< Danieli 10 >

1 Katika mwaka wa tatu wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ujumbe ulifunuliwa kwa Danieli, aliyeitwa pia Belteshaza. Ujumbe huu ulikuwa ni wa kwelil. Ulihusu vita kuu. Danieli aliufahamu ujumbe alipopata ufumbuzi kutoka katika maono.
Iti maikatlo a tawen a panagturay ni Ciro nga ari ti Persia, maysa a mensahe ti naipaltiing kenni Daniel, (a maawagan pay iti Beltesazar) ket pudno daytoy a mensahe. Maipanggep daytoy iti dakkel a gubat. Naawatan ni Daniel ti mensahe idi naaddaan isuna iti pannakaawat iti sirmata.
2 Katika siku hizo, mimi Danieli, nilikuwa katika maombolezo kwa wiki tatu.
Kadagidiay nga al-aldaw, siak a ni Daniel ket nagladladingit iti las-ud iti tallo a lawas.
3 Sikula chakula kizuri, sikula nyama, sikunywa divai, na sikujipaka mafuta mwenyewe mpaka ukamilifu wa wiki tatu nzima.
Saanak a nangnangan iti naiimas a taraon, iti karne, saanak nga immin-inom iti arak, ken saanak a nagsapsapo iti lana agingga a maturpos ti tallo a lawas.
4 Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kwanza, nilipokuwa niko karibu na mto mkubwa (ambao ni Tigrisi),
Iti maikaduapulo ket uppat nga aldaw iti umuna a bulan, bayat ti kaaddak iti igid ti dakkel a karayan (nga isu ti Tigris),
5 Nilitazama juu na nikamwona mtu aliyevaa kitani, akiwa na mkanda kiunoni mwake uliotengenezwa kwa dhahabu safi kutoka Ufazi.
timmangadak ket nakakitaak iti maysa a tao a nakakawes iti lino, nakabarikes isuna iti barikes a puro a balitok a nagtaud iti Ufaz.
6 Mwili wake ulikuwa kama kito, na sura yake ilikuwa kama radi. Macho yake yalikuwa kama miali ya tochi, na mikono yake na miguu yake ilikuwa kama shaba iliyosafishwa. Sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya umati mkubwa wa watu.
Naraniag ti bagina a kasla iti topaz, naraniag ti rupana a kasla iti kimat, kasla umap-apuy a pagsilawan dagiti matana, kasla napasileng a gambang dagiti takkiag ken sakana, ket kasla ariwawa ti nakaad-adu a tattao ti timekna.
7 Mimi, Danieli peke yangu niliyaona maono, na watu niliokuwa na pamoja hawakuyaona maono. Lakini, jambo kuu la kuogofya liliwaijia juu yao, na walikimbia na kujificha wao wenyewe.
Siak laeng a ni Daniel ti nakakita iti sirmata, ta saan a nakita dagiti lallaki a kadduak ti sirmata. Nupay kasta, nagbutengda iti kasta unay, ket nagtarayda a naglemmeng.
8 Hivyo niliachwa peke yangu na niliyaona maono haya ajabu. Hakuna nguvu iliyobakia ndani yangu; mwonekano wangu wa kung'aa ulibadilika na kuwa mwonekano wa uharibifu, na hazikubakia nguvu ndani yangu.
Isu a siak laeng ti nabati ken nakakita iti daytoy a naisangsangayan a sirmata. Napakapsutannak unay; nakabutbuteng ti panagbaliw iti naraniag a langak; ket napakapsutannak unay.
9 Kisha nikasikia maneno yake, na nilipoyasikia, nilianguka kifudifudi na kupata usingizi mzito.
Ket nangngegko dagiti saona - ket bayat a mangmangegko nga agsasaoda, naawananak iti puot ket natuangak a papakleb iti daga.
10 Mkono ulinigusa, na ilinifanya nitetemeke katika magoti yangu na viganja vya mikono yangu.
Maysa nga ima ti nangsagid kaniak, ket pinagkutukotna dagiti tumengko ken pinagpigergerna dagiti imak.
11 Malaika aliniambia, “Danieli, mtu aliyetunzwa sana, yafahamu maneno ninayokwambia wewe. Simama wima, kwa kuwa nimeshakutuma.” Na alipomaliza kuniambia ujumbe huu, nilisimama nikiwa natetemeka.
Kinuna ti anghel kaniak, “Daniel, sika a tao a dungdungoen unay ti Dios, awatem dagiti sasao nga ibagbagak kenka, ket tumakderka, ta naibaonak nga umay kenka.” Idi naibagana daytoy a sao kaniak, agpigpigergerak a timmakder.
