< Torati 16 >
1 Angalia mwezi wa Abibu, na uishike pasaka ya Yahwe Mungu wako, kwa kuwa katika mwezi wa Abibu Yahwe Mungu wako alikuleta toka Misri usiku.
Tag Vare paa Abib Maaned, at du holder Paaske for Herren din Gud; thi i Abib Maaned udførte Herren din Gud dig af Ægypten om Natten.
2 Utamtolea dhabibu ya pasaka Yahwe Mungu wako na baadhi ya mifugo na wanyama kwenye eneo ambalo Yahwe atachagua kama patakatifu pake.
Og du skal slagte Paaskeoffer for Herren din Gud, smaat Kvæg og stort Kvæg, paa det Sted, som Herren skal udvælge, til der at lade sit Navn bo.
3 Hautakula mkate wa chachu pamoja nayo, siku saba utakula mkate usio na chachu, mkate wa mateso; kwa kuwa mlitoka katika nchi ya Misri kwa haraka. Fanya haya katika siku zako zote za maisha yako ili uweze kukumbuka akilini siku mliotoka nchi ya Misri.
Du skal ikke æde syret Brød dertil, syv Dage skal du æde usyret Brød dertil, Trængselsbrød; thi med Hast drog du ud af Ægyptens Land; for at du skal ihukomme den Dag, da du uddrog af Ægyptens Land, alle dine Livsdage.
4 Hakuna chachu inapaswa kuonekana miongoni mwenu ndani ya mipaka yenu wakati wa siku saba; wala nyama yoyote mnayotoa dhabihu jioni kwa siku ya kwanza inabaki mpaka asubuhi.
Og der skal ingen Surdejg ses hos dig inden alt dit Landemærke, syv Dage; og der skal intet af Kødet, som du slagter om Aftenen paa den første Dag, ligge Natten over til om Morgenen.
5 Msitoe dhabihu ya pasaka kati ya malango yenu ya ndani ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa.
Du maa ikke slagte Paaskeoffer i nogen af dine Byer, som Herren din Gud giver dig.
6 Badala yake, toa dhabihu katika eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kama patakatifu pake. Hapo mtatoa dhabihu ya pasaka jioni wakati jua linazama, kwa wakati huo wa mwaka mlitoka Misri.
Men paa det Sted, som Herren din Gud skal udvælge til der at lade sit Navn bo, der skal du slagte Paaskeofret om Aftenen, mod Solens Nedgang, paa den bestemte Tid, som du drog ud af Ægypten.
7 Mtapaswa kuichoma na kuila katika eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua; asubuhi mtageuka na kwenda kwenye mahema yenu.
Og du skal koge og æde det paa det Sted, som Herren din Gud skal udvælge; og om Morgenen skal du vende om og gaa til dine Telte.
8 Kwa siku sita mtakula mkate usiotia chachu; katika siku ya saba kutakuwa na kusanyiko makini kwa ajili ya Yahwe Mungu wenu; katika siku hiyo hamtafanya kazi.
Seks Dage skal du æde usyrede Brød; men paa den syvende Dag er en Slutningsfest for Herren din Gud, da skal du intet Arbejde gøre.
9 Mtahesabu wiki saba kwa ajili yenu; tangu wakati mlipoanza kuweka mundu kwenye nafaka iliyosimama mtapaswa kuanza kuhesabu wiki saba.
Du skal tælle dig syv Uger; fra man begynder med Seglen paa det staaende Korn, skal du begynde at tælle syv Uger.
10 Mtapaswa kushika wiki za sherehe ya Yahwe Mungu wenu pamoja na mchango wa sadaka ya utayari kutoka mkono wako ambayo utatoa, kulingana na Yahwe alivyokubariki.
Og du skal holde Ugernes Højtid for Herren din Gud, efter hvad din Haand frivillig vil yde; efter hvad Herren din Gud velsigner dig med.
11 Utafurahi mbele ya Yahwe Mungu wako- wewe, kijana wako, binti wako, mjakazi wako wa kiume, mjakazi wako wa kike, Mlawi aliye katika malango yako, na mgeni, yatima, na mjane alio miongoni mwenu, katika eneo ambalo Yahwe Mungu wako atachagua kwa ajili ya patakatifu pake.
