< Danieli 11 >
1 Katika mwaka wa kwanza wa Dario Mmedi, mimi mwenyewe nilikuja kumwezesha na kumlinda Mikaeli.
Dialah yang ditugaskan untuk membantu dan membela aku pada tahun pertama pemerintahan Darius orang Media itu.
2 Na sasa nitakufunulia ukweli. Wafalme watatu watainuka katika Uajemi, na mfalme wa nne atakuwa tajiri sana kuliko wengine wote. Na wakati atakapopata nguvu kupitia utajiri wake, atamwamsha kila mtu kinyume na ufalme wa Ugiriki.
Dan apa yang akan kukatakan kepadamu adalah benar." Malaikat itu mengatakan, "Tiga raja lain akan memerintah Persia, diikuti oleh raja yang keempat yang akan lebih kaya daripada yang lain. Pada puncak kekuasaan dan kekayaannya, ia akan beradu kekuatan dengan kerajaan Yunani.
3 Mfalme wenye nguvu atainuka ambaye atatawala ufalme mkubwa, na ataenenda kufuatana na matakwa yake mwenyewe.
Kemudian akan muncul seorang raja yang perkasa. Ia akan memerintah kerajaan yang sangat besar dan akan berbuat semaunya.
4 Na atakapokuwa ameinuka, ufalme wake utavunjika na utagawanyika katika pepo nne za mbinguni, lakini hawatakuwa wazao wake mwenyewe, na si kwa nguvu zake kwa wakati alipokuwa akitawala. Kwa kuwa ufalme wake utang'olewa kwa ajili ya wengine tofauti na wazawa wake.
Tetapi pada puncak kejayaannya, kerajaannya akan pecah dan terbagi-bagi menjadi empat bagian. Raja-raja yang bukan keturunannya akan memerintah sebagai gantinya, dan mereka tidak akan sekuat dia.
5 Mfalme wa Kusini atakuwa na nguvu, lakini mmoja kati ya maamiri jeshi wake atakuwa mwenye nguvu kuliko yeye na atautawala ufalme wake kwa nguvu kubwa.
Raja negeri selatan akan menjadi kuat. Tetapi salah seorang dari panglima-panglimanya akan menjadi lebih kuat daripadanya, dan ia akan memerintah kerajaan yang lebih besar lagi.
6 Baada ya miaka michache, wakati muda utakapokuwa sawa, watafanya mwungano. Binti wa mfalme wa Kusini atakuja kwa mfalme wa Kaskazini kuyathibitisha makubaliano yao. Lakini hataweza kuzitunza nguvu za mkono wake, wala mfalme hatasimama wala mkono wake. Ataachwa na wale waliomleta, na baba yake, na yeye aliyemwunga mkono katika nyakati hizo.
Beberapa tahun kemudian raja negeri selatan akan mengadakan persekutuan dengan raja negeri utara dan mengawinkan putrinya dengan raja negeri utara itu. Tetapi persekutuan itu tidak bertahan, dan putri itu akan dibunuh, demikian juga suami dan anaknya dan hamba-hamba yang telah mengantarkannya.
7 Lakini tawi kutoka katika mizizi yake litachipuka katika nafasi yake. Atalishambulia jeshi na kuingia ngome ya mfalme wa Kaskazini. Atapigana nao, na atawashinda.
Tidak lama setelah itu, seorang yang sekeluarga dengan putri itu akan menjadi raja. Ia akan menyerang tentara raja negeri utara, menyerbu bentengnya dan mengalahkannya.
8 Ataichukua miungu yao mpaka Misri pamoa na sanamu zao za chuma na vyombo vyao vya fedha na vya dhahabu vyenye thamani. Kwa miaka mingi atakaa mbali na mfalme wa Kaskazini.
Pada waktu ia kembali ke Mesir, ia akan membawa patung dewa musuhnya dan perkakas emas dan perak yang telah dipersembahkan kepada dewa itu. Beberapa tahun lamanya ia tidak akan memerangi raja negeri utara.
9 Kisha mfalme wa Kaskazini atauvamia ufalme wa mfalme wa Kusini, lakini atajitoa na kwenda katika nchi yake mwenyewe.
Kemudian raja negeri utara akan menyerbu negeri selatan, tetapi ia akan dipukul mundur dan pulang ke negerinya sendiri.
