< Danieli 5 >

1 Mfalme Belshaza alifanya sherehe kubwa kwa kwa ajili ya wakuu wake wa kuheshimiwa wapatao elfu moja, na alikunywa divai mbele yao wote watu elfu moja.
Belesia: sa e da Ba: bilone amo ganodini hina bagade dunu esalu. E da lolo nasu bagade hamoi. E da ea lolo nasu amo ganodini ea ouligisu boboga amo 1000 agoane misa: ne wei. Amo gilisisu amo ganodini, ilia da waini hano manu.
2 Wakati Belshaza alipokuwa akionja divai, alitoa agizo la kuleta vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu au kwa fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu huko Yerusalemu, ambavyo yeye, na wakuu wake, na wake zake, na masuria waliweza kuvinywea.
Ilia da waini nananoba, Belesia: sa da ea hawa: hamosu dunuma ilia da hano dili nasu faigelei gouli amola silifa amoga hamoi, amo liligi ea eda Nebiuga: denese ea da musa: Gode Ea diasu Yelusalemega lai, amo gaguli misa: ne sia: i. Belesia: sa ea hanai da e amola ea dunu boboga, ea udadafa ilia amola ea gidisedagi uda ili hulu gilisili manusa: dawa: i.
3 Watumishi walivileta vyombo ya dhahabu vilivyokuwa vimechukulia katika hekalu, nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Mfalme na wakuu wake, na wake zake na masuria walivinywea.
Hawa: hamosu dunu da faigelei amola ofodo gouliga hamoi amo huluane gaguli misini, ilia huluane da amo faigelei amoga waini mai.
4 Walikunywa divai na kuzisifu sanamu zao zilizotengenezwa kwa dhahabu na fedha, shaba, chuma, mbao na mawe.
Ilia waini hano amo nanoba, ilia da ogogole ‘gode’ amo da gouli, silifa, balase, ifa amola igi amoga hamoi, amo loboga hamoi ogogosu ‘gode’ma nodosu.
5 Kwa wakati huo huo vidole vya mkono wa mtu vilionekana mbele ya kinara cha taa na kuandika katika ukuta uliopigwa lipu katika ikulu ya mfalme. Mfalme aliweza kuona sehemu ya mkono ulipokuwa unaandika.
Amola hedolodafa dunu ea lobo fawane (dunu da: i hodo hame) amo da misini, hina bagade ea diasu dobea amoga sia: dedenenebe ba: i. Amola gamali la: ididi nebeba: le, Belesia: sa da amo dunu ea lobo amo noga: le ba: i.
6 Ndipo uso wa mfalme ulibadilika na mawazo yake yalimwogopesha; miguu yake haikuweza kumfanya asimame, na magoti yake yalikuwa yakigongana kwa pamoja.
Belesia: sa da amo hou ba: beba: le bagadedafa beda: i. Amola ea odagi da afadenene haliga: i agoane ba: i. Amola ea muguni da bagadewane yagugui.
7 Mfalme alitoa agizo kwa kupiga kelele, waletwe ndani wale ambao hudai wanaweza kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wataalamu wa nyota. Mfalme akawaambia wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli, “Yeyote atakayeyaeleza maandishi haya na maana yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake. Naye atakuwa mtawala wa tatu wa juu kwa mamlaka katika ufalme.”
E da gasa bagade wele sia: i, “Ba: la: lusu dunu, gasumuni ba: su dunu amola fefedoasu dunu huluane misa: ne sia: ma.” Ilia da huluane gilisilalu, e da ilima amane sia: i, “Nowa da amo dedei ea bai nama adolalu, na da ema abula sesedado ouligisu dunu ilia salasu defele yoiyai imunu e sia: i. Amola sia: ine gouliga hahamoi ili asogoaga ligisisia, ea dio da bagade ba: mu. Amola e da Ba: bilone soge amo ganodini hina bagade osoda agoane ba: mu!”
8 Ndipo watu wote wa mfalme walikuwa wakijulikana kwa hekima yao waliingia ndani, lakini hawakuweza kuyasoma maandishi wala kueleza maana yake kwa mfalme.
