< Danieli 4 >

1 Mfalme Nebukadneza aliituma amri hii kwa watu wote, mataifa, na lugha walioishi katika nchi: “Na amani yenu na iongezeke.
Tokosra Nebuchadnezzar el supwalik sap soko inge nu sin mwet in mutunfacl nukewa ac kain kas nukewa fin faclu, su fahk ouinge: “Paing kowos!
2 Imeonekana vizuri kwangu kuwaambia juu ya ishara na maajabu ambayo Mungu Mkuu Aliye juu amenifanyia.
Porongo ma nga ac fahk ke ouiya sakirik ac usrnguk su God Fulatlana El akkalemye nu sik.
3 Ni kwa namna gani Ishara zake ni kubwa, na ni kwa namna gani maajabu yake yana nguvu! Ufalme wake ni ufalme unaodumu milele, na utawala wake hudumu kizazi hadi kizazi.”
“Fuka yokiyen ma usrnguk God El ikasla nu sesr! Fuka lupan kuiyen mwenmen ma El oru! God El tokosra nwe tok ma pahtpat. El ac fah leum fin ma nukewa in pacl nukewa!
4 Mimi, Nebukadneza, nilikuwa ninaishi kwa furaha katika nyumba yangu, na nilikuwa nikifurahia mafanikio katika ikulu yangu.
“Nga, Nebuchadnezzar, tuh muta arulana misla inkul sik, ac insewowokin kasrup luk.
5 Lakini ndoto niliyoiota ilifanya niogope. Nilipokuwa nimejilaza pale, taswira niliyoiona na maono katika akili yangu yalinitaabisha.
Tusruktu nga tuh oru sie mweme na aksangeng, ac liye kutu aruruma su nga arulana tuninfongla kac ke nga motul.
6 Basi nilitoa agizo la kuwaleta mbele yangu watu wote wa Babeli waliokuwa na hekima ili kwamba waweze kunitafsiria ndoto.
Nga tuh sapkin in utukeni mwet kasru fulat nukewa in acn Babylon elos in tuh fahkma nu sik kalmen mweme sac.
7 Kisha walikuja wachawi, wale ambao hudai kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wasoma nyota. Niliwaambia juu ya ndoto, lakini hawakuweza kunitafsiria.
Na mwet susfa, mwet inutnut, mwet mwenmen, ac mwet lutlut ke ma oan yen engyeng uh nukewa utukeni, ac nga fahkang nu selos mweme se luk ah, a elos tia ku in aketeya nu sik.
8 Bali mwishoni Danieli aliingia ndani - yeye ambaye huitwa Belteshaza jina la mungu wangu, na ambaye ndani yake kuna roho ya miungu mitakatifu - na nilimwambia juu ya ndoto.
Na Daniel el utyak. (Itukyang pac inel Belteshazzar, tuh elan us inen god se luk.) Ngunin god mutal uh oan in el, na nga fahkak mweme se luk ah nu sel. Nga fahk ouinge nu sel:
9 “Belteshaza, mkuu wa wachawi, ninajua kuwa roho ya miungu watakatifu iko ndani yako na ya kwamba hakuna siri iliyo ngumu kwako. Niambie kile nilichokiona katika ndoto yangu na nini maana yake.
“Belteshazzar, su fulat inmasrlon mwet susfa uh, nga etu lah ngunin god mutal uh oan in kom, ac kom etu ma lukma nukewa. Pa inge mweme se luk uh. Fahkma lah mea kalmac uh.
10 Haya ndiyo niliyoyaona katika akili zangu nilipokuwa nimejilaza katika kitanda changu: Nilitazama, na kulikuwa na mti katikati ya dunia, na urefu wake ulikuwa ni mkubwa sana.
“Ke nga tuh motul ah, nga arurumai soko sak na lulap su tu infulwen faclu.
11 Mti ulikua na ukawa wenye nguvu. Na sehemu ya juu yake ilifika mbinguni, uliweza kuonekana kutoka miisho ya dunia yote.
Sak soko inge kap na kap nwe ke na sun acn elucng, ac mwet faclu nufon ku in liye.
12 Majani yake yalikuwa mazuri, matunda yake yalikuwa ni mengi, na juu yake kulikuwa na chakula kwa ajili ya wote. Wanyama wa mwituni walipata kivuli chini yake, na ndege wa angani waliisha katika matawi yake. Viumbe vyote hai vililishwa katika mti huo.
Sra kac uh arulana kato, ac fahko kac arulana ungung, fal in kiteya mwet faclu nufon. Kosro lemnak uh mongla ye lulin sak uh, won uh orala ahng lalos ke lesak uh, ac kain in ma moul nukewa mongo ke fokin sak soko inge.
