< Danieli 6 >

1 Ilimpendeza Dario kuchagua juu ya ufalme magavana wa majimbo 120 ambao wangetawala juu ya ufalme wote.
Hina bagade Da: liase da ouligisu dunu 120 amo ea ouligisu fi amo ganodini fi dialu ouligimusa: ilegei.
2 Juu yao kulikuwa na watawala wakuu watatu, na Daniel alikuwa mmoja wao. Hawa watawala waliwekwa ili waweze kuwasimamia magavana wa majimbo, ili kwamba mfalme asipate hasara.
Amola e da amo ouligisu dunu boboga amo ilia hawa: hamosu amo ouligima: ne, e da Da: niele amola dunu aduna eno ilegei dagoi.
3 Danieli alipambanuliwa juu ya watawala wakuu na juu ya magavana wa majimbo kwasababu alikuwa na roho isiyo ya kawaida. Mfalme alikuwa akipanga kumweka juu ya ufalme wote.
Amola hina bagade, ea sodoloba, Da: niele ea hawa: hamosu da eno ouligisu ilia hawa: hamosu baligi dagoi. Amaiba: le, Da: liase da Da: niele ema Besia sogega ouligisu bisilua ilegemusa: dawa: i galu.
4 Basi watawala wakuu wengine na magavana wa majimbo walitafuta makosa katika kazi ambazo Danieli alizifanya kwa ufalme, lakini hawakuweza kuona ufisadi au kushindwa katika majukumu yake kwasababu alikuwa mwaminifu. Hakuna kosa au uzembe uliopatikana ndani yake.
Amalalu, ouligisu dunu eno ilia da mudale ba: i. Ilia da Da: niele amo dafama: ne adoba: su logo hogolalu. Be amo fofada: su, amo ganodini da Da: niele ea giadofai afae hame ba: i. Amola Da: niele e da moloidafa dunuba: le, ea hawa: hamosu da noga: idafa ba: i. Amola e da afae hamedafa giadofasu.
5 Kisha watu hawa wakasema, “Hatukuweza kupata sababu yoyote ya kumshitaki huyu Danieli isipokuwa tukitafuta kitu fulani dhidi yake kuhusiana na sheria za Mungu wake.'”
Ilia ilisu amane sia: dasu, “Ninia da Da: niele ea hawa: hamosu amo ganodini giadofai hame ba: mu. Be Da: niele da Gode Ea sema amoga fa: no bobogesa. Amaiba: le, ninia da amo hou ganodini dafama: ne adoba: su hogomu da defea.”
6 Ndipo watawala hawa na magavana walileta mpango mbele ya mfalme. Walimwambia, “Mfalme Dario, uishi milele!
Amaiba: le, ilia asili da hina bagade amo ba: la asili, ema amane sia: i, “Hina bagade, Da: liase! Di da eso huluane noga: le esalalalumu da defea!”
7 Watawala wote wakuu wa ufalme, magavana wa mikoa, na magavana wa majimbo, washauri, na magavana wameshauriana kwa pamoja na kuamua kuwa wewe, mfalme, unapaswa kupitisha amri na kuitekeleza, ili kwamba mtu yeyote anayefanya dua kwa mungu yeyote au mtu kwa siku thelathini, isipokuwa wewe mfalme, mtu huyo lazima atupwe katika tundu la simba.
Ninia dia soge eagene dunu huluane, amo ninia da gilisili sia: dalu agoane sia: sa: i dagoi. Dia sema gasa bagade hamoma. Amola ninia hanai da dia dunu huluanema olelema. Dia sema agoane legema, amo eso 30 amoga, dunu huludafa da ‘gode’ huluane amola dunu huluane ilima mae sia: ne gadole esaloma: ne sia: ma. Ilia da dima fawane sia: ne gadoma: ne sia: ma. Amola dunu afaega, amo sema legebe go wadela: lisisia, dia dadi gagui dunu da amo dunu laione wa: me uli dogoi amo ganodini galagudumu, amo di sia: ne ilegema.”
