< Danieli 8 >

1 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa mfalme Belshaza, mimi Danieli niliona maono (baada ya maono ya awali yaliyonipata).
Ode udiana amoga Belesia: sa da Besia soge amoga hina bagade esalu, amo odega na da simasia eno ba: i.
2 Nilipokuwa nikiangalia katika ndoto, niliona kwamba nilikuwa katika mji wa Shushani wenye ngome katika jimbo la Elamu. Niliona katika ndoto kuwa nilikuwa karibu na mfereji wa Ulai.
Amo simasi ganodini, na da moilai bai bagade afae ea dio amo Susa (amo da Ila: me soge ganodini dialu) amo ganodini esalebe ba: i. Na da hano amo ea dio Iulai amo ea bega: esalebe ba: i.
3 Nilitazama juu na nikaona mbele yangu kondoo dume lenye mapembe mawili, limesimama pembeni mwa mfereji. Pembe moja lilikuwa refu kuliko jingine, lakini pembe ndefu ilikuwa inakua pole pole kuliko ile fupi na pembe fupi ilirefuka na kuizidi nyingine.
Na sodolaloba, sibi gawali afae hano amo gadenene lelebe ba: i. E da hono aduna sedadedafa gala. Be hono afae ea sedade da eno ea defei baligi amola amo hono da gaheabolodafa ba: i.
4 Niliona kondoo mme akiishambulia magharibi, kisha kaskazini, na baadaye kusini; hakuna mnyama mwingine aliyeweza kusimama mbele yake. Hakuna yeyote aliyeweza kumwokoa yeyote katika mkono wake. Alifanya chochote kile alichokitaka, na alikuwa mtu mkubwa sana.
Na ba: laloba, sibi gawali da nimiwane haimanosa hamafelalebe ba: i. E da guma: goe amola ga (north) amola ga (south) amoga haimanosa hamafelalebe ba: i. E da gasa fi bagade ba: i. Eno ohe fi da ema gegemu amola ea logo hedofamu hamedei ba: i. Amola ea gasa fi heda: le, hisu hi hanaiga hamomusa: dawa: lalu.
5 Na nilipokuwa natafakari juu ya haya, niliona beberu akitoka magharibi, na kuvuka katika uso wa dunia yote, akikimbia kwa kasi kana kwamba hakuonekana kama aligusa ardhini. Mbuzi huyo alikuwa na pembe kubwa katikati ya macho yake.
Na da amo hou ea bai bagade dadawa: laloba, goudi gebo gawali eno da hehenane eso dabe gudu fisili manebe ba: i. E da hedolodafa hehenabeba: le, ea emo da gado osoba gudu noga: le hame osa: i. Ea si amo dogoa da hono afae bagadedafa amo dialebe ba: i.
6 Alienda mpaka kwa kondoo aliyekuwa na pembe mbili, nilikuwa nimemwona kondoo dume amesimama katika ukingo wa mfereji na mbuzi alikimbia kumwelekea kondoo dume kwa hasira kali.
Amo goudi gawali da sibi gawali, amo na da hano bega: lelebe ba: i, amoma doagala: musa: , ha: giwane hehenai.
7 Niliiona mbuzi ikija karibu na kondoo. Mbuzi alikuwa na hasira na kondoo, alimpiga kondoo na alizivunja pembe zake mbili. Kondoo hakuwa na nguvu za kusimama mbele zake. Mbuzi alimgonga kondoo akaanguka chini na akamkanyaga. Hapakuwa na yeyote wa kumwokoa kutoka katika nguvu zake.
Na ba: loba, goudi gawali da sibi gawali amoma doagala: i. E da nimi bagadedafa. Gasa bagade gegebeba: le, e da sibi gawali amo ea hono aduna goudane fasi. Sibi gawali da gasa hameba: le, bu gegemu gogolei. Goudi amo ea gasaga, e da osoboga gisalugala: gudui ba: i. Amalalu goudi da ema bagade ososa: gi, amola enoga gaga: mu da hamedafa ba: i.
8 Ndipo mbuzi alikua akawa mkubwa, lakini alipokuwa na nguvu, pembe kubwa ilivunjwa, na katika sehemu yake zilichipuka na kukua pembe nne kubwa zilizochomoza kuelekea pepo nne za mbingu.
Amalalu, goudi gawali ea gasa da heda: le, bagadedafa ba: i. Be ea gasa da baligili bagade heda: lalu, amo esoga, ea hono amo ea si dogoa sogebi dialu, amo fi dagoi ba: i. Be amo hono ea musa: sogebi amoga hono biyaduyale heda: lebe ba: i. Amo hono da hisu hisu sogiagai. Afae da eso mabadili, eno da eso dabadili, eno da gadili, eno da ganodini, agoane sogia gagai ba: i.
