< Danieli 2 >

1 Katika mwaka wa pili wa utawala wa Nebukadneza, alikuwa na ndoto. Akili yake ilisumbuka, na hakuweza kulala.
Nebukhanezar ram kah a kum bae ah Nebukhanezar loh mang a man tih a mueihla a cahoeh dongah amah khaw a ih a hoelh pah.
2 Ndipo mfalme alipowaita waganga na wale wenye kuongea na wafu. Lakini pia aliwaita wachawi na watu wenye hekima. Aliwataka wamwambie juu ya ndoto zake. Basi walikuja na kusimama mbele za mfalme.
Te dongah manghai loh hmayuep neh khungvatuk khaw, hlangbi neh manghai kah a mang aka thui la Khalden rhoek khaw khue hamla a thui pah. Te dongah a pha uh neh manghai mikhmuh ah pai uh.
3 Mfalme akawambia, “Nilikuwa na ndoto, na akili yangu ina mashaka nataka kujua ndoto hiyo nini maana yake.”
Te vaengah manghai loh amih te, “Mang ka man tih mang te ming hamla ka mueihla a cahoeh,” a ti nah.
4 Kisha watu wenye hekima wakamwambia mfalme katika Kiaramaiki, “Mfalme, aishi milele! Twambie sisi ndoto, watumishi wako, nasi tutaifunua maana yake.”
Khalden rhoek loh manghai te Aramaih ol la, “Manghai tah, dungyan la hing pai saeh. Mang te na tueihyoeih rhoek taengah thui lamtah na tueihyoeih loh thuicaihnah ka phoe eh,” a ti na uh.
5 Mfalme akawajibu watu wenye hekima, “Jambo hili limeshamalizika. Kama hamtaweza kuiweka wazi ndoto kwangu na kuitafsiri, miili yenu itakatwa vipande vipande na nyumba zenu zitafanywa kuwa vichuguu vya uchafu.
Manghai loh a doo tih Khalden rhoek te, “Kai lamkah ol he cak coeng. Ka mang neh a thuicaihnah na mingpha sak pawt atah maehpoel la n'sah vetih na im te kawnhnawt om ni.
6 Lakini kama mtaniambia ndoto na maana yake, mtapokea zawadi kutoka kwangu, thawabu, na heshima kubwa. Basi niambie ndoto na maana yake.”
Tedae mang neh a thuicaihnah te na phoe uh atah kai taeng lamkah kutdoe, thapang neh thangpomnah muep na dang uh ni. Mang neh a thuicaihnah te kai taengah phoe uh dae,” a ti nah.
7 Wakamjibu tena na kusema, “Mfalme na atuambie, watumishi wake, ndoto nasi tukwambia maana yake.”
Koep a doo uh tih, “Manghai kah mang te a tueihyoeih taengah thui saeh lamtah a thuicaihnah kam phoe uh eh,” a ti na uh.
8 Mfalme akawajibu, “Ninajua kwa hakika mnahitaji muda zaidi kwasababu mmeona maamuzi yangu ni magumu kuhusu jambo hili.
Manghai loh a doo tih, “Kai lamkah ol a cak te na hmuh dongah nangmih a tue na yuengyet uh tila rhep ka ming.
9 Lakini kama hamtaweza kuniambia ndoto, kuna sentensi moja tu kwa ajili yenu. Mmeamua kuandaa uongo na maneno ya kudanganya ambayo mmekubaliana kwa pamoja kuniambia mpaka pale nitakapobadili akili zangu. Basi, niambieni ndoto, na kisha nitajua kuwa mnaweza kuitafsiri kwa ajili yangu.”
Ka mang te na mingpha sak uh pawt atah nangmih oltlueh pakhat ni a om. Laithae ol neh a tue a hoilae hil ka taengah a hong thui ham na cai khaw na cai uh. Mang te kai taengah thui uh dae lamtah kai hamla a thuingaihnah nan phoe uh te ka ming eh,” a ti nah.
10 Watu wenye hekima wakamjibu mfalme, “Hakuna mtu katika dunia anayeweza kutimiza matakwa ya mfalme. Hakuna mfalme yoyote mkuu na mwenye nguvu ambaye alishataka jambo kama hilo kutoka kwa wachawi, wala wenye kuongea na wafu, wala mwenye hekima.
