< Torati 12 >
1 Hizi ni amri na sheria ambazo mtazishika katika nchi ambayo, Yahwe Mungu wa baba zenu, amewapa kumiliki, siku zote mnazoishi kwenye ardhi.
To so zakoni in sodbe, ki jih boste obeležili, da jih počnete v deželi, ki ti jo daje Gospod, Bog vaših očetov, da jo vzamete v last, vse dni, ko živite na zemlji.
2 Hakika mtaharibu maeneo yote ambapo mataifa mtakayofukuza miungu yao walioabudu, kwenye milima mirefu, kwenye vilima, na chini ya kila mti wa kijani.
Vse kraje, na katerih so narodi, ki jih boste vzeli v last, služili svojim bogovom na visokih gorah, na hribih in pod vsakim zelenim drevesom, boste popolnoma uničili.
3 Na mtazivunja madhabahu zao chini, mtaharibu kwa vipandepande nguzo zao za mawe, na kuchoma ncha za Asherahi, mtazikata sanaa za kuchongwa za miungu yao na kuangamiza jina lao nje ya eneo hilo.
Porušili boste njihove oltarje, zlomili njihove stebre, njihove ašere sežgali z ognjem, posekali boste rezane podobe njihovih bogov in njihova imena uničili iz tega kraja.
4 Hamtamwabudu Yahwe Mungu wenu kama hivyo.
Tako ne boste storili Gospodu, svojemu Bogu.
5 Lakini kwa eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kutoka makabila yenu kuweka jina lake, hapo patakuwa ni eneo analoishi na huko ndiyo mtaenda.
Toda na kraj, ki ga bo Gospod, vaš Bog, izbral izmed vseh vaših rodov, da tam položi svoje ime, celó k njegovemu prebivališču boste sledili in tja boš prišel
6 Ni huko ndiko mtaleta sadaka ya kutekeketezwa, dhabihu zenu, zaka zenu, na sadaka zinazotolewa kwa mkono wenu, sadaka zenu za viapo, sadaka za utayari na mzao wa kwanza wa mifugo na wanyama.
in tja boste prinašali svoje žgalne daritve, svoje klavne daritve, svoje desetine, vzdigovalne daritve svoje roke, svoje zaobljube, svoje prostovoljne daritve in prvence od svojih čred in od svojih tropov.
7 Ni huko mtakula mbele za Yahwe Mungu wenu na kufurahi kuhusu kila kitu ambacho mmeweka mkono, nyie na jamaa zenu, ambapo Yahwe Mungu wenu amewabariki.
Tam boste jedli pred Gospodom, svojim Bogom in veselili se boste v vsem, k čemur položite svojo roko, vi in vaše družine, v čemer te je Gospod, tvoj Bog, blagoslovil.
8 Hamtafanya mambo yote ambayo tunafanya hapa leo; sasa kila moja anafanya chochote kile kizuri machoni pake,
Ne boste počeli po vseh stvareh, ki jih mi ta dan delamo tukaj, vsak mož karkoli je pravilno v njegovih lastnih očeh.
9 kwa kuwa bado hamjapumzika, kwa urithi ambao Yahwe Mungu wenu anawapa.
Kajti doslej niste prišli k počitku in k dediščini, ki vam jo daje Gospod, vaš Bog.
10 Lakini pindi mnaenda ng'ambo ya pili ya Yordani na kuishi ndani ya nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anasababisha ninyi kurithi, na wakati awapa pumziko kutoka kwa maadui zenu wanaowazunga karibu, ili kusudi muishi kwa usalama,
Toda ko greste čez Jordan in prebivate v deželi, ki vam jo daje Gospod, vaš Bog, da jo podedujete in ko vam daje počitek pred vsemi vašimi sovražniki naokoli, tako da varno prebivate,
11 kisha itakuwa eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kusababisha jina lake kuishi, huko mtaleta yote ninayowaamuru; sadaka za kuteketezwa, dhabihu zenu, zaka zenu, sadaka zilizotolewa kwa mkono wenu, na sadaka za chaguo lenu kwa ajili ya nadhiri mtakazotoa kwa Yahwe.
potem bo tam kraj, ki ga bo Gospod, vaš Bog, izbral, da svojemu imenu povzroči, da prebiva tam. Tja boste prinesli vse, kar sem vam zapovedal: vaše žgalne daritve, vaše klavne daritve, vaše desetine, vzdigovalno daritev vaše roke in vso vašo izbiro zaobljub, ki ste jih zaobljubili Gospodu,
12 Mtafurahi mbele za Yahwe Mungu wenu-nyie, watoto wenu, binti zenu, wajakazi wa kiume, wajakazi wa kike, na Walawi walio ndani ya lango lenu, kwa sababu hana sehemu au urithi miongoni mwenu.
in veselili se boste pred Gospodom, vašim Bogom, vi in vaši sinovi, vaše hčere, služabniki, vaše dekle in Lévijevec, ki je znotraj tvojih velikih vrat, ker nima ne deleža, ne dediščine z vami.