8 Sasa mfalme, litoe agizo na utie saini nyaraka ili kwamba isije ikabadilika, kama ilivyoelekezwa katika sheria za Wamedi na Waajemi, hivyo haiweze ikabatilishwa.
“Defea, hina bagade! Di amo sema ilegema amola dia dio dedema. Amalalu, amo sema da Midia amola Besia amo dunu fi ilia sema bagade ba: mu. Amola amo sema afadenemu da hamedeiwane ba: mu.
9 Basi, mfalme Dario alitia saini nyaraka kwa kuifanya amri kuwa sheria.
Amalalu, Da: liase da amo sema ilegei. Ilia da sema dedene amola Da: liase da amoma gasa ima: ne ea dio dedei dagoi.
10 Danieli alipojua kuwa nyaraka imekwisha kusainiwa kuwa sheria, alienda ndani ya nyumba yake (madirisha yake katika chumba cha juu yalikuwa wazi kuelekea Yerusalemu), na alipiga magoti yake, kama alivyokuwa akifanya mara tatu kwa siku, na aliomba na kushukuru mbele ya Mungu wake, kama alivyofanya hapo kabla.
Da: niele da amo sema legei nababeba: le, e da wale gadole asili, ea diasuga asi. Ea diasu ganodini amo sesei gadodili dialebe ba: i. Amo ganodini fo misa: ne agenesi amo da Yelusaleme moilai bai bagadega, ga ba: legai. Ea eso huluane hou amo defele, e da muguni bugili, Godema sia: ne gadosu. E da eso afae amoga udiana agoane sia: ne gadoi.
11 Kisha watu hawa walikuwa wameunda hila kwa pamoja walimwona Danieli akiomba na kutafuta msaada kutoka kwa Mungu.
Da: nielema ha lai dunu da Da: niele amo Godema sia: ne gadolalebe ba: loba,
12 Ndipo walipomwendea mfalme na kuongea naye kuhusiana na amri yake: “Je haukuweka amri kwamba mtu yeyote akayefanya maombi kwa mungu mwingine au kwa binadamu ndani ya siku thelathini zijazo, isipokuwa kwako wewe, mfalme, lazima mtu huyo atupwe katika tundu la simba? Mfalme akajibu, “Jambo hili ni la hakika, kama ilivyoelekezwa katika sheria za Wamedi na Waajemi; ambazo haziwezi zikabatilishwa.”
ilia da asili, ilia hina bagadema Da: niele ea hou fofada: musa: asi. Ilia da ema amane sia: i, “Hina bagade! Dia da sema legele, dio dedei dagoi. Di da sema agoane legei, amo eso 30 amoga, dunu huludafa da ‘gode’ huluane amola dunu huluane ilima mae sia: ne gadole esaloma: ne sia: i. Ilia da dima fawane sia: ne gadoma: ne sia: i. Amola dunu afaega, amo sema legebe go wadela: lisisia, dia dadi gagui dunu da amo dunu laione wa: me uli dogoi amo ganodini galagudumu, amo di sia: i,” ilia sia: i. Amo sia: nababeba: le, hina bagade da amane sia: i, “Dafawane! Amo sema hamoi da gasa bagadedafa. Amo da Midia amola Besia ninia sema. Amola afadenemu da hamedei.”
13 Kisha wakamjibu mfalme, “Mtu yule Daniel, ambaye ni mmoja wa watu wa mateka kutoka Yuda, hakutii wewe, mfalme wala maagizo yako uliyoyasaini. Yeye humwomba Mungu wake mara tatu kwa siku.”
Amalalu, ilia da Da: liase ema amane sia: i, “Yuda mugululi asi dunu afae amo Da: niele, amo dunu e da dia sia: amo gua: ne fasi dagoi. Amola eso huluane e da ea Godema eso afaega udiana agoane sia: ne gadolala.