Manghai taengkah Khalden rhoek loh a doo uh tih, “Manghai kah ol phoe hamla aka noeng te diklai ah hlang a om moenih. Boeilen neh aka hung manghai boeih long khaw he bang ol he hmayuep, rhaitonghma neh Khalden boeih he a dawt noek moenih.
11 Kile anachokitaka mfalme ni kigumu, na hakuna yeyote awezaye kumwambia mfalme isipokuwa miungu, ambayo haishi miongoni mwa watu.”
Manghai kah a dawt he tongmang ol tih manghai taengah te aka phoe thai he pakhat khaw a om moenih. Pathen rhoek pawt atah amih pumsa lakli kah khosaknah he te bang a om moenih,” a ti uh.
12 Jambo hili lilimfanya mfalme akasirike na kughadhabika sana, na alitoa amri kuwaangamiza wale wote waliojulikana kuwa ni wenye hekima zao katika Babeli.
He kong dongah he manghai tah sai tih a thintoek muep. Te dongah Babylon hlang cueih boeih te thup hamla a thui.
13 Hivyo, amri ilitoka kwamba wale wote waliojulikana kwa hekima yao ni lazima wauawe. Na kwa sababu ya amri hii, walimtafuta Daniel na rafiki zake ili kwamba wauawe.
Hlang cueih ngawn hamla oltlueh a khuen dongah Daniel neh a hui khaw ngawn hamla a tlap uh.
14 Ndipo Daniel alipomjibu kwa busara na umakini, Arioki, kamanda wa walinzi wa mfalme, ambaye alikuwa amekuja kuwaua wale wote waliojulikana kuwa na hekima katika Babeli.
Te dongah Babylon hlang cueih te ngawn hamla aka cet manghai kah imtawt boeilen Aryawk te Daniel loh khuelnah neh saithainah neh a mael sak.
15 Danieli alimwuliza kamanda wa mfalme, “Kwanini amri ya mfalme ni ya haraka hivyo?” Hivyo, Arioki akamwambia Danieli kile kilichotokea.
Manghai aka hung Aryawk te a doo tih, “Balae tih manghai taeng lamkah oltlueh he a tok aih?” a ti nah hatah ol te Aryawk loh Daniel te a ming sak.
16 Ndipo Danieli aliingia ndani na akaomba ahadi ya muda wa kuonana na mfalme ili kwamba aweze kuwasilisha tafsiri kwa mfalme.
Te dongah Daniel te cet tih amah te a tue a paek phoeiah thuingaihnah te manghai mah taengah thui pah hamla manghai taengah a bih.
17 Kisha Danieli aliingia ndani ya nyumba na aliwaelezea Hanania, Mishaeli, na Azaria, kile kilichotokea.
Te phoeiah Daniel te a im la mael tih a hui rhoek Hananiah, Mishael neh Azariah taengah olka te a thuicaih pah.
18 Aliwasihi kutafuta rehema kutoka kwa Mungu wa mbinguni kuhusiana na siri hii ili kwamba yeye na wao wasije wakauawa pamoja na watu wengine waliosalia waliojulikana kuwa na hekima katika Babeli.
He oldung dongah Daniel neh a hui rhoek neh Babylon kah hlang cueih a ngen te thup pawt hamla vaan Pathen taeng lamkah haidamnah a bih.
19 Usiku ule siri ilifunuliwa kwa Danieli katika maono. Kisha Danieli akamtukuza Mungu wa mbinguni
Te khoyin kah mangthui dongah tah Daniel taengah oldung te a thoeng pah. Te dongah Daniel loh vaan kah Pathen te a koeh.
20 na kusema, “Litukuzwa jina la Mungu milele na milele; kwa kuwa hekima na nguvu ni zake.
Daniel loh a doo tih, “Pathen tah a ming om pai saeh, khosuen lamloh kumhal duela a yoethen pai. Cueihnah neh thayung thamal khaw amah kah ni.
21 Anabadili wakati na majira; anaondoa wafalme na kuweka wafalme katika viti vyao vya enzi. Anawapa hekima wenye hekima na ufahamu kwa wenye weledi.
Amah loh a tue neh khoning a hoilae. Manghai rhoek te a khoe tih manghai patoeng a thoh. Aka cueih taengah cueihnah neh yakmingnah aka thuicaih taengah mingnah a paek.
22 Hufunua vitu vya chini na vilifichika kwa sababu anajua kile kilicho gizani, naye anaishi pamoja na mwanga.
Amah loh a thuuk neh a thuh khaw a tueng sak. Hmuepnah neh vangnah khuikah te khaw a ming. Te dongah vangnah tah anih taengah om.