13 Uwe makini mwenyewe kwamba usitoe sadaka zako za kuteketezwa kila eneo unaloona;
Pazi nase, da ne daruješ svojih žgalnih daritev na vsakem kraju, ki ga vidiš,
14 lakini ni katika eneo hilo ambalo Yahwe atawachagua miongoni moja kati ya makabila yenu ambalo litatoa sadaka ya kuteketezwa, na huko mtafanya kila kitu ninachokuamuru.
temveč na kraju, ki ga bo Gospod izbral v enem izmed tvojih rodov, tam boš daroval svoje žgalne daritve in tam boš počel vse, kar ti zapovem.
15 Hata hivyo, mtaweza kuua na kula wanyama ndani ya malango yenu, kama mnavyotaka, kupokea baraka ya Yahwe Mungu wenu kwa ajili ya yote amewapa; na watu wasio safi na safi wote wanaweza kula, wanyama kama vile paa na kulungu.
Vendar v vseh svojih velikih vratih lahko zakolješ in ješ meso, karkoli tvoja duša poželi, glede na blagoslov Gospoda, tvojega Boga, ki ti ga je dal. Nečisti in čisti lahko jé od tega, kakor od srnjaka in kakor od jelena.
16 Lakini hamtakula damu, mtaimwaga kwenye ardhi kama maji.
Samo krvi ne boste jedli; kakor vodo jo boste izlili na zemljo.
17 Mnaweza msile ndani ya malango kutoka kwenye zaka ya nafaka zenu, mvinyo wenu mpya, mafuta yenu au mzao wa kwanza wa mifugo au wanyama; na mnaweza msile nyama yoyote mnayoitoa dhabihu pamoja na viapo vyovyote vyenu mnafanya, wala sadaka yenu ya utayari, wala sadaka mnayotoa kwa mkono wenu.
Znotraj svojih velikih vrat ne smeš jesti desetine svojega žita ali svojega vina ali svojega olja ali prvencev svojih čred ali svojega tropa, niti česarkoli od svojih zaobljub, ki si jih zaobljubil, niti svojih prostovoljnih daritev ali vzdigovalne daritve svoje roke,
18 Badala yake, mtakula mbele ya Yahwe Mugu wenu katika eneo ambalo Yahwe Mungu atachagua- nyie, mtoto wenu, binti yenu, mjakazi wa kiume, mjakazi wa kike, na Mlawi aliye malangoni mwenu; mtafurahi mbele ya Yahwe Mungu wenu kuhusu kila kitu ambacho mnaweka mkono wenu.
temveč jih moraš jesti pred Gospodom, svojim Bogom, na kraju, ki ga bo Gospod, tvoj Bog, izbral, ti in tvoj sin, tvoja hči, tvoj sluga, tvoja dekla in Lévijevec, ki je znotraj tvojih velikih vrat, in veselil se boš pred Gospodom, svojim Bogom, v vsem, k čemur priložiš svoji roki.
19 Muwe makini wenyewe ili kwamba msimwache Mlawi maadamu mnaishi kwenye nchi yenu.
Pazi nase, da ne zapustiš Lévijevca tako dolgo, kot živiš na zemlji.
20 Wakati Yahwe Mungu wenu apanua mipaka yenu, kama alivyowaahidi, na kusema, “Nitakula nyama,” kwa sababu ya tamaa zenu mnakula nyama, mnaweza kula nyama, kama tanmaa za roho zenu.
Ko bo Gospod, tvoj Bog, povečal tvojo mejo, kakor ti je obljubil in boš rekel: ›Jedel bom meso, ‹ ker tvoja duša hrepeni, da bi jedla meso; lahko ješ meso, karkoli tvoja duša poželi.
21 Kama eneo ambalo Yahwe Mungu wenu achagua kuliweka jina lake ni mbali kutoka kwenu, basi mtaua baadhi ya mifugo yenu na wanyama wenu ambao Yahwe amewapa, kama nilivyowaamuru: hivyo mnaweza kula ndani ya malango yenu, kama tamaa za roho zenu.
