< Wakolosai 1 >

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu,
U Pavuli, unsuhiwa va Klisiti uYesu, kuolunghano ulwa Nguluve, nuo Timoteo uwo kholo weito,
2 kwa waumini na ndugu waaminifu katika Kristo walioko Kolosai. Neema iwe kwenu, na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu.
avaluokhololweito avavalanche na veidhiekhi mwa Klisite, vavo valiekhuo Kolosai. Uluosayo luovienchaghe khuolyuomwe, nuluononchehencho, ulwiehuoma khwa Nguluve Udada veitu.
3 Tunatoa shukrani kwa Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, na tunawaombea mara kwa mara.
Tuosana khwa Nguluve, Udada va Nkhuluodeva veitou uo Yesu Klisti, pwuo tukhuvadhovela amanchuva ghoni.
4 Tumesikia imani yenu katika Yesu Kristo na upendo mlionao kwa wale wote waliotengwa kwa ajili ya Mungu.
Ukhuohuoma upwuotukhapuoliekhe ulwiedhiekho lweinyo mwa Klisiti uYesu nuo lughano uluomuolienalwo khuo vavalanche voni.
5 Mna upendo huu kwa sababu ya taraja la uhakika lililohifadhiwa mbinguni kwa ajili yenu. Mlisikia kuhusu taraja hiyo ya uhakika kabla katika neno la kweli, injili,
Mlienuolughano uolu ulwakhuva muelienuoluohuvielo ulumuviekhieliwe khuokyanya uluo inongwa nchayene mkhapuoliekhe khatale khuoliemenyu eilyalweli ukhuhuma khuolivangeili,
6 ambayo imekuja kwenu. Injili hii inazaa tunda na inaenea ulimwenguni kote. Imekuwa ikifanya hivi ndani yenu pia tangu siku mlipoisikia na kujifunza kuhusu neema ya Mungu katika kweli.
lielyo lienchile khulyuomwe. Nduvuoleileiwo muonkhilungha kyoni. Liehola iesekhe nuokhuokhula, ndduvuliekhuola khuolyuomwe ukhuohuoma eilinchuva leilyo mwaphuoliekhe mukhulumanya ukhulutieliela ulusayo ulwa Nguluve muwayielweli.
7 Hii ndiyo injili mliyojifunza kutoka kwa Epafra, mpendwa wetu mtumishi mwenzetu, ambaye ni mtumishi mwaminifu wa Kristo kwa niaba yetu.
Eili lyuo liemenyu lielyo mwapuoliekhe ukhuohuoma khwa Epafla, uoghane veitu uombombie veito, yuoywa iembombo uoghatalufu umwiedhiehinchi mwa Klisiti khuolyuomwe.
8 Epafra ameufanya ujulikane kwetu upendo wenu katika Roho.
Uo Epafla vie mwene avombiele ukhuvaluovonekhe khuolyufwe ulugano lwenyo mwo Mepo.
9 Kwa sababu ya upendo huu, tangu siku tuliposikia hivi, hatujaacha kuwaombea. Tumekuwa tukiomba kwamba mtajazwa na maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote na ufahamu wa kiroho.
Khuonongwa eiyaluoghano uolu, ukhuohuoma, satwielekhielwe ukhuovadovela. Ukhuta mudhienchiwe uvuomanyi ouwa lughano lwa mwene mundhuohala ulwavuomanyi uwa mughati munumbula.
10 Tumekuwa tukiomba kwamba mtatembea kwa ustahimilivu wa Bwana katika njia zipendezazo. Tumekuwa tukiomba kwamba mtazaa tunda katika kila tendo jema na kwamba mtakua katika maarifa ya Mungu.
Muluotaghe nuokhuonoghela mumieghendele gyienyo khuo Nkhuluodeva mung'ovosyaghe. Pwuo muoholaghe isekhe khuombombo inonu nukhuoluotielila mundhuohala uolwa Nghuluve.
