< Danieli 1 >

1 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuja Yerusalemu na kuuzunguka mji ili kuzuia mahitaji yake yote.
Iti maikatlo a tawen ti panagturay ni Jehoyakim nga ari ti Juda, immay ni Nebucadnesar nga ari ti Babilonia iti Jerusalem ket linakubna ti siudad tapno pasardengen dagiti abasto iti daytoy.
2 Bwana alimpa Nebukadneza ushindi dhidi ya Yehoyakimu mfalme wa Yuda, na alimpatia vitu vitakatifu kutoka nyumba ya Mungu. Alivipeleka vitu hivyo mpaka katika nchi ya Babeli, kwa nyumba ya mungu wake, na aliviweka vitu vitakatifu katika hazina ya mungu wake.
Pinagballigi ti Dios ni Nebucadnesar maibusor kenni Jehoyakim nga ari ti Juda, ket intedna kenkuana dagiti dadduma a nasagradoan a banbanag manipud iti balay ti Dios. Impanna dagitoy iti daga ti Babilonia, iti balay ti diosna, ket inkabilna dagiti nasagradoan a banbanag iti pagikabkabilan iti gameng ti diosna.
3 Mfalme akamwambia Ashipenazi, afisa wake mkuu, awalete baadhi ya watu wa Israeli, wa familia ya kifalme na za kiungwana -
Binilin ti ari ni Aspenaz a kangatoan nga opisialna nga iyunegna dagiti sumagmamano a tattao ti Israel, ti pamilia ti ari ken dagiti mararaem—
4 vijana wasio na hila, wenye mwonekano wa kuvutia, wenye ujuzi katika hekima yote, wenye kujawa na ufahamu na weledi, na wenye sifa za kutumika katika ikulu ya mfalme. Alitakiwa kuwafundisha maandiko na lugha ya Babeli.
dagiti agtutubo a lallaki nga awan pakapilawanna, nataraki ti langana, napnoan iti kinasirib, napnoan iti pannakaammo ken pannakaawat, ken mabalin nga agserbi iti palasio ti ari. Isurona kadakuada dagiti sursuro ken pagsasao dagiti taga-Babilonia.
5 Mfalme aliwatengea kwa ajili yao fungu kutoka katika chakula chake kizuri kwa kila siku na katika divai aliyokunywa. Vijana hawa walitakiwa kufunzwa kwa miaka mitatu, na baada ya hapo, wangeweza kumtumikia mfalme.
Inraman ida ti ari iti inaldaw a paset ti taraonna ken ti arak nga in-inumenna. Tallo a tawen a masanay dagitoy nga agtutubo a lallaki, kalpasan dayta, agserbida iti ari.
6 Miongoni mwao walikuwa ni Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria, baadhi ya watu wa Yuda.
Karaman kadagitoy ket da Daniel, Hananias, Misael kenni Asarias ken dagiti dadduma a tattao ti Juda.
7 Afisa mkuu aliwapa majina: Danieli alimwita Belteshaza, Hanania alimwita Shadraka, Mishaeli alimwita Meshaki, na Azaria alimwita Abedinego.
Pinanaganan ida ti kangatoan nga opisial: Pinanagananna ni Daniel iti Beltesazar, ni Hananias iti Sedrac, ni Misael iti Mesac, ken ni Asarias iti Abednego.
8 Lakini Danieli alinuia katika akili yake kuwa asingejitia ujanisi mwenyewe kwa chakula kizuri cha mfalme wala kwa divai ambayo alikunywa.
Ngem inkeddeng ni Daniel a saanna a tulawan ti bagina babaen iti taraon ti ari wenno babaen iti arak nga in-inumenna. Isu a dimmawat isuna iti pammalubos iti kangatoan nga ofisial a saanna a tulawan ti bagina.
9 Basi, aliomba ruhusa kutoka kwa afisa mkuu ili kwamba asije akajitia uchafu yeye mwenyewe. Hivyo, Mungu alimpa Danieli kibali na huruma kupitia katika heshima ambayo afisa mkuu alikuwa nayo kwake.
Ita, naasian ken pinaboran ti Dios ni Daniel babaen iti panagraem kenkuana ti kangatoan nga opisial.
10 Afisa mkuu alimwambia Danieli, “Ninamwogopa bwana wangu mfalme. Ameagiza aina ya chakula na vinywaji mnavyotakiwa kutumia. Kwa nini awaone ninyi mkiwa mnaonekana vibaya kuliko vijana wengine wa umri wenu? Mfalme aweza kukitwaa kichwa changu kwa sababu yenu.