10 Wana wake watajiweka tayari na kuunganisha jeshi kubwa. Litaendelea kukua na litagharikisha kila kitu, litapita katikati hadi kwenye ngome yake.
Lalu putra-putra raja negeri utara akan bersiap-siap untuk berperang dan membentuk tentara yang besar. Salah seorang dari mereka itu akan maju menyerbu seperti banjir. Dalam serbuan yang kedua ia menyerang benteng musuh.
11 Ndipo mfalme wa Kusini atakasirika, na ataenda na kupigana naye, mfalme wa Kaskazini. Mfalme wa Kaskazini atainua jeshi kubwa, bali jeshi litatiwa katika mkono wake.
Maka marahlah raja negeri selatan, dan ia akan maju ke medan perang melawan raja negeri utara. Ia akan berhasil mengalahkan tentara besar yang dikerahkan raja negeri utara.
12 Jeshi litachukuliwa, na moyo wa mfalme wa Kusini utainuliwa juu, na atawafanya makumi maelfu kuanguka, lakini hataweza kuwa mshindi.
Kemudian ia akan bangga karena kemenangannya dan karena telah menewaskan banyak musuh, tetapi ia tidak akan terus berkuasa.
13 Kisha mfalme wa Kaskazini atainua jeshi jingine, kubwa kuliko la kwanza. Baada ya miaka kadhaa, mfalme wa Kaskazini atakuja na jeshi kubwa likiwa na vifaa vingi.
Untuk kedua kalinya raja negeri utara akan membentuk pasukan yang besar, malahan yang lebih besar daripada yang pertama. Jika waktunya tiba, ia akan bergerak maju dengan tentara yang besar dan perlengkapan yang banyak sekali.
14 Katika siku hizo wengi watainuka kinyume na mfalmea wa Kusini. Wana wa vurugu miongoni mwa watu wake watasimama wao wenyewe ili kuyatimiliza maono, lakini watajikwaa.
Maka banyak orang akan memberontak terhadap raja negeri selatan. Dan beberapa orang kejam dari bangsamu, Daniel, akan memberontak juga karena mereka telah melihat suatu penglihatan. Tetapi mereka akan gagal.
15 Mfalme wa Kaskazini atakuja, kuizingira nchi kwa kuweka vilima, na kuuteka mji wenye ngome. Majeshi ya Kusini hayataweza kusimama, hata wanajeshi wake bora. Hawatakuwa na nguvu za kusimama.
Kemudian raja negeri utara akan mengepung sebuah kota berbenteng dan merebutnya. Tentara negeri selatan tidak akan dapat bertahan, dan pasukan-pasukan pilihannya pun tidak dapat lagi mengadakan perlawanan.
16 Badala yake, yeye ajaye ataenenda kwa kufuata tamaa zake kinyume chake; hakuna yeyote atakayesimama katika njia yake. Atasimama katika nchi ya uzuri, na uharibifu utakuwa mkononi wake.
Raja negeri utara itu akan berbuat semaunya tanpa mendapat perlawanan sedikit pun. Ia pun akan menduduki tanah yang permai dan menguasainya sepenuhnya.
17 Mfalme wa Kaskazini atauelekeza uso wake ili kuja kwa nguvu za ufalme wake wote, na kutakuwa na makubaliano atakayoyafanya na mfalme wa Kusini. Atampatia katika ndoa binti wa wanawake ili kuuharibu ufalme wa Kusini. Lakini mpango huo hautafanikiwa wala kumsaidia.
Kemudian raja negeri utara akan menyiapkan seluruh tentaranya untuk menyerang negeri selatan. Lalu dengan maksud menguasai seluruh kerajaan musuhnya, ia akan membuat persetujuan dengan dia dan mengawinkan putrinya dengan raja Mesir itu; tetapi rencananya itu tidak akan berhasil.
18 Baada ya hayo, mfalme atafuatilia nchi za pwani na ataziteka nchi nyingi. Lakini amiri jeshi atakikomesha kiburi chake na atakisababisha kiburi chake kiishe.
Setelah itu ia akan menyerang bangsa-bangsa di tepi laut, dan banyak yang dikalahkannya. Tetapi seorang pemimpin negeri asing akan menghentikan penghinaan yang dilakukannya itu, bahkan akan membalas penghinaan itu kepadanya.
