< Torati 16 >

1 Angalia mwezi wa Abibu, na uishike pasaka ya Yahwe Mungu wako, kwa kuwa katika mwezi wa Abibu Yahwe Mungu wako alikuleta toka Misri usiku.
Pakai, na Pathen uva dinga kumseh le kut nabol diu ahi. Hichu Abib lhamasa hiding ahi. Ajeh chu hiche lhasunga hi Pakaiyin Egypt gam'a kona jan muthim noiya nahin puidoh-u ahi.
2 Utamtolea dhabibu ya pasaka Yahwe Mungu wako na baadhi ya mifugo na wanyama kwenye eneo ambalo Yahwe atachagua kama patakatifu pake.
Hiche kut ading chun nagan chateu lah a kon katdoh ding chengse chu Pakai, Pathen in adeilhenna houmun a chu nahin choi diu, hiche mun chu Pathen loupina ding ahi.
3 Hautakula mkate wa chachu pamoja nayo, siku saba utakula mkate usio na chachu, mkate wa mateso; kwa kuwa mlitoka katika nchi ya Misri kwa haraka. Fanya haya katika siku zako zote za maisha yako ili uweze kukumbuka akilini siku mliotoka nchi ya Misri.
Hichu cholsolou changlhah toh aneh tha diu ahi. Nisagi sunga cholsolou changlhah jeng naneh diu ahi, ajeh chu Egypt gam'a kona kinotah a nahungnau avetsah ahi. Hiche changlhah hi neuvin suhgim vetsahna changlhah ahin, chutileh nadam lai sung seuva Egypt gam'a kona nahung potdoh nau na geldoh jing diu ahi.
4 Hakuna chachu inapaswa kuonekana miongoni mwenu ndani ya mipaka yenu wakati wa siku saba; wala nyama yoyote mnayotoa dhabihu jioni kwa siku ya kwanza inabaki mpaka asubuhi.
Hiche nisagi sunga hin koiman cholsosa a-in muna koihih hen. Kut adia kelngoi natha tenguleh, hiche sa chu koiman jingkah khovah geiyin koihih hen.
5 Msitoe dhabihu ya pasaka kati ya malango yenu ya ndani ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa.
Hiche kut hi khopi tinchenga nabol thei lou diu ahi.
6 Badala yake, toa dhabihu katika eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kama patakatifu pake. Hapo mtatoa dhabihu ya pasaka jioni wakati jua linazama, kwa wakati huo wa mwaka mlitoka Misri.
Pakai, Pathen in adeilhenna mun a bou chu nabol diu ahi, ajeh chu Pakai, na Pathen uvin amin choiatna dinga alhen ahi. Nisa alep lhah tengleh hichu Egypt gam'a nahung potdoh nau vetsahna nabol diu ahi.
7 Mtapaswa kuichoma na kuila katika eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua; asubuhi mtageuka na kwenda kwenye mahema yenu.
Sachu nakisem diu Pakaiyin alhenna muna chu naneh diu ahi. Chule jingkah lam leh na ponbuh mun cheh uva nakile thei diu ahitai.
8 Kwa siku sita mtakula mkate usiotia chachu; katika siku ya saba kutakuwa na kusanyiko makini kwa ajili ya Yahwe Mungu wenu; katika siku hiyo hamtafanya kazi.
Hinlah aban nigup sunga chu cholsolou changlhah jeng naneh diu ahi. Anisagi lhin ni chu Pakai, Pathen adia nikho thenga nanit sohkei diu, koiman na atoh thei lou ding ahi.
9 Mtahesabu wiki saba kwa ajili yenu; tangu wakati mlipoanza kuweka mundu kwenye nafaka iliyosimama mtapaswa kuanza kuhesabu wiki saba.
Lousohga nakhop tup nikho uva pat hapta sagi nasim diu ahi.
10 Mtapaswa kushika wiki za sherehe ya Yahwe Mungu wenu pamoja na mchango wa sadaka ya utayari kutoka mkono wako ambayo utatoa, kulingana na Yahwe alivyokubariki.
Chujou tengleh Pakai, na Pathen uva dinga kal chuh kut golvah nabol diu ahi. Pakaiya kona phatthei nachanna hou ijakai nahin choisoh kei diu ahi.
11 Utafurahi mbele ya Yahwe Mungu wako- wewe, kijana wako, binti wako, mjakazi wako wa kiume, mjakazi wako wa kike, Mlawi aliye katika malango yako, na mgeni, yatima, na mjane alio miongoni mwenu, katika eneo ambalo Yahwe Mungu wako atachagua kwa ajili ya patakatifu pake.
