< Danieli 3 >

1 Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu ya dhahabu ambayo ilikuwa na urefu wa dhiraa sitini na upana dhiraa sita. Aliiweka katika uwanda wa Dura katika jimbo la Babeli.
نبوکدنصر پادشاه تمثالی از طلا که ارتفاعش شصت ذراع و عرضش شش ذراع بود ساخت و آن را در همواری دورا درولایت بابل نصب کرد.۱
2 Kisha Nebukadneza alituma ujumbe wa kuwaita pamoja magavana wote wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana wa vijiji, pamoja na na washauiri, wahazini, waamuzi, mahakimu, na maafisa wengine wakuu wa majimbo ili waje kwa ajili ya uzinduzi wa sanamu aliyokuwa ameiweka.
و نبوکدنصر پادشاه فرستاد که امرا و روسا و والیان و داوران وخزانه‌داران و مشیران و وکیلان و جمیع سروران ولایتها را جمع کنند تا به جهت تبرک تمثالی که نبوکدنصر پادشاه نصب نموده بود بیایند.۲
3 Ndipo magavana wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana wa vijiji, pamoja na washauri, wahasibu, waamuzi, mahakimu, na maafisa wa juu wa majimbo walikusanyika kwa pamoja katika uzinduzi wa sanamu ambayo Nebukadneza aliyokuwa ameiweka. Walisimama mbele yake.
پس امرا و روسا و والیان و داوران و خزانه‌داران ومشیران و وکیلان و جمیع سروران ولایتها به جهت تبرک تمثالی که نبوکدنصر پادشاه نصب نموده بود جمع شده، پیش تمثالی که نبوکدنصرنصب کرده بود ایستادند.۳
4 Kisha mtangazaji alipiga kelele, “Enyi watu, mataifa, na lugha mmeamriwa
و منادی به آواز بلندندا کرده، می‌گفت: «ای قومها و امت‌ها و زبانهابرای شما حکم است؛۴
5 kwamba mtakaposikia sauti za pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari na aina zote za muziki, ni sharti kuanguka na kuisujudia ninyi wenyewe sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa ameiweka.
که چون آواز کرنا و سرناو عود و بربط و سنتور و کمانچه و هر قسم آلات موسیقی را بشنوید، آنگاه به رو افتاده، تمثال طلارا که نبوکدنصر پادشاه نصب کرده است سجده نمایید.۵
6 Na yeyote asiyeanguka na kuiabuda, kwa wakati huo huo atatupwa katika tanuru la moto.”
و هر‌که به رو نیفتد و سجده ننماید درهمان ساعت در میان تون آتش ملتهب افکنده خواهد شد.»۶
7 Basi watu walilposikia sauti za pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari na aina zote za muziki, watu wote, mataifa na lugha walianguka na kuisujudia wao wenyewe sanamu ya dhahabu ambayo Nebukadneza mfalme alikuwa ameiweka.
لهذا چون همه قومها آواز کرنا و سرنا و عودو بربط و سنتور و هر قسم آلات موسیقی راشنیدند، همه قومها و امت‌ها و زبانها به رو افتاده، تمثال طلا را که نبوکدنصر پادشاه نصب کرده بودسجده نمودند.۷
8 Wakati huu baadhi ya Walkadayo walikuja na kuleta mashitaka kinyume na Wayahudi.
اما در آنوقت بعضی کلدانیان نزدیک آمده، بر یهودیان شکایت آوردند،۸
9 Walimwambia mfalme Nebukadneza, “mfalme aishi milele!
و به نبوکدنصر پادشاه عرض کرده، گفتند: «ای پادشاه تا به ابد زنده باش!۹
10 Ewe mfalme, umeweka amri kwamba kila mtu aisikiye sauti ya pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari, na aina zote za muziki, lazima kuanguka na kuisujudia sanamu ya dhahabu.
تو‌ای پادشاه فرمانی صادرنمودی که هر‌که آواز کرنا و سرنا و عود و بربط وسنتور و کمانچه و هر قسم آلات موسیقی رابشنود به رو افتاده، تمثال طلا را سجده نماید.۱۰
11 Mtu yeyote asiyeanguka na kuiabudu sharti atupwe katika tanuru linalowaka moto.
و هر‌که به رو نیفتد و سجده ننماید در میان تون آتش ملتهب افکنده شود.۱۱
12 Sasa kuna baadhi ya Wayahudi ambao umewaweka juu masuala ya jimbo la Babeli; majina yao ni Shadraka, Meshaki, na Abednego. Mfalme, hawa watu hawakutii wewe. Hawataiabudu, kuitumikia wala kuisujudia wenyewe sanamu ya dhahabu ambayo umeiweka.”