23 Mungu wa baba zetu, ninakushukuru na kukutukuza wewe kwa ajili ya hekima na nguvu uliyonipa. Sasa umeyafanya yawe wazi kwetu yale tuliyokuomba; umetujulisha mambo yamhusuyo mfalme.”
A pa rhoek kah Pathen namah te kang uem tih kang oep. Kai he ka taengah cueihnah neh thayung thamal nan paek. Namah taengah kam bih bangla kai nan ming sak coeng tih manghai kah olka te kaimih nan ming sak,” a ti.
24 Ndipo Danieli alienda kumwona Arioki ( yule ambaye mfalme alimchagua kuua kila mtu aliyekuwa na hekima katika Babeli). Alimwendea na kumwambia, “Usiwauwe watu wenye hekima katika Babeli. Nipeleke kwa mfalme na nitamwonesha mfalme tafsiri ya ndoto yake.”
Te dongah he kong neh Daniel te manghai loh a hmoel tih Babylon hlang cueih rhoek thup hamla aka cet Aryawk taengla cet. Te phoeiah anih te, “Babylon hlang cueih rhoek te thup boeh, kai he manghai taengla n'hui lamtah a thuingaihnah te manghai taengah ka phoe eh,” a ti nah.
25 Kisha Arioki kwa haraka alimleta Danieli mbele za mfalme na kusema, “Nimempata miongoni wa watu wa mateka wa Yuda mtu ambaye atafunua maana ya ndoto ya mfalme.”
Te dongah Aryawk loh Daniel te manghai taengah thintawn la a khuen tih, “Manghai taengah a thuingaihnah thuicaih hamla Judah hlangsol koca lamkah hlang ka hmuh,” a ti nah.
26 Mfalme akamwambia Danieli (ambaye alikuwa akiitwa Beliteshaza), “Je unaweza kunimbia ndoto niliyoiona na maana yake?”
Manghai loh a doo tih Daniel la a ming aka om Belteshazzar te, “Na om pai a? Mang ka man neh a thuingaihnah te kai taengah thuicaih hamla aka noeng, na om rhoe a?” a ti nah.
27 Danieli alimjibu mfalme na kusema, “Siri ambayo mfalme ameiomba haiwezi kufunuliwa na watu wenye hekima, wala wale wenye kuongea na wafu, wala wachawi, na wala wataalamu wa nyota.
Daniel loh manghai taengah a doo tih, “Manghai kah na dawt he oldung tih manghai taengah phoe hamla aka noeng hlang cueih, rhaitonghma, hmayuep rhoek, aisi aka suep a om moenih.
28 Isipokuwa kuna Mungu ambaye anaishi mbinguni, ambaye hufunua siri, na amekwisha kukujulisha wewe, mfalme Nebukadneza, kile kitakachotokea katika siku zijazo. Hizi ndizo Ndoto na maono ya akili zako uliyoyaona wakati ulipokuwa umelala kitandani mwako.
Tedae oldung aka tueng he vaan ah Pathen om tih hmailong khohnin ah metla a om ham khaw manghai Nebukhadnezzar te na thingkong dongah na mang neh na lu dongkah mangthui neh he he han thuicaih coeng.
29 Na kwako Wewe, mfalme, mawazo yako kitandani mwako yalikuwa ni juu ya mambo yajayo, na yule afichuaye siri ameifanya ijulikane kwako kuhusu kile kilicho karibu kutokea.
Manghai nang, na thingkong dongkah na poeknah te he lamloh aka om la thoeng coeng. Aka om ham te ni oldung aka tueng loh nang m'ming sak.
30 Na kuhusu mimi, siri hii haikufunuliwa kwangu kwa sababu ya hekima yoyote niliyo nayo zaidi ya mtu yoyote anayeishi. Siri hii imefunliwa kwangu ili kwamba wewe, mfalme, uweze kufahamu maana, na ili kwamba ujuwe mawazo yaliyo ndani mwako.
Kai khaw ka taengah oldung a tueng he khaw mulhing boeih lakah kamah kah cueihnah a om dongah moenih. Tedae te kong dongah he a thuingaihnah te manghai taengah a thuicaih vetih na thinko kah poeknah loh a ming nah ham ni.
