< Torati 11 >

1 Kwa hiyo mtampenda Yahwe Mungu wenu na daima mtashika maelekezo yake, maagizo yake, sheria zake, na amri zake.
پس یهوه خدای خود را دوست بدار، وودیعت و فرایض و احکام و اوامر او رادر همه وقت نگاهدار.۱
2 Kumbuka kwamba siongei kwa watoto wako, ambao hawajajua wala kuona hukumu ya Yahwe Mungu wako, ukuu wake, mkono wake wa uweza, mkono wake ulionyoshwa,
و امروز بدانید، زیرا که به پسران شما سخن نمی گویم که ندانسته‌اند، وتادیب یهوه خدای شما را ندیده‌اند، و نه عظمت و دست قوی و بازوی افراشته او را.۲
3 Ishara na matendo ambayo alifanya katikati ya Misri kwa Farao, mfalme Misri, na nchi yake yote.
و آیات واعمال او را که در میان مصر، به فرعون، پادشاه مصر، و به تمامی زمین او بظهور آورد.۳
4 Wala hawakuona kile alichofanya kwa jeshi la Misri, kwa farasi wao, au magari yao; namna alivyoyafanya maji ya bahari ya Reeds kuwaelemea kwa sababu ya kuwafuatilia, na namna Yahwe alivyowaangamiza mpaka leo,
و آنچه راکه به لشکر مصریان، به اسبها و به ارابه های ایشان کرد، که چگونه آب بحر قلزم را برایشان جاری ساخت، وقتی که شما را تعاقب می‌نمودند، وچگونه خداوند، ایشان را تا به امروز هلاک ساخت.۴
5 au nini alifanya kwenu kwenye jangwa mpaka mlikuja eneo hili.
و آنچه را که برای شما در بیابان کرد تاشما به اینجا رسیدید.۵
6 Hawajaona nini Yahwe alichofanya kwa Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu mwana wa Reubeni; namna dunia ilifungua kinywa chake na kuwameza, nyumba zao, mahema yao, na kila kitu hai kilichowafuata, katikati mwa Israeli yote.
و آنچه را که به داتان و ابیرام پسران الیاب بن روبین کرد، که چگونه زمین دهان خود را گشوده، ایشان را و خاندان وخیمه های ایشان را، و هر ذی حیات را که همراه ایشان بود در میان تمامی اسرائیل بلعید.۶
7 Lakini macho yenu yameona kazi yote kuu ya Yahwe aliyoifanya.
لیکن چشمان شما تمامی اعمال عظیمه خداوند را که کرده بود، دیدند.۷
8 Kwa hiyo shikeni amri zote ambazo ninawaamuru leo, kwamba mweze kuwa imara, na kuingia na kuimiliki nchi, ambayo unaenda zaidi kuimiliki;
پس جمیع اوامری را که من امروز برای شماامر می‌فرمایم نگاه دارید، تا قوی شوید و داخل شده، زمینی را که برای گرفتن آن عبور می‌کنید، به تصرف آورید.۸
9 na kwamba uweze kuongeza siku zako katika nchi ambayo Yahwe aliapa kwa baba zako kuwapa na uzao wao, nchi itiririkayo maziwa na asali.
و تا در آن زمینی که خداوندبرای پدران شما قسم خورد که آن را به ایشان وذریت ایشان بدهد، عمر دراز داشته باشید، زمینی که به شیر و شهد جاری است.۹
10 Kwa kuwa nchi, ambayo unaingia kumiliki, siyo kama nchi ya Misri, ambako mlitoka, ambako mlipanda mbegu na kumwagilizia kwa miguu yenu, kama bustani ya mitishamba;
زیرا زمینی که تو برای گرفتن آن داخل می‌شوی، مثل زمین مصرکه از آن بیرون آمدی نیست، که در آن تخم خودرا می‌کاشتی و آن را مثل باغ بقول به پای خودسیراب می‌کردی.۱۰
11 Lakini nchi, ambayo unaenda kuimiliki, ni nchi ya milima na mabonde, na kunywa maji ya mvua mbinguni,
لیکن زمینی که شما برای گرفتنش به آن عبور می‌کنید، زمین کوهها ودره هاست که از بارش آسمان آب می‌نوشد،۱۱
12 nchi ambayo Yahwe Mungu wenu awajali; macho ya Yahwe Mungu wenu daima yako juu yake, kuanzia mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wa mwaka.
