< Torati 11 >

1 Kwa hiyo mtampenda Yahwe Mungu wenu na daima mtashika maelekezo yake, maagizo yake, sheria zake, na amri zake.
Aime donc l'Eternel ton Dieu, et garde toujours ce qu'il veut que tu gardes, ses statuts, ses lois, et ses commandements.
2 Kumbuka kwamba siongei kwa watoto wako, ambao hawajajua wala kuona hukumu ya Yahwe Mungu wako, ukuu wake, mkono wake wa uweza, mkono wake ulionyoshwa,
Et connaissez aujourd'hui que ce ne sont pas vos enfants qui ont connu, et qui ont vu le châtiment de l'Eternel votre Dieu, sa grandeur, sa main forte, et son bras étendu;
3 Ishara na matendo ambayo alifanya katikati ya Misri kwa Farao, mfalme Misri, na nchi yake yote.
Et ses signes, et les œuvres qu'il a faites au milieu de l'Egypte, contre Pharaon Roi d'Egypte, et contre tout son pays;
4 Wala hawakuona kile alichofanya kwa jeshi la Misri, kwa farasi wao, au magari yao; namna alivyoyafanya maji ya bahari ya Reeds kuwaelemea kwa sababu ya kuwafuatilia, na namna Yahwe alivyowaangamiza mpaka leo,
Et ce qu'il a fait à l'armée d'Egypte, à ses chevaux et à ses chariots, quand il a fait que les eaux de la mer Rouge les ont couverts, lorsqu'ils vous poursuivaient; car l'Eternel les a détruits jusqu'à ce jour;
5 au nini alifanya kwenu kwenye jangwa mpaka mlikuja eneo hili.
Et ce qu'il a fait pour vous dans ce désert, jusqu'à ce que vous êtes arrivés en ce lieu-ci;
6 Hawajaona nini Yahwe alichofanya kwa Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu mwana wa Reubeni; namna dunia ilifungua kinywa chake na kuwameza, nyumba zao, mahema yao, na kila kitu hai kilichowafuata, katikati mwa Israeli yote.
Et ce qu'il a fait à Dathan, et à Abiram, enfants d'Eliab, fils de Ruben, [et] comment la terre ouvrit sa bouche, et les engloutit avec leurs familles et leurs tentes, et tout ce qui était en leur puissance, au milieu de tout Israël;
7 Lakini macho yenu yameona kazi yote kuu ya Yahwe aliyoifanya.
Mais ce sont vos yeux qui ont vu toutes les grandes œuvres que l'Eternel a faites.
8 Kwa hiyo shikeni amri zote ambazo ninawaamuru leo, kwamba mweze kuwa imara, na kuingia na kuimiliki nchi, ambayo unaenda zaidi kuimiliki;
Vous garderez donc tous les commandements que je vous prescris aujourd'hui, afin que vous soyez fortifiés, et que vous entriez en possession du pays, dans lequel vous allez passer pour le posséder.
9 na kwamba uweze kuongeza siku zako katika nchi ambayo Yahwe aliapa kwa baba zako kuwapa na uzao wao, nchi itiririkayo maziwa na asali.
Et afin que vous prolongiez vos jours sur la terre que l'Eternel a juré à vos pères de leur donner, et à leur postérité, terre où coulent le lait et le miel.
10 Kwa kuwa nchi, ambayo unaingia kumiliki, siyo kama nchi ya Misri, ambako mlitoka, ambako mlipanda mbegu na kumwagilizia kwa miguu yenu, kama bustani ya mitishamba;
Car le pays où tu vas entrer pour le posséder n'[est] pas comme le pays d'Egypte, duquel vous êtes sortis, où tu semais ta semence, et l'arrosais avec ton pied, comme un jardin à herbes.
11 Lakini nchi, ambayo unaenda kuimiliki, ni nchi ya milima na mabonde, na kunywa maji ya mvua mbinguni,
Mais le pays dans lequel vous allez passer pour le posséder, est un pays de montagnes et de campagnes, et il est abreuvé d'eau selon qu'il pleut des cieux.
12 nchi ambayo Yahwe Mungu wenu awajali; macho ya Yahwe Mungu wenu daima yako juu yake, kuanzia mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wa mwaka.
C'est un pays dont l'Eternel ton Dieu a soin, sur lequel l'Eternel ton Dieu a continuellement ses yeux, depuis le commencement de l'année jusqu'à la fin.
13 Itatokea, kama mtazisikiliza kwa bidii amri zangu ambazo ninawaamuru leo kumpenda Yahwe Mungu wenu, na kumtumikia kwa moyo wenu wote na roho zenu zote,
Il arrivera donc que si vous obéissez exactement à mes commandements, lesquels je vous prescris aujourd'hui, que vous aimiez l'Eternel votre Dieu, et que vous le serviez de tout votre cœur et de toute votre âme,
14 kwamba nitawapa mvua nchi yenu kwa majira yake, mvua za awali na mvua za badaye, ili kwamba mweze kukusanya nafaka zenu, mvinyo wenu mpya, na mafuta yenu.
Alors je donnerai la pluie telle qu'il faut à votre pays en sa saison, la pluie de la première et de la dernière saison, et tu recueilleras ton froment, ton vin excellent, et ton huile.
15 Nitawapa nyasi kwenye mashamba yenu kwa ajili ya mifugo yenu, na mtakula na kushiba.
Je ferai croître aussi dans ton champ de l'herbe pour ton bétail; tu mangeras et tu seras rassasié.