31 Mfalme, uliangalia juu na ukaona sanamu kubwa. Sanamu hii ambayo ilikuwa yenye nguvu na yenye kung'aa, ilisimama mbele yako. Mng'ao wake ulikuwa unatisha.
Manghai nang, na hmuh tih na om coeng. Na mikhmuh ah muei pakhat la aka pai te. Tekah muei tah len sang tih a aa yet. A suisak mah rhimom coeng.
32 Kichwa cha sanamu kilikuwa kimetengenezwa kwa dhahabu safi. Matiti yake na mikono ilikuwa ya fedha. Sehemu ya katikati na mapaja yake yalikuwa yametengenezwa kwa shaba,
Te muei kah a lu te sui cim, a rhang neh a ban rhoi te cak, a bung neh a phai rhoi tah rhohum,
33 na miguu yake ilikuwa imetengenezwa kwa chuma. Miguu yake ilikuwa ilitengenezwa kwa sehemu chuma na sehemu kwa udongo.
A khotanlan rhoi te thi, a khobom te a ngawncawn te thi tih a ngawncawn dikpo la om.
34 Ulitazama juu, na jiwe lilikuwa limechongwa, ingawa si kwa mikono ya wanadamu, na liliipiga sanamu katika miguu yake ya chuma na udongo, na ponda ponda.
Na sawt li vaengah kut loh a saii mueh lungto te coe tih muei te a khobom dongkah a dae. Te vaengah thi neh dikpo khaw phaeng a nuei pah.
35 Kisha chuma, udongo, fedha, na dhahabu zilivunjwa katika vipande vipande kwa wakati mmoja na yakawa kama makapi yaliyo katika sakafu za kupuria kipindi cha kiangazi. Upepo huyapeperushia mbali na hakuna alama inayoachwa. Lakini jiwe lililoipiga sanammu likawa mlima mkubwa na kuijaza dunia yote.
Te phoeiah thi, dikpo, rhohum, cak neh sui khaw pakhat la phaeng nuei uh. Te dongah khohal cangtil hmuen kah cangkik bangla om tih te rhoek te khohli loh a yawn. Te dongah te rhoek te a hmuen boeih hmu voel pawh. Tedae muei dongah aka cu lungto te tlang sang la poeh tih diklai pum ah bae.
36 Hii ndiyo ilikuwa ndotoyako. Na sasa tutamwambia mfalme maana yake.
Mang kah a thuingaihnah te manghai taengah ka thui uh pawn eh.
37 Wewe, mfalme, ni mfalme wa wafalme kwa wale ambao Mungu wa mbinguni amekupa ufalme, nguvu, uweza na heshima.
Manghai nang, namah he manghai rhoek kah manghai ni. Vaan kah Pathen loh ram neh thadueng khaw, sarhi neh thangpomnah khaw namah taengah m'paek coeng.
38 Amevitia mkononi mwako sehemu ambazo binadamu huishi. Amekupa wanyama wa mwituni na ndege wa angani katika mkono wako, na amekufanya wewe utawale juu yao wote. Wewe u kichwa cha dhahabu cha sanamu.
Khosa, khosa boeih khuikah hlang koca rhoek khaw, kohong rhamsa neh vaan kah vaa khaw na kut ah m'paek. A cungkuem soah nang m'boei sak tih nang te na lu sui la hang khueh.
39 Baada yako, ufalme mwingine utainuka ambao ni mdogo kwako, na hata ufalme wa tatu wa shaba utatawala juu ya dunia yote.
Nang phoeiah tah nang lakah diklai la aka yalh ram pakhat pai ni. A pathum dongkah ram tah rhohum vetih diklai boeih soah boei ni.
40 Kutakuwa na ufalme wa tatu, wenye nguvu kama chuma, kwa kuwa chuma huvunja vipande vipande vitu vingine na kuponda ponda kila kitu. Itaviharibu vitu hivi vyote na kuvisaga.
A pali kah ram tah thi ning bangla om ni. He kong ah he thi loh a neet tih boeih a noeng. Te dongah thi bangla a cungkuem he a phop coeng tih a nuei a pil la om ni.
41 Kama vile ulivyoona, miguu na vidole vilikuwa kwa sehemu vimetengenezwa kwa udongo na kwa sehemu vimefanywa kwa chuma, hivyo utakuwa ni ufalme uliogawanyika; baadhi ya nguvu za chuma zitakuwa ndani yake, kama tu ulivyoona kuwa chuma kimechanganyikana na udongo laini.