پس چند نفر یهودکه ایشان را بر کارهای ولایت بابل گماشته‌ای هستند، یعنی شدرک و میشک و عبدنغو. این اشخاص‌ای پادشاه، تو را احترام نمی نمایند وخدایان تو را عبادت نمی کنند و تمثال طلا را که نصب نموده‌ای سجده نمی نمایند.»۱۲
13 Ndipo Nebukadneza alijawa na hasira na ghadhabu, aliagiza kwamba Shadraka, Meshaki na Abednego waletwe kwake. Hivyo, waliwalete hawa watu mbele ya mfalme.
آنگاه نبوکدنصر با خشم و غضب فرمود تاشدرک و میشک و عبدنغو را حاضر کنند. پس این اشخاص را در حضور پادشاه آوردند.۱۳
14 Nebukadneza aliwaambia, “Je mmejipanga katika akili zenu, enyi Shadraka, Meshaki na Abedinego, kwamba hamtaiabudu miungu yangu wala kuisujudia wenyewe sanamu ile ya dhahabu ambayo nimeiweka?
پس نبوکدنصر ایشان را خطاب کرده، گفت: «ای شدرک و میشک و عبدنغو! آیا شما عمد خدایان مرا نمی پرستید وتمثال طلا را که نصب نموده‌ام سجده نمی کنید؟۱۴
15 Basi sasa kama mko tayari - mtakaposikia sauti pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinumbi na zumari, aina zote za muziki - kuanguka chini na kuisujudia wenyewe sanamu ile ambayo nimeitengeneza, mambo yote yatakuwa mazuri. Lakini kama hamtaiabudu, mtatupwa mara katika tanuru la moto. Ni mungu gani atakayeweza kuwaokoa katika mikono yangu?”
الان اگر مستعد بشوید که چون آواز کرنا و سرنا و عود و بربط و سنتور وکمانچه و هر قسم آلات موسیقی را بشنوید به روافتاده، تمثالی را که ساخته‌ام سجده نمایید، (فبها) و اما اگر سجده ننمایید، در همان ساعت در میان تون آتش ملتهب انداخته خواهید شد وکدام خدایی است که شما را از دست من رهایی دهد.»۱۵
16 Shadraka, Meshaki, na Abednego wakamjibu mfalme, “Nebukadneza, hatuhitaji kukujibu wewe katika jambo hili.
شدرک و میشک و عبدنغو در جواب پادشاه گفتند: «ای نبوکدنصر! درباره این امر ما راباکی نیست که تو را جواب دهیم.۱۶
17 Kama kuna jibu, ni kwamba Mungu wetu ambaye tunamtumikia anaweza kutuhifadhi sisi salama katika katika tanuru la moto, na atatuokoa sisi katika mkono wako, mfalme.
اگر چنین است، خدای ما که او را می‌پرستیم قادر است که ما را از تون آتش ملتهب برهاند و او ما را از دست تو‌ای پادشاه خواهد رهانید.۱۷
18 Kama sivyo, na ijulikane kwako, wewe mfalme, kwamba hatutaiabudu miungu yako, na wala hatutaisujudia wenyewe sanamu ya dhahabu uliyoiweka.
و اگر نه، ای پادشاه تو را معلوم باد که خدایان تو را عبادت نخواهیم کرد و تمثال طلا را که نصب نموده‌ای سجده نخواهیم نمود.»۱۸
19 Ndipo Nebukadneza alijawa na ghadhabu; mwonekano wa uso wake ulibadilika kinyume na Shadraka, Meshaki na Abedinego. Aliagiza kuwa tanuru lichochewe ukali mara saba zaidi kuliko lilivyokuwa kawaida.
آنگاه نبوکدنصر از خشم مملو گردید وهیئت چهره‌اش بر شدرک و میشک و عبدنغومتغیر گشت و متکلم شده، فرمود تا تون را هفت چندان زیاده تر از عادتش بتابند.۱۹
20 Kisha aliwaamuru baadhi ya watu wenye nguvu katika jeshi lake kuwafunga Shadraka, Meshaki na Abednego na kuwatupa katika tanuru liwakalo moto.
و به قویترین شجاعان لشکر خود فرمود که شدرک و میشک وعبدنغو را ببندند و در تون آتش ملتهب بیندازند.۲۰
21 Walifungwa akali wakiwa wamevaa nguo zao, kanzu, kilemba, na mavazi mengine, na walitupa katika tanuru liwakalo moto.
پس این اشخاص را در رداها و جبه‌ها وعمامه‌ها و سایر لباسهای ایشان بستند و در میان تون آتش ملتهب افکندند.۲۱
22 Kwasababu ya agizo la mfalme lilifuatwa na tanuru lilikuwa na joto sana, miali ya moto iliwaua watu waliowatupa Shadraka, Meshaki, na Abedinego.
