< Danieli 7 >
1 Katika mwaka wa kwanza wa Belshaza mfalme wa Babelli, Danieli alikuwa na ndoto na maono katika akili zake wakati alipokuwa amelala kitandani kwake. Kisha akayaandika yale aliyoyaona katika ndoto. Aliandika matukio ya muhimu sana:
In the first year of Belshazzar, king of Babylon, Daniel, beheld, a dream, and visions of his head upon his bed, —then, the dream, he wrote, the sum of the matters, he told.
2 Danieli alieleza, “Usiku katika ndoto zangu niliona pepo nne za mbinguni zilikuwa zinaitikisa bahari kuu.
Daniel spake and said, I was looking, in my vision [which came] with the night, —when, lo! the four winds of the heavens, bursting forth upon the great sea;
3 Wanyama wakubwa wanne, kila mmoja alikuwa tofauti na mwenzake, walitoka katika bahari.
and four large wild beasts, coming up out of the sea, —diverse, one from another: —
4 Mnyama wa kwanza alikuwa kama simba, lakini alikuwa na mabawa ya tai. Nilipokuwa natazama, mabawa yake yalikuwa yamepasuka na alikuwa ameinuliwa katika ardhi na alikuwa amesimama kwa miguu miwili kama mtu. Na alipewa akili za kibinadamu.
The foremost, like a lion, having, the wings of an eagle, —I looked until the wings thereof, were torn out, and it was lifted up from the earth, and, upon its feet, like a man, was it caused to stand, and, the heart of a man, was given to it.
5 Na kulikuwa na mnyama wa pili, alikuwa kama dubu, na alikuwa ameinama, alikuwa na mbavu tatu katikati ya meno yake katika mdomo wake. Aliambiwa, 'Inuka na umeze watu wangi.'
And, lo! another wild beast, a second, resembling a bear, and, on one side, was it raised up, with three ribs in its mouth, between its teeth, —and, thus, were they saying to it, Rise! devour much flesh.
6 Baada ya hili, niliangalia tena. Kulikuwa na mnyama mwingine ambaye alionekana kama chui. Mgongoni mwake alikuwa na mabawa manne kama mabawa ya ndege, na alikuwa na vichwa vinne. Alipewa mamlaka ya kutawala.
After that, I was looking, and lo! another like a leopard, and it, had four wings of a bird upon its back, —and four heads, had the wild beast, and dominion, was given to it,
7 Baada haya, niliona usiku katika ndoto yangu mnyama wa nne, mwenye kuogofya, na kutisha na mwenye nguvu. Alikuwa na meno makubwa ya chuma; aliteketeza, na kuvunja vunja katika vipande, na kusaga saga katika miguuni pake kile kilichosalia. Alikuwa ni wa tofauti na wanyama wengine, na alikuwa na pembe kumi.
After that, I was looking in the visions of the night, when lo! a fourth wild beast, terrible and well-hipped and exceeding strong, and it had, large teeth of iron, it devoured and brake in pieces, and, the residue—with its feet, it trampled down, —and, it, was diverse from all the wild beasts that were before it, and it had, ten horns.
8 Na wakati nilipokuwa natafakari juu ya pembe, nilitazama na niliona pembe nyingine ndogo ilichipuka katikati ya pembe zingine. Mizizi ya pembe tatu kati ya pembe za mwanzo iling'olewa. Niliona katika pembe hii macho kama macho ya mtu na mdomo ambao ulikuwa ukijivuna kwa mambo makubwa.
I was considering the horns, when lo! another horn, a little one, came up among them, and, three of the former horns, were uprooted from before it, —and lo! eyes, like the eyes of a man, in this horn, and, a mouth, speaking great things.
9 Na nilipotazama, viti vya enzi vilikuwa vimewekwa, na Mtu wa siku za kale alikaa sehemu yake. Mavazi yake yalikuwa meupe kama theruji, na nywele zake katika kichwa chake zilikuwa safi kama sufu. Kiti chake cha enzi kilikuwa na miali ya moto, na magurudumu yake yalikuwa yanawaka moto.
