< Wakolosai 1 >

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu,
Paul, apôtre de Jésus-Christ par la volonté de Dieu, et Timothée, notre frère, à nos frères en Christ,
2 kwa waumini na ndugu waaminifu katika Kristo walioko Kolosai. Neema iwe kwenu, na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu.
les saints et les fidèles qui sont à Colosses. Que la grâce et la paix vous soient données de la part de Dieu, le Père!
3 Tunatoa shukrani kwa Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, na tunawaombea mara kwa mara.
Nous rendons grâces à Dieu, le Père de notre Seigneur Jésus-Christ, dans les prières que nous faisons sans cesse pour vous.
4 Tumesikia imani yenu katika Yesu Kristo na upendo mlionao kwa wale wote waliotengwa kwa ajili ya Mungu.
En effet, nous avons entendu parler de votre foi en Jésus-Christ et de la charité que vous avez pour tous les saints,
5 Mna upendo huu kwa sababu ya taraja la uhakika lililohifadhiwa mbinguni kwa ajili yenu. Mlisikia kuhusu taraja hiyo ya uhakika kabla katika neno la kweli, injili,
en vue de l'espérance qui vous est réservée dans les cieux, et dont vous avez eu connaissance par la prédication de la vérité, c'est-à-dire de l'Évangile.
6 ambayo imekuja kwenu. Injili hii inazaa tunda na inaenea ulimwenguni kote. Imekuwa ikifanya hivi ndani yenu pia tangu siku mlipoisikia na kujifunza kuhusu neema ya Mungu katika kweli.
Cet Évangile est au milieu de vous, comme il est dans le monde entier: il y porte des fruits et il y fait des progrès, comme il en a fait parmi vous, depuis le jour où vous avez entendu annoncer la grâce de Dieu et où vous avez appris à la connaître véritablement,
7 Hii ndiyo injili mliyojifunza kutoka kwa Epafra, mpendwa wetu mtumishi mwenzetu, ambaye ni mtumishi mwaminifu wa Kristo kwa niaba yetu.
telle que vous l'a enseignée Épaphras, notre cher compagnon de service, qui nous seconde comme un fidèle ministre du Christ,
8 Epafra ameufanya ujulikane kwetu upendo wenu katika Roho.
et qui nous a dépeint la charité dont vous êtes animés par l'Esprit.
9 Kwa sababu ya upendo huu, tangu siku tuliposikia hivi, hatujaacha kuwaombea. Tumekuwa tukiomba kwamba mtajazwa na maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote na ufahamu wa kiroho.
C'est pourquoi, nous aussi, depuis le jour où nous avons reçu ces nouvelles, nous ne cessons de prier pour vous et de demander à Dieu que vous soyez remplis de la connaissance de sa volonté, avec toute sorte de sagesse et d'intelligence spirituelle,
10 Tumekuwa tukiomba kwamba mtatembea kwa ustahimilivu wa Bwana katika njia zipendezazo. Tumekuwa tukiomba kwamba mtazaa tunda katika kila tendo jema na kwamba mtakua katika maarifa ya Mungu.
afin que vous vous conduisiez d'une manière digne du Seigneur, pour lui plaire en toutes choses, produisant toute espèce de bonnes oeuvres, croissant dans la connaissance de Dieu,
11 Tunaomba mweze kutiwa nguvu katika kila uwezo kulingana na nguvu za utukufu wake katika uvumilivu na ustahimilivu wote.
et étant fortifiés à tous égards par sa force glorieuse, pour tout supporter avec patience et avec joie.
12 Tunaomba kwamba, kwa furaha, mtatoa shukrani kwa Baba, aliyewafanya ninyi mweze kuwa na sehemu katika urithi wa waumini katika nuru.
Bénissez le Père, qui vous a rendus capables d'avoir part à l'héritage des saints dans la lumière:
13 Ametuokoa kutoka katika utawala wa giza na kutuhamishia katika ufalme wa Mwana wake mpendwa.
il nous a délivrés de la puissance des ténèbres et nous a fait passer dans le royaume de son Fils bien-aimé,
14 Katika Mwanae tuna ukombozi, msamaha wa dhambi.
en qui nous avons la rédemption, la rémission des péchés.
15 Mwana ni mfano wa Mungu asiyeonekana. Ni mzaliwa wa kwanza wa uumbaji wote.
C'est lui qui est l'image du Dieu invisible, le premier-né de toute la création.
16 Kwakuwa kwa yeye vitu vyote viliumbwa, vile vilivyoko mbinguni na vilivyoko duniani, vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. ikiwa ni vya enzi au mamlaka au utawala au wenye nguvu, vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake.
