< Danieli 2 >

1 Katika mwaka wa pili wa utawala wa Nebukadneza, alikuwa na ndoto. Akili yake ilisumbuka, na hakuweza kulala.
Ke yac se akluo in pacl Nebuchadnezzar el tokosra, el oru sie mweme. Yokla fohs lal kac, oru el kofla motul.
2 Ndipo mfalme alipowaita waganga na wale wenye kuongea na wafu. Lakini pia aliwaita wachawi na watu wenye hekima. Aliwataka wamwambie juu ya ndoto zake. Basi walikuja na kusimama mbele za mfalme.
Ouinge el sapla solama mwet susfa lal, mwet inutnut, mwet sramsram nu sin inut, ac mwet mwenmen lal in tuku ac aketeya mweme sac nu sel. Ke elos tuku ac tu ye mutun tokosra,
3 Mfalme akawambia, “Nilikuwa na ndoto, na akili yangu ina mashaka nataka kujua ndoto hiyo nini maana yake.”
el fahk nu selos, “Nga arulana fohsak ke mweme se nga oru. Nga ke etu lah mea kalmac.”
4 Kisha watu wenye hekima wakamwambia mfalme katika Kiaramaiki, “Mfalme, aishi milele! Twambie sisi ndoto, watumishi wako, nasi tutaifunua maana yake.”
Elos topuk tokosra ke kas Aramaic, “Lela in loes moul lun tokosra! Fahkma nu sesr mweme sacn, ac kut ac fah aketeya nu sum.”
5 Mfalme akawajibu watu wenye hekima, “Jambo hili limeshamalizika. Kama hamtaweza kuiweka wazi ndoto kwangu na kuitafsiri, miili yenu itakatwa vipande vipande na nyumba zenu zitafanywa kuwa vichuguu vya uchafu.
Ac tokosra el fahk nu selos, “Nga sulela tari mu komtal ac fahkma nu sik mweme sac, na aketeya lah mea kalmac. Komtal fin tia ku, nga ac sap in sreyuki monumtal nu ke ip srisrik, ac lohm sumtal an in rakinyuki nwe ke orala yol in kutkut.
6 Lakini kama mtaniambia ndoto na maana yake, mtapokea zawadi kutoka kwangu, thawabu, na heshima kubwa. Basi niambie ndoto na maana yake.”
A komtal fin fahkma nu sik mweme sac oayapa kalmac, na nga ac fah akfulatye komtal ac sot mwe moul yohk. Kwal, fahkma lah mea mweme sac, ac mea kalmac.”
7 Wakamjibu tena na kusema, “Mfalme na atuambie, watumishi wake, ndoto nasi tukwambia maana yake.”
Elos sifilpa topkol tokosra ac fahk, “Leum lasr fin fahkma na lah mweme fuka se, na kut ac fah akkalemye kalmac an.”
8 Mfalme akawajibu, “Ninajua kwa hakika mnahitaji muda zaidi kwasababu mmeona maamuzi yangu ni magumu kuhusu jambo hili.
Ke elos fahk ouinge ah, na tokosra el liksreni na fahk, “Ma na nga nunku ah ingan! Komtal suk na ma in eisla pacl, mweyen komtal etu na lah nga akola
9 Lakini kama hamtaweza kuniambia ndoto, kuna sentensi moja tu kwa ajili yenu. Mmeamua kuandaa uongo na maneno ya kudanganya ambayo mmekubaliana kwa pamoja kuniambia mpaka pale nitakapobadili akili zangu. Basi, niambieni ndoto, na kisha nitajua kuwa mnaweza kuitafsiri kwa ajili yangu.”
in sot nu sumtal lupan kaiyuk sefanna komtal fin tia fahkma kalmen mweme sac. Komtal pwapani komtal in tuku fahk kas kikiap in sisla pacl, mweyen komtal nunku mu nga ac ku in ekulla ma nga fahk uh. Fahkma lah mea mweme sac, na nga ac etu lah komtal ac ku in aketeya pac kalmac uh nu sik.”
10 Watu wenye hekima wakamjibu mfalme, “Hakuna mtu katika dunia anayeweza kutimiza matakwa ya mfalme. Hakuna mfalme yoyote mkuu na mwenye nguvu ambaye alishataka jambo kama hilo kutoka kwa wachawi, wala wenye kuongea na wafu, wala mwenye hekima.