I continued looking, until that, thrones, were placed, and, the Ancient of days, took his seat, —whose, garment, like snow, was white, and, the hair of his head, like pure wool, his throne, was flames of fire, his wheels, a burning fire.
10 Mto wa moto ulitiririka kutoka mbele yake, na mamilioni ya watu walimtumikia, na wengine mia moja milioni walikuwa wamesimama mbele yake. Na mahakama iliitishwa, na vitabu vilifunguliwa.
A stream of fire, was flowing on and issuing forth from before him, a thousand thousand, waited upon him and, ten thousand times ten thousand, before him, stood up, —Judgment, took its seat, and, books, were opened.
11 Niliendelea kuangalia kwasababu ya maneno ya kiburi yaliyosemwa na pembe. Nilitazama wakati mnyama anauliwa, na mwili wake uliharibiwa, na ulitolewa kwa ajili ya kuchomwa moto.
I continued looking, then because of the sound of the great words which the horn was speaking, I continued looking, until that the wild beast, was slain, and his body destroyed, and given to the burning of the fire.
12 Na kwa wale wanyama wanne waliosalia, mamlaka yao yalitwaliwa mbali, lakini maisha yao yaliendelezea kwa kipindi fulani cha muda.
As concerning the rest of the beasts, their dominion, was taken away, —but, a lengthening of life, was given to them, until time and season.
13 Katika maono yangu usiku ule, nilimwona mtu mmoja anakuja katika mawingu ya mbinguni alikuwa kama mwana wa mtu; alikuja kwa Mzee wa Siku na aliletwa mbele zake.
I continued looking in the visions of the night, when lo! with the clouds of the heavens, one like a son of man, was coming, —and, unto the Ancient of days, he approached, and, before him, they brought him near;
14 Naye alipewa mamlaka ya kiutawala na utukufu na mamlaka ya kifalme ili kwamba watu wote, na mataifa na lugha ziweze kumtumikia yeye. Mamlaka yake ya kutawala ni mamlaka ya milele ambayo hayatapita, na ufalme wake ni ule ambao hautaangamizwa.
and, unto him, were given dominion and dignity and kingship, that all peoples, races and tongues, unto him, should do service, —his dominion, was an age-abiding dominion, which should not pass away, and, his kingdom, that which should not be destroyed.
15 Na kwangu mimi, Danieli, roho yangu ilihuzunishwa ndani yangu, na maono niliyoyaona katika akili zangu yalinisumbua.
The spirit of, me, Daniel, was grieved in the midst of the sheath, —and, the visions of my head, terrified me.
16 Nilimsogelea mmoja wa hawa walikuwa wamesimama hapo na nikamwomba anioneshe maana ya mambo haya.
I drew near unto one of them who stood by, and made exact enquiry of him, concerning all this, —so he told me, and, the interpretation of the things, made he known unto me.
17 Hawa wanyama nne wakubwa ni wafalme wanne ambao watatoa katika nchi.
These great wild beasts, which are four, —are four kings who shall arise out of the earth;
18 Lakini watu watakatifu wa Mungu aliyejuu wataupokea ufalme na wataumiliki milele na milele.'
but the holy ones of the Highest, shall receive the kingdom, —and shall possess the kingdom for the age, yea for the age of ages.
19 Ndipo nilipotaka kujua zaidi juu ya mnyama wa nne, ambaye alikuwa tofauti sana na wengine na alikuwa wa kutisha pamoja na meno yake ya chuma na makucha ya shaba; alimeza, na alivunja vipande vipande, na alisaga saga kwa miguu yake kile kilichokuwa kimesalia.