زمینی است که یهوه خدایت برآن التفات داردو چشمان یهوه خدایت از اول سال تا آخر سال پیوسته بر آن است.۱۲
13 Itatokea, kama mtazisikiliza kwa bidii amri zangu ambazo ninawaamuru leo kumpenda Yahwe Mungu wenu, na kumtumikia kwa moyo wenu wote na roho zenu zote,
و چنین خواهد شد که اگر اوامری را که من امروز برای شما امر می‌فرمایم، بشنوید، و یهوه خدای خود را دوست بدارید، و او را به تمامی دل و به تمامی جان خود عبادت نمایید،۱۳
14 kwamba nitawapa mvua nchi yenu kwa majira yake, mvua za awali na mvua za badaye, ili kwamba mweze kukusanya nafaka zenu, mvinyo wenu mpya, na mafuta yenu.
آنگاه باران زمین شما یعنی باران اولین و آخرین را درموسمش خواهم بخشید، تا غله و شیره و روغن خود را جمع نمایی.۱۴
15 Nitawapa nyasi kwenye mashamba yenu kwa ajili ya mifugo yenu, na mtakula na kushiba.
و در صحرای تو برای بهایمت علف خواهم داد تا بخوری و سیر شوی.۱۵
16 Uwe makini mwenyewe, ili kwamba moyo wako usidanganyike, na kugeuka na kuabudu miungu mingine, na kuisujudia;
باحذر باشید مبادا دل شما فریفته شود وبرگشته، خدایان دیگر را عبادت و سجده نمایید.۱۶
17 ili kwamba hasira ya Yahwe isiwashiwe dhidi yenu, na ili kwamba asifunge mbingu, kwamba pasiwe na mvua, na nchi haitavuna matunda, na ili kwamba mpotee kwa haraka kutoka nchi nzuri ambayo Yahwe anawapa.
و خشم خداوند برشما افروخته شود، تاآسمان را مسدود سازد، و باران نبارد، و زمین محصول خود را ندهد و شما از زمین نیکویی که خداوند به شما می‌دهد، بزودی هلاک شوید.۱۷
18 Kwa hiyo yaweke haya maneno ndani ya moyo wako na roho; yafunge kama ishara kwenye mkono wako, na yawe utepe katikati ya macho yako.
پس این سخنان مرا در دل و جان خود جادهید، و آنها را بر دستهای خود برای علامت ببندید، و در میان چشمان شما عصابه باشد.۱۸
19 Utayafundisha kwa watoto na kuongea juu yake wakati uketipo ndani ya nyumba yako, wakati utembeapo barabarani, wakati ulalapo, na wakati uinukapo.
وآنها را به پسران خود تعلیم دهید، و حین نشستنت در خانه خود، و رفتنت به راه، و وقت خوابیدن و برخاستنت از آنها گفتگو نمایید.۱۹
20 Utayaandika kwenye miimo ya milango ya nyumba zenu na kwenye malango yenu,
وآنها را بر باهوهای در خانه خود و بر دروازه های خود بنویسید.۲۰
21 kwamba siku zenu na siku za watoto wenu ziweze kuongezeka katika nchi ambayo Yahwe aliapa kwa mababu zenu kuwapa, maadamu mbingu ziko juu ya ardhi.
