< Torati 14 >

1 Ninyi ni watu wa Yahwe Mungu wenu. Msijikate wenyewe, wala kunyoa sehemu za nyuso zenu kwa ajili ya wafu.
شما فرزندان یهوه خدای خود هستید، پس هنگام عزاداری برای مردگان خود، مثل بت‌پرستان، خود را زخمی نکنید و موی جلوی سرتان را نتراشید،
2 Kwa kuwa mu taifa lilowekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wenu, na Yahwe amewachagua kuwa watu kwa ajili ya urithi wake, zaidi kuliko watu wote walio juu ya uso wa dunia.
زیرا شما برای یهوه خدایتان قومی مقدّسید، و او شما را از میان قومهای روی زمین برگزیده است تا قوم خاص او باشید.
3 Hampaswi kula kitu chochote kilicho chukizo.
گوشت هیچ حیوانی را که من آن را حرام اعلام کرده‌ام نباید بخورید. حیواناتی که می‌توانید گوشت آنها را بخورید از این قرارند: گاو، گوسفند، بز، آهو، غزال، گوزن و انواع بز کوهی.
4 Hawa ni wanyama ambao mnaweza kula: ng'ombe, kondoo, mbuzi,
5 kulungu, paa, kulungu wa kiume, mbuzi wa mwituni, paa mweupe na pofu na kondoo wa mlimani
6 Mnaweza kula wanyama wowote ambao wamegawanyika kwato, ambaye ana kwato zilizogawanyika mara mbili, na utafuna macheuo.
هر حیوانی را که سم شکافته دارد و نشخوار می‌کند می‌توانید بخورید.
7 Hata hivyo, hampaswi kula baadhi ya wanyama ambao utafuna macheuo au ambao wana kwato zilizogawanyika mara mbili: ngamia, sungura, pomono, kwa sababu watafuna macheuo lakini hawajagawanyika kwato, ni najisi kwenu.
پس اگر حیوانی این دو خصوصیت را نداشته باشد، نباید آن را بخورید. بنابراین شتر، خرگوش و گورکن را نباید بخورید. اینها نشخوار می‌کنند، ولی سمهای شکافته ندارند.
8 Nguruwe ni najisi kwenu pia kwa sababu amegawanyika kwato lakini hatafuni macheuo; ni najisi kwenu. Msile nyama ya nguruwe, na msiguse mizoga yao.
خوک را نباید بخورید، چون با اینکه سم شکافته دارد نشخوار نمی‌کند. حتی به لاشهٔ چنین حیواناتی نباید دست بزنید.
9 Haya yaliyo ndani ya maji mnaweza kula: chochote kilicho na mapesi na magamba;
از حیواناتی که در آب زندگی می‌کنند فقط آنهایی را که باله و فلس دارند می‌توانید بخورید.
10 lakini chochote kisichokuwa na mapesi na magamba msile; ni najisi kwenu.
تمام جانوران آبزی دیگر برای شما حرامند.
11 Ndege wote safi mnaweza kula.
همۀ پرندگان طاهر را می‌توانید بخورید.
12 Lakini hawa ni ndege ambao hampaswi kula: tai, tumbusi, kipungu,
اما اینها را نباید بخورید: عقاب، لاشخور و لاشخور سیاه؛
13 mwewe mwekundu na mweusi, aina yoyote ya kipanga.
زَغَن، شاهین و شاهین به نوعش؛
14 Hampaswi kula aina yoyote ya kunguru,
هر قسم کلاغ به نوعش؛
15 na mbuzi na mwewe wa usiku, Lanes ndege wa baharini, aina yoyote ya mwewe,
شترمرغ، جغد، مرغ نوروزی و باز به نوعش؛
16 bundi mdogo, bundi mkubwa, na bundi mweupe,
بوم، جغد بزرگ، جغد سفید،
17 Mwari, nyamafu ya tai, mnandio.
و جغد صحرایی؛ کرکس، مرغ غواص،
18 Hampaswi kula korongo, aina yoyote ya kongoti, hudihudi, na popo.
لک‌لک و مرغ ماهیخوار به نوعش؛ هُدهُد و خفاش.
19 Wote wenye mabawa; vitu vya utando ni najisi kwenu; havipaswi kuliwa.
همۀ حشرات بالدار برای شما حرامند، و نباید خورده شوند.