13 Nilipokuwa nimelala kitandani kwangu, niliona katika akili zangu, mjumbe mtakatifu alishuka kutoka mbinguni.
“Ke nga srakna nunku ke aruruma se inge, nga liye sie mwet na mutal oatume inkusrao me, su arulana liyaten in ma nukewa.
14 Alipiga kelele na kusema, 'Ukateni mti na yafyekeni matawi yake, yapukutisheni majani yake, na kuyasambaza matunda yake. Wanyama na wakimbie kutoka chini yake na ndege wapae mbali kutoka katika matawi yake.
Ac el fahkak ke sie pusra lulap, ‘Pakiya sak soko an, ac wotela lah kac an; yolla sra kac, ac sisalik fahko an. Lusak kosro ingan liki ye sak soko an, ac won uh liki lesak an.
15 Mkiache kisiki cha mizizi yake katika nchi, mkifunge na fungu la chuma na shaba, katikati ya mche mororo wa shambani. Na kilowanishwe na umande wa kutoka mbinguni. Kiacheni kiishi na wanyama kati ya mimea ya ardhini.
Ac filiya sruen sak sacn in oanna infohk uh, ac loseni ke mwe lohl orekla ke osra iron ac bronze. Filiya in oanna ke mah inima uh. “‘Na lela aunfong uh in sroksrokkinya mwet se inge, ac lela elan muta inmasrlon kosro lemnak uh, ac sak inima uh.
16 Akili yake na ibadilishwe kutoka akili ya kibinadamu, na apewe akili ya mnyama mpaka ipite miaka saba.
Ke lusen yac itkosr el ac fah tia nunak oana mwet uh, a el ac nunak oana kosro uh.
17 Uamuzi huu ni kutokana na amri iliyotolewa na mjumbe. Ni uamuzi uliofanya na yeye aliye mtakatifu ili kwamba hao walio hai wajue kwamba Mungu aliye juu sana anatawala juu ya falme za watu na huwapa kwa kila mmoja apendaye kumweka juu yao, hata kwa watu wale wanyenyekevu sana.'
Pa inge ma lipufan liyaten ac asmak uh wotela uh. Ke ma inge lela mwet in acn nukewa in etu lah oasr ku lun God Fulatlana fin tokosrai nukewa lun mwet uh, ac El ku in eisalosyang nu sin kutena mwet ma El lungse eisalosyang nu se — finne mwet ma pilesreyuk oemeet uh.’”
18 Mimi, Mfalme Nebukadneza nilipata ndoto hii. Sasa, wewe Belteshaza, niambie tafsiri yake, kwasababu hakuna mtu mwenye hekima katika ufalme wangu anayeweza kunitafsiria. Lakini wewe unaweza kufanya hivyo, kwa kuwa roho ya miungu watakatifu iko ndani yako.”
Ac Tokosra Nebuchadnezzar el fahk, “Pa inge mweme se luk ah. Inge, Belteshazzar, fahkma lah mea kalmac uh. Wangin sie sin mwet kasru luk inge ku in akkalemye nu sik, a kom ku mweyen ngunin god mutal uh oan in kom.”
19 Ndipo Danieli aliyeitwa pia Belteshaza, alihuzunishwa kwa muda, na mawazo yake yalimshitua. Mfalme akasema, “Belteshaza, usifadhaishwe na ndoto au tafsiri yake.” Belteshaza akajibu, “Bwana wangu, ndoto hii na iwe kwa ajili ya watu wanaokuchukia, na tafsiri yake na iwe kwa ajili ya adui zako.
Ke ma inge, Daniel su oayapa pangpang Belteshazzar, el arulana lut ac koflana fahk kutena ma. Na tokosra el fahk nu sel, “Belteshazzar, nimet lela mweme sac, ku kalmen mweme sac in akfohsye kom.” Belteshazzar el topuk ac fahk, “O Tokosra, nga kena tuh mweme sac ac aketeya kac uh in ma nu sin mwet lokoalok lom, ac in tia ma nu sum.
20 Mti ule uliouona - uliokua na ukawa na wenye nguvu, na ambao sehemu yake ya juu ilifika hata mbinguni, na ambao waweza kuonekana kutoka miisho ya dunia yote -
Sak soko ma arulana fulat ac sun acn elucg ingan, ku in liyeyuk sin mwet nukewa fin faclu.