تا ایام شما و ایام پسران شما برزمینی که خداوند برای پدران شما قسم خورد که به ایشان بدهد، کثیر شود، مثل ایام افلاک بر بالای زمین.۲۱
22 Kama mtayashika kwa bidii maagizo haya yote ambayo ninawaamuru nyinyi, ili kwamba myafanye, mpende Yahwe Mungu wenu, tembea katika njia zake zote, na kushikamana naye,
زیرا اگر تمامی این اوامر را که من به جهت عمل نمودن به شما امر می‌فرمایم، نیکو نگاه دارید، تا یهوه خدای خود را دوست دارید، و درتمامی طریقهای او رفتار نموده، به او ملصق شوید،۲۲
23 basi Yahwe atawaondosha mataifa haya yote kutoka mbele yenu, na mtayafukuza mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko nyie.
آنگاه خداوند جمیع این امتها را ازحضور شما اخراج خواهد نمود، و شما امتهای بزرگتر و قویتر از خود را تسخیر خواهید نمود.۲۳
24 Kila eneo ambalo unyao wa miguu utatembea litakuwa lenu; kutoka jangwani hadi Lebanoni, toka mto wa Euphratesi, hadi magharibi mwa bahari itakuwa mpaka wenu.
هرجایی که کف پای شما برآن گذارده شود، ازآن شما خواهد بود، از بیابان و لبنان و از نهر، یعنی نهر فرات تا دریای غربی، حدود شماخواهد بود.۲۴
25 Hakuna mtu ataweza kusimama mbele yenu; Yahwe Mungu wenu ataweka hofu yenu na ugaidi wenu juu ya nchi yote mnayotembea juu yake kama alivyosema na ninyi.
و هیچکس یارای مقاومت با شمانخواهد داشت، زیرا یهوه خدای شما ترس و خوف شما را بر تمامی زمین که به آن قدم می‌زنیدمستولی خواهد ساخت، چنانکه به شما گفته است.۲۵
26 Tazama, naweka mbele yenu baraka na laana;
اینک من امروز برکت و لعنت پیش شمامی گذارم.۲۶
27 baraka, kama mtasikiliza amri za Yahwe ambazo ninakuamuru leo,
اما برکت، اگر اوامر یهوه خدای خود را که من امروز به شما امر می‌فرمایم، اطاعت نمایید.۲۷
28 na laana, kama hamtasikiliza amri za Yahwe Mungu wenu, lakini mkaicha njia ninayokuamuru leo, kuendea miungu mingine ambayo hamjaijua.
و اما لعنت، اگر اوامر یهوه خدای خودرا اطاعت ننموده، از طریقی که من امروز به شماامر می‌فرمایم برگردید، و خدایان غیر را که نشناخته‌اید، پیروی نمایید.۲۸
29 Itakuwa wakati Yahwe Mungu wenu anawaleta ninyi katika nchi ambayo mnaenda kumiliki, kwamba mtaweka baraka juu ya mlima Gerizimu na laana juu ya mlima Ebali.
و واقع خواهد شدکه چون یهوه، خدایت، تو را به زمینی که به جهت گرفتنش به آن می‌روی داخل سازد، آنگاه برکت را بر کوه جرزیم و لعنت را بر کوه ایبال خواهی گذاشت.۲۹
30 Hawako ng'ambo ya pili zaidi ya Yordani, magharibi mwa barabara la magharibi, katika nchi ya Wakanani wanaoishi Arabah, juu dhidi ya Gilgali, kando ya mialo ya Moreh?
آیا آنها به آنطرف اردن نیستند پشت راه غروب آفتاب، در زمین کنعانیانی که در عربه ساکنند مقابل جلجال نزد بلوطهای موره.۳۰
31 Kwa maana mtavuka ng'ambo ya pili ya Yordani kuingia kumiliki nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, na mtamiliki na kuishi ndani yake.
زیرا که شما از اردن عبور می‌کنید تا داخل شده، زمینی را که یهوه خدایت به تو می‌بخشد به تصرف آورید، و آن را خواهید گرفت و در آن ساکن خواهید شد.۳۱
32 Mtashika sheria zote na amri ninazoweka mbele yenu leo.
پس متوجه باشید تا جمیع این فرایض و احکامی را که من امروز پیش شمامی گذارم، به عمل آورید.۳۲

< Torati 11 >