< Wakolosai 1 >

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu,
Tanrı'nın isteğiyle Mesih İsa'nın elçisi atanan ben Pavlus ve kardeşimiz Timoteos'tan, Kolose'de bulunan, Mesih'e ait kutsal ve güvenilir kardeşlere selam! Babamız Tanrı'dan sizlere lütuf ve esenlik olsun.
2 kwa waumini na ndugu waaminifu katika Kristo walioko Kolosai. Neema iwe kwenu, na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu.
3 Tunatoa shukrani kwa Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, na tunawaombea mara kwa mara.
Sizler için dua ederken Tanrı'ya, Rabbimiz İsa Mesih'in Babası'na her zaman şükrediyoruz.
4 Tumesikia imani yenu katika Yesu Kristo na upendo mlionao kwa wale wote waliotengwa kwa ajili ya Mungu.
Çünkü Mesih İsa'ya iman ettiğinizi ve bütün kutsalları sevdiğinizi duyduk.
5 Mna upendo huu kwa sababu ya taraja la uhakika lililohifadhiwa mbinguni kwa ajili yenu. Mlisikia kuhusu taraja hiyo ya uhakika kabla katika neno la kweli, injili,
İmanınız ve sevginiz göklerde sizin için saklı bulunan umuttan kaynaklanıyor. Bu umudun haberini gerçeğin bildirisinden, size daha önce ulaşan Müjde'den aldınız. Müjde, onu işittiğiniz ve Tanrı'nın lütfunu gerçekten anladığınız günden beri aranızda olduğu gibi, bütün dünyada da meyve vermekte, yayılmaktadır.
6 ambayo imekuja kwenu. Injili hii inazaa tunda na inaenea ulimwenguni kote. Imekuwa ikifanya hivi ndani yenu pia tangu siku mlipoisikia na kujifunza kuhusu neema ya Mungu katika kweli.
7 Hii ndiyo injili mliyojifunza kutoka kwa Epafra, mpendwa wetu mtumishi mwenzetu, ambaye ni mtumishi mwaminifu wa Kristo kwa niaba yetu.
Müjde'yi bizim adımıza Mesih'in güvenilir hizmetkârı olan sevgili emektaşımız Epafras'tan öğrendiniz.
8 Epafra ameufanya ujulikane kwetu upendo wenu katika Roho.
Ruh'tan kaynaklanan sevginizi de bize o bildirdi.
9 Kwa sababu ya upendo huu, tangu siku tuliposikia hivi, hatujaacha kuwaombea. Tumekuwa tukiomba kwamba mtajazwa na maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote na ufahamu wa kiroho.
Bunu işittiğimiz günden beri biz de sizler için dua etmekten, tam bir bilgelik ve ruhsal anlayışla Tanrı'nın isteğini bütünüyle bilmenizi sağlamasını dilemekten geri kalmadık.
10 Tumekuwa tukiomba kwamba mtatembea kwa ustahimilivu wa Bwana katika njia zipendezazo. Tumekuwa tukiomba kwamba mtazaa tunda katika kila tendo jema na kwamba mtakua katika maarifa ya Mungu.
Rab'be yaraşır biçimde yaşamanız, O'nu her yönden hoşnut etmeniz, her iyi işte meyve vererek Tanrı'yı tanımakta ilerlemeniz için dua ediyoruz.
11 Tunaomba mweze kutiwa nguvu katika kila uwezo kulingana na nguvu za utukufu wake katika uvumilivu na ustahimilivu wote.
Her şeye sevinçle katlanıp sabredebilmeniz için O'nun yüce gücüne dayanarak bütün kudretle güçlenmenizi diliyoruz.
12 Tunaomba kwamba, kwa furaha, mtatoa shukrani kwa Baba, aliyewafanya ninyi mweze kuwa na sehemu katika urithi wa waumini katika nuru.
Bizi kutsalların ışıktaki mirasına ortak olmaya yeterli kılan Baba'ya şükretmeniz için dua ediyoruz.
13 Ametuokoa kutoka katika utawala wa giza na kutuhamishia katika ufalme wa Mwana wake mpendwa.
O bizi karanlığın hükümranlığından kurtarıp sevgili Oğlu'nun egemenliğine aktardı.
14 Katika Mwanae tuna ukombozi, msamaha wa dhambi.
O'nda kurtuluşa, günahlarımızın bağışına sahibiz.
15 Mwana ni mfano wa Mungu asiyeonekana. Ni mzaliwa wa kwanza wa uumbaji wote.
Görünmez Tanrı'nın görünümü, bütün yaratılışın ilk doğanı O'dur.
16 Kwakuwa kwa yeye vitu vyote viliumbwa, vile vilivyoko mbinguni na vilivyoko duniani, vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. ikiwa ni vya enzi au mamlaka au utawala au wenye nguvu, vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake.
Nitekim yerde ve gökte, görünen ve görünmeyen her şey –tahtlar, egemenlikler, yönetimler, hükümranlıklar– O'nda yaratıldı. Her şey O'nun aracılığıyla ve O'nun için yaratıldı.
