< Torati 14 >
1 Ninyi ni watu wa Yahwe Mungu wenu. Msijikate wenyewe, wala kunyoa sehemu za nyuso zenu kwa ajili ya wafu.
Vi ste otroci Gospoda, svojega Boga. Ne boste se rezali niti naredili katerekoli plešavosti med svojimi očmi zaradi mrtvega.
2 Kwa kuwa mu taifa lilowekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wenu, na Yahwe amewachagua kuwa watu kwa ajili ya urithi wake, zaidi kuliko watu wote walio juu ya uso wa dunia.
Kajti ti si sveto ljudstvo Gospoda, svojega Boga in Gospod te je izbral, da bi mu bil izvoljeno ljudstvo nad vsemi narodi, ki so na zemlji.
3 Hampaswi kula kitu chochote kilicho chukizo.
Ne boš jedel kakršnekoli gnusne stvari.
4 Hawa ni wanyama ambao mnaweza kula: ng'ombe, kondoo, mbuzi,
To so živali, ki jih boš jedel: vol, ovca, koza,
5 kulungu, paa, kulungu wa kiume, mbuzi wa mwituni, paa mweupe na pofu na kondoo wa mlimani
jelen, srnjak, damjak, divja koza, antilopa, divji vol in gams.
6 Mnaweza kula wanyama wowote ambao wamegawanyika kwato, ambaye ana kwato zilizogawanyika mara mbili, na utafuna macheuo.
Vsako žival, ki deli kopito in ima parklje razklane na dvoje in prežvekuje med živalmi, to boste jedli.
7 Hata hivyo, hampaswi kula baadhi ya wanyama ambao utafuna macheuo au ambao wana kwato zilizogawanyika mara mbili: ngamia, sungura, pomono, kwa sababu watafuna macheuo lakini hawajagawanyika kwato, ni najisi kwenu.
Vendar teh ne boste jedli izmed teh, ki prežvekujejo ali izmed teh, ki delijo kopito, kot so kamela, zajec in kunec, kajti prežvekujejo, toda ne delijo kopita, zato so vam nečiste.
8 Nguruwe ni najisi kwenu pia kwa sababu amegawanyika kwato lakini hatafuni macheuo; ni najisi kwenu. Msile nyama ya nguruwe, na msiguse mizoga yao.
In svinjo, ker ta deli kopito, vendar ne prežvekuje, ta vam je nečista. Ne boste jedli od njihovega mesa niti se ne boste dotaknili njihovega mrtvega trupla.
9 Haya yaliyo ndani ya maji mnaweza kula: chochote kilicho na mapesi na magamba;
Te boste jedli od vsega, kar je v vodah: jedli boste vse, ki imajo plavuti in luske.
10 lakini chochote kisichokuwa na mapesi na magamba msile; ni najisi kwenu.
Karkoli pa nima plavuti in lusk ne smete jesti, to vam je nečisto.
11 Ndege wote safi mnaweza kula.
Jedli boste od vseh čistih ptic.
12 Lakini hawa ni ndege ambao hampaswi kula: tai, tumbusi, kipungu,
Toda ti so tisti, od katerih ne boste jedli: orel, brkati ser, ribji orel,
13 mwewe mwekundu na mweusi, aina yoyote ya kipanga.
črni škarnik, kragulj, jastreb po njegovi vrsti,
14 Hampaswi kula aina yoyote ya kunguru,
vsak krokar po njegovi vrsti,
15 na mbuzi na mwewe wa usiku, Lanes ndege wa baharini, aina yoyote ya mwewe,
sova, nočni sokol, kukavica, sokol po njegovi vrsti,
16 bundi mdogo, bundi mkubwa, na bundi mweupe,
majhna sova, velika sova, labod,
17 Mwari, nyamafu ya tai, mnandio.
pelikan, egiptovski jastreb, kormoran,
18 Hampaswi kula korongo, aina yoyote ya kongoti, hudihudi, na popo.
štorklja, čaplja po svoji vrsti, smrdokavra in netopir.
19 Wote wenye mabawa; vitu vya utando ni najisi kwenu; havipaswi kuliwa.
Vsaka plazeča stvar, ki leti, vam je nečista, teh naj se ne jé.
20 Mnaweza kula vitu vyote virukavyo.
Toda od vse čiste perjadi lahko jeste.
