< Danieli 1 >

1 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuja Yerusalemu na kuuzunguka mji ili kuzuia mahitaji yake yote.
Uti tredje årena af Jojakims, Juda Konungs, rike kom NebucadNezar, Konungen i Babel, in för Jerusalem, och belade det.
2 Bwana alimpa Nebukadneza ushindi dhidi ya Yehoyakimu mfalme wa Yuda, na alimpatia vitu vitakatifu kutoka nyumba ya Mungu. Alivipeleka vitu hivyo mpaka katika nchi ya Babeli, kwa nyumba ya mungu wake, na aliviweka vitu vitakatifu katika hazina ya mungu wake.
Och Herren gaf Jojakim, Juda Konung, honom i händer, och en hop af kärile utu Guds hus; hvilken han lät föra in uti Sinears land, i sins guds hus, och lade de kärilen uti sins guds fatabur.
3 Mfalme akamwambia Ashipenazi, afisa wake mkuu, awalete baadhi ya watu wa Israeli, wa familia ya kifalme na za kiungwana -
Och Konungen sade till Aspenas, sin öfversta kamererare, att han skulle utsöka honom af Israels barnom, af Konungsliga slägt, och herrabarnom,
4 vijana wasio na hila, wenye mwonekano wa kuvutia, wenye ujuzi katika hekima yote, wenye kujawa na ufahamu na weledi, na wenye sifa za kutumika katika ikulu ya mfalme. Alitakiwa kuwafundisha maandiko na lugha ya Babeli.
Några unga drängar, som ingen vank hade; utan dägelige voro, förnuftige, vise, kloke och förståndige; hvilke skickelige voro till att tjena i Konungens gård, och till att lära Chaldeiska skrift och mål.
5 Mfalme aliwatengea kwa ajili yao fungu kutoka katika chakula chake kizuri kwa kila siku na katika divai aliyokunywa. Vijana hawa walitakiwa kufunzwa kwa miaka mitatu, na baada ya hapo, wangeweza kumtumikia mfalme.
Dessom beställde Konungen, hvad man dem dageliga gifva skulle af hans spis, och af det vin der han sjelf af drack; på det att, då de så i tre år uppfödde voro, skulle de sedan tjena inför Konungenom.
6 Miongoni mwao walikuwa ni Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria, baadhi ya watu wa Yuda.
Så voro ibland dem Daniel, Hanania, Misael och Asaria, af Juda barnom.
7 Afisa mkuu aliwapa majina: Danieli alimwita Belteshaza, Hanania alimwita Shadraka, Mishaeli alimwita Meshaki, na Azaria alimwita Abedinego.
Och den öfverste kamereraren gaf dem namn; och nämnde Daniel Beltesazar, och Hanania Sadrach, och Misael Mesach, och Asaria AbedNego.
8 Lakini Danieli alinuia katika akili yake kuwa asingejitia ujanisi mwenyewe kwa chakula kizuri cha mfalme wala kwa divai ambayo alikunywa.
Men Daniel satte sig före i sitt hjerta, att han icke ville orena sig med Konungens spis, och med det vin, som han sjelf drack; och bad öfversta kamereraren, att han icke skulle orena sig.
9 Basi, aliomba ruhusa kutoka kwa afisa mkuu ili kwamba asije akajitia uchafu yeye mwenyewe. Hivyo, Mungu alimpa Danieli kibali na huruma kupitia katika heshima ambayo afisa mkuu alikuwa nayo kwake.
Och Gud gaf Daniel, att öfverste kamereraren vardt honom gunstig och god.
10 Afisa mkuu alimwambia Danieli, “Ninamwogopa bwana wangu mfalme. Ameagiza aina ya chakula na vinywaji mnavyotakiwa kutumia. Kwa nini awaone ninyi mkiwa mnaonekana vibaya kuliko vijana wengine wa umri wenu? Mfalme aweza kukitwaa kichwa changu kwa sababu yenu.
Och han sade till honom: Jag fruktar för min Herra Konungen, den eder spis och dryck bestyrt hafver; om han får se, att edor ansigte äro magrare än de andra drängers, som eder jemnåldrige äro, så gören I mig brottsligan till döden inför Konungenom.
11 Kisha Daniel akamwambia msimamizi ambaye afisa mkuu alikuwa amemweka juu ya Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria.
Då sade Daniel till Melzar, hvilkom öfverste kamereraren Daniel, Hanania, Misael och Asaria, befallt hade:
12 Alisema, “Tafadhari tujaribuni, sisi watumishi wako kwa siku kumi. Tupatieni tu mboga mboga za kula na maji ya kunywa.
Försök dock der med dina tjenare i tio dagar, och låt gifva oss mos till att äta, och vatten till att dricka;
13 Kisha ulinganishe mwonekano wetu na mwonekano wa vijana wanaokula vyakula vya mfalme, na mtutendee, sisi watu wako kulingana na kile unachokiona.”'
Och låt alltså komma för dig vår och de andra drängers ansigte, som af Konungens spis äta; och efter som du då ser, derefter gör med dina tjenare.
14 Hivyo msimamizi alikubaliana naye kufanya hivi, na aliwajaribu kwa siku kumi.
Och han hörde dem derutinnan, och försökte det med dem i tio dagar.
15 Katika mwisho wa siku kumi mwonekano wao ulikuwa ni wenye afya nzuri kuliko wa wale vijana waliokula vyakula vya kifalme.
Och efter de tio dagar voro de dägeligare och bättre vid hull, än alle de dränger, som spisades af Konungens spis.
16 Basi, msimamizi aliliondoa fungu lao la chakula na vivywaji vyao na walipewa mboga mboga tu.
Så satte Melzar bort deras spis och dryck, den dem tillskickad var, och gaf dem mos.
17 Na kuhusu vijana hawa nne Mungu aliwapa uelewa na ufahamu katika maandiko yote na hekima, na Danieli aliweza kupambanua aina zote za maono na ndoto.
Men dessa fyras Gud gaf dem konst och förstånd uti allahanda skrift och vishet; men Daniel gaf han förstånd i alla syner och drömmar.
18 Katika mwisho wa muda uliokuwa umepangwa na mfalme kuwaleta ndani, afisa mkuu aliwaleta mbele ya Nebukadneza.
Då tiden förlupen var, som Konungen förelagt hade, att de skulle hafvas inför honom, hade öfverste kamereraren dem in för NebucadNezar.
19 Mfalme aliongea nao, na miongoni mwa kundi lote hapo hapakuwa na wa kuwalinganisha na akina Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria. Walisimama mbele ya mfalme, wakiwa tayari kumtumikia.
Och Konungen talade med dem; och vardt ingen ibland dem alla funnen, som Daniels, Hanania, Misaels och Asaria like var; och de vordo Konungens tjenare.
20 Katika kila swali la hekima na ufahamu ambalo mfalme aliwauliza, aliwakuta wakiwa na uwezo mara kumi kuliko waganga wote na wale waliojidai kusema na wafu, waliokuwa katika ufalme wake wote.
Och Konungen fann dem i alla saker, de han dem frågade, tio sinom klokare och förståndigare, än alla stjernokikare och visa i hela sino rike.
21 Danieli alikuwa hapo mpaka mwaka wa kwanza wa Mfalme Koreshi.
Och lefde Daniel intill Konung Cores första år.

< Danieli 1 >