< Danieli 4 >

1 Mfalme Nebukadneza aliituma amri hii kwa watu wote, mataifa, na lugha walioishi katika nchi: “Na amani yenu na iongezeke.
Hina bagade Nebiuga: denese da dunu fifi asi gala amola sia: hisu hisu amola dunu huluane osobo bagadega esalu ilima sia: sia: negai agoane, “Na da dilima asigi sia: sia: sa!
2 Imeonekana vizuri kwangu kuwaambia juu ya ishara na maajabu ambayo Mungu Mkuu Aliye juu amenifanyia.
Nabima! Gode Gadodafa da nama musa: hame ba: su amola dawa: digima: ne olelesu gasa bagade hou amo nama olelei dagoi. Amo hou na da dilima olelemu.
3 Ni kwa namna gani Ishara zake ni kubwa, na ni kwa namna gani maajabu yake yana nguvu! Ufalme wake ni ufalme unaodumu milele, na utawala wake hudumu kizazi hadi kizazi.”
Gode Gadodafa Ea hou da noga: idafa. E da musa: hame ba: su amola dawa: digima: ne olelesu gasa bagade hou hamonana. E da Hina Bagade. Ea Hinadafa Hou da eso huluane mae fisili dialalalumu.
4 Mimi, Nebukadneza, nilikuwa ninaishi kwa furaha katika nyumba yangu, na nilikuwa nikifurahia mafanikio katika ikulu yangu.
Na da Nebiuga: denese. Na da ni diasuga gebewane esalu. Na amola da na hawa: hamosu da defeadafa. Na da liligi bagade gaguiba: le, na da hahawane esalu.
5 Lakini ndoto niliyoiota ilifanya niogope. Nilipokuwa nimejilaza pale, taswira niliyoiona na maono katika akili yangu yalinitaabisha.
Be gasi afadafaga na simasi amoga na da beda: i bagade galu.
6 Basi nilitoa agizo la kuwaleta mbele yangu watu wote wa Babeli waliokuwa na hekima ili kwamba waweze kunitafsiria ndoto.
Na da Ba: bilone amo ganodini bagade dawa: su dunu huluane amo simasi ea bai nama olelema: ne, nama misa: ne sia: i.
7 Kisha walikuja wachawi, wale ambao hudai kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wasoma nyota. Niliwaambia juu ya ndoto, lakini hawakuweza kunitafsiria.
Amaiba: le, bagade dawa: su dunu, ba: la: lusu dunu, nabi dunu, fefedoasu dunu amola gesami dasu dunu huluane ilia da nama oule misi. Na da na simasi amo ilima olelei. Be ilia da amo bai nama olelemu hamedei agoane ba: i.
8 Bali mwishoni Danieli aliingia ndani - yeye ambaye huitwa Belteshaza jina la mungu wangu, na ambaye ndani yake kuna roho ya miungu mitakatifu - na nilimwambia juu ya ndoto.
Fa: no, Da: niele da misi. Na da ema dio eno asuli amo Beledesia: sa. Go da na ‘gode’ amo ea dio sia: sa. Gode Ea A: silibu da ea dogo ganodini sali dagoi ba: i. Amaiba: le, na simasi amo na da ema adole i. Na da ema amane adoi,
9 “Belteshaza, mkuu wa wachawi, ninajua kuwa roho ya miungu watakatifu iko ndani yako na ya kwamba hakuna siri iliyo ngumu kwako. Niambie kile nilichokiona katika ndoto yangu na nini maana yake.
“Beledesia: sa! Di da bisili ba: la: lusu dunu. Hadigi Gode Ea A: silibu da dia dogo ganodini sali, amo na dawa: Di da wamolegei hou huluane dawa: Defea, wali na simasi hou nabima. Amola di da amo ea bai nama olelema.
10 Haya ndiyo niliyoyaona katika akili zangu nilipokuwa nimejilaza katika kitanda changu: Nilitazama, na kulikuwa na mti katikati ya dunia, na urefu wake ulikuwa ni mkubwa sana.
Na da golai simasia agoane ba: i. Na ba: loba ifa sedade lelebe ba: i. E da osobo bagade dogoa amo ganodini lelu.
11 Mti ulikua na ukawa wenye nguvu. Na sehemu ya juu yake ilifika mbinguni, uliweza kuonekana kutoka miisho ya dunia yote.
