< Torati 15 >

1 Kila mwisho wa kila miaka saba, mnapaswa kufuta madeni.
В седмое лето да сотвориши отпущение.
2 Hii ni tabia ya ukombozi. Kila mkopeshaji atafuta kile alichompa jirani yake, hata dai kutoka kwa jirani yake au ndugu yake kwa sababu ufutaji wa madeni wa Yahwe umetangazwa.
И сице заповедь отпущения: да оставивши весь долг твой, имже должен ближний тебе, и от брата своего не истяжеши, яко наречеся отпущение Господу Богу твоему.
3 Kutoka kwa mgeni mnaweza kudai; lakini kwa chochote chenu kilicho na ndugu yenu mnapaswa mkitoe.
От чуждаго да истяжеши, елика суть твоя у него: брату же твоему отпущение да сотвориши долга твоего.
4 Hata hivyo, pasiwepo maskini miongoni mwenu (kwa kuwa Yahwe kwa hakika atawabariki kwenye nchi ambayo anawapa kama urithi kumiliki)
Яко не будет у тебе недостаточен: сего ради словесе благословением благословит тя Господь Бог твои в земли, юже тебе Господь Бог дает во жребий прияти ю.
5 kama peke yenu mnasikiliza kwa bidii sauti ya Yahwe Mungu wenu, kuzishika amri zote ambazo anawaamuru leo.
Аще же слухом послушаете гласа Господа Бога вашего хранити и творити вся заповеди сия, яже аз заповедаю тебе днесь, яко Господь Бог твой благословил тя есть, якоже глагола тебе,
6 Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu atawabariki, kama alivyowaahidia; mtakopesha mataifa mengi, lakini hamtaazima; mtaongoza juu ya mataifa mengi, lakini hayatawaongoza ninyi.
и взаим даси языком многим, ты же не займеши, и обладати будеши ты языки многими, тобою же не возобладают.
7 Kama kuna mtu maskini miongoni mwenu, moja wa ndugu zenu, ndani ya malango yenu yoyote kwenye nchi yenu ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, msifanye migumu mioyo yenu wala kufunga mkono wenu toka kwa ndugu yenu,
Аще же брат от братии твоея будет тебе недостаточен во единем от градов твоих в земли, юже Господь Бог твои дает тебе, да не отвратиши сердца твоего, ниже сожмеши руки твоея пред братом твоим требующим:
8 Lakini mnapaswa hakika kufungua mkono wenu kwake na hakika mkopeshe yeye vya kutosha hitaji lake.
отверзая да отверзеши руку твою ему, и взаим да даси ему, елико просит, и елико ему не достанет.
9 Muwe makini kutokuwa na wazo ovu au potovu katika moyo wenu, kusema, “Mwaka wa saba, mwaka wa ukombozi u karibu; ili kwamba msiwe wachoyo kuhusiana na ndugu zenu maskini na haumpi chochote; anaweza kumlilia Yahwe kuhusu nyie, na itakuwa dhambi yenu.
Внемли себе: да не будет слово тайно в сердцы твоем беззакония, глаголя: близ есть седмое лето, лето отпущения, и возлукавнует око твое брату твоему требующему, и не даси ему, и возопиет на тя ко Господу, и будет тебе грех велик:
10 Mnapaswa kwa hakika mmpe, na moyo wenu hampaswi kuhuzunika wakati mnampa, kwa sababu kurudishiwa kwa Yahwe huyu Mungu wenu atawabariki katika kazi zenu zote na katika chochote mnaweka mkono wenu.
даянием да даси ему, и взаим да даси ему, елико воспросит, якоже требует: и не опечалися в сердцы своем, дающу ти ему, яко сего ради слова благословит тя Господь Бог твой во всех делех твоих, и во всем, на неже возложиши руку твою:
11 Kwa kuwa maskini kamwe hatakoma kuishi katika nchi, kwa hiyo nakuamuru wewe na kusema, “Unapaswa kwa hakika ufungue mkono wako kwa ndugu yako, kwa mhitaji wako, na kwa maskini wako katika nchi yako.
