< Torati 15 >
1 Kila mwisho wa kila miaka saba, mnapaswa kufuta madeni.
À la septième année, tu feras la rémission,
2 Hii ni tabia ya ukombozi. Kila mkopeshaji atafuta kile alichompa jirani yake, hata dai kutoka kwa jirani yake au ndugu yake kwa sababu ufutaji wa madeni wa Yahwe umetangazwa.
Qui sera célébrée de cette manière: Celui à qui il est dû quelque chose par son ami ou son prochain et son frère, ne pourra le redemander, parce que c’est l’année de la rémission du Seigneur.
3 Kutoka kwa mgeni mnaweza kudai; lakini kwa chochote chenu kilicho na ndugu yenu mnapaswa mkitoe.
Tu l’exigeras du voyageur et de l’étranger: tu n’auras pas le pouvoir de le redemander à ton concitoyen et à un de tes proches.
4 Hata hivyo, pasiwepo maskini miongoni mwenu (kwa kuwa Yahwe kwa hakika atawabariki kwenye nchi ambayo anawapa kama urithi kumiliki)
Et il n’y aura aucun indigent et aucun mendiant parmi vous, afin que le Seigneur ton Dieu te bénisse dans la terre qu’il va te livrer en possession.
5 kama peke yenu mnasikiliza kwa bidii sauti ya Yahwe Mungu wenu, kuzishika amri zote ambazo anawaamuru leo.
Si cependant tu écoutes la voix du Seigneur ton Dieu, et que tu observes tout ce qu’il a commandé, et que moi aujourd’hui, je te prescris, il te bénira comme il a promis.
6 Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu atawabariki, kama alivyowaahidia; mtakopesha mataifa mengi, lakini hamtaazima; mtaongoza juu ya mataifa mengi, lakini hayatawaongoza ninyi.
Tu prêteras à beaucoup de nations, mais toi-même, tu ne recevras de prêt de personne. Tu domineras sur plusieurs nations, et personne ne te dominera.
7 Kama kuna mtu maskini miongoni mwenu, moja wa ndugu zenu, ndani ya malango yenu yoyote kwenye nchi yenu ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, msifanye migumu mioyo yenu wala kufunga mkono wenu toka kwa ndugu yenu,
Si un de tes frères qui demeurera au dedans des portes de ta ville, dans la terre que le Seigneur ton Dieu va te donner, tombe dans la pauvreté, tu n’endurciras point ton cœur, et tu ne resserreras point ta main,
8 Lakini mnapaswa hakika kufungua mkono wenu kwake na hakika mkopeshe yeye vya kutosha hitaji lake.
Mais tu l’ouvriras au pauvre, et tu lui prêteras ce dont tu verras qu’il aura besoin.
9 Muwe makini kutokuwa na wazo ovu au potovu katika moyo wenu, kusema, “Mwaka wa saba, mwaka wa ukombozi u karibu; ili kwamba msiwe wachoyo kuhusiana na ndugu zenu maskini na haumpi chochote; anaweza kumlilia Yahwe kuhusu nyie, na itakuwa dhambi yenu.
Prends garde qu’une pensée impie ne s’insinue en toi, et que tu ne dises en ton cœur: La septième année de la rémission approche; et que tu ne détournes ainsi les yeux de ton frère pauvre, ne voulant pas lui faire le prêt qu’il demande, de peur qu’il ne crie contre toi au Seigneur, et que cela ne devienne pour toi un péché.
10 Mnapaswa kwa hakika mmpe, na moyo wenu hampaswi kuhuzunika wakati mnampa, kwa sababu kurudishiwa kwa Yahwe huyu Mungu wenu atawabariki katika kazi zenu zote na katika chochote mnaweka mkono wenu.
Mais tu lui donneras, et tu ne feras rien avec ruse en soulageant ses besoins pressants, afin que le Seigneur ton Dieu te bénisse en tout temps et en toutes les choses auxquelles tu auras mis la main.
11 Kwa kuwa maskini kamwe hatakoma kuishi katika nchi, kwa hiyo nakuamuru wewe na kusema, “Unapaswa kwa hakika ufungue mkono wako kwa ndugu yako, kwa mhitaji wako, na kwa maskini wako katika nchi yako.
Les pauvres ne manqueront pas dans la terre de ton habitation; c’est pour cela que moi, je t’ordonne d’ouvrir ta main à ton frère indigent et pauvre, qui demeure avec toi dans ta terre.