21 Hampaswi kula chochote kinachokufa chenyewe; mnaweza kumpa mgeni ambaye yuko katika mji wenu, kwamba anaweza kula au mnaweza kuuza kwa mgeni. Kwa kuwa mu taifa lilolowekwa wakfu kwa ajili ya Yahwe Mungu wenu. Hampaswi kumchemusha mbuzi kijana katika maziwa ya mama yake.
Od nobene stvari, ki pogine sama od sebe, ne boste jedli. Dal jo boš tujcu, ki je v tvojih velikih vratih, da bo to lahko jedel, oziroma jo lahko prodaš neznancu, kajti ti si sveto ljudstvo Gospodu, svojemu Bogu. Kozlička ne boš kuhal v mleku njegove matere.
22 Hakika mnapaswa kutoa fungu la kumi la mavuno ya mbegu zenu zote, ambazo huja kutoka kwenye shamba kila mwaka.
Resnično boš desetinil ves donos svojega semena, ki ti ga polje prinaša leto za letom.
23 Mnapaswa kula mbele ya Yahwe Mungu wenu, katika eneo ambalo atachagua kama patakatifu pake, fungu la kumi la nafaka zenu, za mvinyo mpya, na mafuta yenu, na mzaliwa wa kwanza wa wanyama na mifugo, kwamba mnaweza kujifunza daima kumheshimu Yahwe Mungu wenu.
Pred Gospodom, svojim Bogom, na kraju, ki ga je on izbral, da tam namesti svoje ime, boš jedel desetino svojega žita, svojega vina, svojega olja in prvence svojih čred in svojih tropov, da se lahko naučiš vedno bati se Gospoda, svojega Boga.
24 Kama safari ni ndefu kwenu na kwamba hamwezi kuibeba, kwa sababu eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kama patakatifu pake ni mbali kwenu, basi, wakati Yahwe Mngu anawabariki,
Če pa je pot zate predolga, tako da tega ne moreš nesti, ali če je kraj, ki ga bo Gospod, tvoj Bog, izbral, da tam postavi svoje ime, predaleč od tebe, ko te je Gospod, tvoj Bog, blagoslovil,
25 mtabadilisha sadaka katika pesa. Fungeni pesa kwenye mkono, na nendeni kwenye eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua.
potem boš to spremenil v denar in denar povezal v svojo roko in boš šel na kraj, ki ga bo Gospod, tvoj Bog, izbral,
26 Huko mtatumia pesa kwa chochote mnatamani kwa ng'ombe au kondoo, au kwa mvinyo, au kwa kinywaji imara, au kwa chochote mnatamani; mtakula hapo mbele ya Yahwe Mungu wenu, na mtafurahi, nyie na nyumba zenu.
in ti boš ta denar dal, za karkoli tvoja duša poželi. Za vole ali za ovce ali za vino ali za močno pijačo ali za karkoli, kar tvoja duša poželi in jedel boš tam pred Gospodom, svojim Bogom in veselil se boš ti in tvoja družina
27 Mlawi ambaye yuko malangoni mwenu- msimsahau, kwa kuwa hana sehemu wala urithi pamoja nanyi.
in Lévijevec, ki je znotraj tvojih velikih vrat. Ne boš ga zapustil, kajti on nima niti deleža niti dediščine s teboj.
28 Mwisho mwa kila miaka mitatu mtawasilisha mafungu yote ya kumi ya mazao kwa mwaka huo huo, na mtatunza katika malango yenu;
Ob koncu treh let boš prinesel vso desetino svojega pridelka istega leta in to boš položil znotraj svojih velikih vrat
29 na Mlawi, kwa sababu hana sehemu wala urithi pamoja nanyi, na mgeni, na yatima, na wajane walio ndani ya malango yenu, watakuja na kula na kurithika. Fanya hivyo kwa Yahwe Mungu wenu aweze kuwabariki katika kazi zote za mikono yenuo mnazofanya.
in Lévijevec (ker nima niti deleža niti dediščine s teboj) in tujec, sirota in vdova, ki so znotraj tvojih velikih vrat, bodo prišli, jedli in bodo nasičeni, da te Gospod, tvoj Bog, lahko blagoslovi pri vsem delu tvoje roke, ki ga počneš.