Amo ifa da bagadedafa alele amola ea banuguma amo da heda: le muagadodafa amoga doaga: i ba: i. Amola osobo bagadega dunu fi ilia huluane sodosu.
12 Majani yake yalikuwa mazuri, matunda yake yalikuwa ni mengi, na juu yake kulikuwa na chakula kwa ajili ya wote. Wanyama wa mwituni walipata kivuli chini yake, na ndege wa angani waliisha katika matawi yake. Viumbe vyote hai vililishwa katika mti huo.
Goe ifa da lubi huluanedafa da noga: idafa ba: i. Amola amo ea fage da bagohamedafa ba: i. Amola fage amo da osobo bagade dunu huluane nawene sadimu defele ba: i. Ohe sogega fi amo da misini ea ougiha helefisu. Amola sio fi da misini, ea amoda amoga bibisu amola liligi enoenoi ilia da misini, ea fage amo nasu.
13 Nilipokuwa nimelala kitandani kwangu, niliona katika akili zangu, mjumbe mtakatifu alishuka kutoka mbinguni.
Na da amo simasi goe dadawa: laloba, amola ba: loba da a: igele dunu da Hebene amoga dalebe ba: i. Amo a: igele da liligi huluane ouligisu dawa:
14 Alipiga kelele na kusema, 'Ukateni mti na yafyekeni matawi yake, yapukutisheni majani yake, na kuyasambaza matunda yake. Wanyama na wakimbie kutoka chini yake na ndege wapae mbali kutoka katika matawi yake.
E da gasa bagade wei amo nabi, ‘Goe ifa gelele sa: ima: ne abima! Amalalu ea amoda dadamuma! Amola ea lubi amola ea fage huluane gilifuli fasima. Amola ea ougiha ohe fi go sefasima. Amola sio ea amodaga fi gala sefasima.
15 Mkiache kisiki cha mizizi yake katika nchi, mkifunge na fungu la chuma na shaba, katikati ya mche mororo wa shambani. Na kilowanishwe na umande wa kutoka mbinguni. Kiacheni kiishi na wanyama kati ya mimea ya ardhini.
Be ifa ea bai amo fawane yolesima. Amola amo ifa bai bulu agoai ouli amola balase amoga hamoi amoga idinigilisima. Amo ifa bai sogega gisi amola gilisili dialoma: ne yolesima. Amola oubi baea da amo dunuma sa: imu da defea. Amola e amola ohe fi gisiaga gilisili esaloma: mu.
16 Akili yake na ibadilishwe kutoka akili ya kibinadamu, na apewe akili ya mnyama mpaka ipite miaka saba.
E da ea asigi dawa: su fisili, ode fesuale amoga ohe fi ilia asigi dawa: su defele da ea dogo ganodini dialumu.
17 Uamuzi huu ni kutokana na amri iliyotolewa na mjumbe. Ni uamuzi uliofanya na yeye aliye mtakatifu ili kwamba hao walio hai wajue kwamba Mungu aliye juu sana anatawala juu ya falme za watu na huwapa kwa kila mmoja apendaye kumweka juu yao, hata kwa watu wale wanyenyekevu sana.'
A: igele dunu ilia da eso huluane mae golale liligi huluane ba: lala. Ilia da amo hou waha sia: i amo ilegei dagoi. Bai dunu fifi asi gala huluane Baligisu Gode da gasa gala amola E da dunu huluanedafa ilima Hina esala, amo ilia da dawa: mu da defea. E da hina hou Hi hanaiga hamosa amola E da fi ouligisu hou eso enoga dunu afae amoga fadegalalu, Ea hanaiga eno dunu ilima (dunu bagade o fonobahadi Hi fawane dawa: ) ilima iaha,’ a: igele da amane sia: i.
18 Mimi, Mfalme Nebukadneza nilipata ndoto hii. Sasa, wewe Belteshaza, niambie tafsiri yake, kwasababu hakuna mtu mwenye hekima katika ufalme wangu anayeweza kunitafsiria. Lakini wewe unaweza kufanya hivyo, kwa kuwa roho ya miungu watakatifu iko ndani yako.”