12 Kama ndugu yako, ni mwebrania wa kiume au mwebrania wa kike, ameuzwa kwako na anakutumikia kwa miaka saba, basi katika mwaka wa saba unapaswa umwache aende zake huru.
Lorsque ton frère t’aura été vendu, un hébreu ou une hébreue, et qu’il t’aura servi pendant six ans, tu le renverras libre à la septième année;
13 Unapomwacha aende zake huru, usimwache aende mkono mtupu.
Et celui que tu gratifieras de la liberté, tu ne souffriras nullement qu’il s’en aille les mains vides;
14 Unapaswa kwa ukarimu hutoe kwake kutoka mifugo yako, kutoka pura iliyo chini, na kinu chako cha mvinyo. Kama Yahwe Mungu wako alivyokubariki, unapaswa umpe yeye.
Mais tu lui donneras un viatique pris de tes troupeaux, de ton aire, de ton pressoir, dont t’a béni le Seigneur ton Dieu.
15 Unapaswa kukumbuka kwamba ulikuwa mtumwa kwenye nchi ya Misri, na kwamba Yahwe Mungu wako alikukomboa; kwa hiyo ninakuamuru leo kufanya hivi.
Souviens-toi que toi-même, tu as servi dans la terre d’Egypte, et que le Seigneur ton Dieu t’a délivré; c’est pour cela que moi je t’ordonne maintenant ces choses.
16 Itakuwa kwamba kama atasema kwako, “Sitaenda mbali yako; kwa sababu anakupenda na nyumba yako, na kwa sababu ni mzuri kwako,
Mais s’il dit: Je ne veux pas sortir, parce qu’il t’aime, toi et ta maison, et qu’il sent qu’il est bon pour lui d’être chez toi,
17 basi unapaswa kuchukua uma na msukumo kupitia sikio lake kwenye mlango, na atakuwa mtumwa wako milele. Na pia kwa mtumwa wako wa kike utafanya vilevile.
Tu prendras une alène, tu perceras son oreille à la porte de ta maison, et il te servira jusqu’à jamais; pour ta servante aussi, tu feras pareillement.
18 Isionekane kuwa vigumu kwako kumwachia aende zake huru, kwa sababu amekutumikia kwa miaka sita na amekupa mara mbili udhamani wa mtu aliyeajiriwa. Yahwe Mungu wako atakubariki katika yote unayofanya.
Ne détourne point tes yeux d’eux, quand tu les auras renvoyés libres, parce qu’il t’a servi pendant six ans, avec le salaire d’un mercenaire, afin que le Seigneur ton Dieu te bénisse dans tous les ouvrages que tu feras.
19 Wazao wote wa kwanza wa kiume katika wanyama na mifugo wako unapaswa uwatenge kwa Yahwe Mungu wako. Hautafanya kazi na mzao wa kwanza wa wanyama wako wala kumnyoa mzao wa kwanza wa mfugo wako.
Quant aux premiers-nés, qui naissent dans ton gros bétail et parmi tes brebis, tu consacreras au Seigneur ton Dieu tout ce qui est mâle. Tu n’emploieras point au travail le premier-né du bœuf, et tu ne tondras point les premiers-nés des brebis.
20 Unapaswa umle mzaliwa wa kwanza mbele ya Yahwe Mungu wako kila mwaka katika eneo ambalo Yahwe atachagua, wewe na nyumba yako.
Tu les mangeras chaque année, toi et ta maison, en la présence du Seigneur ton Dieu, au lieu qu’aura choisi le Seigneur.
21 Kama ina kasoro yoyote- kwa mfano, kama ni kilema au kipofu, au ana kasoro yoyote- haupaswi kumtoa dhabihu kwa Yahwe Mungu wako.
Mais si le premier-né a une tache, s’il est boiteux, ou aveugle, ou difforme en quelque endroit, ou mutilé, il ne sera point immolé au Seigneur ton Dieu;
22 Utamla ndani ya malango yako; mtu asiye najisi na aliye najisi ni sawa unapaswa kula, kama ungekula paa au kulungu.
Mais tu le mangeras au dedans des portes de ta ville: tant le pur que l’impur en mangeront également, comme de la chèvre sauvage et du cerf.
23 Pekee haupaswi kunywa damu yake; unapaswa kuimwanga damu yake juu ya ardhi kama maji.
Tu prendras garde seulement de ne pas manger leur sang, mais tu le répandras sur la terre comme l’eau.