< Danieli 2 >

1 Katika mwaka wa pili wa utawala wa Nebukadneza, alikuwa na ndoto. Akili yake ilisumbuka, na hakuweza kulala.
and in/on/with year two to/for royalty Nebuchadnezzar to dream Nebuchadnezzar dream and to trouble spirit his and sleep his to be upon him
2 Ndipo mfalme alipowaita waganga na wale wenye kuongea na wafu. Lakini pia aliwaita wachawi na watu wenye hekima. Aliwataka wamwambie juu ya ndoto zake. Basi walikuja na kusimama mbele za mfalme.
and to say [the] king to/for to call: call to to/for magician and to/for enchanter and to/for to practice sorcery and to/for Chaldea to/for to tell to/for king dream his and to come (in): come and to stand: stand to/for face: before [the] king
3 Mfalme akawambia, “Nilikuwa na ndoto, na akili yangu ina mashaka nataka kujua ndoto hiyo nini maana yake.”
and to say to/for them [the] king dream to dream and to trouble spirit my to/for to know [obj] [the] dream
4 Kisha watu wenye hekima wakamwambia mfalme katika Kiaramaiki, “Mfalme, aishi milele! Twambie sisi ndoto, watumishi wako, nasi tutaifunua maana yake.”
and to speak: speak [the] Chaldea to/for king Aramaic king [the] to/for perpetuity to live to say dream [the] (to/for servant/slave your *Q(K)*) and interpretation [the] to show
5 Mfalme akawajibu watu wenye hekima, “Jambo hili limeshamalizika. Kama hamtaweza kuiweka wazi ndoto kwangu na kuitafsiri, miili yenu itakatwa vipande vipande na nyumba zenu zitafanywa kuwa vichuguu vya uchafu.
to answer king [the] and to say (to/for Chaldean my *Q(K)*) word [the] from me gone if not to know me dream [the] and interpretation his piece to make and house your dunghill to set: put/give
6 Lakini kama mtaniambia ndoto na maana yake, mtapokea zawadi kutoka kwangu, thawabu, na heshima kubwa. Basi niambie ndoto na maana yake.”
and if dream [the] and interpretation his to show gift and reward and honor greatly to receive from before me therefore dream [the] and interpretation his to show me
7 Wakamjibu tena na kusema, “Mfalme na atuambie, watumishi wake, ndoto nasi tukwambia maana yake.”
to answer second time and to say king [the] dream [the] to say to/for servant/slave his and interpretation [the] to show
8 Mfalme akawajibu, “Ninajua kwa hakika mnahitaji muda zaidi kwasababu mmeona maamuzi yangu ni magumu kuhusu jambo hili.
to answer king [the] and to say from certain to know me that time [the] you to buy like/as to/for before: because that to see that gone from me word [the]
9 Lakini kama hamtaweza kuniambia ndoto, kuna sentensi moja tu kwa ajili yenu. Mmeamua kuandaa uongo na maneno ya kudanganya ambayo mmekubaliana kwa pamoja kuniambia mpaka pale nitakapobadili akili zangu. Basi, niambieni ndoto, na kisha nitajua kuwa mnaweza kuitafsiri kwa ajili yangu.”
that if dream [the] not to know me one he/she/it law your and word false and to corrupt (to agree *Q(K)*) to/for to say before me till that time [the] to change therefore dream [the] to say to/for me and to know that interpretation his to show me
10 Watu wenye hekima wakamjibu mfalme, “Hakuna mtu katika dunia anayeweza kutimiza matakwa ya mfalme. Hakuna mfalme yoyote mkuu na mwenye nguvu ambaye alishataka jambo kama hilo kutoka kwa wachawi, wala wenye kuongea na wafu, wala mwenye hekima.