14 Mfalme aliposikia haya, alisikitishwa sana, alitumia akili jinsi ya kumwokoa kutoka katika utawala huu. Alisumbuka sana mpaka wakati wa kuzama kwa jua akijaribu kumwokoa Danieli.
Hina bagade da amo sia: nababeba: le, e da da: i dioi bagade ba: i. Amola e da Da: niele gaga: musa: dawa: i galu. E da Da: nielema fidisu logo eno olelemusa: dadawa: laloba, eso sa: i.
15 Kisha watu hawa waliokuwa wamepanga njama walikusanyika kwa pamoja na mfalme, na wakamwambia, “Ujue mfalme kwamba ni sheria ya Wamedi na Waajemi kwamba hakuna amri au sanamu ambayo mfalme anaipitisha yaweza kubadilishwa.”
Amola daeya agoane Da: nielema ha lai dunu da ema misini, amane sia: i, “Hina bagade! Di dawa: ! Ninia Midia fi amola Besia fi amo ninia hou amo ganodini, adi sema amo hina bagade legemusa: dawa: lalu amo sema da mae afadenene amaiwane dialumu!”
16 Ndipo mfalme alitoa agizo, na walimleta ndani Danieli, na kisha wakamtupa katika tundu la simba. Mfalme akamwambia Danieli, “Mungu wako, ambaye unamtumikia daima, na akuokoe.''
Amaiba: le, Da: liase da ea dadi gagui ilima ilia Da: niele afugili oule asili, laione wa: me ilia diasu dogoi amo ganodini galaguduma: ne sia: i. Amola e da Da: nielema amane sia: i, “Di da dia Gode Ea hawa: hamosu hahawane hamonana. E da di gaga: mu da defea.”
17 Jiwe lililetwa katika mlango wa tundu, na mfalme alilitia muhuri wa pete yake mwenyewe na pamoja na muhuri wa wakuu wake ili kwamba chochote kisiweze kubadilishwa kuhusiana na Danieli.
Ilia da Da: niele amo laione wa: me uli dogoi amogili sanasi dagoi. Amalalu ilia igi bagade afae lale logo amoga ga: si dagoi. Amola, hina bagade da ea amola ea eagene ouligisu dunu ilia gobele ilegesu liligi amo igi da: iya ado ligisi. Dunu enoga wamo Da: niele fidisa: besa: le, agoane hamoi.
18 Basi mfalme alienda kwenye ikulu yake na usiku ule alikuwa na mfungo. Hakuna starehe yoyote iliyoletwa mbele yake, nao usingizi ulimkimbia.
Fa: no, hina bagade da hi diasuga bu ogobele misini, amo gasi ganodini e da ha: i mae nawane esalu. Amola dunu amola uda ema hahawane sia: mae sia: ma: ne sia: i. Amola e da afae hamedafa golale ba: i.
19 Kisha katika mapambazuko mfalme aliamka na kwa haraka alienda kwenye tundu la simba.
Hahabedafa hina bagade da wa: legadole, hedolodafa asili, laione wa: me uli dogoiga doaga: i.
20 Na alipokaribia kwenye tundu, alimwita Danieli kwa sauti ya huzuni, akimwambia Danieli, “Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai, je Mungu wako ambaye anamtumkia daima ameweza kukuokoa kutoka katika simba?
Amoga: i doaga: lalu, e da beda: iwane Da: nielema amane wei, “Da: niele! Di da eso huluane esalebe Gode amo Ea noga: i hawa: hamosu dunu. Gode da di amo laione wa: mega mae gasomoma: ne di gaga: musa: defele ba: bela: ?”
21 Ndipo Danieli akamwambia mfalme, “Mfalme, uishi milele!
Da: niele da laione wa: me uli dogoi ganodini esala, ema amane sia: i, “Hina bagade! Di eso huluane esalalalumu da defea.
