< Danieli 1 >

1 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuja Yerusalemu na kuuzunguka mji ili kuzuia mahitaji yake yote.
Judah manghai Jehoiakim kah a ram, a kum thum vaengah Babylon manghai Nebukhanezar te cet tih Jerusalem te a taengah a dum.
2 Bwana alimpa Nebukadneza ushindi dhidi ya Yehoyakimu mfalme wa Yuda, na alimpatia vitu vitakatifu kutoka nyumba ya Mungu. Alivipeleka vitu hivyo mpaka katika nchi ya Babeli, kwa nyumba ya mungu wake, na aliviweka vitu vitakatifu katika hazina ya mungu wake.
Te vaengah ka Boeipa loh Judah manghai Jehoiakim neh Pathen im kah hnopai ca te Nebukhanezar kut ah a paek. Te dongah te rhoek te Shinar khohmuen kah a pathen im la a khuen tih hnopai te a pathen kah thakvoh im ah a khueh.
3 Mfalme akamwambia Ashipenazi, afisa wake mkuu, awalete baadhi ya watu wa Israeli, wa familia ya kifalme na za kiungwana -
Te phoeiah manghai loh amah kah imkhoem puei Ashpenaz te Israel ca lamkah neh mangpa tiingan lamkah khaw, angrhaeng rhoek lamkah khaw khuen hamla a thui pah.
4 vijana wasio na hila, wenye mwonekano wa kuvutia, wenye ujuzi katika hekima yote, wenye kujawa na ufahamu na weledi, na wenye sifa za kutumika katika ikulu ya mfalme. Alitakiwa kuwafundisha maandiko na lugha ya Babeli.
Te vaengah a taengah a lolhmaih pakhat khaw aka om pawh camoe rhoek neh a mueimae aka then, cueihnah cungkuem neh aka cangbam, mingnah aka ming, cangnah aka yakming neh amih taengah thadueng aka om tah manghai bawkim ah om ham neh amih te Khalden ca neh ol tukkil hamla a khueh.
5 Mfalme aliwatengea kwa ajili yao fungu kutoka katika chakula chake kizuri kwa kila siku na katika divai aliyokunywa. Vijana hawa walitakiwa kufunzwa kwa miaka mitatu, na baada ya hapo, wangeweza kumtumikia mfalme.
Manghai loh amih ham tah a hnin hnin ah a hmuethma a khueh pah. Manghai buh neh a buhkoknah misurtui paek tih kum thum khuiah amih te pantai sak ham, a tloihsoi ah manghai mikhmuh ah pai sak ha a uen.
6 Miongoni mwao walikuwa ni Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria, baadhi ya watu wa Yuda.
Amih lakli ah Judah koca lamkah Daniel, Hananiah, Mishael neh Azariah om.
7 Afisa mkuu aliwapa majina: Danieli alimwita Belteshaza, Hanania alimwita Shadraka, Mishaeli alimwita Meshaki, na Azaria alimwita Abedinego.
Amih te imkhoem mangpa loh ming a paek tih Daniel te Belteshazzar la, Hananiah te Shadrakh la, Mishael te Meshakh la, Azariah te Abednego la a khueh pah.
8 Lakini Danieli alinuia katika akili yake kuwa asingejitia ujanisi mwenyewe kwa chakula kizuri cha mfalme wala kwa divai ambayo alikunywa.
Tedae Daniel long tah manghai buh neh, a buhkoknah misurtui neh a nok uh pawt ham a lungbuei ah a khueh. Te dongah a nok pawt ham imkhoem mangpa te a dawt.
9 Basi, aliomba ruhusa kutoka kwa afisa mkuu ili kwamba asije akajitia uchafu yeye mwenyewe. Hivyo, Mungu alimpa Danieli kibali na huruma kupitia katika heshima ambayo afisa mkuu alikuwa nayo kwake.
Pathen loh Daniel te imkhoem mangpa mikhmuh ah sitlohnah neh haidamnah a paek rhoe a paek.
10 Afisa mkuu alimwambia Danieli, “Ninamwogopa bwana wangu mfalme. Ameagiza aina ya chakula na vinywaji mnavyotakiwa kutumia. Kwa nini awaone ninyi mkiwa mnaonekana vibaya kuliko vijana wengine wa umri wenu? Mfalme aweza kukitwaa kichwa changu kwa sababu yenu.