to answer (Chaldean my *Q(K)*) before king [the] and to say not there is man since earth [the] that word king [the] be able to/for to show like/as to/for before: because that all king great and ruling word like/as this not to ask to/for all magician and enchanter and Chaldean
11 Kile anachokitaka mfalme ni kigumu, na hakuna yeyote awezaye kumwambia mfalme isipokuwa miungu, ambayo haishi miongoni mwa watu.”
and word [the] that king [the] to ask honorable and another not there is that to show her before king [the] except god that dwelling their with flesh [the] not there is he
12 Jambo hili lilimfanya mfalme akasirike na kughadhabika sana, na alitoa amri kuwaangamiza wale wote waliojulikana kuwa ni wenye hekima zao katika Babeli.
like/as to/for before: because this king [the] be angry and be angry greatly and to say to/for to destroy to/for all wise Babylon
13 Hivyo, amri ilitoka kwamba wale wote waliojulikana kwa hekima yao ni lazima wauawe. Na kwa sababu ya amri hii, walimtafuta Daniel na rafiki zake ili kwamba wauawe.
and law [the] to go out and wise [the] to slay and to ask Daniel and fellow his to/for to slay
14 Ndipo Daniel alipomjibu kwa busara na umakini, Arioki, kamanda wa walinzi wa mfalme, ambaye alikuwa amekuja kuwaua wale wote waliojulikana kuwa na hekima katika Babeli.
in/on/with then Daniel to return: reply counsel and command to/for Arioch great guardsman [the] that king [the] that to go out to/for to slay to/for wise Babylon
15 Danieli alimwuliza kamanda wa mfalme, “Kwanini amri ya mfalme ni ya haraka hivyo?” Hivyo, Arioki akamwambia Danieli kile kilichotokea.
to answer and to say to/for Arioch ruling [the] that king [the] since what? law [the] be hasty from before king [the] then word [the] to know Arioch to/for Daniel
16 Ndipo Danieli aliingia ndani na akaomba ahadi ya muda wa kuonana na mfalme ili kwamba aweze kuwasilisha tafsiri kwa mfalme.
and Daniel to come and to ask from king [the] that time to give: put to/for him and interpretation [the] to/for to show to/for king [the]
17 Kisha Danieli aliingia ndani ya nyumba na aliwaelezea Hanania, Mishaeli, na Azaria, kile kilichotokea.
then Daniel to/for house his to go and to/for Hananiah Mishael and Azariah fellow his word [the] to know
18 Aliwasihi kutafuta rehema kutoka kwa Mungu wa mbinguni kuhusiana na siri hii ili kwamba yeye na wao wasije wakauawa pamoja na watu wengine waliosalia waliojulikana kuwa na hekima katika Babeli.
and compassion to/for to ask from before god heaven [the] since mystery [the] this that not to destroy Daniel and fellow his with remainder wise Babylon
19 Usiku ule siri ilifunuliwa kwa Danieli katika maono. Kisha Danieli akamtukuza Mungu wa mbinguni
then to/for Daniel in/on/with vision [the] that night [the] mystery [the] to reveal then Daniel to bless to/for god heaven [the]
20 na kusema, “Litukuzwa jina la Mungu milele na milele; kwa kuwa hekima na nguvu ni zake.
to answer Daniel and to say to be name his that god [the] to bless from perpetuity [the] and till perpetuity [the] that wisdom [the] and might [the] that to/for him he/she/it
21 Anabadili wakati na majira; anaondoa wafalme na kuweka wafalme katika viti vyao vya enzi. Anawapa hekima wenye hekima na ufahamu kwa wenye weledi.
and he/she/it to change time [the] and time [the] to pass on/over/away king and to stand: establish king to give wisdom [the] to/for wise and knowledge [the] to/for to know understanding
22 Hufunua vitu vya chini na vilifichika kwa sababu anajua kile kilicho gizani, naye anaishi pamoja na mwanga.
he/she/it to reveal deep [the] and to hide [the] to know what? in/on/with darkness [the] (and light [the] *Q(k)*) with him to loose
23 Mungu wa baba zetu, ninakushukuru na kukutukuza wewe kwa ajili ya hekima na nguvu uliyonipa. Sasa umeyafanya yawe wazi kwetu yale tuliyokuomba; umetujulisha mambo yamhusuyo mfalme.”