17 Yeye amekuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.
Her şeyden önce var olan O'dur ve her şey varlığını O'nda sürdürmektedir.
18 Na yeye ndiye kichwa cha mwili yaani kanisa, yeye ni mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka miongoni mwa wafu, hivyo, ana nafasi ya kwanza miongoni mwa vitu vyote.
Bedenin, yani kilisenin başı O'dur. Her şeyde ilk yeri alsın diye başlangıç olan ve ölüler arasından ilk doğan O'dur.
19 Kwa kuwa Mungu alipendezwa kwamba utimilifu wake wote uishi ndani yake,
Çünkü Tanrı bütün doluluğunun O'nda bulunmasını uygun gördü.
20 na kupatanisha vitu vyote kwake kwa njia ya Mwanawe. Mungu alifanya amani kupitia damu ya msalaba wake. Mungu alipatanisha vitu vyote kwake mwenyewe, ikiwa ni vitu vya duniani au vitu vya mbinguni.
Mesih'in çarmıhta akıtılan kanı aracılığıyla esenliği sağlamış olarak yerdeki ve gökteki her şeyi O'nun aracılığıyla kendisiyle barıştırmaya razı oldu.
21 Nanyi pia, kwa wakati mmoja mlikuwa wageni kwa Mungu na mlikuwa maadui wake katika akili na matendo maovu.
Yaptığınız kötülükler yüzünden bir zamanlar düşüncelerinizde Tanrı'ya yabancı ve düşmandınız.
22 Lakini sasa amewapatanisha ninyi kwa mwili wake kupitia kifo. Alifanya hivi ili kuwaleta ninyi watakatifu, wasio na lawama na bila dosari mbele yake,
Şimdiyse Mesih sizi Tanrı'nın önüne kutsal, lekesiz ve kusursuz olarak çıkarmak için öz bedeninin ölümü sayesinde sizi Tanrı'yla barıştırdı.
23 kama mkiendelea katika imani, mliyoimarishwa na kuwa thabiti, pasipo kuondoshwa mbali kutoka kwenye taraja la ujasiri la injili mliyoisikia. Hi ndiyo injili iliyotangazwa kwa kila mtu aliyeumbwa chini ya mbingu. Hii ndiyo injili ambayo kwayo mimi, Paulo, nimekuwa mtumishi.
Yeter ki, duyduğunuz Müjde'nin verdiği umuttan kopmadan, imanda temellenip yerleşmiş olarak kalın. Ben Pavlus, göğün altındaki bütün yaratılışa duyurulan bu Müjde'nin hizmetkârı oldum.
24 Sasa nafurahia mateso yangu kwa ajili yenu. Nami natimiliza katika mwili wangu kinachopungua kwa mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kanisa.
Sizin için acı çektiğime şimdi seviniyorum. Mesih'in, kendi bedeni, yani kilise uğruna çektiği sıkıntılardan eksik kalanlarını kendi bedenimde tamamlıyorum.
25 Mimi ni mtumishi wa kanisa hili, sawasawa na wajibu niliopewa kutoka kwa Mungu kwa ajili yenu, kulijaza neno la Mungu.
Tanrı'nın sizin yararınıza bana verdiği görevle kilisenin hizmetkârı oldum. Görevim, Tanrı'nın sözünü,
26 Huu ni ukweli wa siri iliyokuwa imefichwa kwa miaka mingi na kwa vizazi. Lakini sasa imefunuliwa kwa wote waaminio katika Yeye. (aiōn g165)
yani geçmiş çağlardan ve kuşaklardan gizlenmiş, ama şimdi O'nun kutsallarına açıklanmış olan sırrı eksiksiz duyurmaktır. (aiōn g165)
27 Ni kwa wale ambao Mungu alitaka kufunua kulivyo utajiri wa utukufu wa siri ya ukweli huu miongoni mwa Mataifa. Ni kwamba Kristo yumo ndani yenu, ujasiri wa utukufu ujao.
Tanrı kutsallarına bu sırrın uluslar arasında ne denli yüce ve zengin olduğunu bildirmek istedi. Bu sırrın özü şudur: Mesih içinizdedir. Bu da size yüceliğe kavuşma umudunu veriyor.
28 Huyu ndiye tunayemtangaza. Tunamwonya kila mtu, na kumfundisha kila mtu kwa hekima yote, ili kwamba tumlete kila mtu mkamilifu katika Kristo.
Her insanı Mesih'te yetkinleşmiş olarak Tanrı'ya sunmak için herkesi uyararak ve herkesi tam bir bilgelikle eğiterek Mesih'i tanıtıyoruz.
29 Kwa jili hii, mimi najibidisha na kujitahidi kulingana na nguvu yake ifanyayo kazi ndani yangu katika uweza.
O'nun kudretle bende etkin olan gücüne dayanarak uğraşıp emek vermemin amacı da budur.

< Wakolosai 1 >