Ac mwet kasru fulat inge topuk ac fahk, “Wangin sie mwet fin faclu nufon ac ku in fahkot nu sin tokosra ma kom ke etu an. Wangin sie tokosra, finne tokosra se ma pwengpeng, ku yohk oemeet ku la, nu oru kain sap upa se ingan nu sin mwet susfa lal, mwet inutnut, ac mwet mwenmen lal.
11 Kile anachokitaka mfalme ni kigumu, na hakuna yeyote awezaye kumwambia mfalme isipokuwa miungu, ambayo haishi miongoni mwa watu.”
Ma tokosra siyuk ingan arulana upa, oru wangin mwet ku in fahkot nu sin tokosra sayen god uh, a god inge tia muta inmasrlon mwet uh.”
12 Jambo hili lilimfanya mfalme akasirike na kughadhabika sana, na alitoa amri kuwaangamiza wale wote waliojulikana kuwa ni wenye hekima zao katika Babeli.
Ke elos fahk ouinge, tokosra el foloyak, ac sap in anwukla nufon mwet kasru fulat lal in acn Babylon.
13 Hivyo, amri ilitoka kwamba wale wote waliojulikana kwa hekima yao ni lazima wauawe. Na kwa sababu ya amri hii, walimtafuta Daniel na rafiki zake ili kwamba wauawe.
Ouinge sapkakinyuk tuh in anwuki elos nufon, welulang pac Daniel ac mwet kawuk lal ah.
14 Ndipo Daniel alipomjibu kwa busara na umakini, Arioki, kamanda wa walinzi wa mfalme, ambaye alikuwa amekuja kuwaua wale wote waliojulikana kuwa na hekima katika Babeli.
Na Daniel el som nu yorol Arioch, su leum fin mwet karinginyal tokosra, su itukyang kunal in uniya mwet inge. Daniel el arulana sulela wo kas elan fahk,
15 Danieli alimwuliza kamanda wa mfalme, “Kwanini amri ya mfalme ni ya haraka hivyo?” Hivyo, Arioki akamwambia Danieli kile kilichotokea.
ac el siyuk sel Arioch lah efu ku tokosra el orala ma sap na upa se inge. Ouinge Arioch el aketeya nu sel Daniel ma sikyak uh.
16 Ndipo Danieli aliingia ndani na akaomba ahadi ya muda wa kuonana na mfalme ili kwamba aweze kuwasilisha tafsiri kwa mfalme.
In pacl sacna Daniel el som ac eis ku sin mwet fulat lun inkul uh in kolla kutu srisrik pacl uh, elan ku in akkalemye nu sin tokosra kalmen mweme sah.
17 Kisha Danieli aliingia ndani ya nyumba na aliwaelezea Hanania, Mishaeli, na Azaria, kile kilichotokea.
Na Daniel el folokla nu yen el muta we, ac fahk nu sin mwet kawuk lal, Hananiah, Mishael, ac Azariah ke ma su sikyak inge.
18 Aliwasihi kutafuta rehema kutoka kwa Mungu wa mbinguni kuhusiana na siri hii ili kwamba yeye na wao wasije wakauawa pamoja na watu wengine waliosalia waliojulikana kuwa na hekima katika Babeli.
El fahk nu selos in pre nu sin God inkusrao tuh Elan pakoten nu selos ac ikasla kalmen ma lukma se inge nu selos, tuh elos fah tia anwuki wi mwet kasru fulat saya in acn Babylon.
19 Usiku ule siri ilifunuliwa kwa Danieli katika maono. Kisha Danieli akamtukuza Mungu wa mbinguni
Na in fong sacna ma lukma se inge ikakla nu sel Daniel in sie aruruma, ac el kaksakin God inkusrao, ac fahk,
20 na kusema, “Litukuzwa jina la Mungu milele na milele; kwa kuwa hekima na nguvu ni zake.
“God El lalmwetmet ac kulana! Kaksakunul nwe tok ma pahtpat.
21 Anabadili wakati na majira; anaondoa wafalme na kuweka wafalme katika viti vyao vya enzi. Anawapa hekima wenye hekima na ufahamu kwa wenye weledi.
El nununku pacl uh ac ekyek lun pulan pacl uh; El tulokunak ac ikruiya tokosra uh; El pa sang etauk ac lalmwetmet.
22 Hufunua vitu vya chini na vilifichika kwa sababu anajua kile kilicho gizani, naye anaishi pamoja na mwanga.
El ikasla kalmen ma lukma ac ma loal kalmac; El etu ma su oan wikla in lohsr uh, Ac El sifacna rauniyukla ke kalem.