21 ambao majani yake ni mazuri, na matunda yake yalikuwa ni mengi, ili kwamba ndani yake kulikuwa na chakula cha wote, na chini yake wanyama wa mwituni walipata kivuli, na ndani yake ndege wa angani waliishi -
Sra kac uh arulana kato, ac fahko uh ku in kiteya mwet fin faclu nufon. Kosro lemnak uh mongla ye lulin sak soko ah, ac won uh orek ahng ke lesak uh.
22 huu mti ni wewe, mfalme, wewe uliyekua na kuwa na nguvu. Ukuu wako umeongezeka na kufika mbinguni, na mamlaka yako yamefika hata miisho ya dunia.
“O Tokosra, kom pa sak soko ma arulana fulat ac fokoko inge. Kom kapak nwe arulana fulat, oru kom sun acn elucng, ac ku lom uh fahsrelik nu fin faclu nufon.
23 Ewe mfalme, ulimwona mjumbe akishuka kutoka mbinguni na akisema, “Ukateni mti na uteketezeni, lakni kiacheni kisiki cha mizizi yake katika nchi, kifungeni kwa ukanda wa chuma na shaba, katikati ya mche mororo katika shamba. Na kilowanishwe na umande kutoka mbinguni. Kiache kiishi katika wanyama wa mwituni katika mashamba mpaka ipite miaka saba.'
Ke Tokosra srakna intoein ma inge, lipufan se oatui inkusrao me ac fahk, ‘Pakiya sak soko an ac kunausla, tusruk filiya srua an in oanna. Loseni ke sie mwe lohl ma orekla ke osra iron ac bronze, ac filiya in oanna ke mah inima uh. Lela aunfong uh in sroksrokkinya mwet se inge, ac lela elan mutana inmasrlon kosro lemnak uh ke yac itkosr.’
24 Mfalme, hii ni tafsiri yake. Ni agizo la Yeye Aliye Juu ambalo limekufikia, bwana wangu mfalme.
“O Tokosra, pa inge kalmen mweme sac, ac pa inge ma God Fulatlana El fahk mu ac sikyak nu sum uh.
25 Utafukuzwa utoke miongoni mwa watu, na utaishi pamoja na wanyama wa mwituni huko mashambani. Utafanywa uwe unakula majani kama ng'ombe, na utalowanishwa na umande wa kutoka mbinguni, miaka saba itapita mpaka pale utakapokiri kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme zote za watu na ya kwamba yeye humpa falme hizo mtu yeyote amtakaye.
Ac fah lillilyak kom liki inmasrlon mwet uh, ac kom fah muta inmasrlon kosro lemnak uh. Ke lusen yac itkosr kom ac fah mongo mah oana soko ox, ac motul inima uh, yen kom ac aksroksrokyeyuk ke aunfong uh. Tukun ma inge, kom ac fah fahk lah pwaye God Fulatlana El nununku tokosrai nukewa lun mwet uh, ac El ku in sang tokosrai nu sin kutena mwet El lungse sang nu se.
26 Kama ilivyoamriwa kwamba kukiacha kisiki cha mizizi ya mti, kwa njia hii ufalme wako utarudishiwa katika kipindi ambacho utajifunza kwamba mbingu inatawala.
Lipufan sac tuh sapkin mu sruen sak sac in fili in oanna infohk uh. Kalmac pa kom ac sifilpa tokosrala tukun kom akilenak lah God El leumi faclu nufon.
27 Hivyo basi, mfalme, ushauri wangu na ukubalike kwako. Acha kutenda dhambi na utende haki. Geuka uache uovu wako wa kuonesha huruma kwa walionewa, na itakuwa kwamba mafanikio yako yataongezwa.”
Ke ma inge, O Tokosra, oru oana ma nga ac fahk nu sum uh. Nimet kom sifil oru ma koluk, a oru ma wo ac kulang nu sin mwet sukasrup. Kom fin oru ouinge, na ac srakna wo ouiyom.”
28 Vitu hivi vyote vilitokea kwa mfalme Nebukadneza.
Ma inge nukewa sikyak nu sel Tokosra Nebuchadnezzar.
29 Baada ya miezi wa kumi na miwili alipokuwa akitembea juu ya dari la ikulu ya kifalme katika Babeli,
Malem na singoul luo tukun ma inge, ke el forfor fin acn lucng ke lohm sel in Babylon,
30 na alisema, “Je hii si Babeli kuu, ambayo nimeijenga kwa ajili ya makao yangu ya kifalme, kwa ajili ya utukufu wa enzi yangu?”
el fahk, “Liye oaskuiyen acn Babylon! Nga musaela tuh in pa siti fulat in tokosrai luk, in akkalemye wal, ku, wolana, ac fulatlana luk.”