11 Tunaomba mweze kutiwa nguvu katika kila uwezo kulingana na nguvu za utukufu wake katika uvumilivu na ustahimilivu wote.
Muovombeliewagwe khumakha ghoni ukhuonkhongha na mankha aghavuotwa uwa mwene mukweiyuomieliencha nukwieikhasya kwoni.
12 Tunaomba kwamba, kwa furaha, mtatoa shukrani kwa Baba, aliyewafanya ninyi mweze kuwa na sehemu katika urithi wa waumini katika nuru.
Pwuo twidhova ukhuta, khuoluohekhelo, musanagha khwa Dada, yuo ywa avaviekhiela umwe ukhuva mukhave ukhutama khuvuhale uwa vavalanche muonduomuli.
13 Ametuokoa kutoka katika utawala wa giza na kutuhamishia katika ufalme wa Mwana wake mpendwa.
Umwene vie atuophokhiele muomaka agha akhatwienghiencha muonduouheva ulwa Mwana uvalughano ulwa mwene.
14 Katika Mwanae tuna ukombozi, msamaha wa dhambi.
Uvie khuomwene tuophokhiewe, khuokhuota uvuosyiekhielo uwa mbievi.
15 Mwana ni mfano wa Mungu asiyeonekana. Ni mzaliwa wa kwanza wa uumbaji wote.
Umwene vie khiekwani kya Nghuoluve uovisievonekha. Uvieatataliele ukhuoholiwa khuofinu fyoni.
16 Kwakuwa kwa yeye vitu vyote viliumbwa, vile vilivyoko mbinguni na vilivyoko duniani, vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. ikiwa ni vya enzi au mamlaka au utawala au wenye nguvu, vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake.
Ulwakhuva khumwene ifinu fyoni fyavuombiewe, fifyo filiekhuokyanya nafilienkhielunga fifyo fivonekha ifinge safivonekha. pwu fingave fya ludeva niefya vuntwa apanghe fya vuololeli apanghe ifinymakha, ifinu fyoni fyavuombiewe nuo mwene ukhuva fya mwene yuoywa.
17 Yeye amekuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.
Umwene vie ale kwale ifinu fyoni vuo visiphali, pwu ifinu fyoni fikwibatana khuomwene pwuo panienie.
18 Na yeye ndiye kichwa cha mwili yaani kanisa, yeye ni mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka miongoni mwa wafu, hivyo, ana nafasi ya kwanza miongoni mwa vitu vyote.
Umwene veintwe gwa mbeile khuokhuota eintembiele, umwene vie vuotengulielo vie ng'olwa uviataliela khu vavo vafwiele, ukhuota ave vakhuolongola khufyoni.
19 Kwa kuwa Mungu alipendezwa kwamba utimilifu wake wote uishi ndani yake,
Ulwakhuva khuomwene kwa noghile ukhuova kwiedhiehane ukhuotama mughati muomwene,
20 na kupatanisha vitu vyote kwake kwa njia ya Mwanawe. Mungu alifanya amani kupitia damu ya msalaba wake. Mungu alipatanisha vitu vyote kwake mwenyewe, ikiwa ni vitu vya duniani au vitu vya mbinguni.
nuo kuosayania ifinu fyoni khuomwene khuo wuomi uwa mwene wa vombiele uluononchehencho khuo nkhisa ugwa khiedhamihani kya mwene, khumwene pwuo fiva fyuo finu iefileinkielunga apanghe ifilikhuokyanya.
21 Nanyi pia, kwa wakati mmoja mlikuwa wageni kwa Mungu na mlikuwa maadui wake katika akili na matendo maovu.
Nayuomwe, khuo nsiekhie ghuomo mkhale vagheni va kwa Nguluve khaghe mkhale vatavangwa va mwene muondhuohala na mumieghendele eimievivi avalunghanienche leino.
