< Torati 14 >
1 Ninyi ni watu wa Yahwe Mungu wenu. Msijikate wenyewe, wala kunyoa sehemu za nyuso zenu kwa ajili ya wafu.
“Kowos mwet lun LEUM GOD lowos. Ouinge ke pacl kowos asor ke mwet misa se, nimet sipik monuwos sifacna ku resaela motonsruwos, oana kutu mwet uh oru.
2 Kwa kuwa mu taifa lilowekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wenu, na Yahwe amewachagua kuwa watu kwa ajili ya urithi wake, zaidi kuliko watu wote walio juu ya uso wa dunia.
Kowos ma lun LEUM GOD lowos. Inmasrlon mwet nukewa su muta fin faclu, El sulela tuh kowos in mwet lal sifacna.
3 Hampaswi kula kitu chochote kilicho chukizo.
“Nimet kang kutena ma su LEUM GOD El akkalemye mu tia nasnas.
4 Hawa ni wanyama ambao mnaweza kula: ng'ombe, kondoo, mbuzi,
Kowos ku in kang kosro inge: cow, sheep, nani,
5 kulungu, paa, kulungu wa kiume, mbuzi wa mwituni, paa mweupe na pofu na kondoo wa mlimani
deer, sheep inima, nani inima, ku antelope —
6 Mnaweza kula wanyama wowote ambao wamegawanyika kwato, ambaye ana kwato zilizogawanyika mara mbili, na utafuna macheuo.
kutena kosro ma sengelik falkal ac el sifil kontini ma el kangla.
7 Hata hivyo, hampaswi kula baadhi ya wanyama ambao utafuna macheuo au ambao wana kwato zilizogawanyika mara mbili: ngamia, sungura, pomono, kwa sababu watafuna macheuo lakini hawajagawanyika kwato, ni najisi kwenu.
Tusruktu kosro nukewa ma tia sengelik falka ac tia pac sifil kontini ma el kangla, kowos fah pangon tia nasnas nu suwos. Kowos fah tia kang camel, rabbit, ku badger, mweyen elos ne sifil kontini ma elos kangla, a tia sengelik falkalos.
8 Nguruwe ni najisi kwenu pia kwa sababu amegawanyika kwato lakini hatafuni macheuo; ni najisi kwenu. Msile nyama ya nguruwe, na msiguse mizoga yao.
Nimet kang pig, mweyen tia nasnas. Pig uh sengelik falka, tusruktu elos tia sifil kontini ma elos kangla. Kowos in tia kang kutena sin kosro inge, ac tia pac pusral mano misa lalos.
9 Haya yaliyo ndani ya maji mnaweza kula: chochote kilicho na mapesi na magamba;
“Kowos ku in kang kutena kain in ik ma oasr enga ac unac kac,
10 lakini chochote kisichokuwa na mapesi na magamba msile; ni najisi kwenu.
tusruktu kutena ma moul in kof uh ma wangin enga ac unac kac, kowos fah tia kang. Ma inge tia nasnas nu suwos.
11 Ndege wote safi mnaweza kula.
“Won nasnas nukewa kowos ku in kang.
12 Lakini hawa ni ndege ambao hampaswi kula: tai, tumbusi, kipungu,
Tusruktu won kowos ac tia kang pa inge: eagle, vulture, osprey,
13 mwewe mwekundu na mweusi, aina yoyote ya kipanga.
buzzard, kutena kain in kait,
14 Hampaswi kula aina yoyote ya kunguru,
kutena kain in raven,
15 na mbuzi na mwewe wa usiku, Lanes ndege wa baharini, aina yoyote ya mwewe,
ostrich, hawk in fong, seagull, kutena kain in sik;
16 bundi mdogo, bundi mkubwa, na bundi mweupe,
owl srisrik, owl lulap, ac owl oasr koac kac,
17 Mwari, nyamafu ya tai, mnandio.
oayapa owl yen mwesis, crow, cormorant,
18 Hampaswi kula korongo, aina yoyote ya kongoti, hudihudi, na popo.
stork, kutena kain in heron, hoopoe, ac fak.
19 Wote wenye mabawa; vitu vya utando ni najisi kwenu; havipaswi kuliwa.
“Won srisrik nukewa ma oasr po sohksok la tia nasnas nu suwos ac kowos in tia kang.