9 Kutoka katika pembe moja ilichipuka pembe nyingine, ilikuwa ndogo hapo awali, lakini baadaye ilikuwa pembe kubwa upande wa kusini, na mashariki, na katika nchi ya uzuri.
Hono afae amoga eno gaheabolo hono da dulu heda: lebe ba: i. Amo hono ea gasa da ga (south) amola eso mabadili asi. E amola, soge amo Gode da Ea fi dunu ilima imunu ilegele sia: i, amo sogega hina bagade ba: i.
10 Pembe ilikuwa kubwa na matokeo yake iliinua vita dhidi ya jeshi la mbinguni. Baadhi ya jeshi na nyota kadhaa zilitupwa chini duniani, na zilikanyagwa.
Ea gasa da bagade heda: iba: le, e da fedege Hebene dadi gagui gilisisu (gasumuni gilisisu) ilima gegemusa: defele ba: i. E da gasumuni mogili fadegale osoboga galagale, ilima osa: gili gugunufinisi.
11 Alizidi kuwa mkubwa, mkubwa kama kamanda wa jeshi la kimungu. Sadaka za kuteketezwa za kila siku ziliondolewa mbali na yeye, na sehemu yake takatifu zilitiwa unajisi.
Amola e da Hebene dadi gagui gilisisu amo ilia Hina Bagade Ema gegemusa: dawa: i galu. Hina Bagadema eso huluane gobele salasu hou, amo e da hedofai amola e da Debolo diasu gugunufinisi dagoi.
12 Kwasababu ya uasi, pembe ya mbuzi ilipewa jeshi, na sadaka za kuteketezwa zitasitishwa. Pembe itautupa ukweli chini ardhini, na itafanikiwa katika kila jambo ilifanyalo.
Amalalu, Debolo diasu amoga dunu amola uda da gobele salasu houdafa amo fisili, ilia Debolo ganodini wadela: i hou fawane hamosu. Godema dafawaneyale dawa: su houdafa da yolesi dagoi ba: i. Amola gaheabolo hono da hi hanai hou amo hahawane didili hamonanu.
13 Kisha nilimsikia mtakatifu mmoja akiongea na mtakatifu mwingine akamjibu, “Mambo haya yatadumu kwa muda gani, maono haya ya sadaka ya kuteketezwa, dhambi ile iletayo uharibifu, ukabidhiajia wa sehemu takatifu, na jeshi la mbinguni kukanyagwa?
Amalalu, na nabaloba, a:igele dunu afae da eno a: igele dunuma amane adole ba: i, “Goe hou wadela: lesibi amo ninia wali ba: sa. Amo da adi esoga fisima: bela? Habowali seda eso huluane noga: i gobele salasu hou da fisili, ilia da wadela: i hou fawane hamoma: bela: ? Amola hono gaheabolo da Hebene dadi gagui gilisisu amola Debolo amoga osa: la heda: lala. Amo hou da adi esoga fisima: bela?”
14 Aliniambia, “Itadumu kwa jioni na asubuhi zipatazo 2, 300. Baada ya hapo, mahali patakatifu patawekwa sawa.”
Amola na nabaloba, a:igele dunu eno da bu adole i, “Amo hou da daeya amola hahabe idi 2300agoane ba: lalumu. Amoga, hahabe amola daeya gobele salasu hou da hame ba: mu. Be amo eso da dagolalu, Debolo da bu gagui amola gobele salasu da bu hahawane hamonanebe ba: mu,” a: igele da eno a: igelema amane sia: i.
15 Wakati mimi Danieli, nilipoona maono, nilijaribu kuyaelewa. na hapo mbele yangu alisimama yule aliyeoneakana kama mtu.
Na da amo simasi dadawa: lalu amola bai hogolaloba, na da hedolodafa na midadini dunu afae lelebe ba: i.
16 Niliisikia sauti ya mtu ikiita katikati ya kingo za mfereji wa Ulai. Alisema, “Gabrieli, msaidie mtu huyu kuelewa maono.”
Amola na nabaloba, sia: afae amo da Iulai hano na: iyadodili amoga manebe nabi, amane, “Ga: ibaliele! Amo dunuma di da ea simasi ba: i liligi ea bai ema olelema!”
17 Basi alikuja karibu na mahali niliposimama. Na alipokuja, niliogopa na nilisujudia hadi chini. Aliniambia,”Fahamu, mwana wa mtu, kwamba maono ni kwa ajili ya wakati wa mwisho.”
Ga: ibaliele da nama misini, na afodili dafulili lelu. Na da bagade beda: iba: le, osobaga diasa: i. Ga: ibaliele da nama amane sia: i, “Osobo bagade dunu di! Na da simasi ea bai dima olelemu. Amo simasi da hobea soge wadela: mu eso doaga: lalu hamomu olelesa.”
18 Alipokuwa anaongea na mimi, nilipata usiingizi mzito nikiwa nimelala kifudifudi. Kisha alinishika na kunisimamisha.
E da nama adolaloba, na da osobaga sidinasa: i dagoi. Be amomane e da na lobolele, bu wa: lesi.