Car c'est en lui qu'ont été créées toutes choses dans les cieux et sur la terre, les visibles et les invisibles, soit les trônes, soit les dominations, soit les autorités, soit les puissances: tout a été créé par lui et pour lui.
17 Yeye amekuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.
Il est avant toutes choses, et toutes choses subsistent en lui.
18 Na yeye ndiye kichwa cha mwili yaani kanisa, yeye ni mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka miongoni mwa wafu, hivyo, ana nafasi ya kwanza miongoni mwa vitu vyote.
C'est lui aussi qui est la tête du corps, le chef de l'Église. Il est le commencement, le premier-né d'entre les morts, afin qu'en toutes choses il tienne le premier rang.
19 Kwa kuwa Mungu alipendezwa kwamba utimilifu wake wote uishi ndani yake,
Car il a plu à Dieu de faire habiter en lui toute sa plénitude,
20 na kupatanisha vitu vyote kwake kwa njia ya Mwanawe. Mungu alifanya amani kupitia damu ya msalaba wake. Mungu alipatanisha vitu vyote kwake mwenyewe, ikiwa ni vitu vya duniani au vitu vya mbinguni.
et de réconcilier par lui toutes choses avec lui-même, aussi bien celles qui sont sur la terre que celles qui sont dans les cieux, ayant fait la paix par le sang de sa croix.
21 Nanyi pia, kwa wakati mmoja mlikuwa wageni kwa Mungu na mlikuwa maadui wake katika akili na matendo maovu.
Quant à vous, qui étiez autrefois éloignés de Dieu et ses ennemis par vos pensées et par vos mauvaises oeuvres,
22 Lakini sasa amewapatanisha ninyi kwa mwili wake kupitia kifo. Alifanya hivi ili kuwaleta ninyi watakatifu, wasio na lawama na bila dosari mbele yake,
il vous a maintenant réconciliés avec lui, par la mort que son Fils a soufferte en son corps, dans sa chair, pour vous faire comparaître en sa présence, saints, sans tache, irrépréhensibles,
23 kama mkiendelea katika imani, mliyoimarishwa na kuwa thabiti, pasipo kuondoshwa mbali kutoka kwenye taraja la ujasiri la injili mliyoisikia. Hi ndiyo injili iliyotangazwa kwa kila mtu aliyeumbwa chini ya mbingu. Hii ndiyo injili ambayo kwayo mimi, Paulo, nimekuwa mtumishi.
— si du moins vous demeurez dans la foi, fermes, inébranlables, sans jamais vous écarter de l'espérance proclamée par l'Evangile, que vous avez entendu, qui a été prêché à toute créature sous le ciel, et dont moi, Paul, je suis devenu le ministre.
24 Sasa nafurahia mateso yangu kwa ajili yenu. Nami natimiliza katika mwili wangu kinachopungua kwa mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kanisa.
Je me réjouis maintenant des souffrances mêmes que j'endure pour vous, et j'achève de souffrir dans ma propre chair ce qui manque aux douleurs du Christ pour son corps, qui est l'Église.
25 Mimi ni mtumishi wa kanisa hili, sawasawa na wajibu niliopewa kutoka kwa Mungu kwa ajili yenu, kulijaza neno la Mungu.
C'est de cette Église que je suis devenu le ministre, par la dispensation de Dieu qui m'a confié la mission de vous annoncer pleinement la parole de Dieu,
26 Huu ni ukweli wa siri iliyokuwa imefichwa kwa miaka mingi na kwa vizazi. Lakini sasa imefunuliwa kwa wote waaminio katika Yeye. (aiōn g165)
le mystère caché de tout temps et dans tous les âges, mais maintenant manifesté à ses saints. (aiōn g165)
27 Ni kwa wale ambao Mungu alitaka kufunua kulivyo utajiri wa utukufu wa siri ya ukweli huu miongoni mwa Mataifa. Ni kwamba Kristo yumo ndani yenu, ujasiri wa utukufu ujao.
Car Dieu a voulu leur faire connaître quelles sont les glorieuses richesses de ce mystère parmi les Païens, c'est-à-dire Christ en vous, l'espérance de la gloire.
28 Huyu ndiye tunayemtangaza. Tunamwonya kila mtu, na kumfundisha kila mtu kwa hekima yote, ili kwamba tumlete kila mtu mkamilifu katika Kristo.
C'est lui que nous annonçons, avertissant tout homme et instruisant tout homme en toute sagesse, afin de présenter à Dieu tout homme devenu parfait en Christ.
29 Kwa jili hii, mimi najibidisha na kujitahidi kulingana na nguvu yake ifanyayo kazi ndani yangu katika uweza.
C'est à cela que je travaille, en combattant avec le secours de sa force qui agit puissamment en moi.

< Wakolosai 1 >