Then desired I to be sure, concerning the fourth wild beast, which was diverse from all of them, —exceeding terrible, whose, teeth, were iron, and, his claws, of bronze, he devoured, brake in pieces, and, the residue—with his feet, he trampled down;
20 Nilitaka kujua juu ya pembe kumi katika kichwa chake, na kuhusu pembe nyingine iliyochomoza, na ambayo mbele yake pembe zingine tatu zilianguka chini. Nilitaka kujua kuhusu pembe yenye macho na kuhusu mdomo uliokuwa unajisifu kwa mambo makubwa na ambayo ilionekana kuwa ni kubwa kuliko zingine.
also concerning the ten horns, which were in his head, and the other, which came up, and there fell—from among them that were before it—three, —and this horn which had, eyes, and, a mouth, speaking great things, and, his look, was more proud than his fellows:
21 Na nilipotazama, pembe hii iliinua vita dhidi ya watu watakatifu na ilikuwa inawawashinda mpaka pale
I continued looking, when, this horn, made war with the holy ones, —and prevailed against them:
22 Mzee wa Siku alipokuja, na watu watakatifu wa Mungu Aliye Juu Sana. Ndipo wakati ulipowadia ambapo watu watakatifu waliupokea ufalme.
until that the Ancient of Days, came, and, justice, was granted to the holy ones of the Highest, —and, the time, arrived, that the holy ones should possess, the kingdom.
23 Hiki ndicho mtu yule alichokisema, 'Kwa habari ya mnyama wanne, utakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia ambao utakuwa tofauti na falme zingine zote. Utaimeza dunia yote, na utaikanyaga yote chini na kuivunja vunja vipande vipande.
Thus, he said, The fourth wild beast, is a fourth kingdom which shall be in the earth, which shall be diverse from all the kingdoms, —and shall devour all the earth, and shall trample it down, and break it in pieces.
24 Na kuhusu pembe kumi, kutoka katika ufalme huu, wafalme kumi watainuka, na mwingine atainuka baada yao. Atakuwa wa tofauti na wale waliomtangulia, na atawashinda wale wafalme watatu.
And, the ten horns of that kingdom, are ten kings who will arise, —and, another, will arise after them, and, he, will be diverse from the former ones, and, three kings, will he cast down;
25 Atazungumza maneno kinyume cha Yeye Aliye Juu sana na atawatesa watu watakatifu wa Mungu Aliye Juu. Atajaribu kuzibadili sikukuu na sheria. Mambo haya atapewa mikononi mwake kwa mwaka mmoja, miaka miwili na nusu mwaka.
and, words against the Most High, will he speak, and, the holy ones of the Highest, will he afflict, —and will hope to change times and law, and they will be given into his hand, for a season and seasons and the dividing of a season,
26 Lakini kikao cha mahakama kitaitishwa, na watazichukua nguvu zake za kifalme ili mwisho aweza kuharibiwa na kuteketezwa.
but, Judgment, will take its seat, —and, his dominion, will they take away, to destroy and make disappear unto an end.
27 Ufalme na utawala, ukubwa wa falme chini ya mbingu yote, watapewa watu walio wa watu watakatifu wa Yeye Aliye juu Sana. Ufalme wake ni ufalme wa milele, na falme zingine zote zitamtumikia na kumtii yeye.'
And, the kingdom, and the dominion, and the greatness of the kingdoms under all the heavens, shall be given to the people of the holy ones of the Highest, —his kingdom, is an age-abiding kingdom, and, all the dominions, unto him, will render service, and show themselves obedient.
28 Na huu ndio mwisho wa mambo. Na kuhusu mimi, Danieli, mawazo yangu yanihuzunisha sana mimi na mwonekano wa uso wangu ulibadilika. Lakini mambo haya niliyahifadhi mimi mwenyewe.”
Hitherto is the end of the matter. As for me, Daniel, greatly did my thoughts terrify me, and, my bright looks, were changed upon me, but, the matter—in mine own heart, I kept.