to/for you god father my to praise and to praise me that wisdom [the] and might [the] to give to/for me and now to know me that to ask from you that word king [the] to know us
24 Ndipo Danieli alienda kumwona Arioki ( yule ambaye mfalme alimchagua kuua kila mtu aliyekuwa na hekima katika Babeli). Alimwendea na kumwambia, “Usiwauwe watu wenye hekima katika Babeli. Nipeleke kwa mfalme na nitamwonesha mfalme tafsiri ya ndoto yake.”
like/as to/for before: because this Daniel to come since Arioch that to reckon/appoint king [the] to/for to destroy to/for wise Babylon to go and thus to say to/for him to/for wise Babylon not to destroy to come me before king [the] and interpretation [the] to/for king [the] to show
25 Kisha Arioki kwa haraka alimleta Danieli mbele za mfalme na kusema, “Nimempata miongoni wa watu wa mateka wa Yuda mtu ambaye atafunua maana ya ndoto ya mfalme.”
then Arioch in/on/with to dismay to come to/for Daniel before king [the] and thus to say to/for him that to find man from son captivity [the] that Judah that interpretation [the] to/for king [the] to know
26 Mfalme akamwambia Danieli (ambaye alikuwa akiitwa Beliteshaza), “Je unaweza kunimbia ndoto niliyoiona na maana yake?”
to answer king [the] and to say to/for Daniel that name his Belteshazzar ( there is you *Q(k)*) be able to/for to know me dream [the] that to see and interpretation his
27 Danieli alimjibu mfalme na kusema, “Siri ambayo mfalme ameiomba haiwezi kufunuliwa na watu wenye hekima, wala wale wenye kuongea na wafu, wala wachawi, na wala wataalamu wa nyota.
to answer Daniel before king [the] and to say mystery [the] that king [the] to ask not wise enchanter magician to determine be able to/for to show to/for king [the]
28 Isipokuwa kuna Mungu ambaye anaishi mbinguni, ambaye hufunua siri, na amekwisha kukujulisha wewe, mfalme Nebukadneza, kile kitakachotokea katika siku zijazo. Hizi ndizo Ndoto na maono ya akili zako uliyoyaona wakati ulipokuwa umelala kitandani mwako.
nevertheless there is god in/on/with heaven [the] to reveal mystery and to know to/for king [the] Nebuchadnezzar what? that to be in/on/with latter day [the] dream your and vision head your since bed your this he/she/it
29 Na kwako Wewe, mfalme, mawazo yako kitandani mwako yalikuwa ni juu ya mambo yajayo, na yule afichuaye siri ameifanya ijulikane kwako kuhusu kile kilicho karibu kutokea.
(you *Q(k)*) king [the] thought your since bed your to ascend what? that to be after this and to reveal mystery [the] to know you what? that to be
30 Na kuhusu mimi, siri hii haikufunuliwa kwangu kwa sababu ya hekima yoyote niliyo nayo zaidi ya mtu yoyote anayeishi. Siri hii imefunliwa kwangu ili kwamba wewe, mfalme, uweze kufahamu maana, na ili kwamba ujuwe mawazo yaliyo ndani mwako.
and me not in/on/with wisdom that there is in/on/with me from all living [the] mystery [the] this to reveal to/for me except since cause that interpretation [the] to/for king [the] to know and thought heart your to know
31 Mfalme, uliangalia juu na ukaona sanamu kubwa. Sanamu hii ambayo ilikuwa yenye nguvu na yenye kung'aa, ilisimama mbele yako. Mng'ao wake ulikuwa unatisha.