22 Mungu wangu amemtuma mjumbe na amevifunga vinywa vya simba, na hazijaweza kunidhuru. Kwa kuwa sikuwa na hatia yoyote mbele yake na pia mbele yako, ewe mfalme, na sijakufanyia jambo lolote la kukudhuru.”
Gode Ea a: igele dunu asunasili amo misini, da laione wa: me ilia lafi ga: i. Gode da na hou amo ganodini, giadofai hame ba: beba: le, amola dima wadela: i hou hame hamoiba: le amoga E da na noga: le fidi.
23 Basi mfalme alikuwa na furaha sana. Alitoa agizo kwamba wanatakiwa wamtoe Danieli nje ya tundu. Hivyo Danieli aliondolewa kutoka katika tundu. Hakuna dhara lolote lililoonekana kwake, kwa kuwa alikuwa amemtumainia Mungu wake.
Hina bagade da hahawane bagadedafa ba: i. Amananoba, e da ilima amane sia: i, “Da: niele lale gadodili oule masa!” Ilia e gadodili oule asili, ea da: iga se lai ganabeya: le hogoi be hame ba: i. Bai e da Godema dafawaneyale dawa: beba: le, agoane hamoi.
24 Mfalme alitoa agizo, waletwe wale watu waliomshitaki Danieli na kisha akawatupa wao katika tundu la simba - wao, na watoto wao, na wake zao. Kabla hawajafika sakafuni, simba waliwararua na kuvunjavunja mifupa yao vipande vipande.
Amalalu, hina bagade da sia: beba: le, dadi gagui da dunu amo da Da: nielema fofada: i, amo amola ilia uda amola mano, huluane laione wa: me uli dogoiga galagudui. Amola sanasinanoba, uli dogoiga daloba, hedolodafa laione wa: me ilia da soaga: la: gadole, ilia gasa huluane goudane sasali.
25 Kisha mfalme Dario aliandika ujumbe kwa watu wote, mataifa na lugha ambazo ziliishi katika dunia yote: “Amani na iongezeke kwenu.
Amalalu, hina bagade Da: liase da dunu amola uda fifi asi gala amola sia: hisu hisu ilima meloa dedene i, amane, “Na dilima asigi sia: sia: sa.
26 Ninaagiza kwamba katika utawala wote wa ufalme wangu watu watetemeka na kumcha mbele ya Mungu wa Danieli, kwa kuwa ni Mungu aliye hai na huishi milele, na ufalme wake hauwezi kuharibiwa; utawala wake utakuwepo hadi mwisho.
Na ouligibiga esalebe fi dunu amola uda! Dilia na sia: goe noga: le nabima. Dilia da Da: niele ea Gode amo Ea Dio bagade nodone gaguia gadoma. Amo Gode da eso huluane esalalalumu. E da Hina Bagade eso huluane fifi ahoanumu. Amola Ea gasa da hamedafa fisili, eso huluane amanewane dialumu.
27 Yeye anatuhifadhi salama na kutuokoa, na anafanya ishara na maajabu mbinguni na duniani; amemhifadhi Danieli salama dhidi ya uwezo wa simba.”
E da dunu amola uda mae se lama: ne gaga: musa: dawa: E da Hebene amola osobo bagade amo ganodini musa: hame ba: su amola dawa: digima: ne olelesu gasa bagade hou hamonana. E da Da: niele amo laione wa: me amoga mae gasomoma: ne gaga: i dagoi.
28 Na hivyo basi, Danieli alifanikiwa katika utawala wa Dario na katika utawala wa Koreshi Mwajemi.
Amola Da: liase e hina bagade esalebe eso amogalu da Sailase (Besia dunu) da ea sogebi lai dagoi. Amo eso huluane ganodini Da: niele da hahawane ouligisu mimogo dunu bagadedafa esalu.

< Danieli 6 >