< Danieli 12 >

1 Katika kipindi hicho, Mikaeli, jemedari mkuu ambaye huwalinda watu wako, atainuka. Kutakuwa na wakati wa mateso ambao haujawahi kutokea tangu mwanzo wa taifa lolote mpaka kipindi hicho. Katika muda huo watu wako wataokolewa, yeyote ambaye jina lake litapatikana katika kitabu.
W tym czasie powstanie Michał, wielki książę, który wstawia się za synami twego ludu. Nastanie czas ucisku, jakiego nie było, odkąd narody zaczęły istnieć aż do tego czasu. W tym czasie twój lud zostanie wybawiony, każdy, kto znajdzie się zapisany w księdze.
2 Na wengi wa wale waliolala katika mavumbi ya dunia watainuka. baadhi kwa uzima wa milele na baadhi kwa ajili ya fedheha na matwezo ya milele.
A wielu z tych, którzy śpią w prochu ziemi, obudzi się, jedni do życia wiecznego, a drudzy ku hańbie [i] wiecznej pogardzie.
3 Wale wenye hekima watang'ara kama mng'ao wa anga la juu, na wale wenye kuwaelekeza wengine katika haki, watakuwa kama nyota milele na milele.
Ci, którzy są mądrzy, będą świecić jak blask firmamentu, a ci, którzy [przyprowadzili] wielu do sprawiedliwości – jak gwiazdy na wieki wieków.
4 Lakini wewe, Danieli, yafunge maneno haya; kihifadhi kitabu kikiwa kimetiwa chapa mpaka nyakati za mwisho. Watu wengi watakimbia huku na kule, na maarifa yataongezeka.
Ale ty Danielu zamknij te słowa i zapieczętuj tę księgę aż do czasu ostatecznego. Wielu będzie przebiegać, a pomnoży się wiedza.
5 Kisha mimi, Danieli, nilitazama, na kulikuwa na malaika wengine wawili wamesimama. Mmoja alisimama katika upande huu wa ukingo wa mto, na mwingine alisimama katika ukingo wa upande mwingine wa mto.
I ja, Daniel, spojrzałem, a oto stało dwóch innych, jeden na brzegu rzeki po tej stronie, a drugi na brzegu rzeki po tamtej stronie.
6 Mmoja wao alimwambia mtu aliyevaa nguo za kitani, yeye aliyekuwa juu ya mkondo wa mto, “Je itachukua muda gani mpaka mwisho wa matukio haya ya kushangaza?”
[Jeden] powiedział do męża odzianego w lnianą szatę, który [stał] nad wodami rzeki: Kiedy będzie koniec [tych] dziwnych rzeczy?
7 Nilimsikia mtu yule aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu katika mkondo wa mto, aliinua mkono wake wa kuume na mkono wake wa kushoto kuelekea mbinguni na kuapa kwa yeye aishiye milele kwamba itakuwa kwa wakati, nyakati, na nusu wakati. Na wakati nguvu za watu watakatifu zitakapokuwa zimeshaharibiwa, mambo haya yote yatakuwa yamemalizika.
I usłyszałem tego męża odzianego w lnianą szatę, który [stał] nad wodami rzeki. Podniósł swoją prawą i lewą rękę do nieba i przysiągł na Żyjącego na wieki, że [będzie to] na czas, czasy i połowę czasu. I gdy doszczętnie rozproszy siłę świętego ludu, [wtedy] to się wszystko wypełni.
8 Nilisikia, lakini sikufahamu. Basi nikamwuliza, “Bwana wangu, mambo haya yote yatakuwa na matokeo gani?”
Ja [to] usłyszałem, ale nie zrozumiałem, więc zapytałem: Mój Panie, jaki będzie koniec tych rzeczy?
9 Alisema, “Nenda zako Danieli, kwa kuwa maneno yamefungwa na kutiwa chapa mpaka wakati wa mwisho.
Wtedy odpowiedział: Idź, Danielu, bo te słowa są zamknięte i zapieczętowane aż do czasu ostatecznego.
10 Watu wengi watakuwa wametakaswa, wameoshwa, na kusafishwa, lakini waovu wataenenda katika uovu.
Wielu będzie oczyszczonych, wybielonych i doświadczonych, ale bezbożni będą postępować bezbożnie. Żaden bezbożny nie zrozumie, ale mądrzy zrozumieją.
11 Katika muda ule ambapo sadaka ya kawaida ya kuteketezwa itakapokuwa imeondolewa na chukizo la uharibifu liliosababisha ukiwa limesimamishwa, kutakuwa na siku zipatazo 1, 290.
A od tego czasu, kiedy zostanie zniesiona [ofiara] codzienna i będzie postawiona obrzydliwość spustoszenia, [upłynie] tysiąc dwieście dziewięćdziesiąt dni.
12 Ana heri mtu yule anayengojea mpaka mwisho wa siku 1, 335.
Błogosławiony, kto doczeka i dojdzie do tysiąca trzystu trzydziestu pięciu dni.
13 Unapaswa uondoke uende njia yako hata mwisho, na kisha utapumzika. Utainuka katika sehemu uliyopewa, mwishoni mwa siku.”
Ale ty idź swoją drogą do końca. Odpoczniesz i pozostaniesz w swoim losie przy końcu dni.

< Danieli 12 >