23 Mungu wa baba zetu, ninakushukuru na kukutukuza wewe kwa ajili ya hekima na nguvu uliyonipa. Sasa umeyafanya yawe wazi kwetu yale tuliyokuomba; umetujulisha mambo yamhusuyo mfalme.”
Nga kaksakin kom ac akfulatye kom, God lun mwet matu luk. Kom ase ku nu sik ac etauk luk; Kom topokma pre luk, Ac akkalemye nu sesr ma kut in fahk nu sin tokosra.”
24 Ndipo Danieli alienda kumwona Arioki ( yule ambaye mfalme alimchagua kuua kila mtu aliyekuwa na hekima katika Babeli). Alimwendea na kumwambia, “Usiwauwe watu wenye hekima katika Babeli. Nipeleke kwa mfalme na nitamwonesha mfalme tafsiri ya ndoto yake.”
Na Daniel el som nu yorol Arioch, su tuh supweyuk in uniya mwet kasru fulat lun tokosra inge, ac el fahk nu sel, “Nimet kom onelosla. Usyula nu yorol tokosra ac nga fah fahkang nu sel kalmen mweme se lal ah.”
25 Kisha Arioki kwa haraka alimleta Danieli mbele za mfalme na kusema, “Nimempata miongoni wa watu wa mateka wa Yuda mtu ambaye atafunua maana ya ndoto ya mfalme.”
Kitin pacl ah na Arioch el usalak Daniel nu ye mutal tokosra ac fahk nu sel, “Nga konauk sie sin mwet Israel ma wi sruoh, su ac ku in fahkak nu sin tokosra kalmen mweme se lom.”
26 Mfalme akamwambia Danieli (ambaye alikuwa akiitwa Beliteshaza), “Je unaweza kunimbia ndoto niliyoiona na maana yake?”
Na tokosra el fahk nu sel Daniel (su oayapa pangpang Belteshazzar), “Kom ku in fahkma mweme se luk ah, ac aketeya lah mea kalmac?”
27 Danieli alimjibu mfalme na kusema, “Siri ambayo mfalme ameiomba haiwezi kufunuliwa na watu wenye hekima, wala wale wenye kuongea na wafu, wala wachawi, na wala wataalamu wa nyota.
Ac Daniel el topuk, “O Tokosra, wangin mwet mwenmen, mwet inutnut, mwet susfa, ku mwet tuni ma oan yen engyeng uh, su ac ku in fahkak nu sum ma se ingan.
28 Isipokuwa kuna Mungu ambaye anaishi mbinguni, ambaye hufunua siri, na amekwisha kukujulisha wewe, mfalme Nebukadneza, kile kitakachotokea katika siku zijazo. Hizi ndizo Ndoto na maono ya akili zako uliyoyaona wakati ulipokuwa umelala kitandani mwako.
Tusruktu, oasr sie God inkusrao su ikasla ma lukma uh. El akkalemye nu sin Tokosra ma su ac sikyak in pacl fahsru uh. Ac inge nga ac fahkot mweme sacn, su kom arurumai ke kom motul.
29 Na kwako Wewe, mfalme, mawazo yako kitandani mwako yalikuwa ni juu ya mambo yajayo, na yule afichuaye siri ameifanya ijulikane kwako kuhusu kile kilicho karibu kutokea.
“Ke pacl se tokosra tuh motul ah, tokosra mwemei ma ac sikyak in pacl tok uh; ac God, su ikasla kalmen ma lukma, El akkalemye ma ac sikyak uh.
30 Na kuhusu mimi, siri hii haikufunuliwa kwangu kwa sababu ya hekima yoyote niliyo nayo zaidi ya mtu yoyote anayeishi. Siri hii imefunliwa kwangu ili kwamba wewe, mfalme, uweze kufahamu maana, na ili kwamba ujuwe mawazo yaliyo ndani mwako.
Ma lukma se inge akkalemyeyukme nu sik, tia ke sripen nga lalmwetmet liki kutena mwet, a tuh Tokosra in ku in etu kalmen mweme sac, ac in kalem ke nunak su sikyak nu sin tokosra.
31 Mfalme, uliangalia juu na ukaona sanamu kubwa. Sanamu hii ambayo ilikuwa yenye nguvu na yenye kung'aa, ilisimama mbele yako. Mng'ao wake ulikuwa unatisha.
