< Torati 14 >
1 Ninyi ni watu wa Yahwe Mungu wenu. Msijikate wenyewe, wala kunyoa sehemu za nyuso zenu kwa ajili ya wafu.
“你们是耶和华—你们 神的儿女。不可为死人用刀划身,也不可将额上剃光;
2 Kwa kuwa mu taifa lilowekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wenu, na Yahwe amewachagua kuwa watu kwa ajili ya urithi wake, zaidi kuliko watu wote walio juu ya uso wa dunia.
因为你归耶和华—你 神为圣洁的民,耶和华从地上的万民中拣选你特作自己的子民。”
3 Hampaswi kula kitu chochote kilicho chukizo.
“凡可憎的物都不可吃。
4 Hawa ni wanyama ambao mnaweza kula: ng'ombe, kondoo, mbuzi,
可吃的牲畜就是牛、绵羊、山羊、
5 kulungu, paa, kulungu wa kiume, mbuzi wa mwituni, paa mweupe na pofu na kondoo wa mlimani
鹿、羚羊、狍子、野山羊、麋鹿、黄羊、青羊。
6 Mnaweza kula wanyama wowote ambao wamegawanyika kwato, ambaye ana kwato zilizogawanyika mara mbili, na utafuna macheuo.
凡分蹄成为两瓣又倒嚼的走兽,你们都可以吃。
7 Hata hivyo, hampaswi kula baadhi ya wanyama ambao utafuna macheuo au ambao wana kwato zilizogawanyika mara mbili: ngamia, sungura, pomono, kwa sababu watafuna macheuo lakini hawajagawanyika kwato, ni najisi kwenu.
但那些倒嚼或是分蹄之中不可吃的乃是骆驼、兔子、沙番—因为是倒嚼不分蹄,就与你们不洁净;
8 Nguruwe ni najisi kwenu pia kwa sababu amegawanyika kwato lakini hatafuni macheuo; ni najisi kwenu. Msile nyama ya nguruwe, na msiguse mizoga yao.
猪—因为是分蹄却不倒嚼,就与你们不洁净。这些兽的肉,你们不可吃,死的也不可摸。
9 Haya yaliyo ndani ya maji mnaweza kula: chochote kilicho na mapesi na magamba;
“水中可吃的乃是这些:凡有翅有鳞的都可以吃;
10 lakini chochote kisichokuwa na mapesi na magamba msile; ni najisi kwenu.
凡无翅无鳞的都不可吃,是与你们不洁净。
11 Ndege wote safi mnaweza kula.
“凡洁净的鸟,你们都可以吃。
12 Lakini hawa ni ndege ambao hampaswi kula: tai, tumbusi, kipungu,
不可吃的乃是雕、狗头雕、红头雕、
13 mwewe mwekundu na mweusi, aina yoyote ya kipanga.
鹯、小鹰、鹞鹰与其类,
14 Hampaswi kula aina yoyote ya kunguru,
乌鸦与其类,
15 na mbuzi na mwewe wa usiku, Lanes ndege wa baharini, aina yoyote ya mwewe,
鸵鸟、夜鹰、鱼鹰、鹰与其类,
16 bundi mdogo, bundi mkubwa, na bundi mweupe,
鸮鸟、猫头鹰、角鸱、
17 Mwari, nyamafu ya tai, mnandio.
鹈鹕、秃雕、鸬鹚、
18 Hampaswi kula korongo, aina yoyote ya kongoti, hudihudi, na popo.
鹳、鹭鸶与其类,戴 与蝙蝠。
19 Wote wenye mabawa; vitu vya utando ni najisi kwenu; havipaswi kuliwa.
凡有翅膀爬行的物是与你们不洁净,都不可吃。
20 Mnaweza kula vitu vyote virukavyo.
凡洁净的鸟,你们都可以吃。
21 Hampaswi kula chochote kinachokufa chenyewe; mnaweza kumpa mgeni ambaye yuko katika mji wenu, kwamba anaweza kula au mnaweza kuuza kwa mgeni. Kwa kuwa mu taifa lilolowekwa wakfu kwa ajili ya Yahwe Mungu wenu. Hampaswi kumchemusha mbuzi kijana katika maziwa ya mama yake.
“凡自死的,你们都不可吃,可以给你城里寄居的吃,或卖与外人吃,因为你是归耶和华—你 神为圣洁的民。 “不可用山羊羔母的奶煮山羊羔。”
22 Hakika mnapaswa kutoa fungu la kumi la mavuno ya mbegu zenu zote, ambazo huja kutoka kwenye shamba kila mwaka.
“你要把你撒种所产的,就是你田地每年所出的,十分取一分;
23 Mnapaswa kula mbele ya Yahwe Mungu wenu, katika eneo ambalo atachagua kama patakatifu pake, fungu la kumi la nafaka zenu, za mvinyo mpya, na mafuta yenu, na mzaliwa wa kwanza wa wanyama na mifugo, kwamba mnaweza kujifunza daima kumheshimu Yahwe Mungu wenu.
又要把你的五谷、新酒、和油的十分之一,并牛群羊群中头生的,吃在耶和华—你 神面前,就是他所选择要立为他名的居所。这样,你可以学习时常敬畏耶和华—你的 神。
24 Kama safari ni ndefu kwenu na kwamba hamwezi kuibeba, kwa sababu eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kama patakatifu pake ni mbali kwenu, basi, wakati Yahwe Mngu anawabariki,
当耶和华—你 神赐福与你的时候,耶和华—你 神所选择要立为他名的地方若离你太远,那路也太长,使你不能把这物带到那里去,
25 mtabadilisha sadaka katika pesa. Fungeni pesa kwenye mkono, na nendeni kwenye eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua.
你就可以换成银子,将银子包起来,拿在手中,往耶和华—你 神所要选择的地方去。
26 Huko mtatumia pesa kwa chochote mnatamani kwa ng'ombe au kondoo, au kwa mvinyo, au kwa kinywaji imara, au kwa chochote mnatamani; mtakula hapo mbele ya Yahwe Mungu wenu, na mtafurahi, nyie na nyumba zenu.
你用这银子,随心所欲,或买牛羊,或买清酒浓酒,凡你心所想的都可以买;你和你的家属在耶和华—你 神的面前吃喝快乐。
27 Mlawi ambaye yuko malangoni mwenu- msimsahau, kwa kuwa hana sehemu wala urithi pamoja nanyi.
“住在你城里的利未人,你不可丢弃他,因为他在你们中间无分无业。
28 Mwisho mwa kila miaka mitatu mtawasilisha mafungu yote ya kumi ya mazao kwa mwaka huo huo, na mtatunza katika malango yenu;
每逢三年的末一年,你要将本年的土产十分之一都取出来,积存在你的城中。
29 na Mlawi, kwa sababu hana sehemu wala urithi pamoja nanyi, na mgeni, na yatima, na wajane walio ndani ya malango yenu, watakuja na kula na kurithika. Fanya hivyo kwa Yahwe Mungu wenu aweze kuwabariki katika kazi zote za mikono yenuo mnazofanya.
在你城里无分无业的利未人,和你城里寄居的,并孤儿寡妇,都可以来,吃得饱足。这样,耶和华—你的 神必在你手里所办的一切事上赐福与你。”