< Danieli 12 >

1 Katika kipindi hicho, Mikaeli, jemedari mkuu ambaye huwalinda watu wako, atainuka. Kutakuwa na wakati wa mateso ambao haujawahi kutokea tangu mwanzo wa taifa lolote mpaka kipindi hicho. Katika muda huo watu wako wataokolewa, yeyote ambaye jina lake litapatikana katika kitabu.
Malaikat yang memakai pakaian linen itu berkata lagi, "Pada saat itu akan muncul malaikat besar Mikhael pelindung bangsamu. Kemudian akan ada masa kesukaran yang tiada bandingannya sejak ada bangsa-bangsa. Tetapi semua orang dari bangsamu yang namanya tertulis dalam buku Allah, akan diselamatkan.
2 Na wengi wa wale waliolala katika mavumbi ya dunia watainuka. baadhi kwa uzima wa milele na baadhi kwa ajili ya fedheha na matwezo ya milele.
Banyak di antara mereka yang sudah mati akan hidup lagi; sebagian akan menikmati hidup yang kekal, dan sebagian lagi akan mengalami kehinaan dan kengerian yang kekal juga.
3 Wale wenye hekima watang'ara kama mng'ao wa anga la juu, na wale wenye kuwaelekeza wengine katika haki, watakuwa kama nyota milele na milele.
Para pemimpin yang bijaksana akan bersinar seperti cahaya langit. Dan mereka yang telah mengajar banyak orang untuk melakukan apa yang baik dan adil, akan bersinar seperti bintang-bintang untuk selama-lamanya."
4 Lakini wewe, Danieli, yafunge maneno haya; kihifadhi kitabu kikiwa kimetiwa chapa mpaka nyakati za mwisho. Watu wengi watakimbia huku na kule, na maarifa yataongezeka.
Lalu kata malaikat itu lagi kepadaku, "Daniel, tutuplah buku itu sekarang, dan bubuhilah segel supaya tetap tertutup sampai pada akhir zaman. Banyak orang akan mencoba menyelidiki apa yang sedang terjadi. Tetapi usaha mereka itu akan sia-sia belaka."
5 Kisha mimi, Danieli, nilitazama, na kulikuwa na malaika wengine wawili wamesimama. Mmoja alisimama katika upande huu wa ukingo wa mto, na mwingine alisimama katika ukingo wa upande mwingine wa mto.
Kemudian kulihat dua orang laki-laki. Yang seorang berdiri di tepi sungai sebelah sini, dan yang lain di tepi sungai sebelah sana.
6 Mmoja wao alimwambia mtu aliyevaa nguo za kitani, yeye aliyekuwa juu ya mkondo wa mto, “Je itachukua muda gani mpaka mwisho wa matukio haya ya kushangaza?”
Yang seorang bertanya kepada yang berdiri lebih dekat dengan hulu sungai, "Kapankah kejadian-kejadian yang ajaib ini akan berakhir?"
7 Nilimsikia mtu yule aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu katika mkondo wa mto, aliinua mkono wake wa kuume na mkono wake wa kushoto kuelekea mbinguni na kuapa kwa yeye aishiye milele kwamba itakuwa kwa wakati, nyakati, na nusu wakati. Na wakati nguvu za watu watakatifu zitakapokuwa zimeshaharibiwa, mambo haya yote yatakuwa yamemalizika.
Orang yang lain itu mengangkat kedua tangannya ke langit. Kudengar dia bersumpah demi Allah yang kekal dan berkata, "Kejadian-kejadian itu akan berlangsung selama tiga setengah tahun. Setelah penganiayaan terhadap umat Allah berakhir, maka berakhir pula kejadian-kejadian yang ajaib itu."
8 Nilisikia, lakini sikufahamu. Basi nikamwuliza, “Bwana wangu, mambo haya yote yatakuwa na matokeo gani?”
Semua yang dikatakannya itu memang kudengar, tetapi aku tidak memahaminya. Lalu aku bertanya, "Tuan, bagaimana semua ini akan berakhir?"
9 Alisema, “Nenda zako Danieli, kwa kuwa maneno yamefungwa na kutiwa chapa mpaka wakati wa mwisho.
Ia menjawab, "Pergilah sekarang, Daniel, sebab kata-kata ini harus disembunyikan dan dirahasiakan sampai akhir zaman.
10 Watu wengi watakuwa wametakaswa, wameoshwa, na kusafishwa, lakini waovu wataenenda katika uovu.
Banyak orang akan diuji dan dimurnikan. Mereka yang jahat tidak akan mengerti dan akan terus berlaku jahat; hanya mereka yang bijaksana akan mengerti.
11 Katika muda ule ambapo sadaka ya kawaida ya kuteketezwa itakapokuwa imeondolewa na chukizo la uharibifu liliosababisha ukiwa limesimamishwa, kutakuwa na siku zipatazo 1, 290.
Dari waktu kurban harian itu dihentikan dan sesuatu yang mengerikan yang disebut Kejahatan yang menghancurkan itu ditegakkan, akan berlalu 1.290 hari.
12 Ana heri mtu yule anayengojea mpaka mwisho wa siku 1, 335.
Berbahagialah mereka yang tetap setia sampai hari ke-1.335.
13 Unapaswa uondoke uende njia yako hata mwisho, na kisha utapumzika. Utainuka katika sehemu uliyopewa, mwishoni mwa siku.”
Engkau Daniel, setialah sampai akhir. Engkau akan meninggal, tetapi akan bangkit untuk menerima upahmu pada akhir zaman."

< Danieli 12 >