19 Akaniambia, “Tazama, nitakuonyesha kile kitachotokea baadaye katika kipindi cha ghadhabu, kwasababu maono haya yanahusu wakati wa mwisho uliopangwa.
Amola e da amane sia: i, “Na da hobea misunu hou dima olelesa. Gode da wadela: i hou amoma ougiba: le, E da fofada: nanu, soge wadela: mu eso da doaga: mu. E da amo hou dima olelesa. Dia simasi ea ba: i da amo.
20 Na kuhusu kondoo mme uliyemwona, yule mwenye pembe mbili - ni wafalme wawili wa Umedi na Uajemi.
Sibi gawali hono aduna gala di ba: i, amo da fedege sia: , osobo bagade fi aduna ela hou olelesa. Amo fi ela dio da Midia amola Besia.
21 Mbuzi dume ni mfalme wa Ugiriki. Pembe kubwa katikati ya macho yake ni mfalme wa kwanza.
Goudi di ba: i amo da fedege Galigi fi olelesa. Hono bagade amo goudi ea si dogoa sogebi galu da Galigi hina bagade age.
22 Na kuhusu pembe iliyovunjika, ambayo katika nafasi yake pembe zingine nne zilichipuka - hizi ni falme nne zitakazoinuka kutoka katika taifa lake, lakini hazitakuwa na nguvu kubwa.
Hono biyaduyale gala, amo da musa: hono goudane fadegaiba: le eno heda: i, amo ea dawaloma: ne da musa: fi da afafane fi biyaduyale bu hamomu. Be afafaeba: le, ilia gasa da musa: fi ea gasa amo defele hame be gudu agoane ba: mu.
23 Katika siku zijazo za falme hizo, wakati ambapo wahalifu watakuwa wamefikia kikomo chao, mfalme mwenye uso katili, na yeye mwenye akili sana, atainuka.
Amo fi biyaduyale da wadela: i hou bagadedafa hamomu. Ilia da Gode Ea fofada: su amola se imunu ba: mu agoai galebe. Amo eso da gadenesea, eno hina bagade da heda: mu. Ea hou da nimi bagade, gasa fi amola hohonosu ba: mu.
24 Nguvu zake zitakuwa kubwa, lakini si kwa nguvu zake mwenyewe. Atakuwa wa kustaajabisha kwa kile atakachokuwa anakiharibu; atafanya na kufanikiwa. Atawaangamiza watu wenye nguvu, watu miongoni wa watakatifu.
E da gasa bagade heda: mu. Be hisu ea gasaga hame heda: mu. E da liligi amola fi huluane hahawane gugunufinisimu amo ea wadela: i hawa: hamosu huluane didilisimu. E da gasa bagade dunu bagohame wadela: lesimu amola e da Gode Ea fidafa dunu gugunufinisimu.
25 Ataufanya udanganyifu usitawi chini ya mkono wake kwasababu ya ujanja wake. Atawaangamiza watu wengi bila kutegemea. Atainuka pia hata kinyume cha Mfalme wa wafalme, na atavunjwa, lakini si kwa mkono wowote wa binadamu.
E da ogogosu hou amola hohonosu hou amo bagade dawa: beba: le, e da ogogosu bagade hahawane hamomu. E da hi hou bagadewane hidale gaguia gadomu. Amola dunu amola uda ilia da noga: le esalumu dawa: lalu, e da hedolodafa amo huluane wadela: lesimu. Amola e da Baligili Bagadedafa Hina Gode, Ema gegemusa: dawa: mu. Be osobo bagade dunu ilia gasaga hame, be Gode Ea gasaga, e da gugunufinisi dagoi ba: mu.
26 Maono kuhusu jioni na asubuhi ulizoambiwa ni ya kweli. Lakini uyafunge maono haya, kwa kuwa yanahusu siku nyingi za wakati ujao.
Amo simasi da daeya amola hahabe gobele salasu amoma hobea misunu hou olelesa, amo da dafawane ba: mu. Be wahadafa, amo hou mae adole, wamolegema. Bai amo hou da waha hame be fa: nodafa ba: mu!”
27 Ndipo mimi, Danieli nilichoka sana na nikalala nikiwa dhaifu kwa siku kadhaa. Kisha nikainuka na nikaenda kufanya kazi za mfalme. Lakini nilikuwa nimetishwa sana na maono, na hapakuwa na mtu yeyote aliyeweza kuyaelewa.
Na da amo sia: nababeba: le, da: i dioi galu. Amola eso mogili na da oloi galu. Amalalu, oloi da damunuba, na wa: legadole, bu hawa: hamosu amo hina bagade da nama ilegei, amo hamomusa: asi. Be na da simasi amo bu dadawa: lalu. Be amomane, amo ea bai na da noga: le hame dawa: i.

< Danieli 8 >