22 Lakini sasa amewapatanisha ninyi kwa mwili wake kupitia kifo. Alifanya hivi ili kuwaleta ninyi watakatifu, wasio na lawama na bila dosari mbele yake,
Khuo mbeile nie nyama ya mwene, ukhuofwa khwa mwene, ukhuota avagheghe umwe khuovulongholo khuomwene avalievuvule iembievi khange savieheighiewa,
23 kama mkiendelea katika imani, mliyoimarishwa na kuwa thabiti, pasipo kuondoshwa mbali kutoka kwenye taraja la ujasiri la injili mliyoisikia. Hi ndiyo injili iliyotangazwa kwa kila mtu aliyeumbwa chini ya mbingu. Hii ndiyo injili ambayo kwayo mimi, Paulo, nimekuwa mtumishi.
mwieyuomielienchaghe muondwiedhiekho, khanghe muviekhiewe pakhanya pa lwuoto, mukhava namakha ukhulekha ukhuvahencha pavutali paluohuvielo ulwamakha ulwa lie vangieli leilyo muophuoliekhe. Eile lyuo lievangeili eilenchoviwe khuo khieilamunu yuoywa avuombiwe pasi leilyo khulyuone nie Pavuli, nie viele iembombi.
24 Sasa nafurahia mateso yangu kwa ajili yenu. Nami natimiliza katika mwili wangu kinachopungua kwa mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kanisa.
Lieno oulu niehovokha uluovavo lwango khuolyumwe. Une nievombela khiembeile gwango eikhiehegha khuoluovavo ulwa Klisitikhuoluovavo ulwa mbieli ugwa mwene, guogwa yuo tembile.
25 Mimi ni mtumishi wa kanisa hili, sawasawa na wajibu niliopewa kutoka kwa Mungu kwa ajili yenu, kulijaza neno la Mungu.
Uone nieliembombi va tembile ieyie, yieliehaniele nuo vuovombeli uvuonaupeiliele ukhuohuoma khw Nguluve khulyumwe, ukhuodiencha eiliemenyu lya Nguluve.
26 Huu ni ukweli wa siri iliyokuwa imefichwa kwa miaka mingi na kwa vizazi. Lakini sasa imefunuliwa kwa wote waaminio katika Yeye. (aiōn g165)
Eyie yuo lweli yeiyo yiekhale khuovuotitu yiekhafiehieme khuomyakha eimingi na khuvuoholiwa khuovanu voni vavo viekwieidhiekha khuomwene. (aiōn g165)
27 Ni kwa wale ambao Mungu alitaka kufunua kulivyo utajiri wa utukufu wa siri ya ukweli huu miongoni mwa Mataifa. Ni kwamba Kristo yumo ndani yenu, ujasiri wa utukufu ujao.
Khuo vavo Unguluve akhanogilwe ukhuovavonesya vukhuoliewe uvuonuno uwa vutajeili uovuoliekhuovuotitu kuvatenge, vope vie Klisti muoghati muondyuomwe, uluohuoveilo ulwa ludeva.
28 Huyu ndiye tunayemtangaza. Tunamwonya kila mtu, na kumfundisha kila mtu kwa hekima yote, ili kwamba tumlete kila mtu mkamilifu katika Kristo.
Umwene uofwe vei tuoluombieliela iembombo ienchamwene pwuo tuovuongha khiela munu, nuokhuomanyisya khiela munu mundhuohala lwoni, tukave ukhuoghegha khiela munu umwiedhiekhie mwa Klisiti.
29 Kwa jili hii, mimi najibidisha na kujitahidi kulingana na nguvu yake ifanyayo kazi ndani yangu katika uweza.
Pwuo nayuone niehangayiekha khuoliemenyu lie leilyo, niekhetanga ukhuovomba eimbombo khuomwene uovievomba eimbombo mughati mu ndyuane khuo makha.

< Wakolosai 1 >