19 Kisha atafuatilia miji yenye ngome katika nchi yake mwenyewe, lakini atajikwaa na kuanguka; na hatapatikana tena.
Raja negeri utara itu akan kembali ke benteng-benteng negerinya sendiri, tetapi dia akan dikalahkan dan tak ada berita lagi tentang dia.
20 Kisha mtu mwingine atainuka katika nafasi ambaye atamfanya mtoza ushuru apite kwa ajili ya ufahari wa ufalme. Lakini katika siku zijazo atakatiliwa mbali, lakini si kwa hasira wala si katika vita.
Dia akan digantikan oleh seorang raja yang akan menyuruh pegawainya yang kejam untuk mengumpulkan pajak dengan paksa untuk menambah kekayaan kerajaannya. Dalam waktu yang singkat raja itu akan dibunuh, tidak secara terang-terangan dan tidak pula dalam peperangan."
21 Katika nafasi atainuka mtu wa kudharauliwa ambaye watu hawatampa heshima ya nguvu ya kifalme; atakuja bila kukusudiwa na atautwaa ufalme kwa ulaghai.
Malaikat itu berkata lagi, "Raja berikut yang memerintah negeri utara adalah seorang yang hina yang tidak berhak menjadi raja. Tetapi ia akan datang tanpa disangka-sangka dan merebut kedudukan raja dengan tipu daya.
22 Mbele yake, kila jeshi litafutiliwa mbali kama gharika. Jeshi na kiongozi wa agano wataangamizwa wote kwa pamoja.
Segala tentara yang melawan dia, ya bahkan Imam Agung pun, akan disapu bersih dan dimusnahkan.
23 Tangu katika kipindi kile ambacho makubaliano yalifanywa pamoja naye, ataenenda kwa kwa hila; atakuwa mwenye nguvu akiwa na watu wachache tu.
Ia mengkhianati perjanjian-perjanjian yang baru saja dibuatnya dengan bangsa-bangsa lain. Dan ia akan menjadi semakin kuat, meskipun ia hanya memerintah negara yang kecil.
24 Kwa ghafla ataingia katika sehemu tajiri sana za jimbo, na atafanya kile ambacho si baba yake wala baba wa baba yake alishakifanya. Atagawanya mateka, nyara, na mali zake miongoni mwa wafuasi wake. Atapanga mpango wa kuiangusha ngome, lakini ni kwa muda tu.
Dengan licik ia akan menyerbu daerah-daerah yang subur pada waktu penduduk merasa aman di situ. Ia akan melakukan apa yang belum pernah dilakukan oleh nenek moyangnya. Lalu ia akan membagi-bagikan kepada para pendukungnya segala barang rampasan dan kekayaan yang didapatnya dalam peperangan. Ia akan membuat siasat untuk menyerang tempat-tempat yang berbenteng, tetapi waktunya segera akan habis.
25 Ataamsha nguvu zake na moyo wake kinyume na mfalme wa Kusini kwa jeshi kubwa. Mfalme wa Kusini atapigana vita akiwa na jeshi kubwa lenye nguvu, lakini hataweza kusimama kwa kuwa wengine watafanya njama dhidi yake.
Kemudian dengan berani ia akan membentuk tentara yang besar untuk menyerang raja negeri selatan yang telah bersiap-siap pula hendak melawan dia dengan tentara yang kuat dan besar sekali. Tetapi raja negeri selatan tidak akan dapat bertahan karena ia akan dikhianati.
26 Hata wale wanaokula chakula chake kizuri watajaribu kumwangamiza. Jeshi lake litakatiliwa mbali kama gharika, na wengi wao watauawa.
Penasihat-penasihatnya yang paling dekat dengan dia akan menjatuhkan dia. Banyak di antara prajurit-prajuritnya akan terbunuh, dan tentaranya akan disapu bersih.
27 Wafalme wote hawa wawili, wakiwa na mioyo yao imejawa na uovu kinyume na mwenzake, watakaa katika meza moja na kudanganyana, lakini haitakuwa na maana yoyote. Kwa kuwa mwisho utatokea katika kipindi ambacho kimeshapangwa.