31 Wakati maneno yakali katika midomo ya mfalme, sauti ilisikika kutoka mbinguni: “Mfalme Nebukadneza, imetangazwa kwako kwamba ufalme huu umeondolewa kutoka kwako.
Soenna safla ma el fahk uh, na sie pusra kasla inkusrao me ac fahk, “Tokosra Nebuchadnezzar, porongo ma nga ac fahk uh! Inge wal in tokosra lom itukla liki kom.
32 Utafukuziwa mbali kutoka miongoni mwa watu, na makao yao yatakuwa pamoja na wanyama wa mwitu katika mashamba. Utafanywa kulamajani kama ng'ombe. Miaka saba itapita mpaka pale utakapokiri kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na humpa falme mtu yeyote amtakaye.”
Ac fah lisyukyak kom liki inmasrlon mwet uh, ac kom fah muta inmasrlon kosro lemnak, ac mongo mah oana soko ox ke lusen yac itkosr. Tukun pacl sacn, na kom ac fah akilenak lah pwaye oasr ku lun God Fulatlana fin tokosrai nukewa lun mwet uh, ac El ku in sang tokosrai uh nu sin kutena mwet El lungse sang nu se.”
33 Agizo hili kinyume na Nebukadneza lilitekelezwa ghafla. Aliondolewa miongoni mwa watu. Alikula majani kama ng'ombe, na mwili wake ulilowa kwa umande wa kutoka mbinguni. Nywele zake zilirefuka kama manyoa ya tai, na makucha yake yalikuwa kama makucha ya ndege.
In kitin pacl ah na kas inge akpwayeiyuk. Nebuchadnezzar el lisyukyak liki inmasrlon mwet uh, ac mongo mah oana soko ox. Aunfong uh aksroksrokye manol, ac unac kacl uh loeselik oana unen eagle uh, ac tokinpaol loes oana tokinnien won uh.
34 Na katika mwisho wa siku, mimi, Nebukadneza niliinua macho yangu kuelekea mbinguni, utimamu wa akili nilirudishiwa. “Nilimsifu Mungu Aliye Juu sana, na nilimheshimu na kumtukuza yeye aishiye milele. Kwa kuwa utawala wake ni wa milele, na ufalme wake unadumu katoka katika vizazi vyote hadi vizazi vyote.
Tokosra el fahk, “Ke safla yac itkosr ah, nga ngetak nu inkusrao ac sifil kalemak nunak luk. Nga kaksakin God Fulatlana, ac sang sunak ac wolana nu sel su moul nwe tok. “El fah leumi ma nukewa nwe tok ma pahtpat, Ac ac fah wangin safliyen tokosrai lal.
35 Wenyeji wote wa duniani huhesabiwa na yeye kuwa bure; hufanya lolote limpendezalo miongoni mwa jeshi la mbinguni na wakazi wa dunia. Hakuna hata mmoja awezaye kumzuia au kumpa changamoto. Hakuna hata mmoja awezaye kumwambia, “Mbona umefanya hivi?”
El ngeta liye mwet fin faclu oana ma lusrongten; Lipufan inkusrao ac mwet fin faclu Muta ye ku lal. Wangin sie mwet ku in lain lungse lal. Ku kusen siyuk ke ma El oru.
36 Kwa wakati ule ule utimamu wa akili zangu uliponirudia, utukufu wangu na fahari yangu ilinirudia kwa ajili ya utukufu wa ufalme wangu. Washauri wangu na watu wenye heshima walitafuta msaada wangu. Nilirudishwa kwenye kiti changu cha enzi, na nilipewa ukuu zaidi.
“Ke pacl ma sifil kalemak nunak luk, na folokinyukme sunak, wal fulat luk ac wolana nukewa lun tokosrai luk. Mwet pwapa fulat luk ac mwet leum elos paingyu, ac wal fulat luk folokinyukme yohk liki na meet ah.
37 Sasa basi, mimi Nebukadneza, ninamsifu, ninamtukuza na kumheshimu mfalme wa mbinguni, kwa kuwa matendo yake yote ni ya haki, na njia zake ni za adili. Anaweza kuwashusha wale wanaotembea katika kiburi chao wenyewe.
“Ac inge, nga, Nebuchadnezzar, sunakin, kaksakin, ac akfulatye Tokosra in Kusrao. Ma nukewa El oru uh pwaye ac suwohs, ac El ku in akpusiselyela kutena mwet su inse fulat in orekma lal.”

< Danieli 4 >