Na da amo simasia ba: i. Defea, wali Beledesia: sa, di da amo simasi bai amo nama adole ima. Na fada: i sia: su ouligisu dunu huluane da nama amo ea bai olelemu hamedeiwane ba: i. Be Gode Ea A: silibu da dia dogo ganodini aligila sa: i dagoiba: le, di da na simasia bai nama olelemusa: dawa: ,” Nebiuga: denese da amane sia: i.
19 Ndipo Danieli aliyeitwa pia Belteshaza, alihuzunishwa kwa muda, na mawazo yake yalimshitua. Mfalme akasema, “Belteshaza, usifadhaishwe na ndoto au tafsiri yake.” Belteshaza akajibu, “Bwana wangu, ndoto hii na iwe kwa ajili ya watu wanaokuchukia, na tafsiri yake na iwe kwa ajili ya adui zako.
Amo sia: nababeba: le, Da: niele (ea eno dio da Beledesia: sa) e da fofogadigili beda: iba: le, bu adole imunu gogolei. Be Nebiuga: denese da ema amane sia: i, “Di amo simasi amola ea bai nababeba: le, mae beda: ma!” Beledesia: sa da bu adole i, “Hina bagade! Goe simasi ea hou amola ea bai da dima ha lai dunu ilima doaga: mu da defea galu.
20 Mti ule uliouona - uliokua na ukawa na wenye nguvu, na ambao sehemu yake ya juu ilifika hata mbinguni, na ambao waweza kuonekana kutoka miisho ya dunia yote -
Dia ifa afae bagade ba: i. Amo ea banuguma da mu amoga doaga: idafa ba: i amola osobo bagade fi dunu huluane amo ba: i.
21 ambao majani yake ni mazuri, na matunda yake yalikuwa ni mengi, ili kwamba ndani yake kulikuwa na chakula cha wote, na chini yake wanyama wa mwituni walipata kivuli, na ndani yake ndege wa angani waliishi -
Goe ifa da lubi huluanedafa da noga: idafa ba: i. Amola amo ea fage da bagohamedafa ba: i. Amola fage amo da osobo bagade dunu huluane nawane sadimu defele ba: i. Ohe sogega fi amo da misini ea ougiha helefisu. Amola sio fi da misini, ea amoda, amoga bibisu amola liligi enoenoi ilia da misini, ea fage amo nasu.
22 huu mti ni wewe, mfalme, wewe uliyekua na kuwa na nguvu. Ukuu wako umeongezeka na kufika mbinguni, na mamlaka yako yamefika hata miisho ya dunia.
Hina bagade! Amo ifa fedege da difawane. Dia gasa da bagade heda: iba: le, fedege agoane muagado doaga: i dagoi. Di da osobo bagade dunu huludafa ouligisa.
23 Ewe mfalme, ulimwona mjumbe akishuka kutoka mbinguni na akisema, “Ukateni mti na uteketezeni, lakni kiacheni kisiki cha mizizi yake katika nchi, kifungeni kwa ukanda wa chuma na shaba, katikati ya mche mororo katika shamba. Na kilowanishwe na umande kutoka mbinguni. Kiache kiishi katika wanyama wa mwituni katika mashamba mpaka ipite miaka saba.'
Dia simasi amo ganodini amane ba: i. Amola dia ba: i a: igele dunu da Hebene amoga dalebe ba: i. Amo a: igele da liligi huluane ouligisu dawa: E da gasa bagade wei agoane nabi, ‘Goe ifa gelele sa: ima: ne abima. Amalalu ea amoda amola dadamuma! Amola ea lubi amola ea fage huluane gilifuli fasima. Amola ea ougiha ohe fi go sefasima. Amola sio ea amodaga fi go sefasima. Be ifa ea bai amo fawane yolesima. Amola amo ifa bai bulu agoai ouli amola balase amoga hamoi amoga idiniginisima. Amo ifa bai sogega gisi amola gilisili dialoma: ne yolesima. Amola oubi baea da amo dunuma sa: imu da defea. Amola e amola ohe fi gisiaga esalumu da defea. E da ea asigi dawa: su fisili, ode fesuale amoga ohe fi ilia asigi dawa: su defele da ea dogo ganodini dialumu,’ a: igele da amane sia: i.
24 Mfalme, hii ni tafsiri yake. Ni agizo la Yeye Aliye Juu ambalo limekufikia, bwana wangu mfalme.
Hina bagade! Goe simasi ea bai da agoane. Gode Gadodafa da fa: no dima misunu hou olelei dagoi.