Kemudian kedua raja itu akan duduk pada satu meja dan makan bersama, tetapi mereka bermaksud jahat, dan mereka akan saling membohongi. Tetapi rencana mereka gagal sebab masanya belum tiba.
28 Kisha mfalme wa Kaskazini atarudi katika nchi yake akiwa na utajiri mkubwa, na moyo wake ukipinga vikali agano takatifu. Atatenda na kisha atarudi katika nchi yake mwenyewe.
Kemudian raja negeri utara akan pulang ke negerinya dengan segala barang rampasan yang didapatnya. Ia bertekad untuk menghancurkan agama yang dianut oleh umat Allah. Ia akan berbuat semaunya lalu kembali ke negerinya sendiri.
29 Katika muda uloamriwa atarudi na kuushambulia ufalme wa Kusini. Lakini katika kipindi hiki hakitakuwa kama awali.
Beberapa waktu kemudian ia akan menyerang negeri selatan lagi, tetapi akibatnya lain daripada kali yang pertama.
30 Kwa kuwa meli kutoka Kitimu zitamshambulia, naye ataogopa na kurudi nyuma. Atakuwa mwenye hasira dhidi ya agano takatifu, na atawaonyesha mema wale watakaoliacha agano takatifu.
Sebab orang-orang Roma dengan kapal-kapalnya akan datang dari Siprus dan memerangi dia, sehingga ia menjadi ketakutan. Lalu ia akan pulang dengan marah sekali dan berusaha menghancurkan agama umat Allah. Ia akan mengikuti nasihat mereka yang telah murtad dari agama itu.
31 Majeshi yake yatainuka na kukufuru sehemu takatifu katika ngome. Wataziondoa sadaka za kawaida za kuteketezwa, na watasimamisha chukizo la uharibifu litakalosababisha ukiwa.
Lalu ia mengirim pasukan-pasukan yang mencemarkan Rumah TUHAN. Mereka akan menghapuskan kurban harian dan menegakkan sesuatu yang mengerikan yang disebut Kejahatan yang menghancurkan.
32 Na kwa wale walioenenda kwa ouvu kinyume na agano, atawadanganya na kuwatia uovu. Bali watu wale wanaomjua Mungu wao watakuwa jasiri na watachukua hatua.
Maka dengan tipu daya raja itu akan membujuk orang-orang yang sudah meninggalkan agama mereka, supaya mau membantunya. Tetapi orang-orang yang taat kepada Allah akan berani melawan dia.
33 Watu wenye hekima miongobi mwa watu watawafanya watu waelewe. Lakini watajikwaa kwa upanga na kwa miali ya moto; watatiwa mateka na kunyang'anywa kwa siku.
Orang-orang bijaksana yang memimpin rakyat akan membuat banyak orang mengerti. Tetapi untuk beberapa waktu lamanya, beberapa di antara mereka akan terbunuh karena perang atau karena api, dan beberapa orang lagi akan dirampok dan ditawan.
34 Katika siku za kujikwaa kwao, watasaidiwa kwa msaada kidogo. Watu wengi watajiunga nao wenyewe katika unafiki.
Sementara pembunuhan itu berlangsung, umat Allah akan mendapat sedikit bantuan, tetapi banyak orang akan bergabung dengan mereka hanya untuk kepentingan mereka sendiri.
35 Baadhi ya watu wenye hekima watajikwaa ili kujisafisha kutokee kwao, na kujiosha, na kujitakasa, mpaka wakati wa mwisho. Kwa kuwa wakati ulioamriwa haujaja bado.
Sebagian dari pemimpin-pemimpin yang bijaksana itu akan terbunuh, tetapi itu merupakan ujian bagi umat sehingga mereka akan menjadi murni. Hal itu akan berlangsung sampai pada akhir zaman, yaitu zaman yang telah ditetapkan Allah.
36 Mfalme atafanya kutokana na matakwa yake. Atajiinua mwenyewe na kujifanya mkubwa kuliko kila mungu. Kinyume cha Mungu wa miungu, atasema vitu vibaya, kwa kuwa atafanikiwa mpaka pale ghadhabu itakapokuwa imekamilika. Kwa ajili kile kilichoamriwa kitakapokuwa kimefanyika.