Amalalu, bagade dawa: su dunu huluane da misini be dedei amo ilia da idimu gogolei amola bai Belesia: sama olelemu hamedeiwane ba: i.
9 Kisha mfalme Belshaza alishitushwa sana na mwonekano wa uso wake ulibadilika. Wakuu wake nao walishangazwa sana.
Amola hina bagade Belesia: sa da bagadedafa beda: i. Amola ea odagi afadenene, baligili haliga: i agoane ba: i. Amola bagade dawa: su dunu ilia da adi hamoma: bela: le bagadewane dawa: lalu.
10 Ndipo sasa malkia alikuja katika nyumba ya sherehe kwasababu ya kile ambacho mfalme na wakuu wake walikuwa wamekisema. Malkia akasema, “Mfalme na aishi milele! Usiache mawazo yako yakakusumbua. Usiruhusu mwonekano wa uso wako ubadilike.
Belesia: sa eme da hina bagade amola bagade dawa: su dunu ilia wele sia: su nababeba: le, e da ha: i nasu seseiga fila asi. Amalalu, e amane sia: i, “Hina bagade! Di eso huluane esalalalumu da defea. Bagadewane mae fofogadigima amola amo liligi bagade mae dawa: ma.
11 Kuna mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu watakatifu dani yake. Katika siku za baba yako, mwanga na weledi na hekima ya miungu ilipatikana ndani yake. Mfalme Nebukadneza, baba yako mfalme, alimfanya kuwa mkuu wa waganga, pamoja na mkuu wa wale wanazungumza na wafu, na wa wenye hekima, na wa wataalamu wa nyota.
Dunu afae da dia soge amo ganodini esala, amo ea dogo ganodini Gode Ea A: silibu da aligila sa: i dagoi. Amola dia ada da musa: hina bagade esaloba, amo eso galu, ea ba: lobada, amo dunu da ‘gode’ huluane ilia dawa: su noga: i amo defele dawa: i dagoi. Amaiba: le, dia ada Nebiuga: denese da amo dunu bagade dawa: su dunu fi amo ganodini bisilua hamoi dagoi.
12 Roho bora, ufahamu, weledi, kutafsiri ndoto, kufafanua mafumbo na kutatua matatizo - hizi ni sifa zilizopatikana kwa mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. Sasa mwiteni Danieli naye atawaambia maana ya kile kilichoandikwa.”
Bai amo dunu da dawa: su enoenoia dawa: su galu. Amola e da simasi ea bai olelesu dawa: , amola e da wamolegei liligi huluane dawa: Amo dunu ea dio da Da: niele, be hina bagade Nebiuga: denese da ema dio eno asuli amo Beledesia: sa. Amaiba: le, Da: niele amo dedei liligi ea bai huluane dima olelema: ne, e da dima misa: ne sia: ma!”
13 Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme. Mfalme akamwambia, “Wewe ni yule Danieli, mmoja kati ya watu wa mateka wa Yuda, ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda.
Amalalu ilia da hedolowane Da: niele oule misini, e da ganodini golili sa: ili hina bagade dunu amola dafulili fi. Hina bagade da ema amane sia: i, “Di da Da: niele, amo musa: na ada Nebiuga: denese da Yuda sogega lale guiguda: oule misi. Di da amo dunula: ?
14 Nimesikia habari kukuhusu wewe, kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na ya kwamba mwanga na ufahamu na hekima bora inapatikana ndani yako.
Na amane nabi, Gode Ea A: silibu da dia dogo ganodini aligila sa: i dagoi, amola di da bagade dawa: su dunu.
15 Na sasa watu wanaojulikana kwa hekima na wale wanaozungumza na wafu, wamekwisha kuletwa mbele yangu, ili kusoma maandishi haya na kunijulisha maana ya tafsiri yake, lakini hawakuweza kunijulisha tafsiri yake.
Na da bagade dawa: su dunu ili da amo dedei idima: ne amola ea bai nama olelema: ne ili mafia: ma: ne wei. Be ilia da amo idimu amola bai olelemu hamedei agoane ba: i.
