< Torati 11 >

1 Kwa hiyo mtampenda Yahwe Mungu wenu na daima mtashika maelekezo yake, maagizo yake, sheria zake, na amri zake.
И да возлюбиши Господа Бога твоего, и сохраниши стражбы Его и оправдания Его и заповеди Его и суды Его во вся дни.
2 Kumbuka kwamba siongei kwa watoto wako, ambao hawajajua wala kuona hukumu ya Yahwe Mungu wako, ukuu wake, mkono wake wa uweza, mkono wake ulionyoshwa,
И увесте днесь, яко не чада ваша, елицы не сведеша, ниже видеша наказания Господа Бога твоего и величества Его, и руки сильныя и мышцы высокия,
3 Ishara na matendo ambayo alifanya katikati ya Misri kwa Farao, mfalme Misri, na nchi yake yote.
и знамений Его и чудес Его, елика сотвори посреде Египта фараону царю Египетску и всей земли его,
4 Wala hawakuona kile alichofanya kwa jeshi la Misri, kwa farasi wao, au magari yao; namna alivyoyafanya maji ya bahari ya Reeds kuwaelemea kwa sababu ya kuwafuatilia, na namna Yahwe alivyowaangamiza mpaka leo,
и елика сотвори силе Египетстей: колесницы их и кони их како потопи вода моря Чермнаго, пред лицем их, гонящым им вслед вас, и погуби их Господь Бог до днешняго дне:
5 au nini alifanya kwenu kwenye jangwa mpaka mlikuja eneo hili.
и елика сотвори вам в пустыни, дондеже приидосте на место сие:
6 Hawajaona nini Yahwe alichofanya kwa Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu mwana wa Reubeni; namna dunia ilifungua kinywa chake na kuwameza, nyumba zao, mahema yao, na kila kitu hai kilichowafuata, katikati mwa Israeli yote.
и елика сотвори Дафану и Авирону сыном Елиава сына Рувимля, яже отверзши земля уста своя пожре их, и домы их, и кущы их, и все их имение с ними, среди всего Израиля:
7 Lakini macho yenu yameona kazi yote kuu ya Yahwe aliyoifanya.
яко очи ваши видеста вся дела Господня великая, елика сотвори в вас днесь.
8 Kwa hiyo shikeni amri zote ambazo ninawaamuru leo, kwamba mweze kuwa imara, na kuingia na kuimiliki nchi, ambayo unaenda zaidi kuimiliki;
И сохраните вся заповеди Его, елики аз заповедаю вам днесь, да живете и умножитеся, и внидете и наследите землю, на нюже вы преходите чрез Иордан тамо наследити ю:
9 na kwamba uweze kuongeza siku zako katika nchi ambayo Yahwe aliapa kwa baba zako kuwapa na uzao wao, nchi itiririkayo maziwa na asali.
да многи дни будете на земли, еюже клятся Господь отцем вашым дати им и семени их по них землю кипящую млеком и медом.
10 Kwa kuwa nchi, ambayo unaingia kumiliki, siyo kama nchi ya Misri, ambako mlitoka, ambako mlipanda mbegu na kumwagilizia kwa miguu yenu, kama bustani ya mitishamba;
Есть бо земля, на нюже вы идете тамо наследити ю, не яко земля Египетска есть, отнюдуже изыдосте, егда сеют семя и напаяют ю ногами своими, аки вертоград зелейный:
11 Lakini nchi, ambayo unaenda kuimiliki, ni nchi ya milima na mabonde, na kunywa maji ya mvua mbinguni,
земля же, в нюже ты входиши тамо наследити ю, земля нагорная и равная, от дождя небеснаго напаяется водою:
12 nchi ambayo Yahwe Mungu wenu awajali; macho ya Yahwe Mungu wenu daima yako juu yake, kuanzia mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wa mwaka.
земля, на нюже Господь Бог твой присещает всегда, очи Господа Бога твоего на ней от начала лета и до конца лета.
13 Itatokea, kama mtazisikiliza kwa bidii amri zangu ambazo ninawaamuru leo kumpenda Yahwe Mungu wenu, na kumtumikia kwa moyo wenu wote na roho zenu zote,
Аще же слухом послушаете всех заповедий Его, яже аз заповедаю тебе днесь, любити Господа Бога твоего и служити Ему от всего сердца твоего и от всея души твоея,
14 kwamba nitawapa mvua nchi yenu kwa majira yake, mvua za awali na mvua za badaye, ili kwamba mweze kukusanya nafaka zenu, mvinyo wenu mpya, na mafuta yenu.
и даст дождь земли твоей во время ранный и поздный, и собереши жита твоя и вино твое и елей твой:
15 Nitawapa nyasi kwenye mashamba yenu kwa ajili ya mifugo yenu, na mtakula na kushiba.
и даст пищу на селех скотом твоим.