ибо не оскудеет недостаточный от земли твоея, сего ради аз заповедаю тебе творити слово сие, глаголя: отверзая отверзи руце твои брату твоему нищему и просящему на земли твоей.
12 Kama ndugu yako, ni mwebrania wa kiume au mwebrania wa kike, ameuzwa kwako na anakutumikia kwa miaka saba, basi katika mwaka wa saba unapaswa umwache aende zake huru.
Аще же продастся тебе брат твой Евреанин, или Евреаныня, да поработает тебе шесть лет, и в седмое да отпустиши его свободна от себе:
13 Unapomwacha aende zake huru, usimwache aende mkono mtupu.
егда же пустиши его свободна от себе, да не отпустиши его тща:
14 Unapaswa kwa ukarimu hutoe kwake kutoka mifugo yako, kutoka pura iliyo chini, na kinu chako cha mvinyo. Kama Yahwe Mungu wako alivyokubariki, unapaswa umpe yeye.
напутное ему да уготовиши от овец твоих и от пшеницы твоея и от вина твоего: якоже благослови тя Господь Бог твой, да даси ему,
15 Unapaswa kukumbuka kwamba ulikuwa mtumwa kwenye nchi ya Misri, na kwamba Yahwe Mungu wako alikukomboa; kwa hiyo ninakuamuru leo kufanya hivi.
и помяни, яко раб и ты был еси в земли Египетстей, и свободи тя Господь Бог твой оттуду: сего ради аз заповедаю тебе творити слово сие.
16 Itakuwa kwamba kama atasema kwako, “Sitaenda mbali yako; kwa sababu anakupenda na nyumba yako, na kwa sababu ni mzuri kwako,
Аще же речет к тебе: не отиду от тебе, яко возлюбих тя и дом твой, яко добро есть есть у тебе:
17 basi unapaswa kuchukua uma na msukumo kupitia sikio lake kwenye mlango, na atakuwa mtumwa wako milele. Na pia kwa mtumwa wako wa kike utafanya vilevile.
да возмеши шило, и провертиши ему ухо пред дверми у степени, и будет ти раб во веки: и рабе твоей сотвориши такожде.
18 Isionekane kuwa vigumu kwako kumwachia aende zake huru, kwa sababu amekutumikia kwa miaka sita na amekupa mara mbili udhamani wa mtu aliyeajiriwa. Yahwe Mungu wako atakubariki katika yote unayofanya.
Да не будет жестоко пред тобою, отпущаемым им от тебе свободным, понеже годовую мзду наемничу работа тебе шесть лет: и благословит тя Господь Бог твой во всем, еже твориши.
19 Wazao wote wa kwanza wa kiume katika wanyama na mifugo wako unapaswa uwatenge kwa Yahwe Mungu wako. Hautafanya kazi na mzao wa kwanza wa wanyama wako wala kumnyoa mzao wa kwanza wa mfugo wako.
Всяко первородное, еже родится от волов твоих и от овец твоих, мужеск пол да освятиши Господеви Богу твоему: да не делаеши первородным телцем твоим и да не стрижеши первенца во овцах твоих.
20 Unapaswa umle mzaliwa wa kwanza mbele ya Yahwe Mungu wako kila mwaka katika eneo ambalo Yahwe atachagua, wewe na nyumba yako.
Пред Господем Богом твоим да яси я от лета до лета, на месте, идеже изберет Господь Бог твои, ты и дом твой.
21 Kama ina kasoro yoyote- kwa mfano, kama ni kilema au kipofu, au ana kasoro yoyote- haupaswi kumtoa dhabihu kwa Yahwe Mungu wako.
Аще же будет на нем порок, хромота, или слепота, и всякий порок зол, да не пожреши его Господу Богу твоему.
22 Utamla ndani ya malango yako; mtu asiye najisi na aliye najisi ni sawa unapaswa kula, kama ungekula paa au kulungu.
Во градех твоих да снеси я: нечистый и чистый у тебе такожде да яст, яко серну или еленя.
23 Pekee haupaswi kunywa damu yake; unapaswa kuimwanga damu yake juu ya ardhi kama maji.
Токмо крове да не снесте: на землю проливай ю аки воду.

< Torati 15 >