20 Mnaweza kula vitu vyote virukavyo.
Kowos ku in kang won srisrik nasnas nukewa saya.
21 Hampaswi kula chochote kinachokufa chenyewe; mnaweza kumpa mgeni ambaye yuko katika mji wenu, kwamba anaweza kula au mnaweza kuuza kwa mgeni. Kwa kuwa mu taifa lilolowekwa wakfu kwa ajili ya Yahwe Mungu wenu. Hampaswi kumchemusha mbuzi kijana katika maziwa ya mama yake.
“Nimet kang kutena kosro ma muta nwe sifacna misa. Kowos ku in sang mwetsac su muta inmasrlowos in kang, ku kowos ku in kukakin nu sin kutu mwetsac saya. A funu kowos, kowos sie mutunfacl mutal nu sin LEUM GOD lowos. “Kowos in tia akmolye sheep fusr ku nani fusr ke sronin titi lun nina kial uh.
22 Hakika mnapaswa kutoa fungu la kumi la mavuno ya mbegu zenu zote, ambazo huja kutoka kwenye shamba kila mwaka.
“Srela sie tafu singoul ke ma nukewa kowos kosrani ke kais sie yac.
23 Mnapaswa kula mbele ya Yahwe Mungu wenu, katika eneo ambalo atachagua kama patakatifu pake, fungu la kumi la nafaka zenu, za mvinyo mpya, na mafuta yenu, na mzaliwa wa kwanza wa wanyama na mifugo, kwamba mnaweza kujifunza daima kumheshimu Yahwe Mungu wenu.
Kowos in som nu ke acn se ma LEUM GOD lowos El sulela kowos in alu nu sel we. Kowos fah kang sie tafu singoul in wheat, wain, oil in olive, ac wounsien cow ac sheep nutuwos ye mutal we. Oru ouinge tuh kowos in luti in etu in akfulatye LEUM GOD lowos pacl nukewa.
24 Kama safari ni ndefu kwenu na kwamba hamwezi kuibeba, kwa sababu eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kama patakatifu pake ni mbali kwenu, basi, wakati Yahwe Mngu anawabariki,
Acn in alu sac fin loessula nu lohm suwos pwanang upa kowos in us sie tafu singoul ke ma LEUM GOD El akinsewowoye kowos kac, na pa inge ma kowos fah oru:
25 mtabadilisha sadaka katika pesa. Fungeni pesa kwenye mkono, na nendeni kwenye eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua.
Kukakunla ma kowos kosrani, ac us mani kac nu ke acn in alu sac.
26 Huko mtatumia pesa kwa chochote mnatamani kwa ng'ombe au kondoo, au kwa mvinyo, au kwa kinywaji imara, au kwa chochote mnatamani; mtakula hapo mbele ya Yahwe Mungu wenu, na mtafurahi, nyie na nyumba zenu.
Orekmakunla nu ke kutena ma kowos lungse — ikwen cow, sheep fusr, wain, ku mwe nim ku. Na kowos ac sou lowos fah tukeni engan ac kang ma inge we, ye mutun LEUM GOD lowos.
27 Mlawi ambaye yuko malangoni mwenu- msimsahau, kwa kuwa hana sehemu wala urithi pamoja nanyi.
“Kowos in tia pilesru mwet Levi su wi kowos muta in acn suwos, mweyen wangin acn selos sifacna.
28 Mwisho mwa kila miaka mitatu mtawasilisha mafungu yote ya kumi ya mazao kwa mwaka huo huo, na mtatunza katika malango yenu;
Ke saflaiyen yac aktolu nukewa, use sie tafu singoul ke ma nukewa ma kowos kosrani, ac orani tuh in karinginyuk in siti suwos uh.
29 na Mlawi, kwa sababu hana sehemu wala urithi pamoja nanyi, na mgeni, na yatima, na wajane walio ndani ya malango yenu, watakuja na kula na kurithika. Fanya hivyo kwa Yahwe Mungu wenu aweze kuwabariki katika kazi zote za mikono yenuo mnazofanya.
Mwe mongo inge ma nu sin mwet Levi ke sripen wangin acn selos, ac nu sin mwetsac, tulik mukaimtal, ac katinmas su muta in siti suwos uh. Elos in tuku ac eis ma nukewa elos enenu. Oru ma inge, ac LEUM GOD lowos fah akinsewowoye kowos ke ma nukewa kowos oru.