خدایت، به تو می‌دهد برحسب اسباط خود برایت تعیین نما، تا قوم را به حکم عدل، داوری نمایند.۱۸
19 Haupaswi kuiondoa haki kwa nguvu; haupaswi kuonesha upendeleo wala kuchukua rushwa, kwa kuwa rushwa upofusha macho ya hekima na kupotosha maneno ya haki.
داوری را منحرف مساز و طرفداری منما و رشوه مگیر، زیرا که رشوه چشمان حکمارا کور می‌سازد و سخنان عادلان را کج می‌نماید.۱۹
20 Unapaswa kufata baada ya haki, baada ya haki peke yake, ili kwamba uishi na kurithi nchi ambayo Yahwe Mungu wako anakupa.
انصاف کامل را پیروی نما تا زنده مانی وزمینی را که یهوه خدایت به تو می‌دهد، مالک شوی.۲۰
21 Haupaswi kujitengenezea Asherahi, aina yoyote ya mti, kando ya madhabahu ya Yahwe Mungu wako ambayo utakayojitengenezea.
اشیره‌ای از هیچ نوع درخت نزد مذبح یهوه، خدایت، که برای خود خواهی ساخت غرس منما.۲۱
22 Wala usijitengenezee jiwe takatifu la nguzo, ambalo Yahwe Mungu wako anachukia.
و ستونی برای خود نصب مکن زیرا یهوه خدایت آن را مکروه می‌دارد.۲۲

< Torati 16 >