< Torati 12 >

1 Hizi ni amri na sheria ambazo mtazishika katika nchi ambayo, Yahwe Mungu wa baba zenu, amewapa kumiliki, siku zote mnazoishi kwenye ardhi.
These ben the heestis and domes, whiche ye owen to do, in the lond which the Lord God of thi fadrys schal yyue to thee, that thou welde it, in alle daies in whiche thou schalt go on erthe.
2 Hakika mtaharibu maeneo yote ambapo mataifa mtakayofukuza miungu yao walioabudu, kwenye milima mirefu, kwenye vilima, na chini ya kila mti wa kijani.
Distrie ye alle the places wherynne hethen men whiche ye schulen welde, worschipiden her goddis, on hiy mounteyns, and litle hillis, and vndur ech tre ful of bowis.
3 Na mtazivunja madhabahu zao chini, mtaharibu kwa vipandepande nguzo zao za mawe, na kuchoma ncha za Asherahi, mtazikata sanaa za kuchongwa za miungu yao na kuangamiza jina lao nje ya eneo hilo.
Distrie ye `the auteris of hem, and `breke ye the ymagis; brenne ye the wodis with fier, and al to breke ye the idolis; destrie ye `the names of hem fro the places.
4 Hamtamwabudu Yahwe Mungu wenu kama hivyo.
Ye schulen not do so to youre Lord God;
5 Lakini kwa eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kutoka makabila yenu kuweka jina lake, hapo patakuwa ni eneo analoishi na huko ndiyo mtaenda.
but ye schulen come to the place which youre Lord God chees of alle youre lynagis, that he putte his name there, and dwelle therynne;
6 Ni huko ndiko mtaleta sadaka ya kutekeketezwa, dhabihu zenu, zaka zenu, na sadaka zinazotolewa kwa mkono wenu, sadaka zenu za viapo, sadaka za utayari na mzao wa kwanza wa mifugo na wanyama.
and ye schulen come, and schulen offre in that place youre brent sacrifices, and slayn sacrifices, the dymes, and firste fruytis of youre hondis, and avowis and yiftis, the firste gendrid thingis of oxun, and of scheep.
7 Ni huko mtakula mbele za Yahwe Mungu wenu na kufurahi kuhusu kila kitu ambacho mmeweka mkono, nyie na jamaa zenu, ambapo Yahwe Mungu wenu amewabariki.
And ye and youre housis schulen ete there in the siyt of youre Lord God; and ye schulen be glad in alle thingis to whiche ye putten hond, in whiche youre Lord God blesside you.
8 Hamtafanya mambo yote ambayo tunafanya hapa leo; sasa kila moja anafanya chochote kile kizuri machoni pake,
Ye schulen not do there tho thingis whiche we don here to dai, ech man that semeth riytful to `hym silf.
9 kwa kuwa bado hamjapumzika, kwa urithi ambao Yahwe Mungu wenu anawapa.
For `til in to present tyme ye camen not to reste and possessioun, which the Lord God schal yyue to you.
10 Lakini pindi mnaenda ng'ambo ya pili ya Yordani na kuishi ndani ya nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anasababisha ninyi kurithi, na wakati awapa pumziko kutoka kwa maadui zenu wanaowazunga karibu, ili kusudi muishi kwa usalama,
Ye schulen passe Jordan, and ye schulen dwelle in the lond which youre Lord God schal yyue to you, that ye reste fro alle enemyes `bi cumpas, and dwelle without ony drede.
11 kisha itakuwa eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kusababisha jina lake kuishi, huko mtaleta yote ninayowaamuru; sadaka za kuteketezwa, dhabihu zenu, zaka zenu, sadaka zilizotolewa kwa mkono wenu, na sadaka za chaguo lenu kwa ajili ya nadhiri mtakazotoa kwa Yahwe.
In the place which youre Lord God chees that his name be therynne. Thidur ye schulen bere alle thingis, whiche Y comaunde, brent sacrifices, and sacrifices, and the dymes, and firste fruytis of youre hondis, and what euere is the beste in yiftis, whiche ye auowiden to the Lord.