16 Nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo. Sasa kama utaweza kusoma maandishi na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na kuwa na kuvalishwa mkufu wa dhahabu shingoni mwako, na utakuwa mtawala wa tatu mwenye mamlaka katika ufalme.”
Be na amane nabi, di da wamolegei liligi huluane dawa: mu defele esala. Di da amo dedei ea bai nama adolalu, na da dima abula sesedado ouligisu dunu ilia salasu defele yoiyai imunu. Amola sia: ine gouliga hahamoi dia asogoaga ga: sisia, dia dio da bagade ba: mu. Amola di da Ba: bilone hina bagade soge amo ganodini eagene hina bagade amo bagia osoda agoane ba: mu.”
17 Kisha Danieli akajibu mbele ya mfalme, “Zawadi yako na iwe kwa ajili yako mwenyewe, na thawabu yako na umpe mtu mwingine. Hata hivyo, mfalme, nitakusomea maandishi na nitakwaambia maana.
Da: niele da dabe amane sia: i, “Mae dawa: ma! Dia liligi imunu dawa: i galea disu lamu da defea o amo liligi dunu enoma ima. Be amo dedei na da dima idimu amola ea bai dima olelemu.
18 Na juu yako, Ewe mfalme, Mungu Aliye juu sana alimpa Nebukadneza baba yako ufalme, ukuu, heshima na enzi.
Nabima! Gode Gadodafa esala amo Ea da musa: dia ada Nebiuga: denese amo gasa bagade amola hadigi hamoi dagoi.
19 Na kwasababu ya ukuu huo, Mungu alimpa watu wote, mataifa, na lugha walimtetemekea na kumwogopa. Aliwauwa wale aliotaka wafe na aliwaacha hai wale aliotaka waishi. Aliwainua wale aliowataka, na aliwashusha wale aliowataka.
E da gasa bagadedafa hamoi galu. Amaiba: le, fifi asi gala dunu amola uda huluane amola sia: hisu hisu huluane da ema bagadewane beda: i. E da dunu afae medole legemusa: dawa: lalu, e da amo dunu medole legei. E da dunu eno gaga: musa: dawa: lalu, amo dunu da esalebe ba: i. E da dunu afae ea dio gaguia gadoma: ne dawa: lalu, e da amanewane hamoi. Amola e da dunu afae banenesili osa: la heda: musa: dawa: lalu, e da amanewane hamoi.
20 Lakini wakati moyo ulipokuwa na kiburi na roho yake ilifanywa kuwa mgumu na kwasababu hiyo alitenda kwa kiburi, alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme, na waliiondoa enzi yake.
Be dia ada ea hou da heda: le, e da gasa fi hou, hame asigi hou amola hame nabasu hou enoenoi amoga wadela: i hou hamosu. Amo hou Gode da ba: beba: le, E da ea hina bagade hou amola ea dio bagade huluane fadegale fasili, e da dafai dagoi.
21 Aliondolewa katika ubinadamu, alikuwa na akili za mnyama, na aliishi na punda wa mwituni. Alikula majani kama ng'ombe. Mwili wake ulilowanishwa kwa umande wa kutoka mbinguni mpaka pale alipojifunza kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na ya kwamba humweka mtu yeyote amtakaye juu yake.
E da dunu amola uda ilia gilisisu amoga sefasi dagoi ba: i. Amola e da asili ohe sogega e amola ohe da gilisili esalu. Amola e da bulamagau agoane gisi nanu. Amola e da hamega gadili golai amola oubi baea da e da: iya sa: i. E da amanewane ode fesuale esalu. Amalalu e da Gode Gadodafa amo da fifi asi gala ilima Hinadafa esalebe, amo e da dafawaneyale dawa: i. Amola E da Hina hou Hi hanaiga hamosa amola E da fi ouligisu hou eso enoga dunu afae amoga fadegalalu, Ea hanaiga eno dunu ilima (dunu bagade o fonobahadi Hi fawane dawa: ) ilima iaha, amo e da dawa: i galu.
22 Wewe mwana wake, Belshaza, haujaunyenyekeza moyo wako, ingawa aliyajua haya yote.
Di da Nebiuga: denese ea manoba: le, amo hou huluane dawa: le dagoi. Be di da gasa fi hamone amola dia hou da hame fonoboi ba: sa.