Na hmuh bangla khobom neh khodawn tah a ngawncawn te ambop kah dikpo tih a ngawncawn thi. A khuiah thi dongkah thacang om cakhaw ram te aka rhek aka boe la om ni. Te kong ah ni thi neh laicang dikpo neh a thoek na hmuh.
42 Kama vile vidole vya miguuni vilivyokuwa kwa sehemu vimetengenezwa kwa chuma na kwa sehemu vimetengenezwa kwa udongo, ndivyo ufalme utakuwa kwa sehemu una nguvu na kwa sehemu utakuwa dhaifu.
Khobom dongkah khodawn khaw a ngawncawn, a ngawncawn thi tih, a ngawncawn a ngawncawn tah dikpo. Te dongah ram ngawncawn te a ning la om vetih a ngawncawn tah a poo la om ni.
43 Kama ulivyoona chuma kimechanganywa na udongo laini, na hivyo na watu watakuwa wamechanganyikana; hawakaa kwa pamoja, kama vile chuma kisivyoweza kushikamana na udongo
Na hmuh bangla thi neh laicang dikpo a thoek dongah hlang kah tiingan thoek uh ni. Tedae neh thi neh dikpo a thoek thai pawt bangla he neh ke khaw aka pitpom uh la om mahpawh.
44 Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni ataanzisha ufalme ambao hautaweza kuangushwa, wala kushindwa na watu wengine. Utazivunja falme zingine vipande vipande na kuzikomesha zote, nao utadumu milele.
Vaan Pathen loh manghai rhoek te amamih tue vaengah a pai sak vetih a ram tah kumhal due la tim mahpawh. Ram te pilnam tloe taengah a nuei la hlah mahpawh. Ram boeih he tlum cakhaw te tah kumhal duela cak ni.
45 Kama tu ulivyoona, jiwe lilichongwa kutoka katika mlima, lakini si kwa mikono ya wanadamu. Lilivunja vunja chuma, shaba, udongo, fedha, na dhahabu katika vipande vipande. Mungu mkuu amekujulisha wewe, mfalme, kile kitakachotokea baada ya haya. Ndoto ni ya kweli na tafsiri yake ni ya kuaminika.
He kong dongah tlang lamkah kut neh saii mueh lungto a coe na hmuh. Te dongah thi, rhohum, dikpo, cak neh sui khaw vingving nuei. Boeilen Pathen loh tahae lamloh aka om ham te manghai taengah m'ming sak. Te dongah mang he tong tih a thuingaihnah uepom coeng,” a ti nah.
46 Mfalme Nebukadneza alianguka kifudifudi mbele ya Daniel na alimweshimu; aliamuru kwamba sadaka zitolewe na manukato yatolewe kwake.
Te dongah manghai Nebukhadnezzar loh a maelhmai longah buluk tih Daniel taengah bakop. Te dongah khosaa neh a hlihlim te a taengah doe ham a thui pah.
47 Mfalme alimwambia Danieli, “Hakika Mungu wako ni Mungu wa miungu, Bwana wa wafalme, na ambaye hufunua mafumbo, kwa kuwa umekuwa ukiweza kufumbua mafumbo haya.”
Manghai loh Daniel te a doo tih, “Nangmih kah Pathen tah oltak pai ni. Pathen rhoek kah Pathen, manghai rhoek kah Boeipa ni. He oldung tueng hamla na noeng dongah ni oldung he nan tueng,” a ti nah.
48 Ndipo mfalme alimfanya Danieli kuwa wa kuheshiwa sana na alimpa zawadi nyingi nzuri. Alimfanya kuwa mtawala juu ya jimbo lote la Babeli. Danieli akawa liwali mkuu juu watu wenye hekima wa Babeli.
Te phoeiah manghai loh Daniel te a pomsang tih anih te boeilen kutdoe muep a paek. Babylon paeng pum soah anih te a boei sak tih Babylon hlang cueih boeih lakah boeilen khoboei la a khueh.
49 Danieli alipeleka ombi kwa mfalme, na mfalme aliwateua Shadraka, Meshaki na Abedinego kuwa watawala juu ya jimbo la Babeli. Lakini Danieli alisalia katika ikulu ya mfalme.
Daniel loh manghai taengah a bih tih Sadrakh, Meshach neh Abednego rhoek te Babylon paeng kah taemnah soah a khueh. Te vaengah Daniel tah manghai vongka ah kho a sak.

< Danieli 2 >