“O Tokosra, in aruruma sac, tokosra tuh liye sie ma sruloala na yohk tu ye mutun tokosra — arulana kalem ac saromrom, ac mwe aksangeng in liyeyuk.
32 Kichwa cha sanamu kilikuwa kimetengenezwa kwa dhahabu safi. Matiti yake na mikono ilikuwa ya fedha. Sehemu ya katikati na mapaja yake yalikuwa yametengenezwa kwa shaba,
Sifa ah orekla ke gold ma wo emeet; iniwa ah ac pao ah orek ke silver; ac infulwal nu ke intwel orekla ke bronze.
33 na miguu yake ilikuwa imetengenezwa kwa chuma. Miguu yake ilikuwa ilitengenezwa kwa sehemu chuma na sehemu kwa udongo.
Nial orekla ke osra, ac falkal orekla ke osra ac fohk kle akulamisak.
34 Ulitazama juu, na jiwe lilikuwa limechongwa, ingawa si kwa mikono ya wanadamu, na liliipiga sanamu katika miguu yake ya chuma na udongo, na ponda ponda.
Ke kom tuh ngetang liye ah, eot na lulap se tufwacla liki fin fulu se, a tia ma mwet moklela, twe sunna nia su orek ke osra ac kle, ac koteya.
35 Kisha chuma, udongo, fedha, na dhahabu zilivunjwa katika vipande vipande kwa wakati mmoja na yakawa kama makapi yaliyo katika sakafu za kupuria kipindi cha kiangazi. Upepo huyapeperushia mbali na hakuna alama inayoachwa. Lakini jiwe lililoipiga sanammu likawa mlima mkubwa na kuijaza dunia yote.
In pacl sacna osra, kle, bronze, silver, ac gold nukewa kac ah mokutkuti, oana kulun wheat ma kulkulla ke pacl fol uh, ac ipsriki oana apat uh. Eng ah okla ma inge nufon ac tia sie ip kac lula. A eot sac yokelik nwe oana eol soko su afinya faclu nufon.
36 Hii ndiyo ilikuwa ndotoyako. Na sasa tutamwambia mfalme maana yake.
“Pa inge mweme sac. Inge nga ac akkalemye nu sin tokosra kalmac uh.
37 Wewe, mfalme, ni mfalme wa wafalme kwa wale ambao Mungu wa mbinguni amekupa ufalme, nguvu, uweza na heshima.
O Tokosra, kom pa fulat oemeet sin tokosra nukewa uh. God inkusrao El orala tuh kom in tokosra fulat, ac El sot nu sum wal, ku, ac sunak.
38 Amevitia mkononi mwako sehemu ambazo binadamu huishi. Amekupa wanyama wa mwituni na ndege wa angani katika mkono wako, na amekufanya wewe utawale juu yao wote. Wewe u kichwa cha dhahabu cha sanamu.
El orala tuh in kom pa leum fin acn nukewa faclu ma oasr mwet muta we, ac oayapa leum fin kosro ac won nukewa. Kom pa sifa se ma orekla ke gold inge.
39 Baada yako, ufalme mwingine utainuka ambao ni mdogo kwako, na hata ufalme wa tatu wa shaba utatawala juu ya dunia yote.
Ac fah mau oasr pac sie tokosrai tukum, su ac tia arulana pwengpeng oana tokosrai se lom inge, ac toko ac oasr pac sie tokosrai aktolu, ma orekla ke bronze, su ac leumi faclu nufon.
40 Kutakuwa na ufalme wa tatu, wenye nguvu kama chuma, kwa kuwa chuma huvunja vipande vipande vitu vingine na kuponda ponda kila kitu. Itaviharibu vitu hivi vyote na kuvisaga.
Toko, ac oasr tokosrai se pac akakosr su ac fokoko oana osra uh. Tokosrai se ingan ac fah fukulya ac kunauselik tokosrai nukewa meet ah, oana ke osra uh ac fukulya ac kunauselik ma nukewa.
41 Kama vile ulivyoona, miguu na vidole vilikuwa kwa sehemu vimetengenezwa kwa udongo na kwa sehemu vimefanywa kwa chuma, hivyo utakuwa ni ufalme uliogawanyika; baadhi ya nguvu za chuma zitakuwa ndani yake, kama tu ulivyoona kuwa chuma kimechanganyikana na udongo laini.