Kinuna ti kangatoan nga opisial kenni Daniel, “Mabutengak iti apok nga ari. Imbilinna no ania a taraon ken mainom ti maited kenka. Kasano ngay no makitana a saan a nasayaat ti langam ngem kadagiti dadduma nga agtutubo a lallaki a kapatadam? Amangan no patayennak ti ari gapu kenka.”
11 Kisha Daniel akamwambia msimamizi ambaye afisa mkuu alikuwa amemweka juu ya Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria.
Ket nakisao ni Daniel iti dinutokan ti kangatoan nga opisial a mangaywan kada Daniel, Hananias, Misael ken Azarias.
12 Alisema, “Tafadhari tujaribuni, sisi watumishi wako kwa siku kumi. Tupatieni tu mboga mboga za kula na maji ya kunywa.
Kinunana, “Pangaasim ta subokennakami nga adipenmo iti sangapulo nga aldaw. Ikkannakami laeng kadagiti nateng a kanenmi ken danum nga inumenmi.
13 Kisha ulinganishe mwonekano wetu na mwonekano wa vijana wanaokula vyakula vya mfalme, na mtutendee, sisi watu wako kulingana na kile unachokiona.”'
Kalpasanna, idiligmo ti langami iti langa dagiti agtutubo a lallaki a mangan iti taraon ti ari, ket tratoennakami nga adipenmo a maibasar iti makitam.”
14 Hivyo msimamizi alikubaliana naye kufanya hivi, na aliwajaribu kwa siku kumi.
Isu nga immannugot ti mangay-aywan nga aramiden daytoy, ket pinaliiwna ida iti sangapulo nga aldaw.
15 Katika mwisho wa siku kumi mwonekano wao ulikuwa ni wenye afya nzuri kuliko wa wale vijana waliokula vyakula vya kifalme.
Kalpasan ti sangapulo nga aldaw, nasalsalun-at ti langada, ken naluklukmegda ngem dagiti dadduma a lallaki a nangan kadagiti taraon ti ari.
16 Basi, msimamizi aliliondoa fungu lao la chakula na vivywaji vyao na walipewa mboga mboga tu.
Isu nga inikkat ti mangay-aywan dagiti taraon ken arakda ket inikkanna laeng ida kadagiti nateng.
17 Na kuhusu vijana hawa nne Mungu aliwapa uelewa na ufahamu katika maandiko yote na hekima, na Danieli aliweza kupambanua aina zote za maono na ndoto.
Inikkan ti Dios dagitoy uppat nga agtutubo a lallaki iti pannakaammo ken saririt iti amin a sursuro ken kinasirib, ken maawatan ni Daniel dagiti amin a kita dagiti sirmata ken dagiti tagtagainep.
18 Katika mwisho wa muda uliokuwa umepangwa na mfalme kuwaleta ndani, afisa mkuu aliwaleta mbele ya Nebukadneza.
Kalpasan ti tiempo nga intuding ti ari a pannakaipanda, impan ida ti kangatoan nga opisial iti sangoanan ni Nebucadnesar.
19 Mfalme aliongea nao, na miongoni mwa kundi lote hapo hapakuwa na wa kuwalinganisha na akina Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria. Walisimama mbele ya mfalme, wakiwa tayari kumtumikia.
Nakisarita ti ari kadakuada, ken iti entero a bunggoy, awan a pulos ti maidilig kada Daniel, Hananias, Misael, ken Azarias. Nagtakderda iti sangoanan ti ari, a nakasagana nga agserbi kenkuana.
20 Katika kila swali la hekima na ufahamu ambalo mfalme aliwauliza, aliwakuta wakiwa na uwezo mara kumi kuliko waganga wote na wale waliojidai kusema na wafu, waliokuwa katika ufalme wake wote.
Iti tunggal saludsod ti kinasirib ken pannakaawat a saludsoden ti ari kadakuada, natakuatanna a maminsangapulo a daras a nalalaingda ngem dagiti amin a salamangkero ken dagiti mangibagbaga a makasaritada dagiti natay, nga adda iti entero a pagarianna.
21 Danieli alikuwa hapo mpaka mwaka wa kwanza wa Mfalme Koreshi.
Adda sadiay ni Daniel agingga iti umuna a tawen ti panagturay ni Ari Cyrus.

< Danieli 1 >