16 Uwe makini mwenyewe, ili kwamba moyo wako usidanganyike, na kugeuka na kuabudu miungu mingine, na kuisujudia;
Prenez garde à vous, de peur que votre cœur ne soit séduit, et que vous ne vous détourniez, et serviez d'autres dieux, et vous prosterniez devant eux;
17 ili kwamba hasira ya Yahwe isiwashiwe dhidi yenu, na ili kwamba asifunge mbingu, kwamba pasiwe na mvua, na nchi haitavuna matunda, na ili kwamba mpotee kwa haraka kutoka nchi nzuri ambayo Yahwe anawapa.
Et que la colère de l'Eternel ne s'enflamme contre vous, et qu'il ne ferme les cieux, tellement qu'il n'y ait point de pluie; et que la terre ne donne point son fruit; et que vous ne périssiez aussitôt sur ce bon pays que l'Eternel vous donne.
18 Kwa hiyo yaweke haya maneno ndani ya moyo wako na roho; yafunge kama ishara kwenye mkono wako, na yawe utepe katikati ya macho yako.
Mettez donc dans votre cœur et dans votre entendement ces paroles que je vous dis, et liez-les pour signe sur vos mains, et qu'elles soient pour fronteaux entre vos yeux,
19 Utayafundisha kwa watoto na kuongea juu yake wakati uketipo ndani ya nyumba yako, wakati utembeapo barabarani, wakati ulalapo, na wakati uinukapo.
Et enseignez-les à vos enfants, en vous en entretenant, soit que tu te tiennes dans ta maison, soit que tu voyages, soit que tu te couches, soit que tu te lèves.
20 Utayaandika kwenye miimo ya milango ya nyumba zenu na kwenye malango yenu,
Tu les écriras aussi sur les poteaux de ta maison, et sur tes portes.
21 kwamba siku zenu na siku za watoto wenu ziweze kuongezeka katika nchi ambayo Yahwe aliapa kwa mababu zenu kuwapa, maadamu mbingu ziko juu ya ardhi.
Afin que vos jours et les jours de vos enfants soient multipliés sur la terre que l'Eternel a juré à vos pères de leur donner, [qu'ils soient, dis-je, multipliés] comme les jours des cieux sur la terre.
22 Kama mtayashika kwa bidii maagizo haya yote ambayo ninawaamuru nyinyi, ili kwamba myafanye, mpende Yahwe Mungu wenu, tembea katika njia zake zote, na kushikamana naye,
Car si vous gardez soigneusement tous ces commandements que je vous ordonne de faire, aimant l'Eternel votre Dieu, marchant dans toutes ses voies, et vous attachant à lui;
23 basi Yahwe atawaondosha mataifa haya yote kutoka mbele yenu, na mtayafukuza mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko nyie.
Alors l'Eternel chassera toutes ces nations-là de devant vous et vous posséderez le pays des nations qui sont plus grandes et plus puissantes que vous.
24 Kila eneo ambalo unyao wa miguu utatembea litakuwa lenu; kutoka jangwani hadi Lebanoni, toka mto wa Euphratesi, hadi magharibi mwa bahari itakuwa mpaka wenu.
Tout lieu où vous aurez mis la plante de votre pied sera à vous; vos frontières seront du désert au Liban; [et] depuis le fleuve, qui est le fleuve d'Euphrate, jusqu'à la mer d'Occident.
25 Hakuna mtu ataweza kusimama mbele yenu; Yahwe Mungu wenu ataweka hofu yenu na ugaidi wenu juu ya nchi yote mnayotembea juu yake kama alivyosema na ninyi.
Nul ne pourra se soutenir devant vous; l'Eternel votre Dieu mettra la frayeur et la terreur qu'on aura de vous, par toute la terre sur laquelle vous marcherez, ainsi qu'il vous en a parlé.
26 Tazama, naweka mbele yenu baraka na laana;
Regardez, je vous propose aujourd'hui la bénédiction et la malédiction;
27 baraka, kama mtasikiliza amri za Yahwe ambazo ninakuamuru leo,
La bénédiction, si vous obéissez aux commandements de l'Eternel votre Dieu, lesquels je vous prescris aujourd'hui;
28 na laana, kama hamtasikiliza amri za Yahwe Mungu wenu, lakini mkaicha njia ninayokuamuru leo, kuendea miungu mingine ambayo hamjaijua.
La malédiction, si vous n'obéissez point aux commandements de l'Eternel votre Dieu, et si vous vous détournez de la voie que je vous prescris aujourd'hui, pour marcher après d'autres dieux que vous n'avez point connus.
29 Itakuwa wakati Yahwe Mungu wenu anawaleta ninyi katika nchi ambayo mnaenda kumiliki, kwamba mtaweka baraka juu ya mlima Gerizimu na laana juu ya mlima Ebali.
Et quand l'Eternel ton Dieu t'aura fait entrer au pays où tu vas pour le posséder, tu prononceras alors les bénédictions, étant sur la montagne de Guérizim, et les malédictions, étant sur la montagne de Hébal.
30 Hawako ng'ambo ya pili zaidi ya Yordani, magharibi mwa barabara la magharibi, katika nchi ya Wakanani wanaoishi Arabah, juu dhidi ya Gilgali, kando ya mialo ya Moreh?
[Ces montagnes] ne sont-elles pas au delà du Jourdain, sur le chemin qui tire vers le soleil couchant, au pays des Cananéens qui demeurent en la campagne, vis-à-vis de Guilgal, près des plaines de Moré?
31 Kwa maana mtavuka ng'ambo ya pili ya Yordani kuingia kumiliki nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, na mtamiliki na kuishi ndani yake.
Car vous allez passer le Jourdain, pour entrer au pays que l'Eternel votre Dieu vous donne pour le posséder; vous le posséderez, et vous y habiterez.
32 Mtashika sheria zote na amri ninazoweka mbele yenu leo.
Vous prendrez donc garde de faire tous les statuts et les droits que je vous propose aujourd'hui.

< Torati 11 >