25 Utafukuzwa utoke miongoni mwa watu, na utaishi pamoja na wanyama wa mwituni huko mashambani. Utafanywa uwe unakula majani kama ng'ombe, na utalowanishwa na umande wa kutoka mbinguni, miaka saba itapita mpaka pale utakapokiri kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme zote za watu na ya kwamba yeye humpa falme hizo mtu yeyote amtakaye.
Di da dunu amola uda ilia gilisisu amoga sefasi dagoi ba: mu. Amola di da asili ohe sogega di amola ohe fi da gilisili esalumu. Amola di da bulamagau agoane gisi nanumu. Amola di da hamega gadili golamu amola oubi baea da di da: iya sa: imu. Di da amanewane ode fesuale esalumu. Amalalu di da Gode Gadodafa amo da fifi asi gala ilima Hinadafa esalebe, amo di da dafawaneyale dawa: mu. Amola E da hina hou Hi hanaiga hamosa amola E da fi ouligisu hou eso enoga dunu afae amoga fadegalalu, Ea hanaiga eno dunu ilima (dunu bagade o fonobahadi Hi fawane dawa: ) ilima iaha, amo di da dawa: mu.
26 Kama ilivyoamriwa kwamba kukiacha kisiki cha mizizi ya mti, kwa njia hii ufalme wako utarudishiwa katika kipindi ambacho utajifunza kwamba mbingu inatawala.
Dia da a: igele ea adobe amo nabi dagoi. E da ifa bai amo da osoba amoga: iwane dialumu sia: i. Amo bai da agoane. Di da Gode Hifawane da osobo bagade fifi asi gala amola liligi huluanedafa ouligisa, amo dafawaneyale dawa: lalu, defea, di da bu hina bagade dunu hamomu.
27 Hivyo basi, mfalme, ushauri wangu na ukubalike kwako. Acha kutenda dhambi na utende haki. Geuka uache uovu wako wa kuonesha huruma kwa walionewa, na itakuwa kwamba mafanikio yako yataongezwa.”
Amaiba: le, hina bagade! Na dima adoi amo di nabima. Wadela: i hou amo fisima. Di da moloidafa hou fawane hamoma. Amola nowa dunu liligi hamedei galea dia fidima. Amalalu, dia da bagade gaguiwane wali dia gagui defele ba: mu,” Da: niele da amane sia: i.
28 Vitu hivi vyote vilitokea kwa mfalme Nebukadneza.
Fa: no, amo hou huludafa da hina bagade Nebiuga: denese ema doaga: i.
29 Baada ya miezi wa kumi na miwili alipokuwa akitembea juu ya dari la ikulu ya kifalme katika Babeli,
Ode afae da gidigilalu, eso afaega e da asili diasu Ba: bilone ganodini amo ea gadodili fila ahoasu amoga ahoanoba,
30 na alisema, “Je hii si Babeli kuu, ambayo nimeijenga kwa ajili ya makao yangu ya kifalme, kwa ajili ya utukufu wa enzi yangu?”
e amane sia: i, “Ba: bilone moilai bai bagade da bagade amola bisili noga: idafa. Amo moilai bai bagade nisu na hadigi amola na gasa amola na baligisu hou amo dunu huluane ba: ma: ne amola nama nodoma: ne, nisu da gagui dagoi.”
31 Wakati maneno yakali katika midomo ya mfalme, sauti ilisikika kutoka mbinguni: “Mfalme Nebukadneza, imetangazwa kwako kwamba ufalme huu umeondolewa kutoka kwako.
Ea sia: ne gabe galu, Hebene amoga sia: afae misini amane nabi, “Hina bagade, Nebiuga: denese! Dia na sia: nabima! Gode da dia gasa bagade ouligisu hou amo dima fadegai dagoi.
32 Utafukuziwa mbali kutoka miongoni mwa watu, na makao yao yatakuwa pamoja na wanyama wa mwitu katika mashamba. Utafanywa kulamajani kama ng'ombe. Miaka saba itapita mpaka pale utakapokiri kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na humpa falme mtu yeyote amtakaye.”