20 Mnaweza kula vitu vyote virukavyo.
اما همۀ پرندگان حلال گوشت را می‌توانید بخورید.
21 Hampaswi kula chochote kinachokufa chenyewe; mnaweza kumpa mgeni ambaye yuko katika mji wenu, kwamba anaweza kula au mnaweza kuuza kwa mgeni. Kwa kuwa mu taifa lilolowekwa wakfu kwa ajili ya Yahwe Mungu wenu. Hampaswi kumchemusha mbuzi kijana katika maziwa ya mama yake.
حیوانی را که به مرگ طبیعی مرده است نخورید. آن را به غریبی که در میان شما باشد بدهید تا بخورد و یا آن را به بیگانگان بفروشید؛ ولی خودتان آن را نخورید، چون برای یهوه خدایتان قومی مقدّس هستید. بزغاله را در شیر مادرش نپزید.
22 Hakika mnapaswa kutoa fungu la kumi la mavuno ya mbegu zenu zote, ambazo huja kutoka kwenye shamba kila mwaka.
از تمامی محصولاتتان هر ساله باید یک دهم را کنار بگذارید.
23 Mnapaswa kula mbele ya Yahwe Mungu wenu, katika eneo ambalo atachagua kama patakatifu pake, fungu la kumi la nafaka zenu, za mvinyo mpya, na mafuta yenu, na mzaliwa wa kwanza wa wanyama na mifugo, kwamba mnaweza kujifunza daima kumheshimu Yahwe Mungu wenu.
این ده‌یک را بیاورید تا در محلی که یهوه، خدایتان به عنوان عبادتگاه خود انتخاب خواهد کرد در حضورش بخورید. این شامل عشریه‌های غله، شراب تازه، روغن زیتون و نخست‌زادهٔ گله‌ها و رمه‌هایتان می‌باشد. منظور از این کار این است که بیاموزید همیشه خداوند را در زندگی خود احترام کنید.
24 Kama safari ni ndefu kwenu na kwamba hamwezi kuibeba, kwa sababu eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kama patakatifu pake ni mbali kwenu, basi, wakati Yahwe Mngu anawabariki,
اگر مکانی که خداوند به عنوان عبادتگاه خود انتخاب می‌کند به قدری دور باشد که براحتی نتوانید ده‌یک‌های خود را از برکاتی که یهوه خدایتان به شما داده، به آنجا حمل کنید،
25 mtabadilisha sadaka katika pesa. Fungeni pesa kwenye mkono, na nendeni kwenye eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua.
آنگاه می‌توانید ده‌یک محصولات و رمه‌هایتان را بفروشید و پولش را به مکانی که یهوه خدایتان برمی‌گزیند، ببرید.
26 Huko mtatumia pesa kwa chochote mnatamani kwa ng'ombe au kondoo, au kwa mvinyo, au kwa kinywaji imara, au kwa chochote mnatamani; mtakula hapo mbele ya Yahwe Mungu wenu, na mtafurahi, nyie na nyumba zenu.
وقتی که به آنجا رسیدید با آن پول هر چه خواستید بخرید گاو، گوسفند، شراب یا مشروبات دیگر تا در آنجا در حضور خداوند، خدایتان جشن گرفته، با خانوادهٔ خود به شادی بپردازید.
27 Mlawi ambaye yuko malangoni mwenu- msimsahau, kwa kuwa hana sehemu wala urithi pamoja nanyi.
در ضمن لاویان شهرتان را فراموش نکنید، چون آنها مثل شما صاحب ملک و محصول نیستند.
28 Mwisho mwa kila miaka mitatu mtawasilisha mafungu yote ya kumi ya mazao kwa mwaka huo huo, na mtatunza katika malango yenu;
در آخر هر سه سال باید عشریهٔ تمام محصولات خود را در شهر خود جمع کنید
29 na Mlawi, kwa sababu hana sehemu wala urithi pamoja nanyi, na mgeni, na yatima, na wajane walio ndani ya malango yenu, watakuja na kula na kurithika. Fanya hivyo kwa Yahwe Mungu wenu aweze kuwabariki katika kazi zote za mikono yenuo mnazofanya.
تا آن را به لاویان که در میان شما ملکی ندارند، و همچنین غریبان، بیوه‌زنان و یتیمان داخل شهرتان بدهید تا بخورند و سیر شوند. آنگاه خداوند، خدایتان شما را در کارهایتان برکت خواهد داد.

< Torati 14 >