12 Mtafurahi mbele za Yahwe Mungu wenu-nyie, watoto wenu, binti zenu, wajakazi wa kiume, wajakazi wa kike, na Walawi walio ndani ya lango lenu, kwa sababu hana sehemu au urithi miongoni mwenu.
Ther ye schulen ete bifor youre Lord God, ye, and youre sones and douytris, youre seruauntis, and seruauntessis, and the dekenes, that dwellen in youre citees; for thei han not other part and possessioun among you.
13 Uwe makini mwenyewe kwamba usitoe sadaka zako za kuteketezwa kila eneo unaloona;
Be thou war lest thou offre thi brent sacrifices in ech place which thou seest,
14 lakini ni katika eneo hilo ambalo Yahwe atawachagua miongoni moja kati ya makabila yenu ambalo litatoa sadaka ya kuteketezwa, na huko mtafanya kila kitu ninachokuamuru.
but in that place which the Lord chees in oon of thi lynagis thou schalt offre sacrifices, and schalt do what euer thingis Y comaunde to thee.
15 Hata hivyo, mtaweza kuua na kula wanyama ndani ya malango yenu, kama mnavyotaka, kupokea baraka ya Yahwe Mungu wenu kwa ajili ya yote amewapa; na watu wasio safi na safi wote wanaweza kula, wanyama kama vile paa na kulungu.
Forsothe if thou wolt ete, and the etyng of fleischis delitith thee, sle thou, and ete, bi the blessyng of thi Lord God, which he yaf to thee in thi citees, whether it is vnclene, `that is, spottid ether wemmed and feble, ether clene, `that is, hool in membris and with out wem, which is leueful to be offrid, thou schalt ete as a capret and hert; oneli without etyng of blood,
16 Lakini hamtakula damu, mtaimwaga kwenye ardhi kama maji.
which thou schalt schede out as watir on the erthe.
17 Mnaweza msile ndani ya malango kutoka kwenye zaka ya nafaka zenu, mvinyo wenu mpya, mafuta yenu au mzao wa kwanza wa mifugo au wanyama; na mnaweza msile nyama yoyote mnayoitoa dhabihu pamoja na viapo vyovyote vyenu mnafanya, wala sadaka yenu ya utayari, wala sadaka mnayotoa kwa mkono wenu.
Thou schalt not mowe ete in thi citees the tithis of thi wheete, wyn, and oile, the firste gendrid thingis of droues, and of scheep, and alle thingis whiche thou hast avowid and wolt offre bi fre wille, and the firste fruytis of thin hondis;
18 Badala yake, mtakula mbele ya Yahwe Mugu wenu katika eneo ambalo Yahwe Mungu atachagua- nyie, mtoto wenu, binti yenu, mjakazi wa kiume, mjakazi wa kike, na Mlawi aliye malangoni mwenu; mtafurahi mbele ya Yahwe Mungu wenu kuhusu kila kitu ambacho mnaweka mkono wenu.
but thou schalt ete tho bifor thi Lord God, in the place which thi Lord God chees, thou, and thi sone, and douyter, seruaunt, and seruauntesse, and the dekene that dwellith in thi citees; and thou schalt be glad, and schalt be fillid bifor thi Lord God in alle thingis to whiche thou holdist forth thin hond.
19 Muwe makini wenyewe ili kwamba msimwache Mlawi maadamu mnaishi kwenye nchi yenu.
Be thou war lest thou forsake the dekene in al tyme, `in which thou lyuest in erthe.
20 Wakati Yahwe Mungu wenu apanua mipaka yenu, kama alivyowaahidi, na kusema, “Nitakula nyama,” kwa sababu ya tamaa zenu mnakula nyama, mnaweza kula nyama, kama tanmaa za roho zenu.
Whanne thi Lord God hath alargid thi termes, as he spak to thee, and thou wolt ete fleischis, whiche thi soule desirith,
21 Kama eneo ambalo Yahwe Mungu wenu achagua kuliweka jina lake ni mbali kutoka kwenu, basi mtaua baadhi ya mifugo yenu na wanyama wenu ambao Yahwe amewapa, kama nilivyowaamuru: hivyo mnaweza kula ndani ya malango yenu, kama tamaa za roho zenu.
forsothe if the place is fer, which thi Lord God chees, that his name be there, thou schalt sle of thin oxun, and scheep, whiche thou hast, as `the Lord comaundide to thee; and thou schalt ete in thi citees as it plesith thee.