Raja negeri utara akan berbuat sekehendak hatinya. Dengan sombong ia akan mengatakan bahwa ia lebih besar daripada dewa mana pun, malahan juga lebih besar daripada Allah Yang Mahatinggi. Ia akan dapat berbuat begitu sampai murka Allah berakhir. Sebab apa yang sudah ditetapkan Allah harus terlaksana dahulu.
37 Hatazijali miungu ya baba zake wala mungu anayependwa na wanawake. Wala hatamjali mungu mwingine yeyote. Kwa kuwa zaidi ya mtu yeyote atajifanya mwenyewe kuwa mkuu.
Raja itu tidak akan mengindahkan dewa mana pun yang disembah oleh nenek moyangnya, termasuk dewa pujaan para wanita. Ia tidak mempedulikan dewa-dewa itu karena ia menganggap dirinya lebih besar dari mereka.
38 Atamheshimu mungu wa ngome badala ya haya. Ni mungu ambaye baba zake hawakumkubali ambaye atamheshimu kwa dhahabu na fedha, kwa mawe ya thamani na zawadi zenye kuthaminiwa.
Sebaliknya, ia akan menghormati dewa yang belum pernah disembah oleh nenek moyangnya, yaitu dewa pelindung benteng-benteng. Ia akan mempersembahkan emas, perak, permata dan persembahan-persembahan mewah lainnya kepada dewa yang belum pernah disembah oleh nenek moyangnya.
39 Atazishambulia ngome imara sana kwa msaada wa mungu mgeni. Atampa heshima kubwa yeyote anayemkubali. Atawafanya kuwa watawala juu ya watu wengi, na ataigawanya nchi kama thawabu.
Ia akan memilih orang-orang yang menyembah dewa asing, untuk menyerang benteng-benteng kuat. Siapa yang mengakui dewa itu akan diberinya kehormatan besar dan kedudukan yang tinggi serta tanah sebagai upah.
40 Kwa wakati wa mwisho mfalme wa Kusini atamshambulia. Mfalme wa Kaskazini atamvamia kwa ukali wa magari na wapanda farasi, na meli nyingi. Naye ataenda kinyume cha nchi, kuwagharikisha, na kupita katikati.
Bila akhir kekuasaan raja negeri utara sudah hampir tiba, raja negeri selatan akan menyerang dia. Lalu raja negeri utara akan membalas serangan itu dengan sengit. Ia akan mengerahkan banyak kereta perang, kuda dan kapal. Ia akan menyerbu seperti air bah, dan menduduki banyak negeri.
41 Naye ataingia katika nchi ya uzuri, makumi elfu ya Waisraeli wataanguka. Lakini watu hawa watatoroka kutoka katika mkono wake: Waedomu, Wamoabu, na mabaki ya watu wa Amoni.
Bahkan tanah yang permai pun akan diserbunya juga, dan puluhan ribu orang akan dibunuhnya. Tetapi kerajaan-kerajaan Edom, Moab dan bagian yang terpenting dari kerajaan Amon akan selamat.
42 Naye ataunyosha mkono katika nchi; nchi ya Misri haitaokolewa.
Pada waktu ia menduduki kerajaan-kerajaan itu, kerajaan Mesir pun tidak akan luput.
43 Atakuwa na mamlaka juu ya hazina za dhahabu na za fedha, na juu ya utajiri wote wa Misri; watu wa Libya na Ethiopia watakuwa chini katika nyayo za miguu yake.
Ia akan merampas harta Mesir berupa emas dan perak serta harta lain yang sangat berharga. Ia akan dibantu orang Libia dan Sudan.
44 Lakini taarifa kutoka mashariki na kaskazini zitamwogopesha, naye atatoka akiwa mwenye hasira nyingi kuwa ili kuwaharibu kabisa na kuwahifadhi kwa ajli ya uharibifu.
Lalu berita dari timur dan utara akan mengejutkannya, sehingga ia akan berperang dengan sengit dan membunuh banyak orang.
45 Naye ataisimamisha hema ya makao yake ya kifalme kati ya bahari na milima ya uzuri wa utakatifu. Ataufikia mwisho wake, na hapatakuwa na msaidizi wa kumsadia.
Bahkan ia akan memasang kemah kerajaannya di antara laut dan gunung tempat Rumah TUHAN. Tetapi kemudian ia akan mati dan tidak ada seorang pun yang akan menolongnya."