Če je kraj, ki ga je izbral Gospod, tvoj Bog, da tam položi svoje ime, predaleč od tebe, potem boš zaklal od svoje črede in od svojega tropa, ki ti ga je dal Gospod, kakor sem ti zapovedal in v svojih velikih vratih boš jedel karkoli tvoja duša poželi.
22 Kama paa na Kulungu wanaliwa, hivyo mtakula watu wasio safi na wasafi wanaweze kula kadhalika.
Celo kakor se pojesta srnjak in jelen, tako jih boš ti pojedel. Nečisti in čisti bosta enako jedla od njih.
23 Lakini muwe na uhakika kwamba hamtumii damu, kwa kuwa damu ni uhai, hamtakula uhai pamoja na nyama.
Samo bodi odločen, da ne ješ krvi, kajti kri je življenje in življenja ne smeš jesti z mesom.
24 Hamtakula, mtaimwaga nje kwenye ardhi kama maji.
Ne boš je jedel. Kakor vodo jo boš izlil na zemljo.
25 Hamtakula, ili kwamba iweze kuwa vizur kwenu, na watoto wenu baada yenu, wakati mtafanya kile kilicho sahihi machoni pa Yahwe.
Ne boš je jedel, da bo lahko dobro s teboj in s tvojimi otroki za teboj, ko boš delal to, kar je pravilno v Gospodovih očeh.
26 Lakini mambo ambayo ni ya Yahwe ambayo mnayo na sadaka za viapo vyenu-mtachukua hizi na kwenda eneo ambalo Yahwe achagua.
Samo svoje svete stvari, ki jih imaš in svoje zaobljube boš vzel in šel na kraj, ki ga bo Gospod izbral
27 Hapo mtatoa sadaka ya kuteketekezwa, nyama na damu, kwenye madhabahu ya Yahwe Mungu wenu, damu ya dhabihu zenu itamwangwa nje kwenye madhabahu ya Yahwe Mungu wenu, na mtakula nyama.
in daroval boš svoje žgalne daritve, meso in kri, na oltarju Gospoda, svojega Boga. In kri tvojih klavnih daritev bo izlita na oltar Gospoda, tvojega Boga in jedel boš meso.
28 Mchunguze na msikilize haya maneno yote ambayo - ninawaamuru, ili iwe uzuri kwenu na watoto wenu baada yenu milele, wakati mnafanya kile kilicho kizuri na sawa machoni pa Yahwe Mungu wenu.
Obeležuj in poslušaj vse te besede, ki sem ti jih zapovedal, da bo lahko dobro s teboj in s tvojimi otroki za teboj na veke, ko delaš to, kar je dobro in pravilno v očeh Gospoda, tvojega Boga.
29 Wakati Yahwe Mungu wenu anapunguza mataifa kutoka kwenu, wakati mnaingia kuwafukuza, na mnawafukuza na kuishi katika nchi yao,
Ko bo Gospod, tvoj Bog, izpred tebe uničil narode, kamor greš, da jih vzameš v last in jih zasedeš in prebivaš v njihovi deželi,
30 muwe makini wenyewe ili kwamba msinaswe kwa kuwafuata, baada ya kuangamizwa kutoka kwenu kunaswa katika kuchunguza miungu yao, katika kuuliza, “Kwa namna gani haya mataifa yanaabudu muingu yao? Nitafanya hivyo hivyo.
pazi nase, da ne boš ujet s tem, da jim slediš, potem ko so bili uničeni izpred tebe, in da ne povprašuješ po njihovih bogovih, rekoč: ›Kako so ti narodi služili svojim bogovom? Celo jaz bom počel podobno.‹
31 Hautafanya hivyo katika kumheshimu Yahwe Mungu wako, kwa kuwa kila kitu ambacho ni chukizo kwa Yahwe, mambo ambayo anayachukia- wamefanya haya na miungu yao, hata mnateketeza vijana wao na binti zao kwenye moto kwa ajili ya miungu yao.
Ne boš tako počel Gospodu, svojemu Bogu, kajti vsako ogabnost Gospodu, ki jo on sovraži, so počeli svojim bogovom, kajti celo svoje sinove in svoje hčere so v ognju sežigali svojim bogovom.
32 Chochote ninakuamuru, chunguza. Usiongeze juu yake au kupunguza.
Katerokoli stvar ti zapovem, obeležuj, da jo storiš. K temu ne boš dodal niti od tega ne boš jemal.