(you *Q(k)*) king [the] to see to be and behold image one greatly image [the] this great and splendor his preeminent to stand: establish to/for before you and appearance his to fear
32 Kichwa cha sanamu kilikuwa kimetengenezwa kwa dhahabu safi. Matiti yake na mikono ilikuwa ya fedha. Sehemu ya katikati na mapaja yake yalikuwa yametengenezwa kwa shaba,
he/she/it image [the] head his that gold fine breast his and arm his that silver belly his and thigh his that bronze
33 na miguu yake ilikuwa imetengenezwa kwa chuma. Miguu yake ilikuwa ilitengenezwa kwa sehemu chuma na sehemu kwa udongo.
leg his that iron foot his (from them *Q(K)*) that iron (and from them *Q(K)*) that clay
34 Ulitazama juu, na jiwe lilikuwa limechongwa, ingawa si kwa mikono ya wanadamu, na liliipiga sanamu katika miguu yake ya chuma na udongo, na ponda ponda.
to see to be till that to determine stone that not in/on/with hand and to smite to/for image [the] since foot his that iron [the] and clay [the] and to break up they
35 Kisha chuma, udongo, fedha, na dhahabu zilivunjwa katika vipande vipande kwa wakati mmoja na yakawa kama makapi yaliyo katika sakafu za kupuria kipindi cha kiangazi. Upepo huyapeperushia mbali na hakuna alama inayoachwa. Lakini jiwe lililoipiga sanammu likawa mlima mkubwa na kuijaza dunia yote.
in/on/with then to break up like/as one iron [the] clay [the] bronze [the] silver [the] and gold [the] and to be like/as chaff from threshing floor summer and to lift they spirit [the] and all place not to find to/for them and stone [the] that to smite to/for image [the] to be to/for mountain great and to fill all earth: planet [the]
36 Hii ndiyo ilikuwa ndotoyako. Na sasa tutamwambia mfalme maana yake.
this dream [the] and interpretation his to say before king [the]
37 Wewe, mfalme, ni mfalme wa wafalme kwa wale ambao Mungu wa mbinguni amekupa ufalme, nguvu, uweza na heshima.
(you *Q(k)*) king [the] king king [the] that god heaven [the] kingdom [the] authority [the] and might [the] and honor [the] to give to/for you
38 Amevitia mkononi mwako sehemu ambazo binadamu huishi. Amekupa wanyama wa mwituni na ndege wa angani katika mkono wako, na amekufanya wewe utawale juu yao wote. Wewe u kichwa cha dhahabu cha sanamu.
and in/on/with all that (to dwell *Q(k)*) son man [the] beast field [the] and bird heaven [the] to give in/on/with hand your and to rule you in/on/with all their (you *Q(K)*) he/she/it head [the] that gold [the]
39 Baada yako, ufalme mwingine utainuka ambao ni mdogo kwako, na hata ufalme wa tatu wa shaba utatawala juu ya dunia yote.
and place your to stand: rise kingdom another earth: inferior from you and kingdom (third *Q(k)*) another that bronze [the] that to rule in/on/with all earth: planet [the]
40 Kutakuwa na ufalme wa tatu, wenye nguvu kama chuma, kwa kuwa chuma huvunja vipande vipande vitu vingine na kuponda ponda kila kitu. Itaviharibu vitu hivi vyote na kuvisaga.
and kingdom (fourth *Q(k)*) to be strong like/as iron [the] like/as to/for before: because that iron [the] to break up and to shatter all [the] and like/as iron [the] that to break all these to break up and to break
41 Kama vile ulivyoona, miguu na vidole vilikuwa kwa sehemu vimetengenezwa kwa udongo na kwa sehemu vimefanywa kwa chuma, hivyo utakuwa ni ufalme uliogawanyika; baadhi ya nguvu za chuma zitakuwa ndani yake, kama tu ulivyoona kuwa chuma kimechanganyikana na udongo laini.