23 Umejiinua mwenyewe kinyume cha Bwana wa mbinguni. Katika nyumba yake walikuletea vyombo ambavyo wewe, wakuu wako, wake zako na masuria wako walivinywea, na kisha ukaisifia sana sanamu zilitengenezwa kwa fedha na dhahabu, shaba, chuma, mbao, na mawe - sanamu ambazo haziwezi kuona, kusikia wa kujua kitu chochote. Haujamheshimu Mungu ambaye anaishikilia pumzi yako katika mkono wake na ambaye anazijua njia zako zote.
Be di da Gode Hebene amo ganodini esala, Ema hasalasimusa: dawa: i. Di da hano dili nasu faigelei gouli amola silifa amoga hamoi, amo liligi dia ada Nebiuga: denese ea da musa: Gode Ea diasu Yelusalemega lai, amo gaguli misa: ne sia: i. Amalalu di amola dia dunu boboga amola dia udadafa amola dia gidisedagi uda hulu gilisili amoga nasu. Amola dilia da waini hano amo nanoba, dilia da ogogole ‘gode’ amo da gouli, silifa, balase, ifa amola igi amoga hamoi, amo ogogosu ‘gode’, amo da hame naba, hame ba: sa amola hame dawa: sa, ilima dilia da nodosu. Godedafa da dilia esalusu logo amola dia bogosu logo amola hou huluanedafa ouesala. Be dilia da Ema hame nodosa amola Ea Dio hame gaguia gadosa.
24 Ndipo Mungu aliutuma mkono kutoka katika makao yake na maandishi haya yaliandikwa.
Amaiba: le, Gode da amo sia: loboga dedema: ne asunasi dagoi.
25 Haya ndiyo maandishi ambayo yaliandikwa: 'Mene, Mene, Tekeli na Peresin.'
Goe sia: da agoane dedei diala amo, ‘Idi, idi, dioi defei, afafasu.’
26 Maana yake ni: 'Mene,' 'Mungu ameuhesabu ufalme wako na ameukomesha.'
Amola goe sia: bai da agoane. ‘Idi’ amo ea bai da Gode da dia ouligisu eso idi dagoi. Amola wali dia hina bagade dagosu eso da doaga: i dagoi.
27 'Tekeli' 'umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.'
‘Dioi defei’ amo ea bai da Gode da dia dioi defei ba: i dagoi amola E da dia dioi defei da haga: i amola defele hame ba: i.
28 'Peresi' 'ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.'”
‘Afafasu’ amoea bai da Gode da dia ouligisu fi amola soge amo afafae dagoi. La: idi E da Midia fi ilima i dagoi. La: idi eno E da Besia fi ilima i dagoi.”
29 Ndipo Belshaza alitoa agizo, na walimvalisha Danieli mavazi ya zambarau. Mkufu wa dhahabu walimvisha shingoni, na mfalme alitoa tamko juu ya Danieli kuwa atakuwa mtawala mwenye mamlaka ya nafasi ya tatu katika ufalme.
Belesia: sa da amo sia: , nababeba: le, e da ea hawa: hamosu dunuma ilia da abula sesedado ouligisu dunu ilia salasu defele yoiyai Da: niele ema imunu sia: i. Amola sia: ine gouliga hahamoi ea asogoaga ga: sima: ne sia: i. Amola e da Ba: bilone soge amo ganodini Da: niele eagene hina bagade e bagia osoda agoane hamoi.
30 Usiku ule Belshaza, mfalme wa Babeli aliuawa,
Amo gasi amoga, Midia fi dunu da misini, Belesia: sa (Ba: bilone hina bagade galu) amo medole legei dagoi.
31 na Dario Mwajemi aliuchukua ufalme alipokuwa na miaka ipatayo sitini na miwili.
Amola Midia hina bagade dunu amo Da: liase, e Ba: bilone soge huluane lai dagoi. Amo esoga, Da: liase ea esalebe ode gidigi da62 galu.

< Danieli 5 >