12 Kisha aliniambia, “Usiogope, Danieli. Tangu siku ya kwanza ulipoiweka akili yako kutaka kufahamu na kujinyenyekeza mwenyewe mbele ya Mungu, maneno yako yalisikiwa, na nimekuja kwasababu ya maneno yako.
Ket kinunana kaniak, “Saanka nga agbuteng Daniel. Manipud idi umuna nga aldaw nga inkeddengmo a mang-awat iti sirmata ken agpakumbabaka iti sangoanan ti Diosmo, naipangag dagiti saom, ket immayak gapu kadagiti saom.
13 Mwana wa mfalme wa ufalme wa Uajemi alinizuia, na niliwekwa huko na mfalme wa Uajemi kwa siku ishirini na moja. Lakini Mikaeli, mmoja kati ya wakuu alikuja kunisaidia.
Linapdannak ti prinsipe iti pagarian ti Persia, ket nagtalinaedak sadiay kadagiti ar-ari ti Persia iti las-ud ti duapulo ket maysa nga aldaw. Ngem immaynak tinulongan ni Miguel, maysa kadagiti kangatoan a prinsipe.
14 Sasa nimekuja kukusaidia ili ufahamu kile kitakachotokea kwa watu wako katika siku za mwisho. Kwa kuwa maono ni kwa ajili siku ambazo hazijatokea bado.
Ita, immayak tapno tulonganka a mang-awat no ania ti mapasamak kadagiti tattaom iti maudi nga al-aldaw. Ta ti sirmata ket para kadagiti masungad pay laeng nga al-aldaw.”
15 Na alipokuwa akali akiniambia maneno haya, niligeuza uso wangu na kuuelekeza chini na sikuwa na uwezo wa kuzungumza.
Idi insaona kaniak dagitoy, nagdumogak ken saanak a makasao.
16 Yeye aliyekuwa kama wana wa mtu alinigusa mdomo wangu na nifumbua kinywa changu na nilimwambia huyo aliyekuwa amesimam mbele yangu: “Bwana wangu, niko katika masumbuko makali kwasababu ya maono; sina nguvu ndani yangu iliyosalia.
Maysa a kaas-asping ti tao ti nangsagid kadagiti bibigko, ket inungapko ti ngiwatko ket nagsaoak kenkuana a nakatakder iti sangoanak, “Apok, pinagbutengnak ti sirmata, ket napakapsutanak unay.
17 Mimi ni mtumishi wako. Je ninawezaje kuongea na Bwana wangu? Kwa kuwa sasa sina nguvu, na hakuna pumzi iliyosalia ndani yangu.”
Siak ket adipenmo. Kasanoak a makisao iti apok? Ta napakapsutanak unayen ket saanak a makaanges.”
18 Tena yule mwenye mwonekano wa mtu alinigusa na kunitia nguvu.
Sinagid ken pinapigsanak ti kaas-asping ti tao.
19 Alisema, “Usiogope, mtu ulithaminiwa sana. Amani na iwe kwako! Uwe mwenye nguvu, uwe na nguvu!” Na alipokuwa anaongea na mimi, nilipata nguvu. Nilimwambia, “Bwana wangu na aseme, kwa kuwa umenitia nguvu.”
Kinunana, “Tao nga ay-ayaten unay ti Dios, saanka nga agbuteng. Kappia koma ti adda kenka. Bumilegka ita; bumilegka!” Idi nagsao isuna kaniak, pimmigsaak ket kinunak, “Agsao koma ti apok, ta pinapigsanak.”
20 Aliniambia, “Je unajua ni kwanini nimekuja kwako? Nitarudi hivi karibuni kupigana na mkuu wa Uajemi. Na nitakapoenda, mkuu wa Ugiriki atakuja.
Kinunana, “Ammom kadi no apay nga immayak kenka? Agsubliak ita tapno makirangetak a maibusor iti prinsipe ti Persia. Inton rummuarak, umayto ti prinsipe ti Grecia.
21 Lakini nitakwambia kile kilichoandikwa katika Kitabu cha Ukweli. Hakuna yeyote anayejionesha kuwa na nguvu pamoja nami dhidi yao, isipokuwa Mikaeli mkuu wenu.”
Ngem ibagak kenka ti nakasurat iti Libro ti Kinapudno - awan ti siasinoman a mangipakpakita a nabilegda malaksid kaniak, malaksid kenni Miguel a prinsipeyo.”

< Danieli 10 >