and that to see foot [the] and digit [the] (from them *Q(K)*) clay that potter (and from them *Q(K)*) iron kingdom to divide to be and from firmness [the] that iron [the] to be in/on/with her like/as to/for before: because that to see iron [the] to mix in/on/with clay common [the]
42 Kama vile vidole vya miguuni vilivyokuwa kwa sehemu vimetengenezwa kwa chuma na kwa sehemu vimetengenezwa kwa udongo, ndivyo ufalme utakuwa kwa sehemu una nguvu na kwa sehemu utakuwa dhaifu.
and digit foot [the] (from them *Q(K)*) iron (and from them *Q(K)*) clay from end kingdom [the] to be strong and from her to be to break
43 Kama ulivyoona chuma kimechanganywa na udongo laini, na hivyo na watu watakuwa wamechanganyikana; hawakaa kwa pamoja, kama vile chuma kisivyoweza kushikamana na udongo
(and that *Q(K)*) to see iron [the] to mix in/on/with clay common [the] to mix to be in/on/with seed man [the] and not to be to cleave this with this behold! like/as that iron [the] not to mix with clay [the]
44 Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni ataanzisha ufalme ambao hautaweza kuangushwa, wala kushindwa na watu wengine. Utazivunja falme zingine vipande vipande na kuzikomesha zote, nao utadumu milele.
and in/on/with day their that king [the] they to stand: establish god heaven [the] kingdom that to/for perpetuity not to destroy and kingdom [the] to/for people another not to be left to break up and be fulfilled all these kingdom [the] and he/she/it to stand: establish to/for perpetuity [the]
45 Kama tu ulivyoona, jiwe lilichongwa kutoka katika mlima, lakini si kwa mikono ya wanadamu. Lilivunja vunja chuma, shaba, udongo, fedha, na dhahabu katika vipande vipande. Mungu mkuu amekujulisha wewe, mfalme, kile kitakachotokea baada ya haya. Ndoto ni ya kweli na tafsiri yake ni ya kuaminika.
like/as to/for before: because that to see that from mountain [the] to determine stone that not in/on/with hand and to break up iron [the] bronze [the] clay [the] silver [the] and gold [the] god great to know to/for king [the] what? that to be after this and certain dream [the] and to trust interpretation his
46 Mfalme Nebukadneza alianguka kifudifudi mbele ya Daniel na alimweshimu; aliamuru kwamba sadaka zitolewe na manukato yatolewe kwake.
in/on/with then king [the] Nebuchadnezzar to fall since face his and to/for Daniel to do homage and offering and soothing to say to/for to pour to/for him
47 Mfalme alimwambia Danieli, “Hakika Mungu wako ni Mungu wa miungu, Bwana wa wafalme, na ambaye hufunua mafumbo, kwa kuwa umekuwa ukiweza kufumbua mafumbo haya.”
to answer king [the] to/for Daniel and to say from truth that god your he/she/it god god and lord king and to reveal mystery that be able to/for to reveal mystery [the] this
48 Ndipo mfalme alimfanya Danieli kuwa wa kuheshiwa sana na alimpa zawadi nyingi nzuri. Alimfanya kuwa mtawala juu ya jimbo lote la Babeli. Danieli akawa liwali mkuu juu watu wenye hekima wa Babeli.
then king [the] to/for Daniel to grow great and gift great greatly to give to/for him and to rule him since all province Babylon and great prefect since all wise Babylon
49 Danieli alipeleka ombi kwa mfalme, na mfalme aliwateua Shadraka, Meshaki na Abedinego kuwa watawala juu ya jimbo la Babeli. Lakini Danieli alisalia katika ikulu ya mfalme.
and Daniel to ask from king [the] and to reckon/appoint since service [the] that province Babylon to/for Shadrach Meshach and Abednego Abednego and Daniel in/on/with door king [the]

< Danieli 2 >