16 Uwe makini mwenyewe, ili kwamba moyo wako usidanganyike, na kugeuka na kuabudu miungu mingine, na kuisujudia;
И ядый и насытився, внемли себе, да не разширится сердце твое, и преступите, и послужите богом иным, и поклонитеся им:
17 ili kwamba hasira ya Yahwe isiwashiwe dhidi yenu, na ili kwamba asifunge mbingu, kwamba pasiwe na mvua, na nchi haitavuna matunda, na ili kwamba mpotee kwa haraka kutoka nchi nzuri ambayo Yahwe anawapa.
и яростию разгневается Господь на вы и затворит небо, и не будет дождя, и земля не даст плода своего, и погибнете вскоре от земли благия, юже Господь даде вам.
18 Kwa hiyo yaweke haya maneno ndani ya moyo wako na roho; yafunge kama ishara kwenye mkono wako, na yawe utepe katikati ya macho yako.
И вложите словеса сия в сердца ваша и в душу вашу, и наважите я в знамение на руку вашу, и будут непоколебима между очима вашима,
19 Utayafundisha kwa watoto na kuongea juu yake wakati uketipo ndani ya nyumba yako, wakati utembeapo barabarani, wakati ulalapo, na wakati uinukapo.
и научите сим чада своя глаголати сия, седящу тебе в дому и идущу тебе в пути, и возлежащу ти и востающу ти:
20 Utayaandika kwenye miimo ya milango ya nyumba zenu na kwenye malango yenu,
и напишите я на празех домов ваших и врат ваших,
21 kwamba siku zenu na siku za watoto wenu ziweze kuongezeka katika nchi ambayo Yahwe aliapa kwa mababu zenu kuwapa, maadamu mbingu ziko juu ya ardhi.
да умножатся дние ваши и дни сынов ваших на земли, еюже клятся Господь отцем вашым дати им, якоже дние неба на земли.
22 Kama mtayashika kwa bidii maagizo haya yote ambayo ninawaamuru nyinyi, ili kwamba myafanye, mpende Yahwe Mungu wenu, tembea katika njia zake zote, na kushikamana naye,
И будет аще слухом послушаете всех заповедий сих, яже аз заповедаю вам днесь творити, любити Господа Бога вашего и ходити во всех путех Его и прилепятися к Нему,
23 basi Yahwe atawaondosha mataifa haya yote kutoka mbele yenu, na mtayafukuza mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko nyie.
тогда изженет Господь вся языки сия от лица вашего, и одержите языки великия и крепкия паче вас.
24 Kila eneo ambalo unyao wa miguu utatembea litakuwa lenu; kutoka jangwani hadi Lebanoni, toka mto wa Euphratesi, hadi magharibi mwa bahari itakuwa mpaka wenu.
Всякое место, на немже станет стопа ног ваших, вам будет: от пустыни и Антиливана, и от реки великия Евфрата, и даже до моря, еже на западе, будут пределы ваши:
25 Hakuna mtu ataweza kusimama mbele yenu; Yahwe Mungu wenu ataweka hofu yenu na ugaidi wenu juu ya nchi yote mnayotembea juu yake kama alivyosema na ninyi.
никтоже противостанет пред лицем вашим: и трепет ваш и страх ваш возложит Господь Бог ваш на лице всея земли, на нюже аще взыдете, якоже глагола Господь к вам.
26 Tazama, naweka mbele yenu baraka na laana;
Се, Аз даю пред вами днесь благословение и клятву:
27 baraka, kama mtasikiliza amri za Yahwe ambazo ninakuamuru leo,
благословение, аще послушаете заповедий Господа Бога вашего, елики аз заповедаю вам днесь:
28 na laana, kama hamtasikiliza amri za Yahwe Mungu wenu, lakini mkaicha njia ninayokuamuru leo, kuendea miungu mingine ambayo hamjaijua.
и клятву, аще не послушаете заповедий Господа Бога вашего, елики аз заповедаю вам днесь, и совратитеся с пути, егоже заповедах вам, идуще послужити богом иным, ихже не весте.
29 Itakuwa wakati Yahwe Mungu wenu anawaleta ninyi katika nchi ambayo mnaenda kumiliki, kwamba mtaweka baraka juu ya mlima Gerizimu na laana juu ya mlima Ebali.
И будет егда введет тебе Господь Бог твой в землю, в нюже преходиши тамо наследити ю, да даси благословение на горе Гаризин и клятву на горе Гевал:
30 Hawako ng'ambo ya pili zaidi ya Yordani, magharibi mwa barabara la magharibi, katika nchi ya Wakanani wanaoishi Arabah, juu dhidi ya Gilgali, kando ya mialo ya Moreh?
не се ли сия суть об ону страну Иордана, за путем иже на западе солнца, в земли Ханаана обитающаго на западе солнца близ Галгала у дуба Высокаго?
31 Kwa maana mtavuka ng'ambo ya pili ya Yordani kuingia kumiliki nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, na mtamiliki na kuishi ndani yake.
Вы бо преходите Иордан, вшедше наследити землю, юже Господь Бог ваш дает вам в жребий вся дни, и приимете ю, и вселитеся в ню:
32 Mtashika sheria zote na amri ninazoweka mbele yenu leo.
и да сохраните творити вся заповеди Его и суды Его, яже аз даю пред вами днесь.

< Torati 11 >