Og du skal være glad for Herren din Guds Ansigt, du og din Søn og din Datter og din Tjener og din Tjenestepige og Leviten, som er inden dine Porte, og den fremmede og den faderløse og Enken, som er midt iblandt dig paa det Sted, som Herren din Gud skal udvælge til der at lade sit Navn bo.
12 Utakumbuka akilini kwamba ulikuwa mtumwa Misri; unapaswa kuangalia na kuzishika amri hizi.
Og du skal komme i Hu, at du har været en Træl i Ægypten; og du skal holde og gøre disse Skikke.
13 Unapaswa kushika sherehe za vibanda kwa siku saba baada ya kuwa mmekusanya mavuno toka kwenye sakafu ya mapura na kutoka kwenye kinu chako cha divai.
Du skal holde Løvsalernes Højtid for dig syv Dage, naar du har indsamlet af din Lo og af din Perse.
14 Utafurahi wakati wa sherehe- wewe, kijana wako, binti wako, mjakazi wako wa kiume, mjakazi wako wa kike, Mlawi, na mgeni, na yatima na mjane walio ndani ya malango yako.
Og du skal være glad under din Højtid, du og din Søn og din Datter og din Tjener og din Tjenestepige og Leviten og den fremmede og den faderløse og Enken, som ere inden dine Porte.
15 Kwa siku saba unapaswa kuangalia sherehe ya Yahwe Mungu wako katika eneo ambalo Yahwe atachagua, kwa sababu Yahwe Mungu wako atakubariki katika mavuno yako yote na kazi ya mikono yako yote, na unapaswa kuwa na furaha kabisa.
Syv Dage skal du holde Højtid for Herren din Gud paa det Sted, som Herren skal udvælge; fordi Herren din Gud skal velsigne dig i al din Afgrøde og i al dine Hænders Gerning, derfor skal du kun være glad.
16 Mara tatu kwa mwaka wanaume wako wote wanapaswa kuonekana mbele za Yahwe Mungu wako katika eneo ambalo atachagua: katika sherehe ya mkate usiotiwa chachu, katika sherehe za wiki, na sherehe ya vibanda; na hawataonekana mbele za Yahwe mikono mitupu;
Tre Gange om Aaret skal alt dit Mandkøn ses for Herren din Guds Ansigt paa det Sted, som han skal udvælge, paa de usyrede Brøds Højtid og paa Ugernes Højtid og paa Løvsalernes Højtid; og der skal ingen ses tomhændet for Herrens Ansigt;
17 badala yake, kila mtu atatoa kama awezavyo, kwamba mtajua baraka kwamba Yahwe Mungu wako amekupa.
men hver med Haands Gave, efter Herren din Guds Velsignelse, som han har givet dig.
18 Unapaswa kufanya waamuzi na maakida ndani ya malango yako ambayo Yahwe Mungu wako anakupa; watachukuliwa toka kila kabila, and watahukumu watu kwa hukumu ya haki.
Du skal sætte dig Dommere og Fogeder i alle dine Porte, som Herren din Gud giver dig, for dine Stammer; og de skulle dømme Folket med retfærdig Dom.
19 Haupaswi kuiondoa haki kwa nguvu; haupaswi kuonesha upendeleo wala kuchukua rushwa, kwa kuwa rushwa upofusha macho ya hekima na kupotosha maneno ya haki.
Du skal ikke bøje Retten, du skal ej heller anse nogens Person, og du skal ikke tage Gave; thi Gaven forblinder de vises Øjne og forvender de retfærdiges Sager.
20 Unapaswa kufata baada ya haki, baada ya haki peke yake, ili kwamba uishi na kurithi nchi ambayo Yahwe Mungu wako anakupa.
Ret, Ret skal du efterjage, at du maa leve og eje det Land, som Herren din Gud giver dig.
21 Haupaswi kujitengenezea Asherahi, aina yoyote ya mti, kando ya madhabahu ya Yahwe Mungu wako ambayo utakayojitengenezea.
Du skal ikke sætte dig Astartebilleder af noget Slags Træ ved Herren din Guds Alter, som du skal gøre dig.
22 Wala usijitengenezee jiwe takatifu la nguzo, ambalo Yahwe Mungu wako anachukia.
Du skal ikke oprejse dig Støtter, hvilke Herren din Gud hader.