و چونکه فرمان پادشاه سخت بود و تون بی‌نهایت تابیده شده، شعله آتش آن کسان را که شدرک و میشک وعبدنغو را برداشته بودند کشت.۲۲
23 Hawa wanaume watatu, Shadraka, Meshaki, na Abednego, waliangukia katika tanuru liwakalo moto wakali wamefungwa.
و این سه مردیعنی شدرک و میشک و عبدنغو در میان تون آتش ملتهب بسته افتادند.۲۳
24 Kisha Nebukadneza mfalme alishangazwa na alisimam haraka. Aliwauliza washauri wake, “Je hatukutupa watu watatu wakiwa wamefungwa katika moto?” Nao walimjibu mfalme, “Hakika mfalme.”
آنگاه نبوکدنصر پادشاه در حیرت افتاد وبزودی هر‌چه تمامتر برخاست و مشیران خود راخطاب کرده، گفت: «آیا سه شخص نبستیم و درمیان آتش نینداختیم؟» ایشان در جواب پادشاه عرض کردند که «صحیح است‌ای پادشاه!»۲۴
25 Alisema, “Lakini ninaona watu wanne ambao hawajafungwa wakizunguka katika moto, na hawajaumizwa. Mng'ao wa mtu wa nne ni kama mwana wa miungu.”
اودر جواب گفت: «اینک من چهار مرد می‌بینم که گشاده در میان آتش می‌خرامند و ضرری به ایشان نرسیده است و منظر چهارمین شبیه پسرخدا است.»۲۵
26 Ndipo Nebukadneza aliposogea karibu na mlango wa tanuru liwakalo moto na akaaita, “Shadraka, Meshaki na Abednego, watumishi wa Mungu Aliye Juu, tokeni nje! Njooni hapa! Ndipo Shadraka, Meshaki na Abednego walitoka nje ya moto.
پس نبوکدنصر به دهنه تون آتش ملتهب نزدیک آمد و خطاب کرده، گفت: «ای شدرک و میشک و عبدنغو! ای بندگان خدای تعالی بیرون شوید و بیایید.» پس شدرک و میشک و عبدنغو از میان آتش بیرون آمدند.۲۶
27 Magavana wa majimbo, magavana wengine, na washauri wa mfalme waliokuwa wamekusanyika kwa pamoja waliwaona watu hawa. Moto haukuunguza miili yao; nywele katika vichwa vyao hazikuungua; mavazi yao yalikuwa hayajaharibiwa; na hawakuwa na harufu ya moto.
و امرا وروسا و والیان و مشیران پادشاه جمع شده، آن مردان را دیدند که آتش به بدنهای ایشان اثری نکرده و مویی از سر ایشان نسوخته و رنگ ردای ایشان تبدیل نشده، بلکه بوی آتش به ایشان نرسیده است.۲۷
28 Nebukadneza alisema, “Na tumsifu Mungu wa Shadraka, Meshaki na Abedinego, ambaye amemtuma mjumbe wake na amewapa ujumbe watumishi wake. Walimtumaini yeye wakati walipoikana amri yangu, na waliitoa miili yao badala ya kuabudu au kusujudia mungu mwingine isipokuwa Mungu wao.
آنگاه نبوکدنصر متکلم شده، گفت: «متبارک باد خدای شدرک و میشک و عبدنغو که فرشته خود را فرستاد و بندگان خویش را که بر اوتوکل داشتند و به فرمان پادشاه مخالفت ورزیدندو بدنهای خود را تسلیم نمودند تا خدای دیگری سوای خدای خویش را عبادت و سجده ننمایند، رهایی داده است.۲۸
29 Hivyo basi ninaagiza kwamba watu wote, taifa au lugha ambayo itazungumza kitu chochote kinyume na Mungu wa Shadraka, Meshaki na Abedinego lazima wakatwe vipande, na ya kwamba nyumba zao lazima zifanywe kuwa vichuguu vya uchafu kwasababu hakuna mungu mwingine anayeweza kuokoa kama hivi.”
بنابراین فرمانی از من صادرشد که هر قوم و امت و زبان که حرف ناشایسته‌ای به ضد خدای شدرک و میشک و عبدنغو بگویند، پاره پاره شوند و خانه های ایشان به مزبله مبدل گردد، زیرا خدایی دیگر نیست که بدین منوال رهایی تواند داد.»۲۹
30 Ndipo mfalme aliwapandisha cheo Shadraka, Meshaki na Abednego katika jimbo la Babeli.
آنگاه پادشاه (منصب ) شدرک و میشک و عبدنغو را در ولایت بابل برتری داد.۳۰

< Danieli 3 >