Chuteng Pakai, na Pathen uvin houmun adei lhenna muna chu na hinchoi diu golvah nabol diu, hiche muna chu Pathen min choiat a um ding ahi. Na khopi sung uva nachanuteu leh na chapateu chule Levi mite ahin, chagate, kholjin miho chule meithai ho jaona a golvah nabol khom diu ahi.
12 Utakumbuka akilini kwamba ulikuwa mtumwa Misri; unapaswa kuangalia na kuzishika amri hizi.
Ajeh chu nangho jong Egypt gam'a soh-changa hinkho mang na hiuve ti nageldoh jing diu, thupeh hi chengse hi najui diu ahi.
13 Unapaswa kushika sherehe za vibanda kwa siku saba baada ya kuwa mmekusanya mavuno toka kwenye sakafu ya mapura na kutoka kwenye kinu chako cha divai.
Lhosohga, lengpiga ijakai nakhop tup tenguleh nisagi sunga lholhun kut naman teidiu ahi.
14 Utafurahi wakati wa sherehe- wewe, kijana wako, binti wako, mjakazi wako wa kiume, mjakazi wako wa kike, Mlawi, na mgeni, na yatima na mjane walio ndani ya malango yako.
Hiche golvah loupi hi nachanuteu leh nachapateu, nasoh tehou, Levi mite, chaga ho, kholjin mi chule meithai ho jaona nabol diu ahi.
15 Kwa siku saba unapaswa kuangalia sherehe ya Yahwe Mungu wako katika eneo ambalo Yahwe atachagua, kwa sababu Yahwe Mungu wako atakubariki katika mavuno yako yote na kazi ya mikono yako yote, na unapaswa kuwa na furaha kabisa.
Hiche golvah hi nisagi sunga Pakaiyin alhenna muna chu nabol diu ahi. Ajeh chu Pakaiya kona phatthei nachannau gasoh chu ahin, hiche kut hi mijouse adia kipana hi ding ahi.
16 Mara tatu kwa mwaka wanaume wako wote wanapaswa kuonekana mbele za Yahwe Mungu wako katika eneo ambalo atachagua: katika sherehe ya mkate usiotiwa chachu, katika sherehe za wiki, na sherehe ya vibanda; na hawataonekana mbele za Yahwe mikono mitupu;
Kumseh leh Israel miten hiche kut thum hohi aman jing diu ahi: Mon mang theilou chang lhah kut, lholhun kut chule khoptup kut ahi. Hiche ahung lhun tengleh pasal a kailha kitiphot Pakai, Pathen angsunga kilah ding, koimachan khut goh keuva Pakai angsung anai lut thei lou ding ahi.
17 badala yake, kila mtu atatoa kama awezavyo, kwamba mtajua baraka kwamba Yahwe Mungu wako amekupa.
Mijousen ajokham khama phattheina chu Pakai henga ahin lhut cheh diu ahi.
18 Unapaswa kufanya waamuzi na maakida ndani ya malango yako ambayo Yahwe Mungu wako anakupa; watachukuliwa toka kila kabila, and watahukumu watu kwa hukumu ya haki.
Pakaiyin napeh nau khopi jousea thutan vaihoma pang ding nakoisoh kei diu ahi. Amaho chun miho chunga chamdela thu atan diu ahi.
19 Haupaswi kuiondoa haki kwa nguvu; haupaswi kuonesha upendeleo wala kuchukua rushwa, kwa kuwa rushwa upofusha macho ya hekima na kupotosha maneno ya haki.
Koima chunga langnei sihneiya thil ima nabol lou diu ahi. Aching athem hihen, khomu louva hijongleh Pakai mit mua chamdela thu natan diu ahi.
20 Unapaswa kufata baada ya haki, baada ya haki peke yake, ili kwamba uishi na kurithi nchi ambayo Yahwe Mungu wako anakupa.
Adih a kivaihopna chu umjing hen, chutileh Pakai, na Pathen uvin napeh nau gamsunga lungmonga nachen diu ahi.
21 Haupaswi kujitengenezea Asherahi, aina yoyote ya mti, kando ya madhabahu ya Yahwe Mungu wako ambayo utakayojitengenezea.
Asherah thing mangcha a pathen lim nasemthu louhel diu ahi.
22 Wala usijitengenezee jiwe takatifu la nguzo, ambalo Yahwe Mungu wako anachukia.
Chule aguh a hou dinga khom ima naphu thei lou diu ahi. Ajeh chu Pakai, Pathen adia hitobang chu thet umtah ahi.

< Torati 16 >