Di da dunu amola uda ilia gilisisu amoga sefasi dagoi ba: mu. Amola di da asili ohe sogega di amola ohe fi da gilisili esalumu. Amola di da bulamagau agoane gisi nanumu. Amola di da hamega gadili golamu amola oubi baea da di da: iya sa: imu. Di da amanewane ode fesuale esalumu. Amalalu di da Gode Gadodafa amo da fifi asi gala ilima Hinadafa esalebe, amo di da dafawaneyale dawa: mu. Amola E da Hina: hou Hi hanaiga hamosa amola E da fi ouligisu hou eso enoga dunu afae amoga fadegalalu, Ea hanaiga eno dunu ilima (dunu bagade o fonobahadi Hi fawane dawa: ) ilima iaha, amo di da dawa: mu!”
33 Agizo hili kinyume na Nebukadneza lilitekelezwa ghafla. Aliondolewa miongoni mwa watu. Alikula majani kama ng'ombe, na mwili wake ulilowa kwa umande wa kutoka mbinguni. Nywele zake zilirefuka kama manyoa ya tai, na makucha yake yalikuwa kama makucha ya ndege.
Hedolodafa, a:igele ea sia: i defele, amo hou da doaga: i dagoi. Nebiuga: denese da dunu amola uda amo ilia gilisisu amoga sefasi dagoi ba: i. E da bulamagau agoane, gisi nanu. Oubi baea da ea da: i da: iya sa: i amola ea hinabo da sedagili buhiba ea hinabo defele ba: i amola ea ifi sewe go da ma: ni amo ea ifi agoai ba: i.
34 Na katika mwisho wa siku, mimi, Nebukadneza niliinua macho yangu kuelekea mbinguni, utimamu wa akili nilirudishiwa. “Nilimsifu Mungu Aliye Juu sana, na nilimheshimu na kumtukuza yeye aishiye milele. Kwa kuwa utawala wake ni wa milele, na ufalme wake unadumu katoka katika vizazi vyote hadi vizazi vyote.
Nebiuga: denese da amane sia: i, “Amalalu, ode fesuale amo gidigili, na da mu amoga ba: le gadole, na asigi dawa: su da bu noga: i misi. Amanoba, na da Gode Gadodafa Ema nodoi. Na hahawane bagadeba: le, Ea hadigi Dio amo nodone gagui gadoi, amane, ‘Hina Gode Bagadedafa da eso huluane Hinawane ouligilalumu.
35 Wenyeji wote wa duniani huhesabiwa na yeye kuwa bure; hufanya lolote limpendezalo miongoni mwa jeshi la mbinguni na wakazi wa dunia. Hakuna hata mmoja awezaye kumzuia au kumpa changamoto. Hakuna hata mmoja awezaye kumwambia, “Mbona umefanya hivi?”
E da osobo bagade dunu huluane ouligisa. Amola E da Ea ouligibi amo da liligi fonobahadi agoane ba: sa. Amola E da a: igele fi dunu amola osobo bagade fi dunu huluane ouligisa. E da liligi afae hamomusa: sia: nanu dunu enoga Ea logo hame ga: mu. Amola ea sia: i amo da enoga hame gua: ne fasimu.’
36 Kwa wakati ule ule utimamu wa akili zangu uliponirudia, utukufu wangu na fahari yangu ilinirudia kwa ajili ya utukufu wa ufalme wangu. Washauri wangu na watu wenye heshima walitafuta msaada wangu. Nilirudishwa kwenye kiti changu cha enzi, na nilipewa ukuu zaidi.
Na doulasi fisi dagoi ba: loba, Gode da na musa: ouligisu hou amola na hadigi amola na gasa nama bu i. Na fidisu dunu amola na eagene dunu da na hahawane bu yosia: i. Amola na hadigi gasa bu lai da na musa: hadigi amo baligili ba: i.
37 Sasa basi, mimi Nebukadneza, ninamsifu, ninamtukuza na kumheshimu mfalme wa mbinguni, kwa kuwa matendo yake yote ni ya haki, na njia zake ni za adili. Anaweza kuwashusha wale wanaotembea katika kiburi chao wenyewe.
Amaiba: le, wali, na Nebiuga: denese, na da hahawane bagade Gode Hebene amo ganodini esalebe amoma, na da Ea Dio gaguia gadosa. E da eso huluane moloidafa fawane hamosa. Amola E da nowa dunu hina: dio gaguia gadosa amola gasa fi hamosa, E da amo dunu bu fonobomusa: dawa: !”

< Danieli 4 >