22 Kama paa na Kulungu wanaliwa, hivyo mtakula watu wasio safi na wasafi wanaweze kula kadhalika.
As a capret and hert is etun, so thou schalt ete tho; bothe a cleene man and vncleene schulen ete therof in comyn.
23 Lakini muwe na uhakika kwamba hamtumii damu, kwa kuwa damu ni uhai, hamtakula uhai pamoja na nyama.
Oneli eschewe thou this, that thou ete not blood; for the blood `of tho beestis is for the lijf, and therfor thou owist not ete the lijf with fleischis,
24 Hamtakula, mtaimwaga nje kwenye ardhi kama maji.
but thou schalt schede as watir `the blood on the erthe,
25 Hamtakula, ili kwamba iweze kuwa vizur kwenu, na watoto wenu baada yenu, wakati mtafanya kile kilicho sahihi machoni pa Yahwe.
that it be wel to thee, and to thi sones after thee, whanne thou hast do that, that plesith in the siyt of the Lord.
26 Lakini mambo ambayo ni ya Yahwe ambayo mnayo na sadaka za viapo vyenu-mtachukua hizi na kwenda eneo ambalo Yahwe achagua.
Sotheli thou schalt take that that thou `auowidist, and halewidist to the Lord, and thou schalt come to the place which the Lord chees;
27 Hapo mtatoa sadaka ya kuteketekezwa, nyama na damu, kwenye madhabahu ya Yahwe Mungu wenu, damu ya dhabihu zenu itamwangwa nje kwenye madhabahu ya Yahwe Mungu wenu, na mtakula nyama.
and thou schalt offre thin offryngis, fleischis, and blood, on the auter of thi Lord God; thou schalt schede in the auter the blood of sacrifices; forsothe thou schalt ete the fleischis.
28 Mchunguze na msikilize haya maneno yote ambayo - ninawaamuru, ili iwe uzuri kwenu na watoto wenu baada yenu milele, wakati mnafanya kile kilicho kizuri na sawa machoni pa Yahwe Mungu wenu.
Kepe thou and here alle thingis whiche Y comaunde to thee, that it be wel to thee, and to thi sones after thee, with outen ende, whanne thou hast do that, that is good and plesaunt in the siyt of thi Lord God.
29 Wakati Yahwe Mungu wenu anapunguza mataifa kutoka kwenu, wakati mnaingia kuwafukuza, na mnawafukuza na kuishi katika nchi yao,
Whanne thi Lord God hath distryed bifor thi face folkis, to whiche thou schalt entre to welde, and thou hast weldid tho folkis, and hast dwellid in `the lond of hem,
30 muwe makini wenyewe ili kwamba msinaswe kwa kuwafuata, baada ya kuangamizwa kutoka kwenu kunaswa katika kuchunguza miungu yao, katika kuuliza, “Kwa namna gani haya mataifa yanaabudu muingu yao? Nitafanya hivyo hivyo.
be thou war lest thou sue hem, aftir that thei ben distried, whanne thou entrist, and thou seke `the cerymonyes of hem, and seie, As these folkis worschipyden her goddis, so and Y schal worschipe.
31 Hautafanya hivyo katika kumheshimu Yahwe Mungu wako, kwa kuwa kila kitu ambacho ni chukizo kwa Yahwe, mambo ambayo anayachukia- wamefanya haya na miungu yao, hata mnateketeza vijana wao na binti zao kwenye moto kwa ajili ya miungu yao.
Thou schalt not do in lijk manere to thi Lord God; for thei diden to her goddis alle abhomynaciouns whiche the Lord wlatith, and offriden her sones and douytris, and brenten with fier.
32 Chochote ninakuamuru, chunguza. Usiongeze juu yake au kupunguza.
Do thou to the Lord this thing oneli which Y comaunde to thee, nethir adde thou ony thing, nether abate.

< Torati 12 >