Kom tuh liye pac lah falkal ac kufinnial orekla ke fohk kle ac osra. Kalmac pa tokosrai se inge ac mau kitakatelik, na ku se la uh ac ku in srifal mweyen oasr osra ac fohk kle akulamisi kac.
42 Kama vile vidole vya miguuni vilivyokuwa kwa sehemu vimetengenezwa kwa chuma na kwa sehemu vimetengenezwa kwa udongo, ndivyo ufalme utakuwa kwa sehemu una nguvu na kwa sehemu utakuwa dhaifu.
Kufinnial — su kutu ip uh osra ac kutu fohk kle — akkalemye lah tafu tokosrai se inge ac ku, ac tafu ac munas.
43 Kama ulivyoona chuma kimechanganywa na udongo laini, na hivyo na watu watakuwa wamechanganyikana; hawakaa kwa pamoja, kama vile chuma kisivyoweza kushikamana na udongo
Kom oayapa liye lah osra ah akulamisi ke fohk kle. Kalmen ma se inge pa mwet leum ke tokosrai se inge ac srike in orani sou lalos in ma se lac ke elos ac oru mwet lalos uh in tukeni apayuki, tusruktu elos ac tia ku in orani, oana ke osra ac fohk kle tia ku in akonoki.
44 Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni ataanzisha ufalme ambao hautaweza kuangushwa, wala kushindwa na watu wengine. Utazivunja falme zingine vipande vipande na kuzikomesha zote, nao utadumu milele.
In pacl lun mwet leum inge, God inkusrao El ac fah oakiya sie tokosrai su ac fah wangin saflaiya. Ac fah tiana ku in kutangyukla, a ac fah kunausla nufon tokosrai ingan, na ac fah oanna nwe tok.
45 Kama tu ulivyoona, jiwe lilichongwa kutoka katika mlima, lakini si kwa mikono ya wanadamu. Lilivunja vunja chuma, shaba, udongo, fedha, na dhahabu katika vipande vipande. Mungu mkuu amekujulisha wewe, mfalme, kile kitakachotokea baada ya haya. Ndoto ni ya kweli na tafsiri yake ni ya kuaminika.
Kom tuh liye pac ke eot sac ipipla liki fin fulu sac a wanginna mwet mokleak, ac ke eot sac tukya ma sruloala sac ma orekla ke osra, bronze, fohk kle, silver ac gold. God fulat El fahk nu sum, O Tokosra, ma ac sikyak in pacl fahsru uh. Nga fahkot kewa ma kom mwemei, ac akkalemye pac nu sum kalmac uh.”
46 Mfalme Nebukadneza alianguka kifudifudi mbele ya Daniel na alimweshimu; aliamuru kwamba sadaka zitolewe na manukato yatolewe kwake.
Na Tokosra Nebuchadnezzar el pasrla nwe ten ac sapkin tuh in orek mwe kisa ac mwe sang nu sel Daniel.
47 Mfalme alimwambia Danieli, “Hakika Mungu wako ni Mungu wa miungu, Bwana wa wafalme, na ambaye hufunua mafumbo, kwa kuwa umekuwa ukiweza kufumbua mafumbo haya.”
Tokosra el fahk, “God lom El fulat liki god nukewa. El Leum fin tokosra uh, ac El ikasla kalmen ma lukma. Nga etu ouinge mweyen kom ku in aketeya ma lukma se inge.”
48 Ndipo mfalme alimfanya Danieli kuwa wa kuheshiwa sana na alimpa zawadi nyingi nzuri. Alimfanya kuwa mtawala juu ya jimbo lote la Babeli. Danieli akawa liwali mkuu juu watu wenye hekima wa Babeli.
Ouinge el akfulatyalak Daniel nu ke sie wal fulat, ac sang nu sel mwe lung na wowo puspis, ac oru elan leumi acn Babylon, ac oru tuh in el pa leum fin un mwet kasru fulat nukewa lun tokosra.
49 Danieli alipeleka ombi kwa mfalme, na mfalme aliwateua Shadraka, Meshaki na Abedinego kuwa watawala juu ya jimbo la Babeli. Lakini Danieli alisalia katika ikulu ya mfalme.
Fal nu ke siyuk se lal Daniel, Tokosra el eisalang Shadrach, Meshach, ac Abednego in karingin mukuikui nukewa in acn Babylon; a Daniel el mutana inkul fulat sin tokosra.

< Danieli 2 >