Tedae imkhoem mangpa loh Daniel te, “Kai khaw ka boei manghai te ka rhih ta. Anih long ni na caak na buhkoknah he hang khueh. Camoe kah na omngaihnah lakah balae tih na maelhmai te hmai aka tal la a hmuh eh? Ka lu he manghai taengah nan mop coeng,” a ti nah.
11 Kisha Daniel akamwambia msimamizi ambaye afisa mkuu alikuwa amemweka juu ya Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria.
Te vaengah Daniel loh buhtaem, (Anih te Daniel, Hananiah, Mishael neh Azariah soah imkhoem mangpa la a khueh) taengah,
12 Alisema, “Tafadhari tujaribuni, sisi watumishi wako kwa siku kumi. Tupatieni tu mboga mboga za kula na maji ya kunywa.
“Na sal rhoek he hnin rha khuiah n'noemcai mai lamtah ankak mah kaimih m'pae mai saeh. Ka caak uh khaw tui neh ka yun uh eh.
13 Kisha ulinganishe mwonekano wetu na mwonekano wa vijana wanaokula vyakula vya mfalme, na mtutendee, sisi watu wako kulingana na kile unachokiona.”'
Te phoeiah kaimih kah mueimae neh manghai buh aka ca camoe rhoek kah mueimae te namah mikhmuh ah tueng saeh. Te vaengkah na hmuh bangla na sal rhoek taengah saii,” a ti nah.
14 Hivyo msimamizi alikubaliana naye kufanya hivi, na aliwajaribu kwa siku kumi.
Te dongah hekah ol bangla amih te a rhoi tih hnin rha khuiah amih te a noem.
15 Katika mwisho wa siku kumi mwonekano wao ulikuwa ni wenye afya nzuri kuliko wa wale vijana waliokula vyakula vya kifalme.
Hnin rha a thoknah dongah amih kah mueimae te a then la a sawt. Te vaengah manghai buh aka ca camoe boeih lakah a pumsa toitup.
16 Basi, msimamizi aliliondoa fungu lao la chakula na vivywaji vyao na walipewa mboga mboga tu.
Te dongah buhtaem loh amih kah buh neh a buhkoknah misur te a puen tih amih te ankak a paek.
17 Na kuhusu vijana hawa nne Mungu aliwapa uelewa na ufahamu katika maandiko yote na hekima, na Danieli aliweza kupambanua aina zote za maono na ndoto.
Tedae amih pali, camoe rhoek tah Pathen loh a taengah cangnah dongah cabu neh cueihnah boeih te cangbam hamla a paek. Te dongah Daniel loh mangthui neh mueimang te boeih a yakming.
18 Katika mwisho wa muda uliokuwa umepangwa na mfalme kuwaleta ndani, afisa mkuu aliwaleta mbele ya Nebukadneza.
Khohnin kuepnah a pha vaengah amih khuen hamla manghai loh a thui pah tih amih imkhoem mangpa loh Nebukhanezar mikhmuh ah a khuen.
19 Mfalme aliongea nao, na miongoni mwa kundi lote hapo hapakuwa na wa kuwalinganisha na akina Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria. Walisimama mbele ya mfalme, wakiwa tayari kumtumikia.
Manghai te amih taengah a voek vaengah Daniel, Hananiah, Mishael neh Azariah bang he amih boeih khui lamloh hmu pawh. Te dongah amih tah manghai mikhmuh ah pai uh.
20 Katika kila swali la hekima na ufahamu ambalo mfalme aliwauliza, aliwakuta wakiwa na uwezo mara kumi kuliko waganga wote na wale waliojidai kusema na wafu, waliokuwa katika ufalme wake wote.
Olka cungkuem dongah cueihnah neh yakmingnah amih lamkah te manghai loh a cae vaengah amih tah a ram pum kah khungvatuk neh hmayuep boeih lakah a kut parha la a hmuh.
21 Danieli alikuwa hapo mpaka mwaka wa kwanza wa Mfalme Koreshi.
Daniel tah manghai Cyrus kah a kum khat nah hil om.

< Danieli 1 >